Asalama alekum me nilimfumaniya mume ndani kitandani na mwanamke, alafu alikuwa ana kesi nyengine ya wanawake akafungwa me nikajuwa siku kashatiwa jela yy na wazazi wake hakuwahi kuniambiy ki2 chochote , pia Apo mwanza akiliniacha takala2 na siku na mfumania alinitamkiaya mwisho Saiv kashatoka jela anasema ya mwisho hajaniacha ila Me simtaki kwasabb izo aloniafanyia na nilimvumiliya , kwa muda wa miaka5 na alikuwa akinipiga ss me saivi sipo nilisafiri nataka nikirudi nende kwa kazi je, hii inakuwaje
Na aliponiacha walikuwa hakuna mashahidi na katamkaa na me kwa maumivu alonipa na jisi nilivoishi naye pia Toka aliponiowa hakuwahi kunihudumikiya Bali me ndio nilikuwa na muhifadhi kwasabb nafanya kazi lakini malipo yake ndio hayo ananitiliya wanawake chumbani kwangu pia kunipiga ndio kawaida yake lakini mwisho Allah akamuhukumu kwa zinaa zake akifunguwa bila me kuelewa kinachoenelea chochote me nakuja juwa kashafungwa ss nataka nende kikadai talaka kubwa kazi
Assalam aleykum,sheikh shukran sana Allah akulipe heri kwa darsa zako hizi. Naomba ukipata muda utuelezee juu ya suala la sala ya jamaa msikitini ni wajibu au sunna,maana naona kuna mkanganyiko kidogo.
Sasa mtume amesema kuwa talaka haina utan sasa hawa mashahid wanin? Mbona ukimuambia mke nimekuacha ishaakiwa talaka na mtume amesema utani wake ndo ukweli wake jee wapi imetajwa lazima mashahidi? Naomba dalili ya hii😊
Je wakati wa mtume talaka ilikuwa inahesabiwa bila ya mashahidi wawili au ilikuaje wakati wa mtume maana izo zote ni lai za wanachuoni na maswahaba je kwa mtume je ilikuje?
Shukran kwa darsa lako, Allah akulipe kila la kheri Nina swali dogo katika Mada hii. Nimesikiliza mwanzo mpaka mwisho Nimepata faida kuwa, kumbe Kuna maswahaba kama Ali Ibn Abi Talib na Matabiina wakubwa walikuwa na rai kuwa talaka bila mashahidi haijapita Nina maswali madogo mawili ya nyongeza 1. Je mm nimemuandikia talaka mke wangu ya sms nikamtumia, na yeye mke wangu akaipokea na hajaisambaza kwa mtu yoyote. Je itahesabika kuwa ni talaka ya bila ushahidi? 2. Haya maelezo ya kuwa Ali Ibn Abii Talib na baadhi ya Matabiina Wana Msimamo kuwa talaka bila mashahidi haiswihi, maelezo haya naweza kuyapata katika vitabu gani vya madhehebu ya ahli sunna Wal jamaa?
Haya nisaidie ushahidi kuwa talaka imeswihi kwasababu shahidi ni Allah, halafu mashahidi wanakuwaga wawili, sasa Allah ni mmoja, na shahidi mwengine atakuwa nani?
@@USTADHHUDHEIFA ustadh assalam Aleykum.....ustadh naomba kujua kuhusu swali langu ikiwa mume katamka kwa watu kua nimemuacha s mke wangu bila kumtamkia mke mwenyewe je imeswihi
Asalama alekum me nilimfumaniya mume ndani kitandani na mwanamke, alafu alikuwa ana kesi nyengine ya wanawake akafungwa me nikajuwa siku kashatiwa jela yy na wazazi wake hakuwahi kuniambiy ki2 chochote , pia Apo mwanza akiliniacha takala2 na siku na mfumania alinitamkiaya mwisho Saiv kashatoka jela anasema ya mwisho hajaniacha ila Me simtaki kwasabb izo aloniafanyia na nilimvumiliya , kwa muda wa miaka5 na alikuwa akinipiga ss me saivi sipo nilisafiri nataka nikirudi nende kwa kazi je, hii inakuwaje
Na aliponiacha walikuwa hakuna mashahidi na katamkaa na me kwa maumivu alonipa na jisi nilivoishi naye pia Toka aliponiowa hakuwahi kunihudumikiya Bali me ndio nilikuwa na muhifadhi kwasabb nafanya kazi lakini malipo yake ndio hayo ananitiliya wanawake chumbani kwangu pia kunipiga ndio kawaida yake lakini mwisho Allah akamuhukumu kwa zinaa zake akifunguwa bila me kuelewa kinachoenelea chochote me nakuja juwa kashafungwa ss nataka nende kikadai talaka kubwa kazi
Ws siku ikiwa mume humtaki ,uko na haki kudai talaka na uwachane nae
Kati ya Sayyidna Aliy na Ibni Abbas ambao wameishi ni na mtume s .a. w kwanini tufuate rai ya hawa maimamu wengine?
Assalam aleykum,sheikh shukran sana Allah akulipe heri kwa darsa zako hizi.
Naomba ukipata muda utuelezee juu ya suala la sala ya jamaa msikitini ni wajibu au sunna,maana naona kuna mkanganyiko kidogo.
Ws inshallah
@@USTADHHUDHEIFAAssalaam alaykum Sheikh
Sasa mtume amesema kuwa talaka haina utan sasa hawa mashahid wanin? Mbona ukimuambia mke nimekuacha ishaakiwa talaka na mtume amesema utani wake ndo ukweli wake jee wapi imetajwa lazima mashahidi? Naomba dalili ya hii😊
A,alykum nauliza talak moja half hujarejew inasihi kupewa yapili
Bahari nyengine za ufasaha ni Rizki kutoka kw Allah husilazimishe
Je wakati wa mtume talaka ilikuwa inahesabiwa bila ya mashahidi wawili au ilikuaje wakati wa mtume maana izo zote ni lai za wanachuoni na maswahaba je kwa mtume je ilikuje?
Sheikh mi naomba unisaidie ivo vitabu vinaitwaje ambavyo vinaeleza kuwa talaka bila shaidi haikubaliki
Naam twaib sual
Asalam alykum
Ws
Samahani na akikupa talaka Kwa kukupigia SIM inakubalika
Haikubaliki
Je kama Shahidi Ni mmoja hukmu yake nini Ustadh.
Sharti ni wawili,bila wawili itakua haijatimia
Nia inatosha akitamka TU
Kwaiyo sheikh ukimpa talaka mkeo na zikatimia tatu na wakati unampa hapakuwa na mashaidi kwaiyo uyo bado mkeo kwa mujibu wa izo rai tatu
Hao wanaosema ni lazima mashahidi,wanasema hio sio talaka bali ni upuuzi hamna talaka yeyote
@@USTADHHUDHEIFA ok sawa na nikiifuata iyo fatuha na wakati nishampa talaka tatu je sipati zambi maana mimi ni mmoja wavilo janga
@@shabaniselemani9159 upate dhambj vp na ww umeamua kufuata rai hio
Hahah
@@tawadudihaji3907 mbona kama umeshangaaa au
Shukran kwa darsa lako, Allah akulipe kila la kheri
Nina swali dogo katika Mada hii.
Nimesikiliza mwanzo mpaka mwisho
Nimepata faida kuwa, kumbe Kuna maswahaba kama Ali Ibn Abi Talib na Matabiina wakubwa walikuwa na rai kuwa talaka bila mashahidi haijapita
Nina maswali madogo mawili ya nyongeza
1. Je mm nimemuandikia talaka mke wangu ya sms nikamtumia, na yeye mke wangu akaipokea na hajaisambaza kwa mtu yoyote. Je itahesabika kuwa ni talaka ya bila ushahidi?
2. Haya maelezo ya kuwa Ali Ibn Abii Talib na baadhi ya Matabiina Wana Msimamo kuwa talaka bila mashahidi haiswihi, maelezo haya naweza kuyapata katika vitabu gani vya madhehebu ya ahli sunna Wal jamaa?
Aa angalia kwenye hivi vitabu
الاءستئناس لتصحيح انكحة الناس
مصنف عبدالرزق
الدار المنثور الحافظ السيوطى
@@USTADHHUDHEIFA shukran, unaweza kunitajia kurasa za maudhui hii, maana nimefatilia bado sijafanikiwa
@@abujamalaalghammawiy7470 vp umefuatilia ilo swala kama takaka haiswih bila mashahidi ipo kwenye vitabu gani
Hakuna talaki isio swih wakati umempa shahid Allah
Haya nisaidie ushahidi kuwa talaka imeswihi kwasababu shahidi ni Allah, halafu mashahidi wanakuwaga wawili, sasa Allah ni mmoja, na shahidi mwengine atakuwa nani?
Kutowa talaka na kilevi inaswikhi
Shukran kwa swali lako,plz angalia hio mada kwa channel yangu
Km umelewa Alf ukatowa talaka
Shukran kwa swali lako,angalia kwa channel yangu utaipata hio mada
@@USTADHHUDHEIFA Samahani shekhe naomba namba Yako nnashida
Swali hapo kwenye mashahidi, je talaka ikiwa kwenye maandishi hufaa kua ushahidi
Hebu eleza vizuru sijaelewa
@@USTADHHUDHEIFA ustadh assalam Aleykum.....ustadh naomba kujua kuhusu swali langu ikiwa mume katamka kwa watu kua nimemuacha s mke wangu bila kumtamkia mke mwenyewe je imeswihi
@@kautharramadhan-ej2iy haijaswihi,talaka ni baina yako ww na mke na mashahidi
@@USTADHHUDHEIFA kwahy ni lazima anitamkie na s kutamka kwa watu
@@USTADHHUDHEIFA naomba namba yako ustadh nikupigie