MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA TALAKA KWA NJIA YA SIMU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 24

  • @nadrahamid5866
    @nadrahamid5866 5 ปีที่แล้ว

    Mashaa Allah sheikh Salum, Allah akuzidishie elimu na akupe kher nyingi

  • @rahmaa.naim.9391
    @rahmaa.naim.9391 5 ปีที่แล้ว +1

    Waalaykum salam

  • @ludacrissrangiyabank3737
    @ludacrissrangiyabank3737 5 ปีที่แล้ว

    Ni ktk mashehe nnaowapenda salum msabah, mselem ally,nyundo, ukhty amina, ponda, mussa juma

  • @rossamengo7211
    @rossamengo7211 5 ปีที่แล้ว

    MA SHA ALLAH sheikh ALLAH akuhifadhi

  • @rahmaa.naim.9391
    @rahmaa.naim.9391 5 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah shukran

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 4 ปีที่แล้ว

    Shukraan Sana sheikh wangu

  • @mahmudasalum9557
    @mahmudasalum9557 5 ปีที่แล้ว

    Masha Allah. ..shukran abii lkareem

  • @elpistore
    @elpistore 5 ปีที่แล้ว

    Mashallah♥

  • @sophiaemanuel3118
    @sophiaemanuel3118 3 หลายเดือนก่อน

    Shekhe naomba namba ya kutuma swali

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 2 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo ya kutia talaka kwenye kabati ilimkuta rafiki yangu mke wake akaiona. Dahhhh

  • @humaidalwaili3921
    @humaidalwaili3921 5 ปีที่แล้ว

    Inshaallah

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 3 หลายเดือนก่อน

    Mbn mmeikatisha Shekh hajatwambia ni ipi hukmu ya yule mume ambae badae anakana kuwa co yy na hali yy amefanya tendo la kuacha?,sawa haitokw talaka ila yy vp kwa Mungu mana atkw kasema uongo.

  • @pilikalolo2447
    @pilikalolo2447 2 ปีที่แล้ว

    Mm mume wangu alituma kweny sms alf nikawa nampigia nimuuliz ajibu sms akiulizwa na ndugu zangu anasem nasem kwamb mm sindio nimetamka nimeach yy ajasem

  • @feisal6592
    @feisal6592 ปีที่แล้ว

    Talaka taraweh nisawa ishallah

  • @yunusmagimba4928
    @yunusmagimba4928 ปีที่แล้ว

    Assalam alaykum shekhe nina swali Je yaswihi kumrudia mke kwa kumpigia simu?

  • @wahidawahida6675
    @wahidawahida6675 5 ปีที่แล้ว

    Mashekhe nawasihii katika ishu ya taraka basi kuwe na sheria kali katika utoaji wa taraka maana nikweli maana saivi taraka zimekuwa kama chungu

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 2 ปีที่แล้ว +1

      Ni haki ya mume na mke dada angu

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 5 ปีที่แล้ว

    neno jipya nilojifunza hapa ni Waraka pepe.

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 5 ปีที่แล้ว

    sheikh msabah ni sheikh aliejaaliwa kuongea kiswahili sanifu

  • @mwanahamisjuma3361
    @mwanahamisjuma3361 5 ปีที่แล้ว

    Asalam alaikum shekh mbona unanitia wasiwasi una sema huna mke

  • @hamadali1298
    @hamadali1298 ปีที่แล้ว

    Nini hukmu ya talaka tatu shekh salumu msabah

  • @sophiaemanuel3118
    @sophiaemanuel3118 3 หลายเดือนก่อน

    Shekhe naomba namba ya kutuma swali