IBRAAH: Napitia magumu sana, nimekaa miezi nane bila kulipwa, nimetoa wimbo kuokoa kipaji changu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

ความคิดเห็น • 427

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 11 หลายเดือนก่อน +48

    Ibrah yamemrudi ile fitna mlimfanyia daimond mungu kamlipia 😢

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 11 หลายเดือนก่อน +3

      Anajifanya anakaza huku anakufa na njaa😅😅😅

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@rashidyusuphwewenimtotowam1761kabs njaa itamfanyaaaa haseme N hatasema tu

  • @PaulNzima-pd8il
    @PaulNzima-pd8il 11 หลายเดือนก่อน +30

    Tunaomba basata wamutoe Ibraa konde gang .... Harmonize ni laana Kwa Sanaa yetu Tanzania 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @noblezeprezdaa3789
      @noblezeprezdaa3789 11 หลายเดือนก่อน

      😅😂😂😂😂😂😂 ila weweeeeee

    • @zuwenaalamin8985
      @zuwenaalamin8985 11 หลายเดือนก่อน +4

      Kweli kabisa Ila huyu Dogo nae mjeuri alikuwa anamsagia sanaaa mond

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 11 หลายเดือนก่อน

      Kwakwer bana hana amani hanaonekana jmn😢

    • @surajatul732
      @surajatul732 11 หลายเดือนก่อน

      Mapema kabisa wakati huyu dogo anaingia kwenye game mapema kabisa niliwahi kuongea na jamaa yangu tukiwa tunapiga tu story.
      Nikasema "HARMONIZE NI MTOTO WA DIAMOND KIMUZIKI NA HATA KIMAISHA AMEBEBWA NA DIAMOND NDIO AKAFIKA HAPO ALIPO NA AKATOKA WCB KIDHARAU NAMNA ILE PASIPO BARAKA AU RADHI ZA WALIOKUTOA. RAY VANNY PIA NI NDUGU WA MZALIWA PAMOJA NA HARMONIZE KWENYE FAMILIA YA WASAFI. KWA LUGHA RAHISI DIAMOND NI BABU WA HUYU DOGO KI MUZIKI NA RAY VANNY NI BABA YAKE PIA. ALITAKIWA AONESHE HESHIMA HATA KAMA SIO YA KIFAMILIA BASI TU YA KUMTANGULIA KIMUZIKI." Nikamwambia yule rafiki yangu hasa kulingana na nilivyokuwa naiona nguvu ya kiroho ya kum'backup huyu dogo nikasema "HUYU DOGO ANAIMBA VIZURI NA ANAUZEZO MZURI NA WA UHAKIKA TENA NASISITIZA HAPA (anamzidi hata huyo Harmonize na ana zile techniques za uimbaji na uandishi kumzidi Harmonize) LAKINI HATOFIKA MBALI NA AKIFIKA ITAKUWA KWA NGUVU SANA KWASABABU ANAISHAMBULIA MISINGI YA ASILI YA NGUVU YA MUSIC WAKE."
      Harmonize na watu wote wa KONDE GANG walitengeneza tu watu sio kama WCB kulea na kuwainua bali kwasababu ya kujitengenezea nguvu fulani ya kukabiliana na upinzani wa WCB.
      Harmonize na watu wake bila kutengeneza kitu kama konde gang na madogo janja kama hawa na drama walizokuwa wanaziendesha BAADA YA KUTOKA WCB HARMONIZE ALIKUWA HAFIKI POPOTE.
      Haka kadogo kalionesh nyodo ya maana kakiwa chini ya Harmonize lakini sisi wengine tulikuwa tunaona anatamba juu ya KUTI KAVU.
      Kosa lingine kanalifanya hapa kama kuonesha kenyewe ni ka BEI MBAYA kusema makampuni yalikuwa hayafiki viwango vyake.
      UKIACHANA NA UMAARUFU SI AJABU HAPO HATA LAKI KUISHIKA KANAISIKIA TU (kwa ninavyowajua maisha ya wasanii wengi nilionao karibu), KANAACHA KUTULIA KIMYA BADO KANAVIMBA.
      Haka karate mshauri na mtu wa kukasaidia KANA KITU KATAFIKA MBALI.!!!!
      Ni mtazamo wangu tu, msinimaindi.!

    • @zainabukhalid8223
      @zainabukhalid8223 11 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣🤣 mbona laana

  • @masterhptv4065
    @masterhptv4065 11 หลายเดือนก่อน +19

    Anapaswa ajifunze adabu maana alitumika kuwatukana kaka zake kimziki akijua alipo amefika na hatoondoka sasa kiko wapi? Mnapokuwa kwenye lebel jifunze kuwa na hekima na ukimya maana hujui kesho yako. Kibri ndo kinawaumiza hawa watoto

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 11 หลายเดือนก่อน +20

    TRUTH BE TOLD... huyu boi alikua anaimba vizuri sana, shida ilikua anaweza mshinda kwenye nyimbo.. na ikafanya kukanyagiwa talanta yake, huyu ajiondoe tu.. ata akuje tu Kenya atapata promotion kubwa sana... 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @surajatul732
      @surajatul732 11 หลายเดือนก่อน

      Mapema kabisa wakati huyu dogo anaingia kwenye game mapema kabisa niliwahi kuongea na jamaa yangu tukiwa tunapiga tu story.
      Nikasema "HARMONIZE NI MTOTO WA DIAMOND KIMUZIKI NA HATA KIMAISHA AMEBEBWA NA DIAMOND NDIO AKAFIKA HAPO ALIPO NA AKATOKA WCB KIDHARAU NAMNA ILE PASIPO BARAKA AU RADHI ZA WALIOKUTOA. RAY VANNY PIA NI NDUGU WA MZALIWA PAMOJA NA HARMONIZE KWENYE FAMILIA YA WASAFI. KWA LUGHA RAHISI DIAMOND NI BABU WA HUYU DOGO KI MUZIKI NA RAY VANNY NI BABA YAKE PIA. ALITAKIWA AONESHE HESHIMA HATA KAMA SIO YA KIFAMILIA BASI TU YA KUMTANGULIA KIMUZIKI." Nikamwambia yule rafiki yangu hasa kulingana na nilivyokuwa naiona nguvu ya kiroho ya kum'backup huyu dogo nikasema "HUYU DOGO ANAIMBA VIZURI NA ANAUZEZO MZURI NA WA UHAKIKA TENA NASISITIZA HAPA (anamzidi hata huyo Harmonize na ana zile techniques za uimbaji na uandishi kumzidi Harmonize) LAKINI HATOFIKA MBALI NA AKIFIKA ITAKUWA KWA NGUVU SANA KWASABABU ANAISHAMBULIA MISINGI YA ASILI YA NGUVU YA MUSIC WAKE."
      Harmonize na watu wote wa KONDE GANG walitengeneza tu watu sio kama WCB kulea na kuwainua bali kwasababu ya kujitengenezea nguvu fulani ya kukabiliana na upinzani wa WCB.
      Harmonize na watu wake bila kutengeneza kitu kama konde gang na madogo janja kama hawa na drama walizokuwa wanaziendesha BAADA YA KUTOKA WCB HARMONIZE ALIKUWA HAFIKI POPOTE.
      Haka kadogo kalionesh nyodo ya maana kakiwa chini ya Harmonize lakini sisi wengine tulikuwa tunaona anatamba juu ya KUTI KAVU.
      Kosa lingine kanalifanya hapa kama kuonesha kenyewe ni ka BEI MBAYA kusema makampuni yalikuwa hayafiki viwango vyake.
      UKIACHANA NA UMAARUFU SI AJABU HAPO HATA LAKI KUISHIKA KANAISIKIA TU (kwa ninavyowajua maisha ya wasanii wengi nilionao karibu), KANAACHA KUTULIA KIMYA BADO KANAVIMBA.
      Haka karate mshauri na mtu wa kukasaidia KANA KITU KATAFIKA MBALI.!!!!
      Ni mtazamo wangu tu, msinimaindi.!

    • @dakxirdakxir5897
      @dakxirdakxir5897 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 wakwenu wamewashinda mtaweza wabongo

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 11 หลายเดือนก่อน

      You don't understand the problem is not with his label or Harmonize listen careful

    • @Kobe_254
      @Kobe_254 11 หลายเดือนก่อน

      @@dakxirdakxir5897 Bongo uchawi mwingi

    • @Kobe_254
      @Kobe_254 11 หลายเดือนก่อน

      @@edwardmkwelele he can't say because the contract ties him and indirect consequences may follow up... remember his projects are still under Konde studios.. so aki mess, he may crush on a nose point, you may find even those chains ⛓️ aren't his and clothes ni za kuomba

  • @jeffyasin2977
    @jeffyasin2977 11 หลายเดือนก่อน +11

    Ni msanii mzuri na unanyimbo nzuri ila tatizo ni huko ulikopanga mwenye nyumba hana utu ni mselfish

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 11 หลายเดือนก่อน +16

    UWONGOOO umemjaa mdomoni kisa ku-m-cover Harmo while hana msaada naye...mpka kuongea ana sua sua😂😂😂😂Daaah Ibra Umekonda Usoni pole kwa unayopitia

    • @ramayonline2281
      @ramayonline2281 11 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂 na amekonda kishenz😅😅😅😅😅😅😅

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 11 หลายเดือนก่อน +31

    Tuseme ukweli, label kubwa ni WCB ya harmo ni yeye na yeye, vannyboy ni yeye na yeye so Ibbrah jipange mapema

  • @izoohjack6687
    @izoohjack6687 11 หลายเดือนก่อน +6

    Toka huko Njoo tukupeleke chaka to chaka upate maokoto😊

  • @Jonathankaghese
    @Jonathankaghese 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nakubali ngoma zako Nipeni liké zangu 🇨🇩

  • @tamarimwika4678
    @tamarimwika4678 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ibra ni smart sana, i like his expression

  • @annabellovell4778
    @annabellovell4778 11 หลายเดือนก่อน +27

    It is really sad how these young kids who have all this talent being taken advantage off when it comes money. I pray you get paid for your worth Ibraah

    • @katunduhamisi9333
      @katunduhamisi9333 11 หลายเดือนก่อน +1

      Management yake ni mbovu ndo maana anayumba. Haiwezekani msanii hafanyi show yoyote ya kuandaliwa na wengine au kuandaa mwenyewe. Anaishia kujidanganya kuwa yeye ni msanii ghali huku anakufa njaa 😢

    • @sophieatieno5148
      @sophieatieno5148 11 หลายเดือนก่อน +1

      But he was busy dissing Rayvanny not too long ago even saying and singing that Ray needs to be careful because he might want to join Kondegang... He's very talented but he should have kept away from people's beef so that people are more willing to help him follow up on stuff. They just thought being in a label was easy 😂😂 Sidhani kupima mtu nguvu ni hii style ya Harmonize

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 11 หลายเดือนก่อน +11

    Mbona kama amezeeka ghafla ...au macho yangu😂😂😂

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 11 หลายเดือนก่อน +8

    Sasa hivi ndio watu watajua Harmonize ana roho mbaya sana, hakuna hata msanii mmoja aliemsaidia akafikia viwango vya juu, uchoyo na roho mbaya ndio tabia yake

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sky uko vizuri sana kaka. Murch love

  • @togetherwecansolve
    @togetherwecansolve 11 หลายเดือนก่อน +12

    Huyu dogo Ana confidence Sana ya kisani tunakuombeya kwa Mola career yako ikuwe Sana na uzivunjwe moyo na yeyote utafanikiwa Sana hadi utashangaa maishani

    • @surajatul732
      @surajatul732 11 หลายเดือนก่อน

      Mapema kabisa wakati huyu dogo anaingia kwenye game mapema kabisa niliwahi kuongea na jamaa yangu tukiwa tunapiga tu story.
      Nikasema "HARMONIZE NI MTOTO WA DIAMOND KIMUZIKI NA HATA KIMAISHA AMEBEBWA NA DIAMOND NDIO AKAFIKA HAPO ALIPO NA AKATOKA WCB KIDHARAU NAMNA ILE PASIPO BARAKA AU RADHI ZA WALIOKUTOA. RAY VANNY PIA NI NDUGU WA MZALIWA PAMOJA NA HARMONIZE KWENYE FAMILIA YA WASAFI. KWA LUGHA RAHISI DIAMOND NI BABU WA HUYU DOGO KI MUZIKI NA RAY VANNY NI BABA YAKE PIA. ALITAKIWA AONESHE HESHIMA HATA KAMA SIO YA KIFAMILIA BASI TU YA KUMTANGULIA KIMUZIKI." Nikamwambia yule rafiki yangu hasa kulingana na nilivyokuwa naiona nguvu ya kiroho ya kum'backup huyu dogo nikasema "HUYU DOGO ANAIMBA VIZURI NA ANAUZEZO MZURI NA WA UHAKIKA TENA NASISITIZA HAPA (anamzidi hata huyo Harmonize na ana zile techniques za uimbaji na uandishi kumzidi Harmonize) LAKINI HATOFIKA MBALI NA AKIFIKA ITAKUWA KWA NGUVU SANA KWASABABU ANAISHAMBULIA MISINGI YA ASILI YA NGUVU YA MUSIC WAKE."
      Harmonize na watu wote wa KONDE GANG walitengeneza tu watu sio kama WCB kulea na kuwainua bali kwasababu ya kujitengenezea nguvu fulani ya kukabiliana na upinzani wa WCB.
      Harmonize na watu wake bila kutengeneza kitu kama konde gang na madogo janja kama hawa na drama walizokuwa wanaziendesha BAADA YA KUTOKA WCB HARMONIZE ALIKUWA HAFIKI POPOTE.
      Haka kadogo kalionesh nyodo ya maana kakiwa chini ya Harmonize lakini sisi wengine tulikuwa tunaona anatamba juu ya KUTI KAVU.
      Kosa lingine kanalifanya hapa kama kuonesha kenyewe ni ka BEI MBAYA kusema makampuni yalikuwa hayafiki viwango vyake.
      UKIACHANA NA UMAARUFU SI AJABU HAPO HATA LAKI KUISHIKA KANAISIKIA TU (kwa ninavyowajua maisha ya wasanii wengi nilionao karibu), KANAACHA KUTULIA KIMYA BADO KANAVIMBA.
      Haka karate mshauri na mtu wa kukasaidia KANA KITU KATAFIKA MBALI.!!!!
      Ni mtazamo wangu tu, msinimaindi.!

  • @amielraphael2927
    @amielraphael2927 11 หลายเดือนก่อน

    Tatizo Harmonize Alikutumia vibaya mdogo wangu, alikurithisha Maadui wake na haukustuka kabsa

  • @kamigwasfamily1178
    @kamigwasfamily1178 11 หลายเดือนก่อน +13

    Ibraah..umebeba mengi moyoni,ukweli ungekuwa msaada kwako kuliko kuficha.

  • @nasibujuniorbd5698
    @nasibujuniorbd5698 11 หลายเดือนก่อน +34

    Mulimtukana sana H baba akiwa anaongea ukwel najua leo munaanza kukubali kua harmonize sio musanii ambae anauwezo wakupromoti Wasanii hata yeye anashindwa Sana kujibland

    • @muddyville
      @muddyville 11 หลายเดือนก่อน

      Kujibland ndo nini wewe

    • @makatym6151
      @makatym6151 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@muddyville😂

    • @user-fk8ul9dd5p
      @user-fk8ul9dd5p 11 หลายเดือนก่อน

      Kifupi ibrah hujui kuimba konde hata hivo kakubeba xana ila pambana na mixhe zingine mziki bado kbx

    • @sulleymernmannarah7930
      @sulleymernmannarah7930 11 หลายเดือนก่อน

      @@user-fk8ul9dd5p acha kumkatixha dogo Tamaa ..Dogo yko vzr shida Iko kwny management tuh Hyo Mmakonde akiacha utoto dogo atakua kimziki

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 11 หลายเดือนก่อน +32

    Huyu kijana ana wakati mgumu jaman yani sura yenyewe inajieleza

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 11 หลายเดือนก่อน +1

      True

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 11 หลายเดือนก่อน +3

      Mtoto mdogo sauti kama ya chege 😂😂😂😂

    • @bintspeech3868
      @bintspeech3868 11 หลายเดือนก่อน

      Point hata make-up hapaki siku hiziiiii 😂😂😂

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli sura haina nuru maskini maisha haya mmmh

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 11 หลายเดือนก่อน +14

    Ukiangalia interviews za nyuma kisha ukaangalia na hii tayari jibu utalipata kijana yupo na shida sema hawezi kujiachia kuongea kwa sababu kuna vitu havijakaa sawa😮

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 11 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisa 😂😂

  • @SaidJuma-ru7vm
    @SaidJuma-ru7vm 11 หลายเดือนก่อน +2

    He is not comfortable...! Harmonize anamuogopa huyu mtoto ndio maana hampi full support

  • @user-zt3et5kl5m
    @user-zt3et5kl5m 11 หลายเดือนก่อน +11

    Harmonise ananifanya nimchukue akii alijifanya anahela kununua migari ma kuhonga bila kujali kumlipa msanii wake ona sasa 😢

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 11 หลายเดือนก่อน +19

    Huyu aende next level asigniwe na vannybi❤❤❤

    • @user-uo6bo3ph6g
      @user-uo6bo3ph6g 11 หลายเดือนก่อน +3

      We nae huko next level Kuna Nini zaid ya ushuz,pale si Kuna msanii kasainiwa kafika wap??

    • @festovenas502
      @festovenas502 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kana kibul kabak uko uko 😂😂😂

    • @maryamtanzania9743
      @maryamtanzania9743 11 หลายเดือนก่อน

      Unamsingizia ibra hana kiburi jamani anajielewa ibra ila hamo nakupenda lakini mshike mkono ibra usimuache

    • @athumaniamani9905
      @athumaniamani9905 11 หลายเดือนก่อน

      Rayvany mwenyew anamshindwa macvoic so atamuweza huyu.....

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e 11 หลายเดือนก่อน

      Next revel kuna nini sasa

  • @rashidchid1828
    @rashidchid1828 11 หลายเดือนก่อน +8

    Ndo maisha yana kupanda na kushuka elewa ilo

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 11 หลายเดือนก่อน +7

    Mondi ka wajenga wasani wake example rayvanny na harmo alafu Nyinyi waandishi wa habari mna msema mondi day and night.

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 11 หลายเดือนก่อน +25

    😂😂😂 cku uta kuja kusema ukwel

    • @belabelaz6551
      @belabelaz6551 11 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅 atasema mengi

  • @AlexJumanne-ls5gm
    @AlexJumanne-ls5gm 11 หลายเดือนก่อน +6

    RIP konde geng 😭😭😭

  • @EddykingJuma
    @EddykingJuma 4 หลายเดือนก่อน

    Nipen laik zangu nawaskilia Kenya Nairobi❤❤❤

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 11 หลายเดือนก่อน +7

    Ukiona uongeaji wake inamaanisha magumu mengi anapitia

  • @jeybullaz9323
    @jeybullaz9323 11 หลายเดือนก่อน +9

    Sura yake ina akisi unyonge lkn anaficha ibra

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 11 หลายเดือนก่อน +18

    Eti brand 😅😅😅Brand huna show,onyesha heshima kwa wasanii tofauti na huyo mabange 😢

    • @fatumakiwera7145
      @fatumakiwera7145 11 หลายเดือนก่อน

      Anabrand gan Sasa iliyoekezwa kwako muache azeeke et brand

  • @Mwanasha-cf9vd
    @Mwanasha-cf9vd 11 หลายเดือนก่อน +25

    Ndio mkome ulijifanya mjuaji

    • @aishamagoshi2852
      @aishamagoshi2852 11 หลายเดือนก่อน

      Shidayako nigani

    • @maslaseif8186
      @maslaseif8186 11 หลายเดือนก่อน

      @@aishamagoshi2852 shuda yake ni kwasababu anaona dogo yuko anapotea kitaratibu na wakati kipaji chake nikikubwa mno

  • @itNeza
    @itNeza 11 หลายเดือนก่อน +18

    5:53 wewe sio expensive Kihivyo kama Brands zinakuja na kuto kulipa, Jishushe pokea Shows Za kiwango unacho kizarau Utakuwa afu utapata pesa. ( Ni kili Tuu ). 🙄

    • @katodabossfamily897
      @katodabossfamily897 11 หลายเดือนก่อน

      Bro shida nimkataba aliosign
      Hvyo ata akipiga show ya 5M mean record label inachukua 60% yeye 40% Ndio maan anapambania apate malipo makubwa kweny 10M at least apate 4M fresh maisha yanasonga Haya hyo 5M atapata ngap

  • @swedywamba5535
    @swedywamba5535 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanahabari mwenye uzoefu

  • @BHTV-ly4jf
    @BHTV-ly4jf 11 หลายเดือนก่อน +14

    hapa napoteza bando zangu bure😟😟

  • @mbanjenyambega2525
    @mbanjenyambega2525 11 หลายเดือนก่อน +7

    Iv uyu ndio yule aliekuwa anajifananisha na rayvan na kuiponda wcb

  • @HitonAmbeyi
    @HitonAmbeyi 11 หลายเดือนก่อน +9

    Mambo🎉🎉🎉

  • @wakatv3704
    @wakatv3704 11 หลายเดือนก่อน +2

    sasa una mlaumu nani hapo? utaskia oooh mond ndio chanzo Kila jambo mond achen hizo fanyen kazi nzuri

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni1135 11 หลายเดือนก่อน

    Wewe star kuliko mzee majuto???shauri yako

  • @m___ck799
    @m___ck799 11 หลายเดือนก่อน +14

    Kondegang is house of talent..nyimbo zao make sense, lyrics za maana!Big up 👏🙌

    • @ikramalmas7039
      @ikramalmas7039 11 หลายเดือนก่อน +1

      Endeleeni kuamini hivyo, sasa kampuni kweli ishindwe kufanya kazi na wewe. Level yako unatakiwa upate hata laki 5

    • @kiatu
      @kiatu 11 หลายเดือนก่อน

      @@ikramalmas7039 😂

    • @m___ck799
      @m___ck799 11 หลายเดือนก่อน

      @@ikramalmas7039 Hizi ni talent za high level...hiyo laki tano/hata milioni 10 baki nayo...

    • @Noah-zt5zf
      @Noah-zt5zf 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@ikramalmas7039unajua kujibrand lakin ww kenge

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 11 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@m___ck799Talent bila hela ni sawa na Richie Mavoko tu😂😂😂

  • @abdulkadershabani4570
    @abdulkadershabani4570 11 หลายเดือนก่อน +44

    Mimi kama mshabiki wa music
    Huwa sina upande wowote
    Lakini ndgu yetu harmonize
    Amtendei haki huyu dogo
    Inaniuma sana aisee

    • @pilinondo
      @pilinondo 11 หลายเดือนก่อน

      Nyie vp

    • @hamadimatano4503
      @hamadimatano4503 11 หลายเดือนก่อน +6

      alafu uyo dogo anamtete sana hamo sababu ni makonde ila mungu analipa hamo alisema diamond ni myonyaji kumbe ni yeye 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @Noah-zt5zf
      @Noah-zt5zf 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@hamadimatano4503amemnyonya wapi

    • @meryamabdullah2081
      @meryamabdullah2081 11 หลายเดือนก่อน +3

      Kabisa yn hayupo happy kbsa

    • @user-kn3rp4rw5w
      @user-kn3rp4rw5w 11 หลายเดือนก่อน +3

      Kaka uyu hayuko sawa kabisa

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 11 หลายเดือนก่อน

    Pole Hamo hamna kitu pole sana

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 11 หลายเดือนก่อน +1

    Be strong kaka 💪💪💪🔥🔥🇰🇪🇰🇪

  • @zamunda1596
    @zamunda1596 11 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni kijana mwenye maono tofauti na vijana wengine katika utafutaji

  • @fatumakiwera7145
    @fatumakiwera7145 11 หลายเดือนก่อน +126

    Huyu ajipe moyo tu huyo harmonize mbona hakuachwa na diamond ili ajipush mwenyewe harmo hawez kusimamia msanii

    • @African_Prince
      @African_Prince 11 หลายเดือนก่อน +10

      Hawezi

    • @michelinemapendo6652
      @michelinemapendo6652 11 หลายเดือนก่อน +10

      Anajipenda saaana Harmonez 😢

    • @DavidMbwilo-qk1bz
      @DavidMbwilo-qk1bz 11 หลายเดือนก่อน +34

      Mtu ambaye amelelewa bila kujua ugumu wa music hawez saidia mtu mwingine konde boy ajui maisha magumu ya music Kila kitu aliandaliwa na simba

    • @kirupyseleman582
      @kirupyseleman582 11 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@DavidMbwilo-qk1bzfact

    • @FastpayMauzo
      @FastpayMauzo 11 หลายเดือนก่อน +16

      Harmonize Utoto mwing sana

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l 11 หลายเดือนก่อน +18

    Sina cha kusema nacheka weye si ulikua anawachamba wakina simba😅😅😅😅

  • @fahadkhamis1562
    @fahadkhamis1562 11 หลายเดือนก่อน +6

    WCB Pekee ndo ina uwezo wa kuthamini msanii, huyu dogo mambo mengi anaficha ila kiukweli si vizuri kutukana mamba kama hujavuka mto Jeshi anajali vita vyake tu ✍🏻

  • @nkunzurwandakatibu9694
    @nkunzurwandakatibu9694 11 หลายเดือนก่อน +20

    Msani anasema ni expensive, Hana show ata moja , Hana endorsements , Sasa ni expensive how???

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 11 หลายเดือนก่อน +3

      Hajielewi dogo. Anaonesha ana msongo wa mawazo

    • @leahmlagwa284
      @leahmlagwa284 11 หลายเดือนก่อน +1

      Hata lile tabasamu lake limepotea

    • @Hanel_csn
      @Hanel_csn 11 หลายเดือนก่อน

      Ameandaa biashara ameweka kiwango Cha bei unashangaa nn sasa

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@Hanel_csn😂😂ovyo

    • @ursulinenyandindi3051
      @ursulinenyandindi3051 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@Hanel_csn uzuri mafans siku hizi tuna exposure.msanii akidanganya hata sura inajieleza. Sio kweli watu wanafika bei ya marioo , jay melody uyu hawafiki. Ako na shida huyu, ataongea very soon

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 11 หลายเดือนก่อน +3

    Maisha yamemtandika kwasasa jamanii amebadilika sana😢

  • @user-mi4hq7fw4m
    @user-mi4hq7fw4m 11 หลายเดือนก่อน

    Uyo dogo uwaga na mukubali kabisa from DRC LUBUMBASHI 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-rz4zv6td8k
    @user-rz4zv6td8k 11 หลายเดือนก่อน +10

    konde hakuna kitu jipange mwana

  • @navanjkiba2439
    @navanjkiba2439 11 หลายเดือนก่อน

    Keep it up

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 11 หลายเดือนก่อน +27

    Ukiona msanii anajitapa kua ana pesa ni mfumo wa kuraghai😂watu. Hivi Harmonize inje ya Kuimba na kitu kingine kipi?

    • @jumaabas6837
      @jumaabas6837 11 หลายเดือนก่อน +1

      Tuambie mke wa harmonize

    • @EliyaMbosore-yv3zx
      @EliyaMbosore-yv3zx 11 หลายเดือนก่อน +1

      Bado anajitafta maana endorsement zenyewe akipewa baada ya mda wanamtema

    • @sulleymernmannarah7930
      @sulleymernmannarah7930 11 หลายเดือนก่อน

      Hana chchte

  • @himidiwekabuje8402
    @himidiwekabuje8402 11 หลายเดือนก่อน +13

    Kumbe ananyimbo mpya huyu 😅

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 11 หลายเดือนก่อน +17

    Mbona anatia huruma sana huyu dogo, akaombe radhi kwa vanny boy tumsain next level

    • @FatumaMamlo-st8pj
      @FatumaMamlo-st8pj 11 หลายเดือนก่อน +7

      Vani ndombu gani tena mpaka amuombe radhi ivo yule mavoic anaemtukana konde bila kosa nae akaombe wapi hio radhi kama siungese uliooxa😢😢

    • @shwaibukhatibu2838
      @shwaibukhatibu2838 11 หลายเดือนก่อน +4

      Huyo rayvanny yeye kafanya nini kipya Kwa msanii wake

    • @johnsonchonja4032
      @johnsonchonja4032 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@FatumaMamlo-st8pj mbn makasiliko ya ghafla

    • @johnsonchonja4032
      @johnsonchonja4032 11 หลายเดือนก่อน

      @@shwaibukhatibu2838 punguza makasiriko

    • @mwezzireen17
      @mwezzireen17 11 หลายเดือนก่อน +1

      True vanny roho safi anayo

  • @Lassana755
    @Lassana755 11 หลายเดือนก่อน +18

    Dogo acha ufala ukipata milioni 1 kapige show hakuna mtu atatoa m10 kwakwo wwe 1, 2 beba kafanye kazi hakuna kupata kudogo

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 11 หลายเดือนก่อน +9

    Mbona kafanana na Mr. Nice vile

    • @mvungigaming
      @mvungigaming 11 หลายเดือนก่อน +3

      Ni yeye Mr Nice lol😂

    • @user-uo6bo3ph6g
      @user-uo6bo3ph6g 11 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂😂😂😂

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 11 หลายเดือนก่อน +6

    Msanii hana show yoyote ile nje na ndani halafu anataka Hela....."mm ni expensive sana?"😂😂😂😂

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 11 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂mi nilimsahau😂😂😂kumbe yeye expnesive😂😂

  • @mariusmashelle4528
    @mariusmashelle4528 11 หลายเดือนก่อน +20

    Hata Sura yake inaonyesha hayupo sawa ni vile anashindwa kusema ukweli 😢

    • @highbodzaina
      @highbodzaina 11 หลายเดือนก่อน +1

      kwel ayupo sawa

    • @surajatul732
      @surajatul732 11 หลายเดือนก่อน

      Mapema kabisa wakati huyu dogo anaingia kwenye game mapema kabisa niliwahi kuongea na jamaa yangu tukiwa tunapiga tu story.
      Nikasema "HARMONIZE NI MTOTO WA DIAMOND KIMUZIKI NA HATA KIMAISHA AMEBEBWA NA DIAMOND NDIO AKAFIKA HAPO ALIPO NA AKATOKA WCB KIDHARAU NAMNA ILE PASIPO BARAKA AU RADHI ZA WALIOKUTOA. RAY VANNY PIA NI NDUGU WA MZALIWA PAMOJA NA HARMONIZE KWENYE FAMILIA YA WASAFI. KWA LUGHA RAHISI DIAMOND NI BABU WA HUYU DOGO KI MUZIKI NA RAY VANNY NI BABA YAKE PIA. ALITAKIWA AONESHE HESHIMA HATA KAMA SIO YA KIFAMILIA BASI TU YA KUMTANGULIA KIMUZIKI." Nikamwambia yule rafiki yangu hasa kulingana na nilivyokuwa naiona nguvu ya kiroho ya kum'backup huyu dogo nikasema "HUYU DOGO ANAIMBA VIZURI NA ANAUZEZO MZURI NA WA UHAKIKA TENA NASISITIZA HAPA (anamzidi hata huyo Harmonize na ana zile techniques za uimbaji na uandishi kumzidi Harmonize) LAKINI HATOFIKA MBALI NA AKIFIKA ITAKUWA KWA NGUVU SANA KWASABABU ANAISHAMBULIA MISINGI YA ASILI YA NGUVU YA MUSIC WAKE."
      Harmonize na watu wote wa KONDE GANG walitengeneza tu watu sio kama WCB kulea na kuwainua bali kwasababu ya kujitengenezea nguvu fulani ya kukabiliana na upinzani wa WCB.
      Harmonize na watu wake bila kutengeneza kitu kama konde gang na madogo janja kama hawa na drama walizokuwa wanaziendesha BAADA YA KUTOKA WCB HARMONIZE ALIKUWA HAFIKI POPOTE.
      Haka kadogo kalionesh nyodo ya maana kakiwa chini ya Harmonize lakini sisi wengine tulikuwa tunaona anatamba juu ya KUTI KAVU.
      Kosa lingine kanalifanya hapa kama kuonesha kenyewe ni ka BEI MBAYA kusema makampuni yalikuwa hayafiki viwango vyake.
      UKIACHANA NA UMAARUFU SI AJABU HAPO HATA LAKI KUISHIKA KANAISIKIA TU (kwa ninavyowajua maisha ya wasanii wengi nilionao karibu), KANAACHA KUTULIA KIMYA BADO KANAVIMBA.
      Haka karate mshauri na mtu wa kukasaidia KANA KITU KATAFIKA MBALI.!!!!
      Ni mtazamo wangu tu, msinimaindi.!

    • @ramayonline2281
      @ramayonline2281 11 หลายเดือนก่อน +2

      Dogo anateseka pale Gengeni ni vile tu mda haujafika wa dogo kuuzungumza ukweli ila naamini siku akitoka pale tutayasikia mengi

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 11 หลายเดือนก่อน

      Hata ngozi yake inaonyesha kama yupo na mawazo hayupo sawa😢 mmh anajikaza

  • @jeffyasin2977
    @jeffyasin2977 11 หลายเดือนก่อน +10

    Niwasanue jaman huyu hajapokea pesa kwa sababu hizi digital platform zinakiwango cha kulipa mfano ukifikisha kiwango cha million tano kwa mwezi ndo unapewa kutokana na streams zako sasa ukweli ni kuwa hana streams nyingi ndo mana pesa inakuwa changamoto ulishawahi sikia wap mtu anafanya kazi ana submitt na halipwi miezi nane

    • @princekarani7836
      @princekarani7836 11 หลายเดือนก่อน

      Ni sawa naweza. Kukubali!,je izo streaming anazokuwa nazo izo ndogo pesa ulipwi au wanazihesabu vipi kwamba iyo pesa wanaichukua!!!,mzee streaming zozote ziwe ndogo au kubwa lazima ulipwe tu!! Mbona harmonize anazo streaming nyingi lakini anadai kuna pesa halipwi

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 11 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@princekarani7836sasa Harmonize nae niwakuamini?? Yule jamaa msanii mzuri ila uongo uongo mwingi....kawasikilize Ziiki ndo utaelewa.

    • @fredambrose3118
      @fredambrose3118 11 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@princekarani7836na ww ukaamini😂😂😂😂 mna shida nyie. Yaani mtu umlalamikie kuwa anakuibia alaf bado unampelekea kazi zako

    • @storytime1204
      @storytime1204 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@fredambrose3118Sasa si bado yupo kwenye label na anamkataba so Hana namna

  • @Zenny89
    @Zenny89 11 หลายเดือนก่อน +8

    Mcheki alivyonywea sasa hivi🤣🤣 ule ubabe wa zamani upo wapi

  • @jaykeenmamba
    @jaykeenmamba 11 หลายเดือนก่อน

    Ibraah jiongeze mwenyewe bwana

  • @pilimateleka5111
    @pilimateleka5111 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mhhhh. Na bado hujasemaa😂

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 11 หลายเดือนก่อน +3

    Unaibiwa na mmakonde mwenzako wew c upo chini ya lebo kwanini leo hakusimamii utoe nyimbo afu madai yanaendelea ,sema ukweli usaidiwe endelea kuficha maovu

  • @wangulaedga7445
    @wangulaedga7445 11 หลายเดือนก่อน

    You guys kept on fighting Diamond kwa muda now you are suffering ndio unakuja kucomplain, Tanzaniansl artists should chose them battles to fight sio kila vita ni ya kupigana na kurusha maneno,huyu talanta ishaingia maji akuna wa kumwokoa tena

  • @rahimaidd
    @rahimaidd 11 หลายเดือนก่อน +25

    Bado ajasema atasema anajikaza kisabuni dogo😂😂 mwambie aongeze sauti 😂😂😂unapakuwa kwenye lebo kila kitu kinakuwa chini yao konde kukutelekeza ila anataka ujitoe mwenyewe ili umlipe konde mjanja sana anasema mapato ajaingiza miaka3 wakat anakwambia attitude na single again zimeingiza pesa nyingi dogo ulikuwa anajishndanisha na vanny boy na kumdisi sana leo kaachwa kwenye mataa

    • @African_Prince
      @African_Prince 11 หลายเดือนก่อน +6

      Yaani mpaka asemeee

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 11 หลายเดือนก่อน

      Bado hajasema😂😂

    • @simonmalugu6447
      @simonmalugu6447 11 หลายเดือนก่อน

      Yaani apo bado

    • @nurufidel-lp6wj
      @nurufidel-lp6wj 11 หลายเดือนก่อน

      Yani paka aseme 😂😂

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 11 หลายเดือนก่อน +3

    label inaongozwa na Harmonize unatarajia nini ?

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mda ukifika utauzungumza ukweli tena ukweli mtupu naamini haya yote uliyoyazungumza apa kweny hii inteeview utakuja kuyaweka sawa,POLE SANA KWA UNAYOYAPITIA na UJIFUNZE KUHWSHIMU WALIOKUTANGULIA,ulimtukana sana Diamond Platnumz na WCB kwa ujumla

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 11 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaaa ako depressed Sana inaonesha..........

  • @akanimkwawi503
    @akanimkwawi503 11 หลายเดือนก่อน +5

    Ibraa nakushaul usijalibu kumwimba mond vibayaa et kisa ujulikanee haisee atakupotezaa kwenyee mzk mond nusuu binadam nusu mzmu kupotezaaaa ustar wako halaka sanaa

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @noblezeprezdaa3789
      @noblezeprezdaa3789 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂 yan yule ni jini

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 11 หลายเดือนก่อน +11

    Rayvanny alikuwa akigombana na harmo wewe ndo unatumiwa kujibu...😂😂😂 Leo kimekupata nyooo

    • @aishamagoshi2852
      @aishamagoshi2852 11 หลายเดือนก่อน +1

      Pumbavuuuuuuuu

    • @rehematwaha5955
      @rehematwaha5955 11 หลายเดือนก่อน +3

      Na alikuwa anachongoa mdomo

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 11 หลายเดือนก่อน +3

      Kabisa leo yamemkuta 😂😂😂

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@aishamagoshi2852 fool kiko wapi.....useless ibraah

    • @EddykingJuma
      @EddykingJuma 4 หลายเดือนก่อน

      Unachokiongea unakijua au umechomekwa

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 11 หลายเดือนก่อน +11

    Nime furahi kabisa ulipo kutana nayo, ulivyo ingia kwenye games ulianza kumtukana mond, and Rayvanny bila kujua kesho nani ana weza kuku saidia. Hacha tuone mw8sho wako kwa sasa.😊

  • @djbestseries5634
    @djbestseries5634 11 หลายเดือนก่อน +6

    Bado hujasema.....😜😜😜

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 11 หลายเดือนก่อน +5

    Its a matter of time yaani bado haujasema😅😅 na utasema

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 11 หลายเดือนก่อน +26

    Kipaji hiki halipati promotion inayotakikana angekua wCB trust me huyu angekua msanii mkubwa sana coz dogo anaimba sana

    • @POGMESSITV
      @POGMESSITV 11 หลายเดือนก่อน

      LavaLava na Queen Darlin ni wasanii wa kubwa sio😂😂

    • @fredambrose3118
      @fredambrose3118 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@POGMESSITVtaja ww wasanii wa 4 walio nje ya WCB ambao ni wakubwa kuliko lavalava

    • @user-po9yx5mu2b
      @user-po9yx5mu2b 11 หลายเดือนก่อน

      Lavalava na Queen darlin wanaukubwa gani mamayo ww

    • @fredambrose3118
      @fredambrose3118 11 หลายเดือนก่อน

      @@user-po9yx5mu2b Queen darling sio msanii ww mtu ana miaka zaidi ya 5 haiimbi unamfananisha na mtu mwenye album na ep em kuwa kiakili ww. Em tuambie kwanza marioo lini kafanya show ya nje ya Tz

    • @elyudsaleh6044
      @elyudsaleh6044 11 หลายเดือนก่อน

      @@fredambrose3118 Jay Melody, phina, marioo, mabantu n.k na hawapo kwa Lebo.

  • @kiatu
    @kiatu 11 หลายเดือนก่อน +5

    Natamani (I wish) music labels hapa TZ zisingekuwa chini ya active artists kama ambavyo ilivyo nchi zingine (SA kwa mfano). Wasanii wengi zaidi wengetoboa. Kwa mfumo wa sasa wanaojaribu kuibuka wanakumbana na wenye label ambao pia wana pressure ya kubaki juu (kuna conflict of interest). Wafanya biashara ya musiki wako wapi TZ?

    • @smarty1064
      @smarty1064 11 หลายเดือนก่อน +1

      sasa hao ndo wasambazaji wa muziki? Diamond mwenyewe alilalamikia wasambazaji ambao ndo wana hela yao

    • @kiatu
      @kiatu 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@smarty1064 Kusambaza ni mojawapo ya hatua za mwisho katika biashara ya muziki, na sio lazima label ifanye, there is a lot to be done before that.

  • @kenyafarm9891
    @kenyafarm9891 11 หลายเดือนก่อน

    When you're facing difficults keep pushing hard ur in college usione wateswa

  • @user-lo9fn9hf7q
    @user-lo9fn9hf7q 11 หลายเดือนก่อน

    Pole kwayote unayopitia ❤

  • @benardmatano142
    @benardmatano142 11 หลายเดือนก่อน +8

    Ati aende next level? Uyo mwenyewe vanny boi kijana wake ametulia

  • @edwardmaguluko6541
    @edwardmaguluko6541 11 หลายเดือนก่อน +2

    Alipopata nafasi ya kwenda konde gang akaanza kutukana wakubwa yani alijiona amefika kwa harmonize leo anatuletea mahubiri yake

    • @ebkmfalme
      @ebkmfalme 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @giztony2009
    @giztony2009 11 หลายเดือนก่อน +9

    Ujue huyu ana unyonge kwa mbali kiukweli anapitia Hali ngumu yani kwa kifupi hana hela

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 11 หลายเดือนก่อน +7

    Sijaona mtoto mjinga kama na bado atasema tu

  • @user-yv6bi8rj5z
    @user-yv6bi8rj5z 11 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu mtoto anajikaza tu lkn anaonekan kbsa ana mateso, soon mtapata majibu jinc wtkavyo bulizana basata na yule mvuta bangi

  • @DamawaMwamba-kj8kg
    @DamawaMwamba-kj8kg 11 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Ibraah 😢😢🤔🤔

  • @silageorge1638
    @silageorge1638 11 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu jamaa anapitia magumu ila anaogopa kusema kua mkweli tu uwe huru

  • @mussaside6844
    @mussaside6844 11 หลายเดือนก่อน

    Hataree

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz 11 หลายเดือนก่อน +7

    Maisha dogo yanamchapa hadi amezeeka gafla mbona utasema tu

  • @user-qq3wf7id4v
    @user-qq3wf7id4v 11 หลายเดือนก่อน +3

    Ibraah

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary2704 11 หลายเดือนก่อน +4

    Dogo anavyoongea Tu inaonyesha wazi ana maumivu na hata usoni amekata tamaa

    • @POGMESSITV
      @POGMESSITV 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @nuhumaalim4976
    @nuhumaalim4976 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu alimtukana dai na rayvany kwakua yupo na harmonize ila leo kawa mpole hakujua kama jamaa sio mwema

  • @nanaleetz
    @nanaleetz 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ila ibra ulichokosea ni kuingiliaga ugomv wa harmo na WCB ona sasa umekosa Bara na Pwani mzee ww kaza mwenyew mzee huwenda mafans watakuona na watakusaport

  • @franccoz94
    @franccoz94 11 หลายเดือนก่อน +7

    KONDE ANAMTESA SANAA HUYUU DOGOO

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 11 หลายเดือนก่อน +12

    Huyo nae ana ukubwa gani mpaka akatae dili za kua ambassador 😂😂😂😂

    • @YohanaTulito-sv4zc
      @YohanaTulito-sv4zc 11 หลายเดือนก่อน

      𝐍𝐢𝐦𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚. 𝐊𝐚𝐦𝐚..𝐦𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚𝐚𝐚.

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@YohanaTulito-sv4zcanaukibwa gani huyu???😂😂😂

    • @highbodzaina
      @highbodzaina 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @highbodzaina
      @highbodzaina 11 หลายเดือนก่อน +1

      IPO cku atasema 2

  • @joselynesango4430
    @joselynesango4430 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤ ibraah

  • @alexandrodieumerci8955
    @alexandrodieumerci8955 11 หลายเดือนก่อน

    Chinga ni 🔥

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ati watu hawalali studio wasemea watu ili iweje kama hujalala usiseme kila mtu wao washalala

  • @happymfiomy4673
    @happymfiomy4673 11 หลายเดือนก่อน +1

    Rayt rayt😂😂😂

  • @silageorge1638
    @silageorge1638 11 หลายเดือนก่อน +2

    Yupo busy kupigania single again vile nikubwa rema nae aseme nini

  • @ivynzuki6708
    @ivynzuki6708 11 หลายเดือนก่อน +5

    Harmonies siku hizi anakera sana ana jifikiria mwenyewe and 🍑🍑🍑 so annoying 😞😔

  • @ireneimbuhira7759
    @ireneimbuhira7759 11 หลายเดือนก่อน +1

    Konge damu love love him❤