ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

NDUMBARO AFUNGUKA SAKATA LA YANGA NA MAGOMA : Tumieni MIFUMO Kumaliza TATIZO Ndani Ya YANGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 65

  • @user-rj3cd2lh8w
    @user-rj3cd2lh8w หลายเดือนก่อน +18

    Tatizo ni vyombo vya habari kukurupuka na kupost mambo ambayo hawajayafanyia uchunguzi vizuri kama hili linaloendelea huyo anaedaiwa kushitaki amekanusha kufanya hivyo sasa swali ni nani aliyewapa taarifa wana habari mpaka wamepost na kuleta taharuki, hivi vyombo vya habari kuna siku vitaleta maafa makubwa

    • @AlexMbagata
      @AlexMbagata หลายเดือนก่อน

      Sheria za kiroho hapa ndipo zinahitajika kwa watu Hawa wanaoitwa waandishi wa Habari hakika.

    • @RachelBujuli
      @RachelBujuli หลายเดือนก่อน

      Kumwembe

    • @noahkamendu9081
      @noahkamendu9081 หลายเดือนก่อน

      Endeleeni kupost eti Simba kafungwa 6

    • @halimamwingu4478
      @halimamwingu4478 หลายเดือนก่อน

      Alafu Milard Ayo ni chombo kikubwa tunakiamini nacho kilipost mapema sn! Aibu sn

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi หลายเดือนก่อน

    Acheni siasi zisizo namaana katika soka la 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🇹🇿 eshimu bendera za viongozi wakuu wanchi.Tanzania kwanza🇹🇿🙏

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ni Mshabiki wa Simba. Hii issue imekuzwa na waandishi wa Habari. Mzee Juma alikuwa amekaushia, sasa waandishi njaa wanaotaka umaarufu ndio wamelivalia njuga hasa MAULIDI KITENGE na wenzake Wasafi FM.

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 หลายเดือนก่อน +3

    Kenya watuazime GE Z tuende kwa magoma

  • @piusngasa4201
    @piusngasa4201 หลายเดือนก่อน +4

    Huyo waziri mwenyewe ndo walewale ,njaa Tu zinamsumbua anataka pesa za Gsm

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 หลายเดือนก่อน +5

    Asikilize nn jinga limoja tu sema baadhi ya waaandishi wachochezi hasa oscar

  • @febiuskipokile5631
    @febiuskipokile5631 หลายเดือนก่อน

    Akiivuruga yanga amevuruga nchi, itabidi ahame nchi

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu หลายเดือนก่อน +2

    Wapo wengine ndani ya serikali wanachochea vurungu,na hawachukuliwi hatua zozote,Mara mo anaiibia timu,akipewa timu siku moja tu hawezi kuiendesha.

  • @MohamedUchungu
    @MohamedUchungu หลายเดือนก่อน

    Nchi hii kila mtu anakurupuka anaanzisha jambo ili atrendi na kweli anafanikiwa maana usimamizi wa viombo vya habari ni ziro

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 หลายเดือนก่อน

    Haiwezekani watu wengine watumie pesa zao halafu mtu mwingine aje aseme yeye anaishije. Kwa kweli watu kama hao hawatakiwi kabisa kwenye jamii. Wanapaswa kutafuta ya namna ya kuishi. Hacha hizo Edo Kumwembe watu wanatakiwa kufanya kazi na kuridhika na wanachopata kwa mujibu wa sheria siyo kuwa kupe mtu.

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 หลายเดือนก่อน

    Magoma mmoja tu..kaijambisha yangaa

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 หลายเดือนก่อน

    Osca ni jinga fulani hivi yeye ni vichekesho tu

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv หลายเดือนก่อน

    wana yanga. eee tutengee Gn z yetu,,,break ya kwanza kwa boya magoma, kama haachi,,

  • @user-sd9dg6ux9m
    @user-sd9dg6ux9m หลายเดือนก่อน

    Duh umenena mkuu watu hawaa galii maslah mapana bali wanajali maslahi binafsi

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack หลายเดือนก่อน

    Kila jambo linafaida na hasara yake.Faida za vyombo vya habari ni nyiiingi,ila hasara zake ndy km hiziii

  • @BennyTalimo
    @BennyTalimo หลายเดือนก่อน

    Kenya walifungiwa kwenda mahakamani

  • @yohanamyumpu
    @yohanamyumpu หลายเดือนก่อน +1

    Mzeee njaaa

  • @user-lb2jh4ss6v
    @user-lb2jh4ss6v หลายเดือนก่อน

    Kibalaka wasimba anasumbuka haiwezi yanga

  • @HappyClogShoes-hp9ho
    @HappyClogShoes-hp9ho หลายเดือนก่อน +1

    Waziei dunduka aliekachochea ya pacome

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza หลายเดือนก่อน +1

    Wew unahararisha ujinga wa kusema tukae na mpuuzi huyu

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa. Hapo. Tf. F. Na. Simba. Wanasababisha. Haya. Matatizo.

  • @juliusejulius6704
    @juliusejulius6704 หลายเดือนก่อน +1

    inakuhusu nn

  • @user-ur9um5zm7h
    @user-ur9um5zm7h หลายเดือนก่อน

    Mkutano uliowachagua hawa vipngozi waliopo kama si viongozi halali,
    Basi huo mkutano pia haukuwa halali na wao walio andaa hawakuwa halali.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 หลายเดือนก่อน

    Mzee Magoma komaa na kaza hapo hapo kama mzungu wa sauzi na ndege yetu.

    • @hassankheri7593
      @hassankheri7593 หลายเดือนก่อน

      kwaiyo ndo kombe lenu ilo Makolo mzee magoma😂😂

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v หลายเดือนก่อน

    SHERIA KALI ZIWEKWE DHIDI YA VYOMBO VYA HABARI,HAWA NDIO VYANZO VYA CHOKOCHOKO

  • @krispinkomba4606
    @krispinkomba4606 หลายเดือนก่อน +1

    Mm naamini hata hawa wachambuzi wangemsikiliza Magoma hata wasingechambua hivyo!!

  • @FrancisBogori
    @FrancisBogori หลายเดือนก่อน +1

    Saidia kiongozi na huyo magoma achukuliwe hatua

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA หลายเดือนก่อน

    WAKATI VIJANA WANATAKA MANGUNGU. AONDOKE , HATUKUSIKIA HIZI BUSARA....ALI KAMWE ANASEMA KILA , SIMBA WAKIGOMBANA WAO FURAHA....

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 หลายเดือนก่อน

    Kumbukeni huyu ni Simba damu hawezi kuipenda Yanga hta iweje

    • @gregory6165
      @gregory6165 หลายเดือนก่อน

      Kwani ameongea nini kibaya

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 หลายเดือนก่อน

    Yanga inawakilisha nchi???

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb หลายเดือนก่อน

    Shida tff niwatu wasiyo tenda haki pamoja nahao bmt rushwa ninyingi kazi yao kupindisha sheria ndiyo maawanachama wanakimbilia mahakamani wakatafute haki.

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 หลายเดือนก่อน

    WAZIRI SHERIA HAIKUPI NGUVU KAMA WAZIRI WA MICHEZO KUTOA MAAMUZI,CSE NAONA MAGAZETI AU REDIO HUWA MNAZIFUNGIA,HATA KAMA NI TCRA HUWA MNASHINIKIZA,JE MAGOMA KAMA MAGOMA KWA INTEREST ZA MICHEZO HUNA MAMLAKA NAYE?

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu หลายเดือนก่อน

    Uongozi ahutaki kuwasikiliza.

  • @lekinyaurey5772
    @lekinyaurey5772 หลายเดือนก่อน

    Mbona mgogoro wa Simba wazili ajaongea Leo anaongeaaa nnnnn sasa aunayeye ni yanga

    • @jonamnyone8014
      @jonamnyone8014 หลายเดือนก่อน

      Kama vile ulikuwa akilini mwangu. Mgogoro wa Simba waliiachia Simba yenyewe itatue hakuna statement ya waziri kama hii. Tusiwe na double standard timu zote ni zetu na ndizo zinazoipaisha taswira ya nchi kimataifa tuache ushabiki panapokuwa na tatizo tumsaidie kupata muafaka.

  • @djfunk255
    @djfunk255 หลายเดือนก่อน

    C watoke tu waje kwetu Simba.

  • @Ambagaye
    @Ambagaye หลายเดือนก่อน

    Kwa sheria za FIFA, migogoro ya michezo haiamriwi mahakamani; Magoma na wenzie walitakiwa wapeleke malalamiko yao TFF na BMT kabla ya kwenda CAF na huenda hadi FIFA, siyo mahakamani. Hapo pole pole Tanzania inainyemelea Kenya katika kupigwa ban na FIFA

    • @johnamos8651
      @johnamos8651 หลายเดือนก่อน +1

      Huo si mgogoro wa michezo mnajua baadhi ya watu hamjaelewa nn huu mgogoro na nn Magoma analalamika ama kweli Watanzania tuamke. “furaha isikufanye usahau au kupuuzia haki yako Kwa mtu anayekupa furaha au raha, utakuja kulia kuliko kicheko” bongo lala tuamke na hata baadh ya viongozi serikalin hufanya hivi. Magoma hili swala ni la utawala, katiba na utendaji haliwez kwenda FIFA mzee hata mahakama inatoa hukumu. Sasa mawakili, wanasheria na jaji unataka kuniaminisha ujinga wako kuwa hawajui sheria na mipaka Yao mpaka waliamue hili. ? Usiropoke bhana

    • @Ambagaye
      @Ambagaye หลายเดือนก่อน

      @@johnamos8651 Haki gani; yaani Magoma hajui maana ya representation. Kwani tunapotuma madiwani kutuchagulia meya tunatukuwa tumepoteza haki yetu ya kuchagua Meya? Yeye analalamikia representation ya watu watano katika tawi na kudai ati hao 95 wananyimwa haki yao. Mjinga sana huyo, amezoewea vilabu vya watu wachache wanaoweza kukutana wote pwamoja, hana ujuzi na organization kubwa zinazoongizwa kwa repreresentation.
      Kuhusu mgogogoro FIFA inazuwuia migogoro yote ya kimchezo na kiongozi kwenye vilabu isipokuwa criminal offences ndizo zinazopelekwa mahakamani tu

  • @fidelisjoseph-tt9zl
    @fidelisjoseph-tt9zl หลายเดือนก่อน +1

    Heshimu maahakama na maamuzi yake

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 หลายเดือนก่อน

    Hivi kweli waziri huu Ni mgogoro?!?! Kama kiongozi unasema mgogoro kwa mtu ambaye si meanachama

    • @gregory6165
      @gregory6165 หลายเดือนก่อน

      Kwaiyo wewe unaona ni nini? Maamuzi ya maakama si yametaka uongozi wa yanga ung'olewe

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni kolo nini?​@@gregory6165

  • @user-xu3dx7vv8w
    @user-xu3dx7vv8w หลายเดือนก่อน

    Kujitambua ni muhimu sana sasa Edo yuko kwenye position ya kusema tofauti na hivyo

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 หลายเดือนก่อน +1

    Wakaanzishe timu yao watuachie timu yetu

  • @yuzoooyuso583
    @yuzoooyuso583 หลายเดือนก่อน

    Mnatukana Nini?kwani magoma si mwanachama wa yanga?mabaya mnapenda yawe Simba tuu ndio furaha yenu Sasa Mungu ameyarudisha kwenu vyura ondoeni ubabaishaji kwenye club.leo Magoma mnamuona mjinga lakini ipo siku mtamuona anaakili na nyinyi ndio mtakua wajinga

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 หลายเดือนก่อน

      Kama nyie mnavyomuona mjinga Mangungu ipo siku mtamuona ana akili😂😂

  • @piusngasa4201
    @piusngasa4201 หลายเดือนก่อน

    Wewe waziri umeiona migogoro ya yanga Tu sio ,ushabiki mandazi unakusumbua wewe

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv หลายเดือนก่อน

      #Yanga Hii ..... tafuta asili yake utaelewa......

  • @JumaKifo
    @JumaKifo หลายเดือนก่อน

    bongo nyoso!!

  • @BenjaminShilikale-i1h
    @BenjaminShilikale-i1h หลายเดือนก่อน

    wewe muongo Sana

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 หลายเดือนก่อน

    Walikuwa wanamzalu magoma wangemsikiliza wasingefika hapo waondeke tu

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc หลายเดือนก่อน +2

      Alizulumiwa Kwa lipi? Unakichaa wewe! Yule mzee analipi?

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 หลายเดือนก่อน

      Iyo kuishije ndiyo maisha yalivyo popote duniani... Huwezi kukaa kiboya tu mahali kama Hao bendera Fata upepo..
      Maisha ya mjini lazima ujue unakaa wapi kama watu hawaelewi unafyatua betri kama hivi 😂😂😂😂

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 หลายเดือนก่อน

    Matusi si suruhu yanga mkae na wazee muondoe kesi mahakamani ,vinginevyo yanga mtafungiwa na Wenye Mpira FIFA

  • @deusjoseph8554
    @deusjoseph8554 หลายเดือนก่อน

    Edo we nimjinga sanaa na ww ndo mchonganishi,,,, Magoma kwenye yanga ninan?? Ninyi ndo mnao chochea