Oumilkheir na maisha baada ya kustaafu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2021
  • Baada ya zaidi ya Mwaka mmoja tangu kuondoka Idhaa ya Kiswahili ya DW, Oumilkheir anasema maisha ya kustaafu ni mchanganyiko wa raha na karaha.

ความคิดเห็น • 18

  • @datydon6676
    @datydon6676 2 หลายเดือนก่อน

    Rashid
    Nakushukuru sana kwa Salaam hizi kutoka kwa Mama yetu kipenzi Oummi.
    Ninaomba pia utuletee na Baba yetu Mohammed Abdulrahman, tunammiss sana wanawe😢

  • @LoshiluMollel
    @LoshiluMollel 2 หลายเดือนก่อน

    Mama arudi kazini walau miaka miwili

  • @abdullahomarabdullah6921
    @abdullahomarabdullah6921 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaah shukrn saana kipenz changu Rashid kwa kumtembelea mama yetu mtangazaj wetu kipenz tafadhwal mtafute pia bwana Sekione Kitojo...

  • @reyreh
    @reyreh 2 ปีที่แล้ว +2

    i am happy mama Ummy anaendelea vizuri, sauti yake inanikumbusha marehemu babu yangu alipenda sana DW and i too got to know mama Ummy then, be safe mama and God bless you, we love you. Thank you Rashid for posting this.

  • @mathewben6833
    @mathewben6833 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimefurahi kumwona mkongwe aliyekonga nyoyo zetu

  • @edmundmmuniedmund1623
    @edmundmmuniedmund1623 2 ปีที่แล้ว

    daaaa namkubali sana huyu mama..iseee namna yake ya kutangaza ilinivutia sana..

  • @teodorypeter6677
    @teodorypeter6677 2 ปีที่แล้ว

    Daah bi mkubwa alikua hodar sana kwenye utangazaji

  • @edmundmmuniedmund1623
    @edmundmmuniedmund1623 2 ปีที่แล้ว

    tunakisubiri hicho kitabu mama Oumilkheir sijui bado hakijatoka ...

  • @anacletferuz4954
    @anacletferuz4954 ปีที่แล้ว

    Huyo mama ndiye aliyenivutia nikaipenda Dw. Hadi sasa napenda matangazo yao.

  • @tauhidasheha1118
    @tauhidasheha1118 2 ปีที่แล้ว +1

    Madame Ummilkheir sauti ya dhahabu na mtangazaji wetu pendwa

  • @AkidaModeste
    @AkidaModeste 11 หลายเดือนก่อน

    Nafikiria saana kuwa Rashid Chilumba ni Muzee Bwana kumbi ni kijana Tu !!

  • @ernestnicksonernest5793
    @ernestnicksonernest5793 ปีที่แล้ว

    Sauti ya dhahabu

  • @complex7582
    @complex7582 ปีที่แล้ว

    Nilifikiri umerudi nyumbani

  • @kelvinlusana5580
    @kelvinlusana5580 2 ปีที่แล้ว

    Huyu Mama napenda bure jamani daa!!

  • @jamilajuma3783
    @jamilajuma3783 ปีที่แล้ว

    Child boy mambo ni Moto nitafute mm dada ako

  • @papafikiri
    @papafikiri 2 ปีที่แล้ว +2

    Hadi mtangazaji anastaafu kwanini