#EXCLUSIVE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- #EXCLUSIVE: MKASA wa MZEE SENI ALIYESOTA JELA MIAKA 30 KOSA la UBAKAJI, ASIMULIA KIFO KILIVYOMUITA
HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano maalum ya Global TV na Mzee Seni Hassan Seni mkazi wa Mkolani jijini Mwanza ambaye ameeleza mkasa wake wa kweli wa kufungwa jela miaka 30 kwa kosa la ubakaji...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Ata usukumani kulikuwa na ile chagulaga unatumia nguvu kumpata mwanamke,bila hivyo hupati jigijigi!
Iyo hali ya kutopata
Dem mpaka uyafanye
Ayo hata kwetu yalikuwepo
UJUE KUPIGANA au
UJUE KUENDESHA PIKIPIK
OVYO SANA au UJUE KUCHEZA
MZIKI au UWE NA USHAROBALO
WANGUVU SANA yani
kwa kifupi UWE NAJINA
musimbishe mzee kwentu Lindi
YALIKUWEPO AYO
Sasa huyo hana no ya simu kimsada zaidi
Tuwekeeni na part 2
Mambo?
Nikweli mika ya 80 mpaka 90 huna nguvu utaparamia mademu wa hovyo ambao huwezi kulinga nae kitaa, Ukiwa na Nguvu au Umaarufu flani au Mkorofi wa kitaa hapo kweli utawaotea mademu wakali nje ya hapo utakaa sana kupata demu wa kijanja.
mwandishi kapwaya sana. alipokataa pale guest alienda kwake, je alipomtoa pale kwake alimpeleka wapi na alimpelekaje na alimfanya nini na kama alimfanya chchote alimfanyia wapi, hadharani? chumbani?. kwa sababu mpaka story inaisha mwandishi ameshindwa kuuliza maswali ili aeleze kosa aliloshitakiwa nalo. Mpka story inaisha haijulikani mhusika alishitakiwa kwa kosa gani. na kama, kosa lake tuseme ni kubaka, alimbaka hadharani, maana hajasema alipotoka alipokimbilia huyo dada alimvuta kumpeleka wapi.
Inakuja part2
Mikoroshin kumbe ya zaman wenyeji wa mkolan tunaijua sana maana ni maarufu sana hapa mkolani, cku hiz ndo guest ya bei nafuu kabisa buku 5 tu
Dahhh kweli alikua mkatili yani unataka mapenzi kilazimaa hiyo kali
Ungezaliwa zamani Aisha yangekukuta😂😂
@@yudaaraphati9673uzuri wa huyu jamaa anaongea ukweli hataki kudanganya
Ila mwamba kajifunza
@@yudaaraphati9673 dohhh ningekua nami mkatili maana sipendi kuonewa huenda ningemfunga mapema mno
@@yudaaraphati9673 sanaa
kuna cha kujifunza apa
Sifuri
Kwambaali saut yake inakuja kam JPM
Kweli kabisaa
Ndio 😅
Sure
Mpaka sura inashabihiana kidogo
Bado kaniacha na maswali kibao!
Hivi hukumu hizi za miaka30 kwa ubakaji, mwaka1996 zilikuwa tayari zishaanza kutumika?
Mi nakumbuka Bunge limetunga sheria hizi kuanzia muaka ya 2000 kuendelea.
Au huyu mzee kasahau?
Hata huo mwaka alio zaliwa sidhani kama ni kweli 1972
Hukumu zilikuwepo, hakimu anahukumu kadri anavyo ona inafaa, mf. Mwaka mmoja, 30, 40 n.k baada ya Sheria kutungwa.. ndio kuanzia 30.
Huwezi kucheza disco, huwezi kupata mwanamke mzuri, mpaka ngumi? Zamani ya lini hiyo?
Labda mtaani kwao ila Allah amsamehe kwakweli
Zamani ya kabla miaka 30 nyuma😁
Teheee iyo zmn
Namfahamu vzuri pia ananifahamu enzi zile sio izi,anamakubwa mengi na jela kaenda sio kwa kesi hiyo tu kafungwa mala nyingi tu,mengine kwa vile ni mahojiano hawezi kufungika,nikupe moja alishambaka mbibi kabisa sawa na bibi yake mzaa mamaake,lakini hapo utumbo ulikatwa ukaungwa alishawapiga jamaa wakamchoma kisu tumboni utumbo nje kabisi alikaa ICU siku za kutosha,
@@mohamedabdallah6480 sikupigi wapo wengi wa dizaini hii ,,ila mungu awasemehe kwa kweli kwa wanaojutia makosa
Hajazaliwa 72 huyo muongo.