Ni vizuri unaonyesha hii hali ili wale wote wenye tamaa ya kwenda nje waelewe. Wengi wako hapa wana kiwewe cha kwenda tu nje wakaone mataa, majumba, eti wakale bata. Hakuna mtu mwenye fikra sahihi anafikiri Ulaya ni kula bata na kama ndugu zenu, movies, wengine wanawaambia hivyo basi ni washenzi. Kabla ya kwenda nje jaribuni kufanya tafakari ya mambo yote na uamue ni wapi unataka ukaishi na sababu gani za msingi unataka hiyo sehemu sio suala la kukimbilia tu kama watu wanavyong’ang’ania kuishi Dar maisha ya hovyo na mikoani kupo. Asante BM.
Kaka karibu Finland, hiyo snow yenu cha mtoto 😂, watu tunalala tunaota tuko Coco Beach tunaogelea , tunaamka tunakuta tuko ughaibuni kweupeee,mtu unaanza kulaani kwa kizungu, kiswahili hadi kipogoro,ni noma😅
Iyo snow ni nzuri ikiwa sio nyingi sana uwa inakuwa poa kwa maana snow inawauwa baktelia wengi sana ukiangalia watu wanao ishi mazingira hayo uwa awana ugonjwa wa ngozi au ni ungoo ebm tuambie hapo
Tunashukuru mwaka huu Netherland, hatuna heavy snow Imepita wiki iliyopita kama many manyunyu, Yaani Tunashukuru mno Poleni kwa Biden na maeneo mengine ya ulaya😢
Aaah hata km siwezi baridi nikipa chance nitakwenda hivyohivyo tu najuwa nitaizoweya tu,kwamaisha ya kwetu sibora nikapigwe na baridi yenye manufaa,kuliko kupigwa na joto la njaa
Join EBM SCHOLARS Community at ebmscholars.locals.com/
Shukran naubarikiwe sana nitajiunga sas
Ila bongo maisha yetu mazuri sana...kwa mazingira hayo hata sitamani marekani
Sio Marekani yote😂😂😂,Arizona ,Texas hawana snow ❄️ 😊
Ni vizuri unaonyesha hii hali ili wale wote wenye tamaa ya kwenda nje waelewe. Wengi wako hapa wana kiwewe cha kwenda tu nje wakaone mataa, majumba, eti wakale bata. Hakuna mtu mwenye fikra sahihi anafikiri Ulaya ni kula bata na kama ndugu zenu, movies, wengine wanawaambia hivyo basi ni washenzi. Kabla ya kwenda nje jaribuni kufanya tafakari ya mambo yote na uamue ni wapi unataka ukaishi na sababu gani za msingi unataka hiyo sehemu sio suala la kukimbilia tu kama watu wanavyong’ang’ania kuishi Dar maisha ya hovyo na mikoani kupo. Asante BM.
Umeongea kweli nakubaliana nawew Mia kwa mia
Kaka karibu Finland, hiyo snow yenu cha mtoto 😂, watu tunalala tunaota tuko Coco Beach tunaogelea , tunaamka tunakuta tuko ughaibuni kweupeee,mtu unaanza kulaani kwa kizungu, kiswahili hadi kipogoro,ni noma😅
Duuuu
Kumbe ni shida
Snow kali sana
Kaka njoo Alaska!! Huku Io ndo maisha yetu😂😂
Napenda sanaa snow jamani ❤❤🎉😢
Habari mkuu EBM hizi gari kiukwl zinatembea vzr kwa hali hii hapa mkuu maana hii ipo kubwa condion
It was good watching the snow ❄️ day my next destination as I relocate to the US God willingly 2025.😊
Naiona kwenye TH-cam peke yake.nomaa.
Good job.
Leo zanzibar kuna snow ❄️ ya vumbi balaa
Kaka unayosema ni kweli, Mim nipo Harbin China, na hali ya hewa ni -30 Degree🥶🥶
Daaah huko ndio balaaa kabisaaa.
Dar es salaam nyuzi joto 34 ndani hakulaliki nje mbu yaani kama jela tu!!
😅😅😅😅😅😅😅😅
Pole sana kaka
Leo kwetu balaa
Poleni, huko huwa ni zaidi
Bora bongo piece of mind
Poleni sana
Iyo snow ni nzuri ikiwa sio nyingi sana uwa inakuwa poa kwa maana snow inawauwa baktelia wengi sana ukiangalia watu wanao ishi mazingira hayo uwa awana ugonjwa wa ngozi au ni ungoo ebm tuambie hapo
Hapo nimwendo wa hot drinks tu kwenda mbele
Kaka,hku Iceland ni hatari
Dv mwakani muhim
We nae mshamba sana😅😅
Kaka leo ni hatari hivi nipo ndani sijaenda kazini leo
Niko nnje ya Tanzania kwamiak km 7nataman kuja marekan kaka lkn sijui vp nawez kupat msaada
Iyo sio mchezo broo
Napambana Bado sikati tamaa mm truck driver ndoto yangu kuja ku drive uko broo ntaishi nayo tu iyoo🤔
Duh simchezo hatari kipindi hiki
I wanna come to canada , help please to some review.
Hivi unaendaje kazini katika Hali hii?
Tunashukuru mwaka huu Netherland, hatuna heavy snow
Imepita wiki iliyopita kama many manyunyu,
Yaani Tunashukuru mno
Poleni kwa Biden na maeneo mengine ya ulaya😢
Inawezekanaje kupata scholarship nje ya nchi ??
Nilivyosiwezi baridi safari za huko acha nizisikie tu
Aaah hata km siwezi baridi nikipa chance nitakwenda hivyohivyo tu najuwa nitaizoweya tu,kwamaisha ya kwetu sibora nikapigwe na baridi yenye manufaa,kuliko kupigwa na joto la njaa
Utakaa ndan kama hunywi bear club c zipo
Hii chumvi ndio ya tu tunaita ya mawe au ni spesho kwa ajili ya snow 😂😂😂😂
Nii special kwa ajili ya snow tu
Asante sana ndg
Huku mwananyamala utawala tu
Bro hiyo snow mbona ndogo sana asee umefika Russia 🇷🇺 wewe afu si hata hatuwazi na kazi tunapiga acha vitisho bro.
🤔🤔daah hy ni hatarii sana
Duu; nazdhani baridi ni kali sana