BURNA BOY kweli ni African Giant! Watu 80,000 wahudhuria tamasha lake London Stadium

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 148

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 3 หลายเดือนก่อน +10

    alaf Kuna bundi Wana SEMA hooo daimondi anamuezaa bunboy iyo Dunia sio ayoo mavi yenuuu

  • @MakameJumaa-f2y
    @MakameJumaa-f2y 3 หลายเดือนก่อน +5

    Juzi tu kunamtangazaji kasema wabongo tumewakomesha wa Nigeria akiwemo banaboy😂😂😂

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 หลายเดือนก่อน +4

    MNAWAPAISHA WENYEWE KUMBE,,,AFU BADAE PYOKO PYOKO

  • @dannysengata2298
    @dannysengata2298 3 หลายเดือนก่อน +36

    Kuna mtu juzi kasema amewakomesha 😂😂😂😂

    • @ghettolandentertainment7701
      @ghettolandentertainment7701 3 หลายเดือนก่อน +5

      Kumbe na wewe ulimskia 😅😅

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@ghettolandentertainment7701
      Jamani naombeni niambie ni nani

    • @ibrahimjustine3771
      @ibrahimjustine3771 3 หลายเดือนก่อน +6

      Mwambino chizi tuh

    • @khamso-254
      @khamso-254 3 หลายเดือนก่อน +4

      😂uchokozi sasa😂

    • @priscamrekoni3451
      @priscamrekoni3451 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂🙈🙈🙈

  • @EdsonyMashaka
    @EdsonyMashaka 3 หลายเดือนก่อน +7

    Uwezo wa mxanii Taifa lugha vinawabeba xana

    • @Symoob5c
      @Symoob5c 3 หลายเดือนก่อน

      Kumaanisha wenu hawajui kiingereza ama😂😂

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 3 หลายเดือนก่อน +4

    Yule alieimbishwa mchana na watu 64 tu, anajisikiaje akiona hii video 😅😅😅

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 3 หลายเดือนก่อน +18

    Mwambieni Simba aache mdomo 😂😂😂

    • @ghettolandentertainment7701
      @ghettolandentertainment7701 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @ghettolandentertainment7701
      @ghettolandentertainment7701 3 หลายเดือนก่อน +3

      Eti amewakamata 😂

    • @ghettolandentertainment7701
      @ghettolandentertainment7701 3 หลายเดือนก่อน

      @d255tv watu wanajaza viwanja then wasanii wetu wanashangilia TikTok challenge ya Chris brown..

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@d255tvuyo bundala nae si choko kama machoko wengine hahahaha Comasava

    • @collinndabi1914
      @collinndabi1914 3 หลายเดือนก่อน

      @d255tv bundala kangata na kupuliza hapo hapo

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa1346 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa wajinga ndo maana matakiri duh😢😢😢 laki 3 kwa watu 80,000 sio mxhezo

  • @hamisibakari342
    @hamisibakari342 3 หลายเดือนก่อน +10

    MOND,MOND,MOND NAKWITA MARA 3 NJOO UTAMBE HUKU MASHALIKI.UKIVAA HAYO MACHENI NA MABWANGA UNAJIKUTA WADUNIA😂😂😂😂😂

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 หลายเดือนก่อน

      Katafute hela ya ugali wewe acha kelele za umaskini hizo unamwita Mondi ukute ata hela ya kula mlo mmoja ni mzozo hahahaha mwenzako kashatoboa choko wewe

    • @Symoob5c
      @Symoob5c 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @asawoasawo517
    @asawoasawo517 3 หลายเดือนก่อน +5

    Simba anajiita mkubwa afrika ajaze kama burna boy basi

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 3 หลายเดือนก่อน +2

    Diamond ni msanii mkubwa ila hajafikia ukubwa huu, diamond platnumz ana safari ndefu zaidi

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 3 หลายเดือนก่อน

      Ni mkubwa na amefikia huo ukubwa kwa sana tu

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mwanenu asingekuwaga kiredio tungekuwa nae sako kwa bako tatizo mdomo😅😅😅😅

  • @MikidadiKimilike
    @MikidadiKimilike 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa mnaijeria kujaza hivyo sio ajabu sababu zinaeleweka wengi mnaokoment humu hamuijui nigeria na historia yake dhidi ya nchi za ulaya

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 หลายเดือนก่อน

    Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 หลายเดือนก่อน

    Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao

  • @chiragahmbura9523
    @chiragahmbura9523 3 หลายเดือนก่อน +10

    Ingekua Msanii wenu hapo Tanzania🇹🇿 amefanya hivyo Dunia na Mass na Pluto zingejua 😂😂 Anyway acha nifate mambo yangu

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture2941 3 หลายเดือนก่อน +10

    Akitoka hapo anaenda kununuaa private jet na chenji inabaki ya kutosha kabisa pesa ni ndefu mnoo hiyo

  • @SelemaniEmail
    @SelemaniEmail 3 หลายเดือนก่อน +4

    Atambe pande zake pande zetu atambi

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 3 หลายเดือนก่อน

    Hizo show wanajaa wanigeria wenyewe nyie bongo hata passport kupewa ni ishu. Hamna cha ajabu hapo.

  • @donizzo9570
    @donizzo9570 3 หลายเดือนก่อน

    Eti kuna msanii alitangaza kuwa ametapeliwa ndege Tanzania nikweli 😂😂😂😂

  • @godfreysudi7264
    @godfreysudi7264 3 หลายเดือนก่อน

    Safari hii tunaomba aende Mond mzee wa kuwanyosha 😁

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 หลายเดือนก่อน

    Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 3 หลายเดือนก่อน +4

    Diamond, analia na nyerere,
    🤣😭😂😂 Kiswahili ni kizuri lakini inakost sana
    Hiyo ilikuwa ni kwa diamond km na sisi tungekuwa tunazungumza kingereza.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน +1

      Izo ni idea za kijinga mnooo kama ishu ni English Kenya, Uganda, Malawi, Zimbabwe kote Kuna wanamuziki na wanatumia English kuimba nyimbo zao haya msanii gani kutoka izo nchi anaweza jaza uwanja kisa tu anatumia English? Ni zaidi ya hayo mnayodhani jamani Kuna sababu lukuki kwanza icho kizungu wanachoimba wanigeria hata hao kina mondi wanaweza kuimba ila mbona hawajajaza sehemu kama hiyo fikirini nje ya boksi sio kuganda na hoja ndogondogo tu izo

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@FahadAbubakariAcha kuongea pumba wewe unatumia ubongo kweli kwenye kutafakari Kiswahili kina impact gani Kiswahili lugha ndogo sana kuna nchi unaenda hawajui icho Kiswahili kinatoka nchi gani utafananisha na kingereza kimetapakaa duniani kote punguza chuki na mihemuko

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน

      @@albertkadyanji9722 sawa muongea point , narudi palepale Kenya, Uganda, zambia, Zimbabwe Hawana wanamziki? Coz wao wanajua kiingereza na wanaweza imba kwa kiingereza, kingine Nigeria 98% wanatumia pidgin English ambayo pretty much mtu mwingine ambaye si mnigeria kuelewa it's damn hard

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน

      @@albertkadyanji9722 mnashindwa kujua strategy wanayotumia winegeria kabla ya kuanza kuongea icho kiingereza sisi huko wanakojaza hivyo viwanja tupo na ndo tunapoishi , mkianza haraka na fikra zenu hizo mmeshiba Mchicha n kusema eti ishu is only English that is absurd

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 หลายเดือนก่อน

      @@FahadAbubakari choko wewe huna point yoyote ya maana hahahaha eti upo sasa ukiwepo nifanye nini unaongea non sense k mkubwa wewe pambana na hari yako

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 3 หลายเดือนก่อน

    Kinachowafanya wasanii wa bongo kushindwa uchawa badala ya kufanya kazi yao waliochagua

  • @Oficialkb
    @Oficialkb 3 หลายเดือนก่อน

    Kuna mtu kase wameingia kwenye mfumo😂😂😂😂

  • @samuelmwatsuma4462
    @samuelmwatsuma4462 3 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa za tswala bam wanafurahia goma lao kubigwa live... alafu mnasema wangefanya na Asake wa tandale

  • @Michealfarah-n1w
    @Michealfarah-n1w 3 หลายเดือนก่อน +6

    Anaitwa burna moto,🔥🔥🔥🔥

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 3 หลายเดือนก่อน +2

    Haliye kuwa Norway kasema ali wakomesha 😃😃😃 bado sana kwake huyo ni kinda😄😄😄😄

  • @salimhassan3369
    @salimhassan3369 3 หลายเดือนก่อน

    Kwani bado atuja amin kwamba wanigeria awana drama kaz kaz😂😅

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 3 หลายเดือนก่อน

    Shida wanapanga muda mapema mond angejaza

  • @salehally-y8p
    @salehally-y8p 3 หลายเดือนก่อน +9

    Hii tabia ya kusema tumewakomesha wanaijeria tuache kusema wenzetu wako mbali sana tena wanaimba hawapigi kelele.

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 หลายเดือนก่อน

      Watu kama nyie kwenye maisha halisia huwa maskini sana uo ndio ukweli hahahaha

  • @theresekwizerimana4044
    @theresekwizerimana4044 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nyinyi wajingasana mukose kumupongeza mu tanzania wetu mupongeze mwenye hanahatasamanikwenu

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture2941 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hawa jamaa hatuwawezi bana we better join them

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hapana watu wengi hawaelewi ukiacha bahati na kipaji lkn kubwa Zaidi ili ukubalike kimataifa ni kuimba kw kutumia lugha za kigeni km English,,french,Spanish NK burnaboy ni muimbaji wa kawaida Tu ila Zaidi ni namna ya kuwasilisha ujumbe wa nyimbo kw lugha zao ivi km huyo mondi angelikuwa nondo zake anaziwasilisha kw lugha za ulaya ingelikuaje?ivi km anakuja kutumbuiza East Africa unadhaani wengi watamuelewa Nani?

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 หลายเดือนก่อน

      Bora wewe umeliona ilo wao kama ni wakubwa waimbe kinaigeria ndio watajua hawajui ivi unazani lugha yetu ingekuwa kingereza mbona pasingetosha wabongo wengi ubongo wa kufikiria na kuwazua mambo ni mdogo sana

    • @MohammedBwanga
      @MohammedBwanga 3 หลายเดือนก่อน

      @@albertkadyanji9722 kabisa

    • @shongatv1224
      @shongatv1224 3 หลายเดือนก่อน

      Kwan diamond hajaimba nyimbo za kingereza jaman ​@@albertkadyanji9722

  • @zubeaslay6566
    @zubeaslay6566 3 หลายเดือนก่อน +10

    Alafu Asake wa Tandale na Komasava yake eti atamuweza huyu😂😂😂

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mond arijaza kuriko bana boy kweri vituko na vichekesho kuwafikia hawa kizazi kitakacho kuja

  • @ghettolandentertainment7701
    @ghettolandentertainment7701 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kuna mtu eti amewakamata wanaijeria 😂😂

  • @philipotieno9996
    @philipotieno9996 3 หลายเดือนก่อน

    Achaa leo niwaambie ukwelii huyoo😂😂 😢 mzee wa Komasavaaa hata afanyee nini haweeeziii fikia hizi levels Burnaa sio riiika yake tena kwa chochotee kilee.

  • @wekezauchumi7440
    @wekezauchumi7440 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo pesa kwa huku ni sawa elf 10 ya kibongo...uwe A3 ndo uelewe nililichomaanisha

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau 3 หลายเดือนก่อน

    Huku mashabiki viazi wakiona chirs brown amecheza komasava😏 wanakaza makalio🤣🤣 utasikia diamond ameshindikana afrika💀 wakati akienda ugaibun anafanya shoo kwenye vilabu vya pombe mashabiki 150 tena kiingilio cha dola1 mamae 🙆 tanzania nchi ujinga maladhi umasikini kweri ndo janga letu

  • @nilufaallyhussein7678
    @nilufaallyhussein7678 3 หลายเดือนก่อน +1

    Komasava 😂🤣🤣

  • @simbaedouardo8499
    @simbaedouardo8499 3 หลายเดือนก่อน +1

    Lakini kama naona ni mchana apo

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hiyo ni shoo yake mwenyewe hajaalikwa Mzee, jua kutofautisha😅

  • @rehemajuma6008
    @rehemajuma6008 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaaa ety kawakomesha

  • @BakariAlly-dm1vf
    @BakariAlly-dm1vf 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mond au😂

  • @josephndunguru6290
    @josephndunguru6290 3 หลายเดือนก่อน +3

    Duhhh huyuu mwamba ni atali Sanaa,

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 3 หลายเดือนก่อน +3

    Noma sana

  • @DissahPlusson-jp2qj
    @DissahPlusson-jp2qj 3 หลายเดือนก่อน

    Burna boy I will see you my artist, champions

  • @ghettolandentertainment7701
    @ghettolandentertainment7701 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi burnaboy Chris brown amewahi cheza wimbo wake kwenye TikTok 😂

    • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
      @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar 3 หลายเดือนก่อน

      Burn Mziki wake unachezwa na Ma legendary kina Shikira Mwaka Jana Snop Doggy aliulizwa Msanii yupi ungelipenda kufanyanae Collaboration akasema Burn boy ni Kama Bob Marley wa Africa ni Maneno ya Snoop hayo

    • @Asamtz360
      @Asamtz360 3 หลายเดือนก่อน +1

      Chris kacheza on the low ya burna kaitafute

    • @NemesMasawe
      @NemesMasawe 3 หลายเดือนก่อน +1

      On the low na Anamuombaa cokabo

    • @wabackali2494
      @wabackali2494 3 หลายเดือนก่อน

      3:35 ​@@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 หลายเดือนก่อน +7

    Big up Burna boy❤

  • @MOREDI2024
    @MOREDI2024 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yeye anapewa ngapi?

  • @princedrama7
    @princedrama7 3 หลายเดือนก่อน +4

    kutangulizwa mchana tu, usiku aaah aaah 😂

    • @luisojr3480
      @luisojr3480 3 หลายเดือนก่อน

      Uchokozi😂

  • @DewGroupTech
    @DewGroupTech 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nimependa stage walivyo design it's burna boy opposite Double B stands for "BurnaBoy"

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 3 หลายเดือนก่อน +6

    Show za mchana na kelele kibao

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 3 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂

  • @selemanifaikii1276
    @selemanifaikii1276 3 หลายเดือนก่อน

    Hao wanaijeria wameingia kwenye mfumo 😂 alisikika mtu mmoja anasema

  • @samiusiraj4587
    @samiusiraj4587 3 หลายเดือนก่อน

    Anaitwa barn shona domo,ndy

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mwanetu kapiga show ya nyongeza kwenye show za watu lakini wapi 😂😂😂😂af anajiita giant

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hk 3 หลายเดือนก่อน

    Hata wajaze bado tutapambanao TU , IPO cku Moja Simba atatukomboa.

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wabongo bana... Mnapenda kusimanga vya kwenu

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 หลายเดือนก่อน

      Umeona yani tatizo wabongo wengi wana maisha magumu sana chumba kimoja kajitahidi sana chumba nasebule ivyo wakiona mtu anaejipambania kajipata badala ya kumsupport wao hutamani harudi chini hahahaha ndio mana fanya research wanaomponda Mondi asilimia 80 wana maisha magumu sana komenti zao ni za kimaskini maskini na chuki nyingiiiiiiii

    • @abedarakaza9017
      @abedarakaza9017 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@albertkadyanji9722akuna bana huwezi kupinga uwasilia. Kwani kivyako na wewe unaweza kukubali kama mondi anaweza kushindana na wanaigeria ao siyo🤣 daah iyo nikuringanisha mbingu n'a ardhi bro

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 หลายเดือนก่อน

      @@abedarakaza9017 ukiwa na mawazo hayo hasi utabaki ivyo ivyo na mafaniko kwako utayasikia kwenye bomba tu kabla ya uyo b boy kulikuwa na wizkd davido huyo tukawa hatumjui ss ameanza na kuja kufanya collable na Mondi na harmonize tz alikuwa wakawaida tu ila kwakuwa alikuwa na strategy zake za kufika mbali kapambana na pdidy akamshika mkono na kumtambulisha na yeye ninafsi katia nguvu zake kafika apo pamoja na wananchi wao wamempiga support kafika apo alipo na kumbuka awaimbi kinaigeria hao wanaimba lugha inayotambulika duniani kote sasa kwanini Mondi asifike uko siku moja pamoja na kwamba watanzania wenyewe ndio kama nyinyi wenye akili za kufeli kimaisha hahahaha Mondi atatoboa tu japo wachawi nyie ni wengi ila kwa uwezo wa MUNGU atatoboa

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@abedarakaza9017akili zako ndogo sana

  • @HakisaniTv
    @HakisaniTv 3 หลายเดือนก่อน +3

    Burna Boy ni NAMBA 1

  • @MichaelAlimasi-jz1wi
    @MichaelAlimasi-jz1wi 3 หลายเดือนก่อน

    Awo wajamaa mondy hawawez peke yake,ata afanyej.

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 หลายเดือนก่อน

      Nilichogundua apa Mondi ni mkubwa sana kwa level za wanamziki wa kibongo Mondi ndio Baba lao pamoja na wabongo machoko wana msifia uyo choko mwenzao boy nani sijui Mondi angekuwa mdogo basi wangemfananisha na msanii mwingine big up Diamond Platnumz

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ooh wameingia kwenye mfumo 😂😂😂😂 Shenzi kafanye homework

  • @AkatendaAmbrosio
    @AkatendaAmbrosio 3 หลายเดือนก่อน

    Baadae museme kwamba mondi ndio wa kimataifa,hona kazi ya mwamba iyo

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania tujitambue sio wasanii wetu kazii kupiga kelele2 kumamake wameingia kwenye mfumo kwa kukata viuno sitejiini watu awaelewii unachooo imbaaa au kupagawa kucheza chalengee kirsibrowni sasa je uyo muuni bonboy kirsi kachee ndo ujue tz atujielewiiiiiii wenge jingiii kuimba lugaaa zilooo etiooo koma sava wanaelewa bunjuuu pekeake Amna ki2

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe choko punguza domo ilo unaongea kama shoga

  • @MamboSuper
    @MamboSuper 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa vp mwambino mana Last week mulimupa sifa nyingi Sasa kulikoni masava

  • @شيخالروحانيسيدميططرون
    @شيخالروحانيسيدميططرون 3 หลายเดือนก่อน +3

    Allah amembariki mondi si shetan Iko siku atapita hio level ❤❤❤❤❤

    • @mustaphakhamisikhamisi
      @mustaphakhamisikhamisi 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu kahusika tena 😢😢😢?

    • @mustaphakhamisikhamisi
      @mustaphakhamisikhamisi 3 หลายเดือนก่อน

      وَلَيَحْمِلُنَّ أَثْقَالَهُمْ وَأَثْقَالًا مَّعَ أَثْقَالِهِمْ وَلَيُسْتَلُنَّ يَوْمَ
      الْقِيَامَةِ عَمَّا كَانُوا يَفْتَرُونَ )

    • @GreysonMdee-wm8tn
      @GreysonMdee-wm8tn 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hivi huoni hata aibu kumtaja Allah kwenye vitu vya namna hii?

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 3 หลายเดือนก่อน

    Hatar

  • @mdedsm5522
    @mdedsm5522 3 หลายเดือนก่อน

    Diddy made it😂

  • @selemanirashidi-sc3pp
    @selemanirashidi-sc3pp 3 หลายเดือนก่อน

    Nipo ndani hapa 80% yawaliyo humu ndani niwa Nigeria kweli wanasapotiyana sana leo ndo nimehamini nipo hapa ndani nihari

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mpen Salam Mr mwambino

  • @kadito-kenya
    @kadito-kenya 3 หลายเดือนก่อน

    Hata Diamond namuona huku

  • @kirengemnandi
    @kirengemnandi 3 หลายเดือนก่อน

    SNS hamlali

  • @aishabrondi236
    @aishabrondi236 3 หลายเดือนก่อน

    Sns mwambieni boss wenu kuwa yéyé bado sana😂😂😂 yani domo akiwa bongo hujiona mkubwa 😂😂wa Nigeria wanakunyoosha bila kelele😂😂😂

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kuigizia maisha mbaya mno

  • @rashidingole1588
    @rashidingole1588 3 หลายเดือนก่อน

    Huwez linganisha Wa nageria na Watanzania, wenzetu wapo weng pia wametengeneza soko mapema ulaya! Kwa iyo tuache kufananisha na wasanii wetu hapa bongo😊

  • @mrenobishoo1118
    @mrenobishoo1118 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wameingia kwenye mfumo !!!!

  • @othmanibnabdullah
    @othmanibnabdullah 3 หลายเดือนก่อน

    Eti wamejaa kwenye mfumo wamejaa kwenye mfumo na matusi juu kawatukana wanaija haya kikowapi sasa....

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 3 หลายเดือนก่อน

    Wengine eti wajita wakimataifa ivi vituko kweri

  • @EtieniRama
    @EtieniRama 3 หลายเดือนก่อน

    alafu uyu mondi wenu eti ni mewakome sha😂😂❤

  • @bakarimakomola
    @bakarimakomola 3 หลายเดือนก่อน

    Tofauti ya diamond na burna boy ni language tu, diamond angezaliwa Nigeria nawaambia angekua msanii mmoja hajawai tokea duniani.
    Kiswahili ndo kinamuangusha pamoja sio mbaya sana... ila wengi walio mbele marekani na nchi zengine za ulaya wanatumia Kimombo( English)

    • @zaidyabed
      @zaidyabed 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅

    • @LouisianaRiri
      @LouisianaRiri 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani amekatazwa kuimba English?

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 หลายเดือนก่อน

    mwambino rudi tandale tu

  • @eliud21savage48
    @eliud21savage48 3 หลายเดือนก่อน

    Diamond anakomesha kivp sasa

  • @neltone
    @neltone 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania tuko vzr mfn n huy burna

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 3 หลายเดือนก่อน

    Kuigizia maisha mbaya mno