Big up for clam vevo. Maaan wengi tumeijua hii ngoma baad ya kuangalia movie ya clam vevo Best friend🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉. Hila Benny shizzo nawe umejitahd endelea kupambana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Namushukuru sana Clam Vevo kwa kutumiya iyi Song kwenye filamu yake Best Friend Adi n'a Mimi nika fikiya kujuwa mwenye Song iyi ni Song nzuru saaaaaaaaaaaaaana ❤❤❤
Aisé yaani wimbo muzuri n'a mutamu kama huu ume kosa ma billioni ya ma likes jamani,, mashabiki wana sapoti ujinga kuliko ku sapoti vitu vyenye ujumbe muzuri kama ivi apa.. congratulation m'y super star
Wangapi tume kuja kuiisikia hii ngoma baada yakufata BEST FRIEND ya Clam vevo
☝️
👋
Hahahaha moja wapo
Mimi apa
☝️nipo hapa my friend😂😂😂😂
Wenye tumetafuta hii song kwanini ya clam munipe like zangu hapa🥰
😂😂banaeee ndo kufika
daaah clam @@rehemaruwa
maze tuko hapa kwa sababu ya clam
@@mwakabeja77 UJAKOSEA
Tuko hapa juu ya clam
Anaeamin kuwa clam VEVO amesaidia kuifikisha hii nyimbo vizur baada ya kuangalia best friend❤❤❤
Ngoma kali mwana
Kwel kabisa clam ameenua hii nyimbo
Mimi mwenyewe nipo hapaa baada ya kuangalia best friend
Kabisa mana ata mm baada ya kuisikia kule ndo nikaja kutafuta
Akili ndo bahati naomba jina la uyo msani ya best friend ❤️
Best friend ya clam imenifanya nikujue kaka wewe ni myama❤❤❤❤ gongs like hapa kama umemjua kupitia clam
Niwe tu mkweli clam ndio kanifanya niutafe huu wimbo asantee sanaa❤
Tupo pamoja 😂
Same here
Watu tulio toka ktk best friend na kuipenda nyimbo hii tujulikane kwa like 😂
Tulio skia hii song kweny movie ya clam vevo tujuane best friend 😂😂😂
Clama ndo kanileta hapa , duuh! Kumbe kuna watu wanajua kuimba hiv aisee😢😢❤
Na mimi clam ndo kanileta
Pia mm ni clam vevo amefanya nikajua hii song
Kama uko hapa baada ya kuiskia toka kwa clam vevo best friend...nipe likes❤❤the song is a heat
Daaah wengi tu tumecheki baada ya kucheki best friend
Big up for clam vevo. Maaan wengi tumeijua hii ngoma baad ya kuangalia movie ya clam vevo Best friend🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉. Hila Benny shizzo nawe umejitahd endelea kupambana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
kabisa 😊
Walai pia mm ndo nmeona
Mimi ni nzuri sana aki nimeisikiza hadi kulia wakati CLAM alipokea akiimba
One day tutafika trending number moja ya kwetu inakuja ipo tu✊
Ameen 🙏🙏🙏
Hii ngoma ni ngori msee. Itabidi ucheze na Clam VEVO vizuri
Kama umekuja humu baada ya kumuona clam akiimba kwenye show ya best friend
Kiss my comment 😮
Yaaan clam kafanya niirudie bara saba
From clam VEVO nimefika hapa.....good music bro keep it 💕💕💕
Thank you
Nngoma imekaa mwake.. Clam vevo kwenye Best friend umemuinua mwana..✊
Mm pia nipata hii ngoma kwa best friend ya calm vevo ipoh juu sana I love it ❤❤❤🎉
clam umemtoa jamaa aise , bonge la nyimbo
Whaou baada yakuona filama ya clam nikatokea kupenda iyi song 🥰🥰🥰🥰
Yaan clam vevo kafanya nifike hapa nimetafuta nyimbo kwa har na Mari na nimeinasaa gud guda gutast
Nishazama ndani ..waalaaaii
Congratulations Benny and much big hands to clam Vevo for introducing it on my best friend
Nikweli jamaa kaisapot kwa kutumia best friend clam apewe maua yake
Atapia mm nimeiskia Kwa best friend bt I Ngoma kali🔥🔥🔥
Wangapi wametumwa hapa na best friend ya clam vevo🎉🎉🎉
Baada ya kuangalia best friend ya clam vevo ndo nimekuja kuatfuta nyimbo yenyew😊😊😊
Kazi nzury Ben,wimbo mzuri,video kali sana...lets keep moving
Asante sana kaka 👏
Nipo
Kama ikitokea dude langu pendwa kabisa 🔥🔥🔥🔥🎼 good music lives 🎉
My brother masy tz
Kama si hio part clam alitumia singemjua huyu star big up just subscribed from Kenya🇰🇪
Thank you so much
Ngoma hii iko inavuka mipaka sababu ya Best friend ❤nakusikia kutoka Burundi
lovely song,,much love from capital city of Africa Kenya 🇰🇪
Kwali kabisa maana wengi tumeusikia Kwa cram
Ebanaae sy mbaya leo clam kanileta huku kumtafuta benny shizzol❤❤❤❤
Huyu clam vevo kichaaaa kweli kumbe kunachimbo langoma safiihivi hukuuu, kivumbi kweli kweli
Daaah ilaaa subiraaa.... daa mwamba fundi sna mungu amuongoze❤❤❤😊
Asante sana kaka
@@Benny-Shizzol p1 kaka
Kweli kabsa Vevo kaku tangaza
Kajitahid sanaaaa
TikTok imenifanya nimfahamu msanii huyu bora.... 🎉🎉🎉 Naachaje kukufatilia msanii wangu wakati unafanya ngoma kaliii... We support good music
Asante sana 🙏🙏
Hata mm
Me to
Daaah...clam ndio umenifanya niujue huu wimbo ...kweli unajua ila tatizo nyota
Hii nyimbo clam ameipromote sana
Yuko wengi sana jamaa anajua uyu
Nimeikubali 100%
Tangu nilisikiya hi musique kwenye BEST FRIENDS ya clam vevo nashinda nikiusikiliza juma mzima nakufata kutoka congo ❤
Hata mm nimefatilia hii ngoma baada ya kumuona Clam Vevo ndani ya best friend
Best Friend🎉..amefanya clam tukujue broo❤
Kalibu kweny tumekpokea skuanzia sasa we ni kama dayoo au marioo au jay melody.... karib sana
Oyaaaaa eeee huyu jamaaa anajuaa kisela ni basii tu bado kutoka💥💣💯🔥🔥🔥🔥
Am one of them kuja kutafuta hii wimbo after kuwatch "BEST FRIEND.
Namushukuru sana Clam Vevo kwa kutumiya iyi Song kwenye filamu yake Best Friend Adi n'a Mimi nika fikiya kujuwa mwenye Song iyi ni Song nzuru saaaaaaaaaaaaaana ❤❤❤
Tumetoka kwa vevo wote best friend
Kuna watu wanaimba❤
Kuna ngoma ukisikiliza TU inavoanza unajua kabisaaa hii itakua Kali..🔥🔥🔥 Piga kazi na mpe Hi John B nimemeona humo..💥💥
ASANTE SANA BOSS
❤❤clam VEVO ndio kafanya niijuwe na kuipenda sana Kila siku naisikiliza
Clam hana kinyongo na mtu yeyote ndipo mungu akamfikisha alipo hivi sasa...🎉
Because of CLAM VEVo nimeijua hii Ngoma 👊👊.......nice song benny 🔥
Huyu jamaa anajua sana
Clam vevo amejua kutuvuta kuiangalia hii ngoma
Best friend ni kipindi zaidi ya kipindi, kimefanya nimjue uyu msanii mkali ivi
Hit song Ben mzee umeua kinyama🎶
Asante sana kaka
Jamani naomba jina la msani,best friend ❤️ akili ndo bahati
Niko juu clan VEVO one love from Kenya
Nyimbo yangu pendwa baada ya IMETOSHA 🎶🔊
Asante sana kaka
Tulioletwa na CLAM VEVO gonga likes hapa
Weng sana tumeifata hii ngoma baada ya kuangalia best freand sio sil ni nul sana🎉❤😂
Daaah kazi kama hizi nzuri wabongo wanapita tuu,, ngoma kali kila kitu na inachukua feelings be blessed bro
Asante sana 😢
Benny ngoma kali sana hii bro🔥🔥🔥
Tzd...mwajua kuigiza....DirectorDIDY🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤗🤗🤗🤗🤗🤗🍌🍌🍌🍌
Aisé yaani wimbo muzuri n'a mutamu kama huu ume kosa ma billioni ya ma likes jamani,, mashabiki wana sapoti ujinga kuliko ku sapoti vitu vyenye ujumbe muzuri kama ivi apa.. congratulation m'y super star
Courage mwamba.
Haki ya MUNGU wimbo unatembea
Best friend ndo nimemufaham huu wimbo nikatafuta mtandaoni tupo wangap
Mwenyezimung hakuongoze katika harakati zako kaka .... good music..... good performance 🔥🔥🔥
Asante sana😊
Chukua maua yako umenikosha
Du jamaa unajua mpka unakela ebu nitumie namba nikutumie hata ya pepsi you kill it❤❤❤
Asante sans
Kazi nzurii💛💛
Duh clam kanileta kwa goma safi ,keep it up bro ben
Asante sana
Yan Tanzania yetu wasanii mnaoimba vizur hamuonekani lakin kuna siku zinakuja .. Hongera mno
Asante sana 😢
Kwa kweli umeongea kabisa @reganshao
Mimi no 1 na nilikua sjui kaimba nani nikaistall "shazam" kwaajili ya kuitafuta tu hii ngoma
Asante sana
Nyimbo nzur jaman... Nilikua naitafuta sana from best friend ❤
Big up to clam vevo nimepata kujua hii wmbo
Congratulations sijawai ichoka hii nyimbo naipenda🔥🔥🔥❤❤
Vevo ndo mtu alonipa nguv ya kudakaa hii nyimb dah so pw an ❤❤❤❤❤
Clam kaipromote sana hii ngoma Iko njema sana
Baada ya kuangalia Best friend ya Clam Vevo ndiyo nikaja kuona na huu wimbo💪
Unajua mpk unajua tena
Jamaa Amshukuru Sana Clam
Ukiskia wasanii twategemeana ndo hii sasa....jitie kiburi
Ulipo Toka na Sasa Kuna mabadiliko makubwa ishaallah mungu akipenda. #ita wezekana
AMEEN
Mwna unajua mzee nmekupata kupitia vidio ya clam vevo
Best friend ✌️
TUNAWAZE TUKUAMUA KUMBE✊🏿✊🏿
Wasengeee nyee. Dada zenu wavae ileni nanyi mjvaee. Sasa nani atongozwee
Mi nlijua wanaojua kuimba wameshaisha bongo kumbe Bado aseee
Saf sana ongera DIDI nimeona
Ana bayaaaaah katika ilii
Kwanza mimi nilijua wimbo wa clam vivo
Kaka nyimbo yko imeniliza baada ya kuachwa daaah😢😢
Pole sana
Nimeletwa na Clam VEVO
Ahsante xana kwa kunifanya niweze kuinjoy kipaj kikubwa hiki nami naimba pia lakn wew mwanangu ni .
Jamaa anaweza
Moto sana big up. Sipo huuru......❤
Asante sana
Clam amefanya nije huku dah kaz nzur 👍👍