Historia ya Tabganyika ILIBAKWA inahitaji kuandikwa upya Tuliyosoma ilikuwa ya kisiasa zaidi na kutukuza nimeona clips mbalimbali kwenye social media za wazee waliotoa mchango kabla na baada ya Nyerere kuwepo kwenye vugu vugu la Uhuru , wana haki ya kutambuliwa katika level flani Kwa Mfano wapo wanaostahili kutambulika kitaifa , kimkoa, kiwilaya, ki kata nk Kwa mfano ikaundwa kamati huru sio ya kisiasa yenye kujumuisha wanahistoria na wadau toka sekta mbalimbali wakakusanya hizi taarifa toka kila mkoa na tukawa na wataalam wa historia na watunza kumbukukumbu Kwa muda mrefu huko mashuleni tumekuwa tulisoma propaganda Labda nitoke nje ya mada kidogo , kwa ujumla mfumo wa elimu hauendani na uhalisia wa Mtanzania kiuchumi , mitaala inayofundishwa au kukaririshwa huko kwenye taasisi za elimu haiendani na mazingira halisi ya mtaani
There is only one person recognized after the marathon end. The first one to cross the line. To that context is an equivocal that Nyerere played pivotal rule in Independence of Tanzania. That is fact inama inuka simama kaa itabaki hivo. Waislamu wengi wanakua na chuki juu ya mwalimu simple because hakua muislam na wanadhani waislam ndio walitakiwa au walistahili kuleta uhuru wa nchi. That is wrong Mimi binafsi naamini uhuru wa tanzania na africa kwa ujumla haukua chini ya watu weusi kama tunavofundishwa. Sio waislam sio wakristu BIG NO Wazungu wao ndio waliamua nani wamuachie nchi hakuna muafrica alie kua na uwezo wa kumtoa muingereza HAYUPO So hao wazungu they are a key factor
Tatizo mnataka kuonyesha jinsi muislamu alivyoshiriki kupigania uhuru , na SIO JINSI WATANZANIA MBALIMBALI WALIVYOCHANGIA KUPIGANIA UHURU, nyerere kawekwa kwenye historia kama yeye na sio kama mkatoliki aliyepigania uhuru ,hayo yakwenu hatuna haja nayo muelezane msikitini maana yanawahusu ninyi zaidi tumieni akili kubwa kidogo
Tabora ilikuwa na watu weye akili sana kama huyu babu Abdallah wa tabora lakini sasa w hamna kitu
Huyu mzee kwakweli anastahiki kutunukiwa U- Profesa wa heshima kutokana mchango wake mkubwa wa uhifadhi historia yetu.
Dakika chache tafadhal wape mda mkubwa tumefrai kuwaskilz
Kama bungi umesema kweli miembe tabora kama bungi
Historia ya Tabganyika ILIBAKWA inahitaji kuandikwa upya
Tuliyosoma ilikuwa ya kisiasa zaidi na kutukuza nimeona clips mbalimbali kwenye social media za wazee waliotoa mchango kabla na baada ya Nyerere kuwepo kwenye vugu vugu la Uhuru , wana haki ya kutambuliwa katika level flani
Kwa Mfano wapo wanaostahili kutambulika kitaifa , kimkoa, kiwilaya, ki kata nk
Kwa mfano ikaundwa kamati huru sio ya kisiasa yenye kujumuisha wanahistoria na wadau toka sekta mbalimbali wakakusanya hizi taarifa toka kila mkoa na tukawa na wataalam wa historia na watunza kumbukukumbu
Kwa muda mrefu huko mashuleni tumekuwa tulisoma propaganda
Labda nitoke nje ya mada kidogo , kwa ujumla mfumo wa elimu hauendani na uhalisia wa Mtanzania kiuchumi , mitaala inayofundishwa au kukaririshwa huko kwenye taasisi za elimu haiendani na mazingira halisi ya mtaani
There is only one person recognized after the marathon end. The first one to cross the line.
To that context is an equivocal that Nyerere played pivotal rule in Independence of Tanzania. That is fact inama inuka simama kaa itabaki hivo.
Waislamu wengi wanakua na chuki juu ya mwalimu simple because hakua muislam na wanadhani waislam ndio walitakiwa au walistahili kuleta uhuru wa nchi. That is wrong
Mimi binafsi naamini uhuru wa tanzania na africa kwa ujumla haukua chini ya watu weusi kama tunavofundishwa. Sio waislam sio wakristu BIG NO
Wazungu wao ndio waliamua nani wamuachie nchi hakuna muafrica alie kua na uwezo wa kumtoa muingereza HAYUPO
So hao wazungu they are a key factor
Tatizo mnataka kuonyesha jinsi muislamu alivyoshiriki kupigania uhuru , na SIO JINSI WATANZANIA MBALIMBALI WALIVYOCHANGIA KUPIGANIA UHURU, nyerere kawekwa kwenye historia kama yeye na sio kama mkatoliki aliyepigania uhuru ,hayo yakwenu hatuna haja nayo muelezane msikitini maana yanawahusu ninyi zaidi tumieni akili kubwa kidogo
wewe mdini hao watu wawili mtaje mwengine
Shida ukwel history ndio hiyo