His excellency the president; DR Joseph Maguuu,What a good example shown to other politicians. For forgiving Nape and others you actually showed your stance hapa kaz tu.congratulations.many more
Mungu Awalinde Awatie nguvu sana.kuomba Msamaha kwa Uliye mkosea nijambo jema Duniani na mbinguni.Binadam kukosea ni jambo lakawaida .Binadam si maraika.Mungu Awabariki sana.
My son 'hon Nape' that is great courage'and this is the only way of building up a new Tanzania'by reflecting on forgiveness if anything went wrong' and a mistake made is never a mistake' but a mistake repeated will be a mistake therefore .be careful and congratulations
Kwenye maisha kuna kitu kinaitwa kuanguka,lakini hatupaswi kuanguka na kuendelea kukubaliana na hali ya uangukaji kwamba ushindwe kusimama,yesu alipoanguka mara tatu na msalaba alikuwa anatufundisha kuweza kusimama na kuendelea na safari,hivyo alichokifanya Nape ni kuanguka na kisha kusimama,ameonesha ukomavu wa kisiasa na amejijua alipokosea na amani ya mkosaji hupatikana baada ya kuomba msamaha,hata asingesamehewa,amani angeipata tu maana ameshakili kosa lake,barikiwa JPM kwa kuzirejesha amani za waliokukosea,Mungu awabariki nyote mliokosea na aliyekosewa,Mungu ibariki Tanzania yetu.
Kufanya kosa sio kosa.kosa kurudia kosa Hongera Nape kwa kujirudi Hongera Baba Magufuli kwa moyo wa huruma Mungu akubariki wewe ni chaguo la Mungu piga kazi
Jpm nakukubali na mungu akuongoze vema katika tote mana kama iunavyosema unasamehe kwa dhati ya moto mungu nawe pale unapojisahau ukamkosea na kumuomba anakusamehe pia !kwa Nape nawe umeonyesha ukomavu kama Mtoto kuwa Nazi haishindani na jiwe!hongera sana nape na mungu akutunze umetumia busara kubwa!
Nape nakupongeza, kwa uzalendo. Waliokushikia manati kwenye mkutano nao wakuombe msamaha, Kama wewe ulivyo na busara. Wapo wanajifanya hawajawai kukosea,hawajui hata kuomba msamaha. Ahsante Mfalme wa nchi kumsamehee kijana wako. Tunakuomba umtafutie walio mshikia manati nape kwenye mkutano.
safi Sana nape mtu mwenye kukubali makosa akakiri na akamuomba radhi aliyemkosea msamaha hukubaliwa mpaka mbele ya mwenyezi mungu mwingi wa kusamehe Allah ampe nguvu rais wetu magufuli na moyo wake wa huruma
Hpngera sana nape kwa umri wako una nafasi kubwa sana wa kulifanyia mengi taifa lako chama chako usikubali kutumiwa na watu ambao umri wao ushakwenda wakijua wakikosa hapa hawatapata tena jifunze kwa mh: kikwete alisubiri mpaka alifika anakotaka na usikubali kushawishiwa rais wetu ni mtu mwenye upendo na uzalendo na nchi yetu sisi na wewe tukiwa kama vijana tunakila sababu ya kumuunga mkono Nape hongera sana ni ujasiri na uumgwana wa hali ya juu.
Umefanya la mbolea kuomba rdhi,safi sana! Dunia nzima inajua haijawahi tokea kiongozi kufanya mabadiliko makubwa ndani ya hawamu ya kwanza ya uongozi.Tunae kiongozi!
Utakuja kulipwa hapa hapa! Umejisahau Sana nasikia kwa Sasa unapanga namna ya kutaka kumuhujumu Makonda! Kwa jina la Allah hutafanikiwa kabisa! Cku zote wanafiki hawatabaki salama
Ungekomaa ungeyumba Nape huyo mtu kawekwa na wananchi kupitia katiba...unapokengeuka unakiuka mkataba wa kijamii tulioingia (social contract theory).na uchaguzi wa mwakani kwa upande wako una kazi kwa tabia mbaya uliyoonesha
Mtu akikili makosa yke ni lazima asamehewe,,, Hata baba yetu wa mbinguni alinena akatuambia sameheni nanyi mpate kusamehewa,,, big up President Magufuli,,
Kwahuyu rais mpaka namhurumia alivyo na moyo mzuri uliojaa hekima mungu amzidishie ampe maisha marefu ingekuwa mm hawa wenye vidharau vya kijinga ni kusukuma ndani tu ila baba wawanyonge anasamehe tu asante baba mungu yu nawe kipenzi chutu
hahahahahahahahahha kazi kweli kweli kwaiyo Analia au alafu why mpaka wandishi hii inatisha ifike sehemu wamuheshimu uyu mzee anatusaidia sana watanzania jamani
Nimetoa machozi jpm amewakosea nini hadi mmuundie genge la kumhujumu jamani mnamchosha rais wetu,nilikuwa msiba anaongea uongo du inauma sana ,nape kuanzia leo kuwa hekima unamwita rais mshamba maana yake ulituambia watanzania wote washamba ira poa bora yameisha yasijiludie tena .
Wasamehe wote watakaokulilia radhi yako maana hata mungu anatusamehe sana...lkn kuwanao makini Sana ....binadamu wanambinu nyingi Sana..... Asili huvia ktk damu ya muasili..... Hawa NI nyoka wenye sumu ya kuua taifa letu.... Tusiwaamini Tena.
Ni jambo la heri sana kuomba msamaha pale unapotambua wazi kuwa umekosea. Itambulike tu kuwa, kina Nape na genge lake hawakumkosea Magufuli peke yake, bali walitukosea sisi watanzania kwa ujumla wetu. Kwa niaba ya watanzania ote kwa ujumla, Rais Magufuli amekusamehe kwa dhati na sisi sote tumekusamehe. Kuwa na amani kabisa na urudi kufanya kazi sasa na siyo wizi wizi na ujanja ujanja tena. Ila pia Magufuli awe makini tu maana wengine wanatabia za kuomba msamaha kumbe wanayao mioyoni mwao.
Kama umekili kuwa umekosea, busara ni kuomba radhi kama ulivyofanya hongera Sana bro kwa kujitambua
Magufur is good and best leader.....anaongozwa na roho ya mungu nasi tunamwombea aeendelee kutupambania wanting.....thanks
Ongera Mh kwa jambo zuri sana
His excellency the president; DR Joseph Maguuu,What a good example shown to other politicians. For forgiving Nape and others you actually showed your stance hapa kaz tu.congratulations.many more
Mungu Awalinde Awatie nguvu sana.kuomba Msamaha kwa Uliye mkosea nijambo jema Duniani na mbinguni.Binadam kukosea ni jambo lakawaida .Binadam si maraika.Mungu Awabariki sana.
Hongera kaka kwa kutambua hilo sasa mambo yataenda vizuri ushakuwa huru, na Mungu ambariki rais wetu kwa kukupokea!
Kusamehe ni jambo jema, hongera sana JPM!
Mdogo akimkosea mkubwa lazima lazima aombe samahani kuonesha utii kwa mkubwa na mzazi nisamehe na kusema usiludie too ndio upendö
My son 'hon Nape' that is great courage'and this is the only way of building up a new Tanzania'by reflecting on forgiveness if anything went wrong' and a mistake made is never a mistake' but a mistake repeated will be a mistake therefore .be careful and congratulations
Woooow makufuli he have a good heart and he is really thats good .GOD bless you magufuli
True
@@pamelamwitula1101 yes pamela very had to find a President like him wengi huwa wako proud na age mfanyia kitu kibaya sana.but he took it very simple
iyo ndio hekima
@@manmkama4829 yes you are very right
Jaman huyu bba ana moyo mashaallah Allah akusimamie zaidi in shaallah mmi kitu najua Kkupenda na kkuombea dua jembe letu mh magufuli
Ni Bora kujishusha kuliko kujikweza ,love you Nape mungu akupe maisha marefu
Kwenye maisha kuna kitu kinaitwa kuanguka,lakini hatupaswi kuanguka na kuendelea kukubaliana na hali ya uangukaji kwamba ushindwe kusimama,yesu alipoanguka mara tatu na msalaba alikuwa anatufundisha kuweza kusimama na kuendelea na safari,hivyo alichokifanya Nape ni kuanguka na kisha kusimama,ameonesha ukomavu wa kisiasa na amejijua alipokosea na amani ya mkosaji hupatikana baada ya kuomba msamaha,hata asingesamehewa,amani angeipata tu maana ameshakili kosa lake,barikiwa JPM kwa kuzirejesha amani za waliokukosea,Mungu awabariki nyote mliokosea na aliyekosewa,Mungu ibariki Tanzania yetu.
That's very good...I like the action. There's nothing bad about it. It's a courageous action.
Masikini JPM pamoja na yote anayopitia lakini bado tu ni mwingi wa upendo, amani na uvumilivu, Mungu akupiganie baba yetu JPM 💙
Moja kati ya maraisi wakitofauti duniani🚡 inshaallah tutafka mbali aseeee Huyu ni raising wa dunia✈
Kufanya kosa sio kosa.kosa kurudia kosa Hongera Nape kwa kujirudi Hongera Baba Magufuli kwa moyo wa huruma Mungu akubariki wewe ni chaguo la Mungu piga kazi
Hongera mape huo ni uzalendo
Umefanya vizuri sana nape. Live long my president!
Huo ndio ubinadamu wa kumuheshimu aliye na mamlaka juu yako, sasa shirikianeni kwa amani mjenge nchi..MUNGU AWABARIKI NA AWAEPUSHE NA WAFITINI
Asante jpm kwa kumsamehe nape maana kwa mungu umeongeza kiwango maandiko yameandika asiyesamehe na yeye hatasemehewa mbele za mungu
Jpm nakukubali na mungu akuongoze vema katika tote mana kama iunavyosema unasamehe kwa dhati ya moto mungu nawe pale unapojisahau ukamkosea na kumuomba anakusamehe pia !kwa Nape nawe umeonyesha ukomavu kama Mtoto kuwa Nazi haishindani na jiwe!hongera sana nape na mungu akutunze umetumia busara kubwa!
Kuomba msamaha ni vizuri zaidi.
Nape nakupongeza, kwa uzalendo. Waliokushikia manati kwenye mkutano nao wakuombe msamaha, Kama wewe ulivyo na busara. Wapo wanajifanya hawajawai kukosea,hawajui hata kuomba msamaha. Ahsante Mfalme wa nchi kumsamehee kijana wako. Tunakuomba umtafutie walio mshikia manati nape kwenye mkutano.
safi Sana nape mtu mwenye kukubali makosa akakiri na akamuomba radhi aliyemkosea msamaha hukubaliwa mpaka mbele ya mwenyezi mungu mwingi wa kusamehe Allah ampe nguvu rais wetu magufuli na moyo wake wa huruma
MAGUFULI YOUR REAL A MAN. MAY GOD BLESS YOU MORE.
Hpngera sana nape kwa umri wako una nafasi kubwa sana wa kulifanyia mengi taifa lako chama chako usikubali kutumiwa na watu ambao umri wao ushakwenda wakijua wakikosa hapa hawatapata tena jifunze kwa mh: kikwete alisubiri mpaka alifika anakotaka na usikubali kushawishiwa rais wetu ni mtu mwenye upendo na uzalendo na nchi yetu sisi na wewe tukiwa kama vijana tunakila sababu ya kumuunga mkono Nape hongera sana ni ujasiri na uumgwana wa hali ya juu.
Umefanya la mbolea kuomba rdhi,safi sana! Dunia nzima inajua haijawahi tokea kiongozi kufanya mabadiliko makubwa ndani ya hawamu ya kwanza ya uongozi.Tunae kiongozi!
Ndio maana kristu,hapo kristu anacheka kwa furaha ya upendo alio tuachia.hongera sana NAPE/MAGUULI.
Mimi ni Murundi🇧🇮 namupend san laisi Magufuli ✍️✍️
Vzr sana Rais kwa msamaha hakika najifunua kuwa na Rais wa namna tofauti
Utakuja kulipwa hapa hapa! Umejisahau Sana nasikia kwa Sasa unapanga namna ya kutaka kumuhujumu Makonda! Kwa jina la Allah hutafanikiwa kabisa! Cku zote wanafiki hawatabaki salama
Safi sana, msamaha huponya mwili na roho. Mambo ni mazuri sana sana.
Safi sana kuomba radhi ni jambo LA msingi asante baba Magufuli kwa kumsamehe
Hakika magufuri we ni jembe.
Nape hongera sana
Nape safi sana maana mm nakukubali sana umefanya kitu cha uungwana sana chapa kazi
Na aswa magu kiboko
Mimi sio ccm lakin nampenda magufuli sanaaa tokea akiwa wazir
Dah hongera sana magu Allah mwenyew anatusamehe ije siye tusisamehe👊together we can
Hongera H. E JPM hongera Nape, Tumuunge mkono Rais wetu kwa manufaa ya TAIFA LETU
Msamaha ni Dawa ndani ya moyo
Hakika na Mtu muungwana na mwenye Khofu ya mungu lazima kusamehe
Barikiwa Rais wetu
Nape hongera sana, umefanya jambo la heshima na la kimaadili.
Mhe: Rais umeendelea kuonyesha moyo wa ubaba.
Pole kaka ndio uzalendo ukikosea kuomba msamaa
safii baba ! kuomba msamaha sio kesi at all ! u free up your heart
Safi sana kuomba msamaha sio aibu ukijiona umekosea ni wajibu kuomba msamaha
Sana jpm kazi nzuri
Kweli umefanya Busara kuomba msamaha,safi sana
Vizuri lkn kumbe watu kama nape MNA mawazo tofauti na wengine.
Na hiyo ndio sifa ya Watanzania hongera sana
Ungekomaa ungeyumba Nape huyo mtu kawekwa na wananchi kupitia katiba...unapokengeuka unakiuka mkataba wa kijamii tulioingia (social contract theory).na uchaguzi wa mwakani kwa upande wako una kazi kwa tabia mbaya uliyoonesha
Rais magufuli naomba uwasamehe lakini usiwaamini hata chembe tena kuwa imara zaidi Mimi nadhani wanatafuta njia rahisi ya kukuhujumu waangalie sana.
Samehe 7 ×70 hongera RAIS WANGU JOHN POMBE MAGUFURI kwa kuwa na moyo wa huruma na wakusamehe👏👏👏
Mtu akikili makosa yke ni lazima asamehewe,,, Hata baba yetu wa mbinguni alinena akatuambia sameheni nanyi mpate kusamehewa,,, big up President Magufuli,,
Kiukweli nimejiskia kama kulia hivi. Hongera sanaa nape nauye umeonyesha uzalendo
Mwenyew nimechek 😂😂😂maan nape kafurah htr
Huyu baba jmn Mungu ampe maisha marefu
Hakika kila mkosefu ni vema kujishusha na kusamee ni seemu ya ibada hongera sana kwenu nyote
Nakupongeza sana sana nape mungu azidi kukupaujasiri nimefurahi sana baba yetu amekusamehe nakupenda sana nape endelekukkitumikia chama chetu
One voice will be there forever unless someone has to surbotage. The Peacock voice... Did you hear that at 1:28?
i thought it was a cat voice!
m agufuli endelea na moyo huohuo baba utuongoze
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Peacock the beauty of White House in DAR
Yes muzzur.l love your comment on forgiveness of nape by jpm ,congrates
Huo msamaha aloenda kuomba uwe ni wa UKWELI na siyo unafiki maana wewe JANJA JANJA MINGI.
Umeongea
Mi naona wanafki wanajiwekea mazingira ya kupata kura kwny majimbo yao hawa, siwaamini😄
Pale kwny speed 30Km/h anaonekana kama amezidisha vile!!
Amon Mwaijengo hahaha
Ameenda 180km/h 😂😂😂😂😂
Kwahuyu rais mpaka namhurumia alivyo na moyo mzuri uliojaa hekima mungu amzidishie ampe maisha marefu ingekuwa mm hawa wenye vidharau vya kijinga ni kusukuma ndani tu ila baba wawanyonge anasamehe tu asante baba mungu yu nawe kipenzi chutu
Yaani sauti zisingevuja ungeomba msamaha????
jamani raisi wetu anapigwa vita mpaka anatoka mvi nyingi Mungu akupe subra utashinda tu
Amina JPM
Hakuna mkamilifu safi mh magufuli
Good luck brother, let open another chapter.
Muungwana akivuliwa hasimami uchutama....Hongeraaa Nape ww ni muungwana kaka
Hongera sana Nape huo ndio ukomavu wa Kisiasa
Haya ndio yanayotakiwa katika jamii
nape hongera
We have a Nice President Magufuli is a Man of the People for the People who living Forgiveness life
This is trues,
Good Mr President
Huo ndio utu..Big up kaka!
Msamaha unaponya mioyo ya watu iliyojeruhiwa
Umefanya uungwana Nape na umekuwa huru.
UMBWA MKUBWA HUYU ...ONA KIDOLE KILICHOCHOVYA BUYU LA ASALI HAKICHOVYI MARA MOJA.. 👇👇👇
nampenda rais wnguuuuuuu
Umekubali kujishusha hakika huo ndio uungwana Mh
Rais Magufuli ni wa kipekee apewe tena Urais mpaka aseme mwenyewe basi sasa napumzika
kuomba msamaha ni jambo la hekima
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙏🏽 viva Uncle 🙏🏽
Duuu pole umetia huruma mweee
Safi sana Nape,,,uo ndio ungwana aisee,,!!
Usingizi unakukatija jwa umbea tu.achenu baba wa watu afanye kazi.hongera rais
Safi sana Nape huo ndo utu uzima na kwa Rais Magufuli Hongera Sana rais yani najisikia faraja
Hongeraa saanaa baba wa taifa..wetu
hahahahahahahahahha kazi kweli kweli kwaiyo Analia au alafu why mpaka wandishi hii inatisha ifike sehemu wamuheshimu uyu mzee anatusaidia sana watanzania jamani
Hongera, nape huo ndio uzalendo, na kuomba msamaha sio ujinga
Kuomba msamaha si dhambi
Saf sana Hayo Ndy' Maisha Na Ndio' Ubiinaadaamuu huooo,,, Sijutiii kuw Mtanzania!
Mzee wa bao la mkono...Ushampiga bao la mkono JPM
Uyu nimzee kagoma wa CCM sinichi sana asitusumbulie mama etu
Amefanya vizur kukosea kupo na msamaha tuliwekewa sisi
unamtukana baba kweli si laana hyo
Vichekesho sn hii nchi dah 😂😂😂
Nimetoa machozi jpm amewakosea nini hadi mmuundie genge la kumhujumu jamani mnamchosha rais wetu,nilikuwa msiba anaongea uongo du inauma sana ,nape kuanzia leo kuwa hekima unamwita rais mshamba maana yake ulituambia watanzania wote washamba ira poa bora yameisha yasijiludie tena .
Upuuzi tu mie ni mtanzania mzalendo na nimekuwa nakupenda tz
Safi mh nape ni busara sana ulichofanya
Wasamehe wote watakaokulilia radhi yako maana hata mungu anatusamehe sana...lkn kuwanao makini Sana ....binadamu wanambinu nyingi Sana..... Asili huvia ktk damu ya muasili..... Hawa NI nyoka wenye sumu ya kuua taifa letu.... Tusiwaamini Tena.
Ni jambo la heri sana kuomba msamaha pale unapotambua wazi kuwa umekosea. Itambulike tu kuwa, kina Nape na genge lake hawakumkosea Magufuli peke yake, bali walitukosea sisi watanzania kwa ujumla wetu. Kwa niaba ya watanzania ote kwa ujumla, Rais Magufuli amekusamehe kwa dhati na sisi sote tumekusamehe. Kuwa na amani kabisa na urudi kufanya kazi sasa na siyo wizi wizi na ujanja ujanja tena. Ila pia Magufuli awe makini tu maana wengine wanatabia za kuomba msamaha kumbe wanayao mioyoni mwao.
Kuomba msamaha nivizuli sana mweshimiwa
Umesamehewa,usitende dhambi Tena
Kajitambua
Na usiridie Tena, hongera Sana
Maisa Alawi ifanya kosa gani
Binadamu bana, Sasa kama mlipatana na kuombana misamaha Mungu aliwapendezesha Sasa Leo kimetokea Nini? MAGUFULI tunakulilia
JPM is my president!