Ibraah: Nimelala kwenye stoo ya Konde Gang mwaka na miezi, hakuna mtu anajiamini kumzidi Harmonize
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Ibraah anafunguka historia yake na msoto aliopotia hadi kusainishwa na Harmonize kama msanii wa kwanza wa label ya Konde Music Worldwide
#chillnasky
Napenda interviews zake maana haboi alafu anajua kujieleza big up Ibraah
I braah anajua kujielez Sana Kama. unamkubali chiga gonga like
Mm huwa nakupenda sana Ibra unajiheshim unajiamini na unasauti nzuli mm napenda sana sauti yanko kwenye nyimbo zako mungu atakusaidia utafikisha ndoto zako😁🔥🔥🔥🔥
Halafu anatokea mtu umefanikiwa anaanza kukutukana bila sababu mtu umepitia changamoto nyingi sana za maisha mungu azidi kukufungulia Ibrah bila kukata tamaa 🔥🔥mungu mwema sana
Amiin
Kuna waandishi wa habari
wanajua kufanya Interview
aisee 👏🏽 Yani Hana hata
sehemu moja anayo Soma
lkn Interview Imesimama
👏🏽👏🏽🙌🏾🙌🏾✊🏽✊🏽
Masuali bampa to bumpa kajitahidi sana kujibu with confidence..I love you and your music..BIG UP !!!!
Kwa kweli wewe kijana mzuri saana. Umejieleza vizuri, na umepitia mausha magumu. Namuomba Mungu akuzidishie kl la heri. Story yako imenigusa sana. 💕
Chinga fundii wa music nakubali sana mwanangu💪💪
Unajua kujieleza nimependa utakuja kuwa na maisha mazuri unajua kujieleza…unajali na mamako siyo kama vijana wengine 🇺🇸
Mtoto huyu Ibraah anashukuru saana na anamjua Mungu
Daaaaah nimeenda kuangalia nyimbo zake za zaman daaah broo unatoka mbali kwali dogo i 🏆🏆🏆
Duh! Mungu ana namna anafungua njia jmn. Watu Wana mapto na kias inauma ila kama maumivu yenyewe yanakupeleka kwenye mafanikio ni kushukuru Mungu
This guy is most talented and one day will surprise the world
Ameen
VERY NICE TO SEE IBRAAH CHILLING WITH SKY 🔥🔥🔥
One of the best interviewing skills...I like the way the Interviewee flows with the story
Much love from Kenya 🇰🇪
Sitosema is my favorite song from the album
Hej bro interview zako zinakuga na nijenga sana.Ibrah kanipa nguvu kweli maisha iyi nikupambana kweli 🤗🇸🇪🇸🇪🇸🇪
Dogo yuko vizuri kwenye kujibu haiboi kuiskiliza hii interview
Raha kufanya interview na msanii anayefunguka
The only artist anaeongea real life bila kuongeza mambo ya uongo.
Na anjua shortcut kusimulia story yake.
Polesana kaka kipaji chako kimekuokoa
Ibraah salute kama kawa upo vzuri....keep on going🔥🔥🔥
Huyu kijana yupo na talanta isipokua aliingia kwa Harmonize wakati vita dithi ya WCB imenoga huku tukimchamba Harmonize kwa mitandao ili hali kwa playlist ngoma zake ming kuliko za WCB... ni mashabiki tu, daily naskiza Harmonize, anyway... from Kenyans in diaspora ALL THE BEST... rudi tour USA upitie Seattle WA
Keep it up sky for pushing this industry
Zambian we love you ibraah and I don't know what I can say for you ibraah I like u and keep up the good work never give up brother 💗💗💗
Chinga 🙌
LIFE NEVER COME EASY BRO... NMEPENDA
🤣🤣🤣 Ibrah umeni chekesha eti nilika saa moja sambili hadi sa8 uko vizuri
Ibra bro congrats for the way you are answering questions, so matured answers. All the way from 254🇰🇪🇰🇪
Story nzuri,naamini itawafaa moyo wengi ambao wana shauku ya kuanza safari yao ya muziki
Changamoto nI kitu cha kawaida katika shughuli yoyote naamini ipo siku Mungu atajaalia utafikia malengo na kutimiza ndoto zako,kikubwa kumtanguliza mwenyezi Mungu
Hongera kwa mtayarishaji na kwa wale wote waliomfikisha hapo tuangalie mazuri na mchango wao katika safari yake kabla ya kuhukumu.
Mtayarishaji wa kipindi pia unafanya kazi nzuri yenye mchango mkubwa katika tasnia.
This boy has gone thru alot.
Dogo yuko poa sana. Big up ibra. Jikaze toa hits kali za kisasa unajua sana.
Chinga unaakili sana unajitambua nimekubali Una majivuno
Unamuacha msanii wako mwaka mmoja kwenye vumbi mpaka imemletea aleji hadi leo...we konde ulisaidiwa kwenye chumba kizuri ambacho hakina vumbi....hii kwakweli sijaipenda
Bravo Sky kwa interview nzuri
Dope Mr. Sky for real you are good at your job and I like how you make the guest comfortable and ask good questions plus for real it's dope much love from @switzerland.
akatuletee DUDUBAYA sasa..
Switzerland wapi? Mimi naishi Sisach Basel land
Mimi niko Biel
Napenda sana jinsi unavyojikakamua kwa vyovyote vile na pia kujieleza kwako umejiamini ibraah big up sana unaenda mbali ipo siku yako utafurahia
Nimemkubali kijana anajiamini sana Jana nilikuwa namsikiliza mpaka nainjoi
Most Talented tongue...,!¡
Big up....!!
Zidii kuwa na kode atakufikisha mbali zaidi
Ibraah mungu abaliki kipaji chako nakupenda Sana
Daah God bless Ibrah ❤️🙏🇨🇭
Ila sky unajua sana...eti Si ukae pale yule dada mrembo afu ulivyojua ana mtu wake ukakaza Kwa odemba😂😂😂nimecheka mpaka kcheko Cha nyongeza.
Mashallah nice interview yani nilikuwa natoka nimerudi bado nikaiskiza in short nime enjy 🥰
Ibra ana IQ kubwa sana🔥
Chinga 😍 😍 😍 😍 😍 😍 😍 😍
Touching story
Good en matured interview
That is mean life is not easy
Mtoto ibraah majibu km yantok Google
Tanzanian are far ahead than Kenya in the online space.
Mwanangu usimsahau mungu 🙏 ndio mtuwakwaza kukujalia wapili mama yako watatu mwanangu amonaizi mshkane ata km umetoka muwepamoja uwo usia wangu nakuombeheni duwasana mwanangu ushatoka duwa sana🤲🤲🤲🤲
Force à vous ibraah 😍🇨🇩
Umepitia mengi sana mungu akuzidishie pig up ibra
Huyu ibraah angesoma angekuwa ana akil sana kwa sababu jins anavyojibu maswali ni kama mtu mwenye masters
Anajua kujieleza kama kasoma hadi degree big up ibraa
Sky interview zake zote nazipenda sana ibura ana talent keep up ❤
Chingaaa 💪
💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻 ibraah🔥🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿
Maisha hayaaa jamani..
Very nice 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
That's why I love you guys mungu awazidishie you have my support
Noma sana 💔
Upo vizuri ibra unajielewa Mungu akitangulie
I like your job more love 💕💕💕💕+254
Very wise young man…kudos to Skye a very professional interviewer
Sky naomba ulete killy au anjella
Smart 🤓 guy 👦 ❤ wajua kujielezea sana 👍👌
😢😢😢😢 leo nikikuona nashtuka kumbe hato ndo umepitiya leo hiii na mimi natumia jina lako mjini 😢😢😢🙏🙏🙏🙏 life is challenging 😰
Hyu dogo ypo vzuri mno. Interview nzuri sana Sky.
Pole sana Shemeji kwa Changamoto ulizopitia,,,aaaaa chingaaa
Big up bro
Ibra unajua kujielaza Big up,
It's touching though bt keep it up bro💪much love from Kenya
Mungu nimwema ibraah
IBRA ANA AKILI SANA
safi Ibraah; konde gang 👊👊👊🇹🇿
Ibra unanibu vizuri nakupongeza kwa hilo.wewe unakumbuka fadhila.wewe unatakiwa uwe mfano wa kuigwa.fatilia kisa cha nabii yusufu.pasi na. kutendewa maovu yakudumbukizwa shimon na nduguze asinge upata ufalme.
Ibra pambana umenikumbusha mbali sana mdogo wangu
Bigup sky 😍 😍 😍 😍
Big up sana bro IBRAH
🔥🔥🔥
Chinga 🔥🔥🔥🔥
Ibraah ni motooo❤
Nimependa sana kondegang ataendelea kuwa tembo tembo
Dogo I Fanya kazi usiogope hapo ni jeshi kubwa
Inshaa Allaah atafanikiwa
much love from burundi
Nakukubali Sana Broo naiga mziki wako
Hapanahapa kondeboy
Ibra unajuwa sana.
Pole sana kwa mitihan uliyopitia,na ndio maana umefanikiwa.
How can i miss his interviews yaani haboeshi
Nakubal Sana broo
😍😍😍🎼Jtm
Broo me nipo wcb Ila ibrah unaupiga mwingi sana kuliko hta konde
Mungu akulinde daima
Chinga❤️❤️🙏🔥
Tuletea na Anjella
This make me shade tears 😭😭😭