Fahamu Historia ya Pd Prosper Kessy, Padre Mkapuchin Anayetumia Sana Mitandao ya Kijamii Kuinjilisha
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Asante fr kwa historia yako
Hongera sana padri uko vizuri Daines alikuwa nabii wako Mungu alimtumia kufikisha ujumbe
Ndugu nimependa sana hii stori imenikumbusha sana enzi Za shule ya Lasso umeongea kweli sana padri prosper kesy
Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza uendelee zaidi kiroho. Kazi yako ni njema sana.
Mipango wa Mungu ni wa ajabu Sana! Historia ya Padre Messy yakuvutia Sana. Hongera Fr. Jessy!
Historia ya maisha yako iko makini sana Fr maana umegusa si tu maisha yako, umegusa na wale wote ambao wamekuwezesha kuwa hivyo ulivyo. Hongera sana Fr kwa mtiririko huo uliosheheni zama....nilitamani uongee hata masaa manne
Hongera sana Fr. Mungu alimtumia huyo mwalimu
Hongera sanaaaa father Mungu akulinde 💞💞💞💞
Ty...... Father
Mtumish wa Mungu Tyk.Shimbony shaafooo.ngirumia no yapfyo.
Hakika Kila kinyonge Mungu hukiinua .Nina mwinua Mungu wako
Father kessy wa nyumbani uyoo mungu amlinde
Hongera sana father,historia yako imenigusa mungu akulinde sana,
Great...padri wetu ...I am from kirua as well
Hakika mungu nimwema Hongera sn father
Mungu ni mwema🙌🙌
😇BARIKIWA SANA FATHER
Mwamba uyo namuelewa sanaa 😍😍mungu akuweke
Safi sana father
Hongera sana baba Kessy historia yako inafundisha sana.
Hata mm nimecheka sana.lkn tunabarikiwa kwa Madini yako sana
Huyu ndo alisemaga Kama unajua Una kichwa cha barafu usidhubutu kutembea juani
Amina fr
Hongera sana baba,
Semina yako ilitugusa sana wamama parokiani. Tunakusubiri tena kwa hamu kubwa.
💞💞💞
😅😅😅 Mwalimu Daines
Baba Kessy namkubal sana mzee wa vichekesho na mafunzo huru sana.
Hakika Kila kinyonge Mungu hukiinua .Nina mwinua Mungu wako
School mate. Kisomachi izidi kukua na kuzalisha kama wew.