i am happy mama Ummy anaendelea vizuri, sauti yake inanikumbusha marehemu babu yangu alipenda sana DW and i too got to know mama Ummy then, be safe mama and God bless you, we love you. Thank you Rashid for posting this.
Rashid Nakushukuru sana kwa Salaam hizi kutoka kwa Mama yetu kipenzi Oummi. Ninaomba pia utuletee na Baba yetu Mohammed Abdulrahman, tunammiss sana wanawe😢
Rashidi nakukubali sana alafu napenda vile unavyosoma habari ngoja nikuge kengele na nitakugusia kwa washikaji zangu nikishika simu zao 🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Daaah shukrn saana kipenz changu Rashid kwa kumtembelea mama yetu mtangazaj wetu kipenz tafadhwal mtafute pia bwana Sekione Kitojo...
Mama
i am happy mama Ummy anaendelea vizuri, sauti yake inanikumbusha marehemu babu yangu alipenda sana DW and i too got to know mama Ummy then, be safe mama and God bless you, we love you. Thank you Rashid for posting this.
Rashid
Nakushukuru sana kwa Salaam hizi kutoka kwa Mama yetu kipenzi Oummi.
Ninaomba pia utuletee na Baba yetu Mohammed Abdulrahman, tunammiss sana wanawe😢
Mama arudi kazini walau miaka miwili
daaaa namkubali sana huyu mama..iseee namna yake ya kutangaza ilinivutia sana..
Daah bi mkubwa alikua hodar sana kwenye utangazaji
Nimefurahi kumwona mkongwe aliyekonga nyoyo zetu
tunakisubiri hicho kitabu mama Oumilkheir sijui bado hakijatoka ...
Madame Ummilkheir sauti ya dhahabu na mtangazaji wetu pendwa
Huyo mama ndiye aliyenivutia nikaipenda Dw. Hadi sasa napenda matangazo yao.
Nafikiria saana kuwa Rashid Chilumba ni Muzee Bwana kumbi ni kijana Tu !!
Sauti ya dhahabu
Child boy mambo ni Moto nitafute mm dada ako
Salaam, niandikie nambari yako ya whatsapp
Huyu Mama napenda bure jamani daa!!
Hadi mtangazaji anastaafu kwanini
Kumbe upo gizani hamna kazi ambayo binadamu hasitaafu
Nilifikiri umerudi nyumbani