Katafute hela ya ugali wewe acha kelele za umaskini hizo unamwita Mondi ukute ata hela ya kula mlo mmoja ni mzozo hahahaha mwenzako kashatoboa choko wewe
Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy
Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao
Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao
Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy
Izo ni idea za kijinga mnooo kama ishu ni English Kenya, Uganda, Malawi, Zimbabwe kote Kuna wanamuziki na wanatumia English kuimba nyimbo zao haya msanii gani kutoka izo nchi anaweza jaza uwanja kisa tu anatumia English? Ni zaidi ya hayo mnayodhani jamani Kuna sababu lukuki kwanza icho kizungu wanachoimba wanigeria hata hao kina mondi wanaweza kuimba ila mbona hawajajaza sehemu kama hiyo fikirini nje ya boksi sio kuganda na hoja ndogondogo tu izo
@@FahadAbubakariAcha kuongea pumba wewe unatumia ubongo kweli kwenye kutafakari Kiswahili kina impact gani Kiswahili lugha ndogo sana kuna nchi unaenda hawajui icho Kiswahili kinatoka nchi gani utafananisha na kingereza kimetapakaa duniani kote punguza chuki na mihemuko
@@albertkadyanji9722 sawa muongea point , narudi palepale Kenya, Uganda, zambia, Zimbabwe Hawana wanamziki? Coz wao wanajua kiingereza na wanaweza imba kwa kiingereza, kingine Nigeria 98% wanatumia pidgin English ambayo pretty much mtu mwingine ambaye si mnigeria kuelewa it's damn hard
@@albertkadyanji9722 mnashindwa kujua strategy wanayotumia winegeria kabla ya kuanza kuongea icho kiingereza sisi huko wanakojaza hivyo viwanja tupo na ndo tunapoishi , mkianza haraka na fikra zenu hizo mmeshiba Mchicha n kusema eti ishu is only English that is absurd
@@FahadAbubakari choko wewe huna point yoyote ya maana hahahaha eti upo sasa ukiwepo nifanye nini unaongea non sense k mkubwa wewe pambana na hari yako
Hapana watu wengi hawaelewi ukiacha bahati na kipaji lkn kubwa Zaidi ili ukubalike kimataifa ni kuimba kw kutumia lugha za kigeni km English,,french,Spanish NK burnaboy ni muimbaji wa kawaida Tu ila Zaidi ni namna ya kuwasilisha ujumbe wa nyimbo kw lugha zao ivi km huyo mondi angelikuwa nondo zake anaziwasilisha kw lugha za ulaya ingelikuaje?ivi km anakuja kutumbuiza East Africa unadhaani wengi watamuelewa Nani?
Bora wewe umeliona ilo wao kama ni wakubwa waimbe kinaigeria ndio watajua hawajui ivi unazani lugha yetu ingekuwa kingereza mbona pasingetosha wabongo wengi ubongo wa kufikiria na kuwazua mambo ni mdogo sana
Achaa leo niwaambie ukwelii huyoo😂😂 😢 mzee wa Komasavaaa hata afanyee nini haweeeziii fikia hizi levels Burnaa sio riiika yake tena kwa chochotee kilee.
Huku mashabiki viazi wakiona chirs brown amecheza komasava😏 wanakaza makalio🤣🤣 utasikia diamond ameshindikana afrika💀 wakati akienda ugaibun anafanya shoo kwenye vilabu vya pombe mashabiki 150 tena kiingilio cha dola1 mamae 🙆 tanzania nchi ujinga maladhi umasikini kweri ndo janga letu
Burn Mziki wake unachezwa na Ma legendary kina Shikira Mwaka Jana Snop Doggy aliulizwa Msanii yupi ungelipenda kufanyanae Collaboration akasema Burn boy ni Kama Bob Marley wa Africa ni Maneno ya Snoop hayo
Umeona yani tatizo wabongo wengi wana maisha magumu sana chumba kimoja kajitahidi sana chumba nasebule ivyo wakiona mtu anaejipambania kajipata badala ya kumsupport wao hutamani harudi chini hahahaha ndio mana fanya research wanaomponda Mondi asilimia 80 wana maisha magumu sana komenti zao ni za kimaskini maskini na chuki nyingiiiiiiii
@@albertkadyanji9722akuna bana huwezi kupinga uwasilia. Kwani kivyako na wewe unaweza kukubali kama mondi anaweza kushindana na wanaigeria ao siyo🤣 daah iyo nikuringanisha mbingu n'a ardhi bro
@@abedarakaza9017 ukiwa na mawazo hayo hasi utabaki ivyo ivyo na mafaniko kwako utayasikia kwenye bomba tu kabla ya uyo b boy kulikuwa na wizkd davido huyo tukawa hatumjui ss ameanza na kuja kufanya collable na Mondi na harmonize tz alikuwa wakawaida tu ila kwakuwa alikuwa na strategy zake za kufika mbali kapambana na pdidy akamshika mkono na kumtambulisha na yeye ninafsi katia nguvu zake kafika apo pamoja na wananchi wao wamempiga support kafika apo alipo na kumbuka awaimbi kinaigeria hao wanaimba lugha inayotambulika duniani kote sasa kwanini Mondi asifike uko siku moja pamoja na kwamba watanzania wenyewe ndio kama nyinyi wenye akili za kufeli kimaisha hahahaha Mondi atatoboa tu japo wachawi nyie ni wengi ila kwa uwezo wa MUNGU atatoboa
Nilichogundua apa Mondi ni mkubwa sana kwa level za wanamziki wa kibongo Mondi ndio Baba lao pamoja na wabongo machoko wana msifia uyo choko mwenzao boy nani sijui Mondi angekuwa mdogo basi wangemfananisha na msanii mwingine big up Diamond Platnumz
Huwez linganisha Wa nageria na Watanzania, wenzetu wapo weng pia wametengeneza soko mapema ulaya! Kwa iyo tuache kufananisha na wasanii wetu hapa bongo😊
Tofauti ya diamond na burna boy ni language tu, diamond angezaliwa Nigeria nawaambia angekua msanii mmoja hajawai tokea duniani. Kiswahili ndo kinamuangusha pamoja sio mbaya sana... ila wengi walio mbele marekani na nchi zengine za ulaya wanatumia Kimombo( English)
alaf Kuna bundi Wana SEMA hooo daimondi anamuezaa bunboy iyo Dunia sio ayoo mavi yenuuu
Juzi tu kunamtangazaji kasema wabongo tumewakomesha wa Nigeria akiwemo banaboy😂😂😂
Nani middle?
MNAWAPAISHA WENYEWE KUMBE,,,AFU BADAE PYOKO PYOKO
Kuna mtu juzi kasema amewakomesha 😂😂😂😂
Kumbe na wewe ulimskia 😅😅
@@ghettolandentertainment7701
Jamani naombeni niambie ni nani
Mwambino chizi tuh
😂uchokozi sasa😂
😂😂😂😂😂😂😂🙈🙈🙈
Uwezo wa mxanii Taifa lugha vinawabeba xana
Kumaanisha wenu hawajui kiingereza ama😂😂
Yule alieimbishwa mchana na watu 64 tu, anajisikiaje akiona hii video 😅😅😅
Mwambieni Simba aache mdomo 😂😂😂
😂😂😂😂😂
Eti amewakamata 😂
@d255tv watu wanajaza viwanja then wasanii wetu wanashangilia TikTok challenge ya Chris brown..
@d255tvuyo bundala nae si choko kama machoko wengine hahahaha Comasava
@d255tv bundala kangata na kupuliza hapo hapo
Hawa wajinga ndo maana matakiri duh😢😢😢 laki 3 kwa watu 80,000 sio mxhezo
Minimal 24000000000
MOND,MOND,MOND NAKWITA MARA 3 NJOO UTAMBE HUKU MASHALIKI.UKIVAA HAYO MACHENI NA MABWANGA UNAJIKUTA WADUNIA😂😂😂😂😂
Katafute hela ya ugali wewe acha kelele za umaskini hizo unamwita Mondi ukute ata hela ya kula mlo mmoja ni mzozo hahahaha mwenzako kashatoboa choko wewe
😂😂😂
Simba anajiita mkubwa afrika ajaze kama burna boy basi
Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy
Diamond ni msanii mkubwa ila hajafikia ukubwa huu, diamond platnumz ana safari ndefu zaidi
Ni mkubwa na amefikia huo ukubwa kwa sana tu
Mwanenu asingekuwaga kiredio tungekuwa nae sako kwa bako tatizo mdomo😅😅😅😅
Kwa mnaijeria kujaza hivyo sio ajabu sababu zinaeleweka wengi mnaokoment humu hamuijui nigeria na historia yake dhidi ya nchi za ulaya
Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao
Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao
Ingekua Msanii wenu hapo Tanzania🇹🇿 amefanya hivyo Dunia na Mass na Pluto zingejua 😂😂 Anyway acha nifate mambo yangu
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Umemaliza vizuri 😅😅
Akitoka hapo anaenda kununuaa private jet na chenji inabaki ya kutosha kabisa pesa ni ndefu mnoo hiyo
Atambe pande zake pande zetu atambi
Hizo show wanajaa wanigeria wenyewe nyie bongo hata passport kupewa ni ishu. Hamna cha ajabu hapo.
Eti kuna msanii alitangaza kuwa ametapeliwa ndege Tanzania nikweli 😂😂😂😂
Safari hii tunaomba aende Mond mzee wa kuwanyosha 😁
Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy
Diamond, analia na nyerere,
🤣😭😂😂 Kiswahili ni kizuri lakini inakost sana
Hiyo ilikuwa ni kwa diamond km na sisi tungekuwa tunazungumza kingereza.
Izo ni idea za kijinga mnooo kama ishu ni English Kenya, Uganda, Malawi, Zimbabwe kote Kuna wanamuziki na wanatumia English kuimba nyimbo zao haya msanii gani kutoka izo nchi anaweza jaza uwanja kisa tu anatumia English? Ni zaidi ya hayo mnayodhani jamani Kuna sababu lukuki kwanza icho kizungu wanachoimba wanigeria hata hao kina mondi wanaweza kuimba ila mbona hawajajaza sehemu kama hiyo fikirini nje ya boksi sio kuganda na hoja ndogondogo tu izo
@@FahadAbubakariAcha kuongea pumba wewe unatumia ubongo kweli kwenye kutafakari Kiswahili kina impact gani Kiswahili lugha ndogo sana kuna nchi unaenda hawajui icho Kiswahili kinatoka nchi gani utafananisha na kingereza kimetapakaa duniani kote punguza chuki na mihemuko
@@albertkadyanji9722 sawa muongea point , narudi palepale Kenya, Uganda, zambia, Zimbabwe Hawana wanamziki? Coz wao wanajua kiingereza na wanaweza imba kwa kiingereza, kingine Nigeria 98% wanatumia pidgin English ambayo pretty much mtu mwingine ambaye si mnigeria kuelewa it's damn hard
@@albertkadyanji9722 mnashindwa kujua strategy wanayotumia winegeria kabla ya kuanza kuongea icho kiingereza sisi huko wanakojaza hivyo viwanja tupo na ndo tunapoishi , mkianza haraka na fikra zenu hizo mmeshiba Mchicha n kusema eti ishu is only English that is absurd
@@FahadAbubakari choko wewe huna point yoyote ya maana hahahaha eti upo sasa ukiwepo nifanye nini unaongea non sense k mkubwa wewe pambana na hari yako
Kinachowafanya wasanii wa bongo kushindwa uchawa badala ya kufanya kazi yao waliochagua
Kuna mtu kase wameingia kwenye mfumo😂😂😂😂
Jamaa za tswala bam wanafurahia goma lao kubigwa live... alafu mnasema wangefanya na Asake wa tandale
Anaitwa burna moto,🔥🔥🔥🔥
Haliye kuwa Norway kasema ali wakomesha 😃😃😃 bado sana kwake huyo ni kinda😄😄😄😄
Kwani bado atuja amin kwamba wanigeria awana drama kaz kaz😂😅
Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu
Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu
Shida wanapanga muda mapema mond angejaza
Hii tabia ya kusema tumewakomesha wanaijeria tuache kusema wenzetu wako mbali sana tena wanaimba hawapigi kelele.
Watu kama nyie kwenye maisha halisia huwa maskini sana uo ndio ukweli hahahaha
Nyinyi wajingasana mukose kumupongeza mu tanzania wetu mupongeze mwenye hanahatasamanikwenu
Hawa jamaa hatuwawezi bana we better join them
Hapana watu wengi hawaelewi ukiacha bahati na kipaji lkn kubwa Zaidi ili ukubalike kimataifa ni kuimba kw kutumia lugha za kigeni km English,,french,Spanish NK burnaboy ni muimbaji wa kawaida Tu ila Zaidi ni namna ya kuwasilisha ujumbe wa nyimbo kw lugha zao ivi km huyo mondi angelikuwa nondo zake anaziwasilisha kw lugha za ulaya ingelikuaje?ivi km anakuja kutumbuiza East Africa unadhaani wengi watamuelewa Nani?
Bora wewe umeliona ilo wao kama ni wakubwa waimbe kinaigeria ndio watajua hawajui ivi unazani lugha yetu ingekuwa kingereza mbona pasingetosha wabongo wengi ubongo wa kufikiria na kuwazua mambo ni mdogo sana
@@albertkadyanji9722 kabisa
Kwan diamond hajaimba nyimbo za kingereza jaman @@albertkadyanji9722
Alafu Asake wa Tandale na Komasava yake eti atamuweza huyu😂😂😂
Yule ni kumasava
Mond arijaza kuriko bana boy kweri vituko na vichekesho kuwafikia hawa kizazi kitakacho kuja
Kuna mtu eti amewakamata wanaijeria 😂😂
Achaa leo niwaambie ukwelii huyoo😂😂 😢 mzee wa Komasavaaa hata afanyee nini haweeeziii fikia hizi levels Burnaa sio riiika yake tena kwa chochotee kilee.
Hiyo pesa kwa huku ni sawa elf 10 ya kibongo...uwe A3 ndo uelewe nililichomaanisha
Huku mashabiki viazi wakiona chirs brown amecheza komasava😏 wanakaza makalio🤣🤣 utasikia diamond ameshindikana afrika💀 wakati akienda ugaibun anafanya shoo kwenye vilabu vya pombe mashabiki 150 tena kiingilio cha dola1 mamae 🙆 tanzania nchi ujinga maladhi umasikini kweri ndo janga letu
Komasava 😂🤣🤣
Lakini kama naona ni mchana apo
Hiyo ni shoo yake mwenyewe hajaalikwa Mzee, jua kutofautisha😅
Hahaaa ety kawakomesha
Mond au😂
Duhhh huyuu mwamba ni atali Sanaa,
Noma sana
Burna boy I will see you my artist, champions
Hivi burnaboy Chris brown amewahi cheza wimbo wake kwenye TikTok 😂
Burn Mziki wake unachezwa na Ma legendary kina Shikira Mwaka Jana Snop Doggy aliulizwa Msanii yupi ungelipenda kufanyanae Collaboration akasema Burn boy ni Kama Bob Marley wa Africa ni Maneno ya Snoop hayo
Chris kacheza on the low ya burna kaitafute
On the low na Anamuombaa cokabo
3:35 @@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
Big up Burna boy❤
Yeye anapewa ngapi?
kutangulizwa mchana tu, usiku aaah aaah 😂
Uchokozi😂
Nimependa stage walivyo design it's burna boy opposite Double B stands for "BurnaBoy"
Show za mchana na kelele kibao
😂😂😂
Hao wanaijeria wameingia kwenye mfumo 😂 alisikika mtu mmoja anasema
Anaitwa barn shona domo,ndy
Mwanetu kapiga show ya nyongeza kwenye show za watu lakini wapi 😂😂😂😂af anajiita giant
Hata wajaze bado tutapambanao TU , IPO cku Moja Simba atatukomboa.
Wabongo bana... Mnapenda kusimanga vya kwenu
Umeona yani tatizo wabongo wengi wana maisha magumu sana chumba kimoja kajitahidi sana chumba nasebule ivyo wakiona mtu anaejipambania kajipata badala ya kumsupport wao hutamani harudi chini hahahaha ndio mana fanya research wanaomponda Mondi asilimia 80 wana maisha magumu sana komenti zao ni za kimaskini maskini na chuki nyingiiiiiiii
@@albertkadyanji9722akuna bana huwezi kupinga uwasilia. Kwani kivyako na wewe unaweza kukubali kama mondi anaweza kushindana na wanaigeria ao siyo🤣 daah iyo nikuringanisha mbingu n'a ardhi bro
@@abedarakaza9017 ukiwa na mawazo hayo hasi utabaki ivyo ivyo na mafaniko kwako utayasikia kwenye bomba tu kabla ya uyo b boy kulikuwa na wizkd davido huyo tukawa hatumjui ss ameanza na kuja kufanya collable na Mondi na harmonize tz alikuwa wakawaida tu ila kwakuwa alikuwa na strategy zake za kufika mbali kapambana na pdidy akamshika mkono na kumtambulisha na yeye ninafsi katia nguvu zake kafika apo pamoja na wananchi wao wamempiga support kafika apo alipo na kumbuka awaimbi kinaigeria hao wanaimba lugha inayotambulika duniani kote sasa kwanini Mondi asifike uko siku moja pamoja na kwamba watanzania wenyewe ndio kama nyinyi wenye akili za kufeli kimaisha hahahaha Mondi atatoboa tu japo wachawi nyie ni wengi ila kwa uwezo wa MUNGU atatoboa
@@abedarakaza9017akili zako ndogo sana
Burna Boy ni NAMBA 1
Awo wajamaa mondy hawawez peke yake,ata afanyej.
Nilichogundua apa Mondi ni mkubwa sana kwa level za wanamziki wa kibongo Mondi ndio Baba lao pamoja na wabongo machoko wana msifia uyo choko mwenzao boy nani sijui Mondi angekuwa mdogo basi wangemfananisha na msanii mwingine big up Diamond Platnumz
Ooh wameingia kwenye mfumo 😂😂😂😂 Shenzi kafanye homework
🤣🤣🤣🤣🤣 mamamake
Baadae museme kwamba mondi ndio wa kimataifa,hona kazi ya mwamba iyo
Watanzania tujitambue sio wasanii wetu kazii kupiga kelele2 kumamake wameingia kwenye mfumo kwa kukata viuno sitejiini watu awaelewii unachooo imbaaa au kupagawa kucheza chalengee kirsibrowni sasa je uyo muuni bonboy kirsi kachee ndo ujue tz atujielewiiiiiii wenge jingiii kuimba lugaaa zilooo etiooo koma sava wanaelewa bunjuuu pekeake Amna ki2
Wewe choko punguza domo ilo unaongea kama shoga
Sasa vp mwambino mana Last week mulimupa sifa nyingi Sasa kulikoni masava
Allah amembariki mondi si shetan Iko siku atapita hio level ❤❤❤❤❤
Mungu kahusika tena 😢😢😢?
وَلَيَحْمِلُنَّ أَثْقَالَهُمْ وَأَثْقَالًا مَّعَ أَثْقَالِهِمْ وَلَيُسْتَلُنَّ يَوْمَ
الْقِيَامَةِ عَمَّا كَانُوا يَفْتَرُونَ )
Hivi huoni hata aibu kumtaja Allah kwenye vitu vya namna hii?
Hatar
Diddy made it😂
Nipo ndani hapa 80% yawaliyo humu ndani niwa Nigeria kweli wanasapotiyana sana leo ndo nimehamini nipo hapa ndani nihari
Mpen Salam Mr mwambino
Hata Diamond namuona huku
SNS hamlali
Sns mwambieni boss wenu kuwa yéyé bado sana😂😂😂 yani domo akiwa bongo hujiona mkubwa 😂😂wa Nigeria wanakunyoosha bila kelele😂😂😂
Kuigizia maisha mbaya mno
Huwez linganisha Wa nageria na Watanzania, wenzetu wapo weng pia wametengeneza soko mapema ulaya! Kwa iyo tuache kufananisha na wasanii wetu hapa bongo😊
Wameingia kwenye mfumo !!!!
Ndo nini?
Eti wamejaa kwenye mfumo wamejaa kwenye mfumo na matusi juu kawatukana wanaija haya kikowapi sasa....
Wengine eti wajita wakimataifa ivi vituko kweri
alafu uyu mondi wenu eti ni mewakome sha😂😂❤
Tofauti ya diamond na burna boy ni language tu, diamond angezaliwa Nigeria nawaambia angekua msanii mmoja hajawai tokea duniani.
Kiswahili ndo kinamuangusha pamoja sio mbaya sana... ila wengi walio mbele marekani na nchi zengine za ulaya wanatumia Kimombo( English)
😅😅😅😅
Kwani amekatazwa kuimba English?
mwambino rudi tandale tu
Diamond anakomesha kivp sasa
Tanzania tuko vzr mfn n huy burna
Kuigizia maisha mbaya mno