Alhamdulillah tunailimika mengi kwayale unatupa na wangine wanailimika kupitia sisi Nina imani mungu akuzidishie ilimu na akupe mwisho mzuri na sisi pia wa nafunzi Tusijisahau
Nakukubali sana Mr. Ezden, qoutes zako zinanipatia hamasa sana, zinanifanya kuyaona maisha tofauti sana na vyenye wengine wanayao. kupigia mazungumzo yako, basi kila kijana asingekuwa anajilaumu katika haya maisha. asante sana
Dah thanks bro. ila naomba uzungumzie siku hii mijitu inayopenda kukosoa hata kitu kiwe kizuri vp yaani Dah kunajamaa mtaani mpaka Kunasiku nilimface kumchana ukweli mpaka leo sitak kabisa akae karibu na mm kuzungumzia upuuzi.
AFYA YA MTOTO KAMA NI MZAZI. habari ya muda nimeona wazazi wengi wanaangaika na changamoto mbalimbali za afya ya mtoto. Je?mtoto wako ana changamoto hizi. 1.mtoto hapendi kula/hana hamu ya kula 2.mtoto anachagua chakula 3.mtoto wako anaumwa homa Mara kwa Mara 4.mtoto amepoa hajachangamka 5.Mtoto anachelewa kukua 6.Mtoto hapati choo 7.mtoto ana upungufu wa madini na vitamin 8.mtoto mwenye upungufu wa akili au kusahau sahau kutofanya vizuri darasani Tuwasiliane whsp/call 0756073337
Asante sana kwa kufuatilia, unaweza jiunga na group langu la whatsapp ili kupata mengi zaidi. Tuma meseji ya whatsapp kwenda namba 0759191076
Gud
+974 5061 9676
group halina vigezo au muongozo +96879444609
0768071532
Success Path Network 0672889509
Alhamdulillah tunailimika mengi kwayale unatupa na wangine wanailimika kupitia sisi Nina imani mungu akuzidishie ilimu na akupe mwisho mzuri na sisi pia wa nafunzi Tusijisahau
Genius Ezden
Mungu akulinde.kamavile upo Mtaani hapa unatufundisha na unayaona .asante.najifunza mengi humu
Nipo nairobi ndugu tunakufuatilia sana asante kwa elimu mungu akuongezee
Ahsant kwa darasa lako Allah akuripe khaira
Allah akujalie kila lenye kheri,
Hakika tunaendelea kujifunza mengi toka kwako.🙏
Bro mi nakushukuru sana maana kila ninapo kusikiliza hua na jifunzi vitu vng mng akuzidishie
Shukraan kwa somo zr kaka angu, cha msingi ni kumshukuru Allah maana bila yy ss hatuwezi🙏
Safi kabisa maarifa sahihi ya kuifanya akili iwaze na kuona mbali
Mr.Ezden Ni vile tu watu hawatoi Shuhuda kwako Kama Church, But for real you heal the People's life. Thanks Much
fact
Stronger
Mungu akusaidieee,kwahichi unacho kifanya
Thank you bradha Ezeden
Nimepata muangaza ahsante saaana bro,Allah akupe maisha marefu Inshaallah
amiin
Bro respect kbs unafunza mambo mengi Thanks sanaaa
Brother nimekuelewa sana naimani nitaishi kwenye msingi hii
Kaka nakuxoma uko sawa mwaga sela tuko wote
Baba niweke
Thanks bro. Nimejitambua tangu nianze kukufatilia
Asante sana kaka
Nakukubali sana Mr. Ezden, qoutes zako zinanipatia hamasa sana, zinanifanya kuyaona maisha tofauti sana na vyenye wengine wanayao. kupigia mazungumzo yako, basi kila kijana asingekuwa anajilaumu katika haya maisha. asante sana
Sure
Furaha haitafutwi inatengenezwa,. Nashukuru Mwl. Ezden
Thank you brother God bless you 🙏🤝👏🤛🤜
Thanks very much
Ezden
Thanks,God bless u guy.
Asante sana Edzen
NOMA
Shukran brother
Ahsante sana kwa hii
Ningependa ufundishe na english
Thanks my Brother!
Nakukubali sana buro
Yani uko nahakir nagupenda🙏
Dah! ongela sana broo mambo yapo konk kabisa
May god bless
Hvi tunaitaji Sana kusoma au tunaitaj sana kujifunza..?
Maana unaweza soma sana na usijifunze
Nsaidie hapo
Tunatakiwa kujifunza best maan Kam ulivyo sema unawez soma na usijifunze hivyo tunapaswa kujifunza
nice kaka kwa ujumbe mzuri
Thanks bros, nice message, God bless you....
Awesome content...
Napeda Sana kipidi kabula ya kulala
Thank you God bless you
Thanksbro for good message
Shukurani kaka
Be blessed🙏🙏
Nakupenda sana kaka yangue
Dah thanks bro. ila naomba uzungumzie siku hii mijitu inayopenda kukosoa hata kitu kiwe kizuri vp yaani Dah kunajamaa mtaani mpaka Kunasiku nilimface kumchana ukweli mpaka leo sitak kabisa akae karibu na mm kuzungumzia upuuzi.
❤❤❤kukupenda tu kaka
Tuko pamoja kaka
Chaneli yako inanifundisha mambo mambo mengi sana ya muhimu kwenye maisha kaka. Asante sana
Poa sana
Kaka ubarikiwe naamini wengi watafanikiwa kupitia hii
nc work broo stay blessed
Nakuelewasana nanipomakinikukusikiliza
Bro unanifanyaaaa nikusikilze saaaaana natamani TH-cam yote ingejaa clips zako
Umegonga ndipo bro binadamu hawaachi kusema so waeza wapuuza coz hao n wengi huwezi kuwanyamazisha ila ww unaweza kupuuza na ukaendelea na mambo yako
AFYA YA MTOTO KAMA NI MZAZI.
habari ya muda nimeona wazazi wengi wanaangaika na changamoto mbalimbali za afya ya mtoto.
Je?mtoto wako ana changamoto hizi.
1.mtoto hapendi kula/hana hamu ya kula
2.mtoto anachagua chakula
3.mtoto wako anaumwa homa Mara kwa Mara
4.mtoto amepoa hajachangamka
5.Mtoto anachelewa kukua
6.Mtoto hapati choo
7.mtoto ana upungufu wa madini na vitamin
8.mtoto mwenye upungufu wa akili au kusahau sahau kutofanya vizuri darasani
Tuwasiliane whsp/call 0756073337
Xhukran sana kwa shule hii unatujenga sana br no 759656577 whasup no angu kk.Ntafrai nikiwa karbu zaidi ya darasa hili
Asante brother
Tuko pamoja kaka
Shukran brother