Kiongozi wa wengi Bungeni Aden Duale asimulia jinsi 2019 ilivyokuwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- Ni mwanasiasa ambaye anavutia urafiki na uadui kwa wakati mmoja. Ni mzoefu wa kupanga karata za siasa huku akitumia wadhifa wake wa kiongozi wa wengi bungeni kufanikisha sera za serikali na kudhalilisha upinzani bungeni. Amekuwa mwandani wa naibu rais kwa muda mrefu na huenda anapania kuwahi wadhifa mkuu zaidi iwapo William Ruto atawania urais wa 2022 na kuibuka mshindi. Lakini kuna mengi yasiofahamika kumhusu Aden Duale.
I rely like this Man Duale, may God bless.
My hero Duale . mñshallah be God fearing and thanks to your god
Duale is a Man with Great minds. Masha-Allah
Me I love u duale Kwa msimamo wako , from ukunda
Mashaallah
i like this kind of leadership .....the only somali who fought for NEP
Nakukubali sana
Hiyo beat ni ni ya kitamaduni ya wasomali happy to hear it
Im happy for duale
I love u duale, una msimamo kali
Wakenya tunapenda kusifu yeyote ambaye ana uwezo wa kimaisha bila kuelewa njia alizo zitumia kupata Mali yake style up and let us do lifestyle audit to everyone who is related to wealth
Duale🤴
Duale our hero
Nime kuelewa vizuri Sana.
Majority leader noted sth
Our culture there
Duale go ahead u have a great vision
Nampenda Sana Duale shujaa kamili
*Mheshimiwa Duale*
MAANSHA ALLAHA
Leo umeona eee
Nimekuelewa boran
Boran ako wapi. We wacha ushamba
Nayaa....jua watu Duale is a proud Somalia Kurdish nigga! He comes from the greatest funkiest most beautiful Somalo clan occupying vast land from jigjiga to Garissa the Giants have woken up just because walikuwa Kwa mistuni fighting three countries for their rights took long but sasa wamefika and I am their Awowe guiding them every step so they don't develop kichwa nono this is going to be a kingdom like no other!
Mheshimiwa Duale na kupenda kwa kunena ukweli Mola azidi kuku Linda na kuku Bariki, Umeyanena Mheshimiwa mnena kweli hapendwi 🙏🇰🇪
NIMETAMANI SANA HAYO MAZIWA 🇰🇪🇨🇿
I think I'm the only Somali who don't drink camel milk
Same here
@@katramahat661 got you
DUALE 4 PRESIDENT
Duale mumesakula mumeiba wakati yenu imeisha
Duale amekomaa kisiasa.
Kweli hon duale umesema ukweli,hata muborana,somali,gabra,orma,wardei pokomo,waluwana,munyo Yaya,na hata wata akue rais wa Kenya.
I need camel milk NOW