Hapa ndio tujijuwe kuwa ni watu wenye mila na desturi zao. Huwezi kutu nyang'anya uzanzibari wetu. Hakuna sehemu nyengine ambayo tuna jilinganisha katika afrika mashariki. Nyimbo zetu tafauti na hata sauti zetu tafauti kabisa sio sauti za mingurumo. Tuacheni Tupumuweeee,
Saiv imekuwa kila mabalaa Mtihani kweli na yote haya ni uongozi wa dhulma ulokuwepo saiv kila aina ya machafu Zbar .zmn kulikuwa hkn haya ila kesho mnayakuyajibu kwa mlivoifanya Zbar na wananchi wake
That reminds me back home, Zanzibar...😩😩
Hapa ndio tujijuwe kuwa ni watu wenye mila na desturi zao. Huwezi kutu nyang'anya uzanzibari wetu. Hakuna sehemu nyengine ambayo tuna jilinganisha katika afrika mashariki. Nyimbo zetu tafauti na hata sauti zetu tafauti kabisa sio sauti za mingurumo. Tuacheni Tupumuweeee,
Bure asikupumbaze na hali hana mmoja tulia tukuueleze ukimywa wake si hoja
Hizi nyimbo hats sijazaliwa ila navuta picha tu Zanzibar nakupenda
Huwezi kuwa na uchungu wa nchi kama simwana wa nchi I love Zanzibar yangu
ilove ZANZIBAR na wazanzibar
Washairi na wasanii wetu wa Sasa wajifunze mamboazuri Kama haya. Nyimbo Ina miaka zaidi ya 40 lakini Bado utamu ni ule ule.
Daaa
Kwakweli ladha inayopatikana ktk nyinbo za taarabu asilia zanzibar 🎉🎉waweza uisikilize ujihisi upo ulimwengu mwingine
Ilandiohivyo
Classic Zinjibar taarab,love it
Bure asikupumbaze na hali hana mmoja tulia tukuueleze ukimywa wake sihoja
Very nice
uzanzibar unatufanya kuchukiwa na uislam
yimbo hii yanikumbusha zamani sana nilipokua na miaka 8 walahy zanzibar ilikua yapendeza sana sana. lkn mungu ainusuru zanzibar.
Salim Salim AMIINA
Nafurahi Sana na hii nyimbo ajab
Saiv ile znz haipo tena..nimeimiss hadi machozi..from Canada
Amina
zanzibar ilipokuwa zanzibar
enzi zimepita sasa! Zanzibar yetu ya zamani uko wapi?
Hamad Iddi duh nakwambia mtihan tu now Allah anajua anapotupeleka
Wapi zanzibar iko wapi tena na ishakua msongamano tuu zogo mtindo mmoja. Baraka ya wamasai.
rahim abdull watupu
Wallah yakhe mashaka matupu
Saiv imekuwa kila mabalaa Mtihani kweli na yote haya ni uongozi wa dhulma ulokuwepo saiv kila aina ya machafu Zbar .zmn kulikuwa hkn haya ila kesho mnayakuyajibu kwa mlivoifanya Zbar na wananchi wake
Mashaallah
Mziki umetulia