Oummilkheir wa DW astaafu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2020
  • Wafanyakazi wa Idhaa ya Kiswahili ya DW mjini Bonn wamuaga mfanyakazi mwenzao Oummilkheir sauti ya dhahabu ambaye amestaafu baada ya kuhudumu kwa miaka takribani 42. #kwaherioummilkheir

ความคิดเห็น • 85

  • @paschalmartin1273
    @paschalmartin1273 4 ปีที่แล้ว +9

    mmmmm! huyu mama nilikuwa nampenda utangazaji wake sauti nzuri tunakutakia maisha mema ubarikiwe maisha mema ya kustaafu mama

  • @khalidjumaboki6820
    @khalidjumaboki6820 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera ummylkhery kapumzike mama ,ila wengi wamejifunza kupitia kwako miaka 42 sio mchezo

  • @danthemanx999
    @danthemanx999 3 ปีที่แล้ว +1

    Grew up listening to Oummi on SW. Wish you well. Thanks big bro for introducing me to DW.

  • @AkidaModeste
    @AkidaModeste 11 หลายเดือนก่อน

    Nafurai kuwaona waandishi wengi tu wa DW,nilikuwa nafikiria Rasid Chilumba na Bruce Amani kuwa ni waxed kumbe hapana,Ma OMil hongera sana kwa yote ulio tufanyizia sisi wasikilizaji wa DW Asanteni kabisa kila la Hero kwa ku stahafu

  • @jakuvuai1428
    @jakuvuai1428 4 ปีที่แล้ว +3

    Jina lake ni ishara tosha ya kua mtu mzuri.
    Ummi= mama
    Kheir = kheri/mwema
    Nakupnda sana sana, wengi wanasifu sauti yako ila mimi nasifu lafdhi yako na namna ya unvyokichambwaga kiswahili.

  • @abuanmarabubakar
    @abuanmarabubakar 4 ปีที่แล้ว +4

    Mm nimeumia zaidi yako mama yangu

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 10 หลายเดือนก่อน

    Boooorne, Ujarumaniii.

  • @moseschacha684
    @moseschacha684 2 ปีที่แล้ว +1

    I will miss her voice, God bless her

  • @yacayuunixilwa3607
    @yacayuunixilwa3607 3 ปีที่แล้ว +1

    Abari za Africa

  • @karenzijumaahmad257
    @karenzijumaahmad257 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana mama Oummilkheir. Sauti yako tu yanitosha . nitakumiss mnoo

  • @amanimjuli5265
    @amanimjuli5265 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu ampatie miaka mingi
    Mimi nimeanza kumsikia na kumfaham 16 years ago.

  • @muhinatangatz5679
    @muhinatangatz5679 4 ปีที่แล้ว +3

    Dah mama kiboko na nikielelezo Cha utangazaji duniani

  • @alexmahenge3817
    @alexmahenge3817 4 ปีที่แล้ว +3

    Nampenda saana bi Umm nimependa kumuona lakini lazima nionane nae iko siku najua nitafika nionane nae nampenda mnooo

  • @jimmyjimmy5094
    @jimmyjimmy5094 ปีที่แล้ว

    Great umi Great umi

  • @mohdabdi4157
    @mohdabdi4157 4 ปีที่แล้ว +2

    Dah! Jamani sauti ya dhahabu itakuwa hatuisikii Tena bi ummi tunakutakia maisha mema na yenye kheir na wewe

  • @fellyfernando4516
    @fellyfernando4516 ปีที่แล้ว

    Mungu ampe maisha marefu..bi Umilkher..

  • @kihimbamushyaibrahim7284
    @kihimbamushyaibrahim7284 4 ปีที่แล้ว

    africa mashariki na ya kati wengi watoto wakike waliitwa kwa jina umul khair ndio sauti nzito kweli weka sign up ile sauti yakufungua radio dw we will miss you mungu akuchunge from kuwait

  • @twinamastkiodavid4881
    @twinamastkiodavid4881 3 ปีที่แล้ว

    Thanks very much madam I wish you all the best I'm going to miss her voice, I'm called David Twinamatsiko here at Somalia

  • @khamisthomas7466
    @khamisthomas7466 4 ปีที่แล้ว

    dah tutakumiss sana mama yetu Oummikheir kwa saut yako ya bashasha Mungu akulinde sana

  • @wongooscar7519
    @wongooscar7519 4 ปีที่แล้ว +1

    Daa tuta miss sana Sauti yake 😘😘😘

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว

    Congratulations! you are the legend!

  • @denismganyizi9963
    @denismganyizi9963 4 ปีที่แล้ว +1

    Kila la kheri mama angu nakupenda sana

  • @watchme1558
    @watchme1558 4 ปีที่แล้ว +1

    Hakika nilikupend sana uommi na sitochok kukupend kwa saut yko. Na ekesha wakati ulipokua ukitangaz nilikua nafikiria ni mzungu ambae amejifundish kiswahil. Samaha unatokea wp Mama oummi

  • @IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej
    @IbrahimlyenjeNtupwa-ju4ej 9 หลายเดือนก่อน

    Sauti bora zaidi ya sauti

  • @mkenyaog3170
    @mkenyaog3170 4 ปีที่แล้ว +2

    Thenks our god

  • @CAYVOH
    @CAYVOH 11 หลายเดือนก่อน

    Very unique and wonderful voice . All the best Oummi.
    Kulikuwa na mtangazaji mwingine wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle ambaye alikuwa anaitwa Osman Mirachi(ji). Alikuwa na kipindi kiitwacho 'Darubini' kila Jumanne baada ya habari ya saa saba mchana ambaye nalikuwa nakienzi sana. Alienda wapi?

  • @fextomaturo7815
    @fextomaturo7815 4 ปีที่แล้ว

    Daaah saut Kali sanaaa

  • @mbegaJrtuition1
    @mbegaJrtuition1 3 ปีที่แล้ว

    Mimi binafsi alinihamasisha sana kusikiliza DW tangu kitambo. Kila la heri Bibi oummilher

  • @naftalimagige4699
    @naftalimagige4699 3 ปีที่แล้ว

    Mapumziko mema mama kher

  • @ahmadzaid2940
    @ahmadzaid2940 4 ปีที่แล้ว +3

    mic u ummulikhery

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma3039 2 ปีที่แล้ว

    Pumzika salama mama dw Swahili nimeanza kufutilia toka 2005

  • @emmaticopetro1158
    @emmaticopetro1158 3 ปีที่แล้ว

    Mm nitamkumbuka sana kwa umahiri wake wa uchambuzi wake wa magazet ya ujerumani kuhusu bara LA Africa

  • @samwelinzambitesamwelinzam3643
    @samwelinzambitesamwelinzam3643 3 ปีที่แล้ว

    Daaaa huyo Mama namkubal sana

  • @abdullahomar8687
    @abdullahomar8687 4 ปีที่แล้ว

    klla la kheyr mama kipnz twakukumbka saaana na tutakumbka daima utu na weledi wko....

  • @jacobstake.4142
    @jacobstake.4142 2 ปีที่แล้ว

    Nalia Na Furaha Tangu Mdogo- Habari Za Mjana na Jioni.. Maisha mema.

  • @d_mselewa
    @d_mselewa 4 ปีที่แล้ว +2

    Mama yangu hongera sana, nitakumbuka sauti yako daima ila nitakuwa napitia maktaba mbalimbali mtandaoni nisikilize tena na tena. Mungu akujaalie afya njema

    • @imanijoseph7584
      @imanijoseph7584 4 ปีที่แล้ว

      Sauti yake ni ya dhahabu .Nilipenda DW kwasababu yake .Umetuachia pengo kubwa sana wasikizaji wako.Nakutakia mapumziko mema mama

  • @petermacharia837
    @petermacharia837 3 ปีที่แล้ว

    Heeeheeeeee sauti ya dhahabu, 🥂🥂

  • @mwalongojulius1755
    @mwalongojulius1755 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwongezeeni mkataba anaweza kuendelea kwani kutangaza siyo kushika jembe ni sauti na kukaa

  • @holyfathergodford7988
    @holyfathergodford7988 3 ปีที่แล้ว

    Penda sana bibi yangu
    Kwa sura ya Ujerumani. Asante bibi.

  • @simbascdailysimbasctanzani2835
    @simbascdailysimbasctanzani2835 2 ปีที่แล้ว

    Nime mkumbuka sana

  • @mayanikwetu7401
    @mayanikwetu7401 2 ปีที่แล้ว

    Kutoka musoma Tanzania Nyamboga Nyamshora dw nawapata kwa umakini na matangazo yenu.

  • @alexedward4069
    @alexedward4069 3 ปีที่แล้ว

    Idhaa Yangu ninayoipenda

  • @mabydal5556
    @mabydal5556 4 ปีที่แล้ว +1

    Machoz yannitoka tu ila nakuombea kheyr nmemmis mno Mohammed Abdul-rahman na sasa ht sijazoea kumkosa ntakukumbka nawe saaana nkipenda mno ukitaja majina ya Kansela wa ujeruman na Rais wa Uturuki daaah allah akuzidishie kheyr.....

  • @petermahimbo9450
    @petermahimbo9450 4 ปีที่แล้ว

    Nitakukosa sana mamayangu..

  • @zuberigwakula8531
    @zuberigwakula8531 4 ปีที่แล้ว +1

    Watangazaji wote wako wako vizur hamna garasa

  • @moramwita5623
    @moramwita5623 4 ปีที่แล้ว +1

    Na Sasa huko ujerumani ,Chancellor Angela marcel ameiba ujerumani kutuma katika ufanisi kidiplomasiiiia,,Na Sasa tuangaaziie huko mashariki ya mbaaaali

  • @MuwumbaJulius-ys5xh
    @MuwumbaJulius-ys5xh 11 หลายเดือนก่อน

    Very very sad rip

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph4558 3 ปีที่แล้ว

    Nilikua nadhani ni mama wa kizungu ambae anajua kiswahili kumbe ni mwafrika kabisa

  • @snkhannassoro2404
    @snkhannassoro2404 ปีที่แล้ว

    Mbona redioni sauti kama wazee

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 3 ปีที่แล้ว

    Ohh jamani alikuwa na sauti ya kipekee. Ametuwakilisha vizuri sana sisi wanawake hasa kwa kufanya kazi kwa bidii na kwa weledi. Binafsi nitammiss

  • @danstanmgaya1251
    @danstanmgaya1251 3 ปีที่แล้ว

    Alikua vizur sana huyu mama saut yake ilikua nzur sana mitambon

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi3169 4 ปีที่แล้ว

    Saf sana mama yetu

  • @maikoandrew58
    @maikoandrew58 2 ปีที่แล้ว

    Du mama kastaafu ?. Shikamoo mama

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 3 ปีที่แล้ว

    we will.miss the voice

  • @moramwita5623
    @moramwita5623 4 ปีที่แล้ว +2

    tutakumic mnooo

  • @justinishengoma8927
    @justinishengoma8927 4 ปีที่แล้ว +1

    KIUKWELI naumia sana kuona hyu mama anastahafu nataman angefanya milele maana alikua kinala wa sauti

    • @hagaijoe2449
      @hagaijoe2449 4 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli mimi pia sijapenda habari za kustaafu kwake! Yaani, basi tu!

  • @langatemmanuel7359
    @langatemmanuel7359 3 ปีที่แล้ว

    Nimemsikiliza mwanahabari huyu maarufu tangu nikiwa shule ya msingi...alikuwa na sauti nzuri kweli..

  • @muhammadmpoyamboya2423
    @muhammadmpoyamboya2423 3 ปีที่แล้ว

    mtangazaji umetuangusha umeshindwa kulitamka vzr jina la mama pumbafu yako

  • @sarikokidole6583
    @sarikokidole6583 4 ปีที่แล้ว

    Mtandao unasumbua

  • @frankbunini9898
    @frankbunini9898 3 ปีที่แล้ว

    Nilikuwa napenda kukusikiliza mama na nitafata njia zako ili na mimi nifikie malengo katika tasnia hii ya habari

  • @elsonjohnson7558
    @elsonjohnson7558 9 หลายเดือนก่อน

    Yani nakupenda bure mama yani natamani kukusikiliza kila wakati
    Kwa kweli kwa hii sauti yako ya kipekee mimi natamani kuendeleea kuisikiliza sauti yako mama
    Hivi kuna mtu umemwachia hiyo sauti??
    Hakika nitaimisi DW kwa ajili yako

  • @johnstonemwesiga236
    @johnstonemwesiga236 4 ปีที่แล้ว +1

    MUANZISHE NA TV SWAHILI

  • @gastonegeorge7408
    @gastonegeorge7408 3 ปีที่แล้ว

    Niliipenda na kuifuatilia DW kwa sababu ya staili ya utangazaji wake..Mwanzoni nilijua ni mwanaume!

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 4 ปีที่แล้ว

    Dah mm ndo nimejua Leo kumbe kastafu mungu awe nae pia watangazaji wengine nimefurai kuwaona maana nilikua cjawaona b4

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 2 ปีที่แล้ว

    Naomba mtu a anijulishe Habari za muhaymina farisi/muhaimina faarisi...yupo hai au amefariki..nilikua mdogo sana alpokua akitingaza

  • @edwardkomba5222
    @edwardkomba5222 4 ปีที่แล้ว

    Nahisi natokwa na machozi ya huzuni kuwa sitaisikia sauti ya aina yake ya utangazaji ya huyu mama Oommi ambae amestaafu. Ninamwombea maisha mema uko aendako. Naamini pengo lake haitazibwa.

  • @juliussanane1860
    @juliussanane1860 3 ปีที่แล้ว

    Tunajivunia kwa matumizi bora ya Lugha ya Kiswahili katika utangazi wako

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 ปีที่แล้ว

    Dah bibi tulipenda saut yako lakin kustaafu nako ndio hvo hongera bi umi

  • @felixbasogomba7065
    @felixbasogomba7065 4 ปีที่แล้ว

    Mara ya kwanza namsiliza ilikuwa 1998.Ndo nilianza kupata akili yankusikiliza taarifa ya habari.Ubishi ulokuwepo ni mwanaume au mwanamke?Binafsi yeye na Adulhaman Baramia nilikuwa nawapenda sana.Halafu wote wa Comoro

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 3 ปีที่แล้ว

    DW nmkumbuka sana kwa sauti yake na kipindi cha sura ya ujerumani au akiripoti taarifa🤦 nmemis bara bara

  • @davoo2555
    @davoo2555 3 ปีที่แล้ว

    Huyu mama kwakweli amekua akinipasha habari na binafsi nimewahi kua najaribu kuongea kama yy. Nimeanza kumsikia hasa taarifa za habari za saa saba mchana tangu nasoma shule ya msingi mpaka nahitimu chuo kikuu. Ni miongoni mwa watangazaji ambao sitaweza kuwasahau kamwe. Mungu aendelee kua pamoja nae daima kama alivyokua nae DW. Kutoka Boooooooo.......nnn

  • @ziyadamubark1612
    @ziyadamubark1612 4 ปีที่แล้ว

    Kumbe bi ummy kastaafu

    • @emmanuelbayi4640
      @emmanuelbayi4640 3 ปีที่แล้ว +1

      Mama
      Ummy
      Nakupenda
      Munguakubrki
      Nlianza
      Kukusikia
      1995nkiw
      Mdogo
      Barkiw

    • @emmanuelbayi4640
      @emmanuelbayi4640 3 ปีที่แล้ว

      Ummy
      Mwaka
      2005
      Ninakumbuk
      Uchaguzi
      Mkuu
      Ulivyo

  • @zainabmohamed7511
    @zainabmohamed7511 4 ปีที่แล้ว

    Anatoka nchi gani huyu?

  • @abilahirufai8269
    @abilahirufai8269 4 ปีที่แล้ว

    Maisha mema leo ndo namjua,nilikuwa nasikia saut tu.lakini ni mzaliwa wa wapi?

    • @leonarddamian
      @leonarddamian 4 ปีที่แล้ว +1

      Kazaliwa visiwa vya comoro na hatimaye akahamishiwa Zanzibar akiwa mtoto mchanga akaishi huko hadi akafikisha miaka 15.....

    • @abilahirufai8269
      @abilahirufai8269 4 ปีที่แล้ว

      @@leonarddamian asante bro.kwa taarifa nzur,so ni mcomoro

    • @leonarddamian
      @leonarddamian 4 ปีที่แล้ว

      @@abilahirufai8269 ndiyo lkn kwa mujibu wa Maelezo yake Oumilkheir baada ya kustaafu Commoro ni nyumbani lkn pia Zanzibar ni nyumbani kwa hiyo ni Kama ana uraia wa nchi mbili na anapapenda Sana Zanzibar kwani amekulia huko.

    • @abilahirufai8269
      @abilahirufai8269 4 ปีที่แล้ว +1

      @@leonarddamian asante bro.

  • @MuwumbaJulius-ys5xh
    @MuwumbaJulius-ys5xh 11 หลายเดือนก่อน

    Very very sad rip