NDOTO ZA WATOTO NA FAIDA ZAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • NDOTO ZA WATOTO NA FAIDA ZAKE

ความคิดเห็น • 75

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kwa Elimu

  • @AmosiThomasi-no5sd
    @AmosiThomasi-no5sd 3 หลายเดือนก่อน

    Asante mama Mimi niliota mtoto wangu amekuwa mkubwa

  • @HidaryHidder
    @HidaryHidder ปีที่แล้ว +2

    Mnajitia kutoa namba za simu, mkipigiwa mnakata, sms wasap hamjibu .....😢

  • @LucyLucy-z6z
    @LucyLucy-z6z 22 วันที่ผ่านมา

    Niliota mtoto wangu akibeba ujauzito

  • @KeflenElias
    @KeflenElias หลายเดือนก่อน

    Mm nimeota mwanangu anaolewa na nimeenda mm na mama angu.kumpa zawadi tena nakumuasa maneno ya kukaa na mmewe vizuri lakini mwangu.bado mwanafunzi inamana gani ndoto hiyo

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Mama kaota mdigo wangu kaludi mdogo

  • @AnnitaShishi
    @AnnitaShishi ปีที่แล้ว

    Nje kuota ndoto mtoto wangu amejifungia

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Nimeota nipo na mama na kuna kaka yetu ambaye kachanganyikiwa anatukimbiza tukiwa na mdogo wangu wa mwisho ambaye sasa ni mkubwa nimeota yupo mdogo nimembeba

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @InnocentChanceNakMobutu
    @InnocentChanceNakMobutu หลายเดือนก่อน

    Asante Mtabibu. Ila mimi nimeota mwanangu ananenepa saana na anahamu ya kula na mwisho wa ndoto hiyo nikaona najifunguwa mtoto pia wakati mimi ni mwanamme kwani maana yake ninini?

  • @rehemasalim1440
    @rehemasalim1440 ปีที่แล้ว

    Ukiota umelala chini n dogoro jipya n umelala n n mtt mchanga usiemjua

  • @tamimamtumwa-sw8xy
    @tamimamtumwa-sw8xy ปีที่แล้ว

    A,alaykum mimi nimeota mtoto wangu anakufa nikiwa nimembeba ubavuni mana baada yakuingia kijani kwenye skio lake maana yake nini

  • @kavirachantal2374
    @kavirachantal2374 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwasomo nzuri 🙏Mimi niliota nachapa mtoto wangu viboko paka nikamuumiza vidonda

  • @sidikatoi1334
    @sidikatoi1334 2 ปีที่แล้ว

    Mm nimeota utupu wa mtoto wangu wa kiume

  • @AhmadAli32589
    @AhmadAli32589 6 หลายเดือนก่อน

    Mii nimeota mtoto wangu kafarikii

  • @jolie2768
    @jolie2768 ปีที่แล้ว

    Niota mdogo wangu amemupa shangazi mtoto wangu ila shangazi hakuonesha upendo kwa mtoto uyo Aka rudisha mtoto kwa mdogo wangu wa kiume

  • @rennishmellaney1006
    @rennishmellaney1006 ปีที่แล้ว

    Sallam alleikum vipi kuhusu ukiwa unamlisha mtoto wako

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukiota unaletewa watoto wawili WA jinsia tofauti na unaambiwa kuwa ni wa mume wako,

  • @fatmaduru9307
    @fatmaduru9307 3 ปีที่แล้ว +1

    Je nikiota Mimi mwenyewe nazaa mtoto inamaana gani

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 ปีที่แล้ว

    Jee una ota Mtoto hata si wako njee unataka ku m adabt

  • @fathrish3216
    @fathrish3216 10 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,mm nimeota nimepatiwa mtoto mchanga nikambeba kifuani kama vile mtu akijifungua anaekewa mtoto wake kifuani ....je ni nn maana yake

  • @jacklineomwega2771
    @jacklineomwega2771 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi nimeota mtoto wangu amelazwa hospitali

  • @KatosymphorianMaichal
    @KatosymphorianMaichal 6 หลายเดือนก่อน

    Je ukiota unaretewa hera kwako na watu wengi wanatokea mbere na nyuma ya nyumba yako ukawa unapokea unapereka ndan manayake nin

  • @elizabethmalamso8295
    @elizabethmalamso8295 3 ปีที่แล้ว

    Naomba namba ya sm tafadharini

  • @ShuwehaNassor
    @ShuwehaNassor 6 หลายเดือนก่อน

    Nmeota mwanangu anaanguka kinyumenyume maan yke nni

  • @rosemwanarusi8819
    @rosemwanarusi8819 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukiota una mtoto na haujawahi kuzaaa hii vip

  • @slavymwenda6401
    @slavymwenda6401 2 ปีที่แล้ว

    Mimi nimeota mwanangu nimemzaa mnene na anamwili baraa

  • @javerymsangi2856
    @javerymsangi2856 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi nmeota mwanangu katoka shule afukafikia Kwa jiran wanaanza kucheza ala akaanguka akaumia akaanza kulia na mm nkaanakumchapa ila wakat namchapa nkamuona akuwa amenenepa pana

  • @KatosymphorianMaichal
    @KatosymphorianMaichal 6 หลายเดือนก่อน

    Ukiota unapewa hera nawatu wanareta kwako unapokea unapereka ndan inamaana gan

  • @kilimanjarotv742
    @kilimanjarotv742 3 ปีที่แล้ว

    ukiota mkeo mlioachana anakuficha mtoto na kumuingiza ndani akiwa amelala.ishara gani

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 ปีที่แล้ว

    Ma ukiota Mtoto Wa njee haumjuyi

  • @mayaiddy6119
    @mayaiddy6119 3 ปีที่แล้ว +2

    Nini maana ya kumuota kiogozi wa ichi yako ambae ameshakufa unamuona ndotoni na ukimfata anapotea na mbele unaona tembo wakubwa wanakufukuza

  • @tamimasaloon8547
    @tamimasaloon8547 2 ปีที่แล้ว

    Mimi nimeota mwanangu nimempeleka kwa dada angu akae nae akawa ananilili na ananingangania hataki kukaa pale maana yake nini

  • @AllyMwatete
    @AllyMwatete 6 หลายเดือนก่อน

    Na ukiota ntoto ndogo ametumbukia kisimani na kafariki

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 ปีที่แล้ว

    Jee na mtoto ambaye siyo wako ??

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Ukiota mdogo yupo mdogo na umembeba wakat ni mkubwa

  • @ryankruz5899
    @ryankruz5899 2 ปีที่แล้ว

    Na kama nimeota mtoto wangu wa kiume amekufa n sielewi venye alikifa inamanisha nini

  • @lilianrichard9065
    @lilianrichard9065 ปีที่แล้ว

    Nimeota namtoa mtoto mgongon nampa mtu anambeba uku nikimkimbiza mtu amenibia pesa zangu nn maana yake

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuota mtoto wangu Ni mdogo wakati ni mkubwa maana yake nini??

    • @cecile2773
      @cecile2773 ปีที่แล้ว

      Mimi pia napata hiyo ndoto 😢 sijapata mana yake

  • @NkathaRisper
    @NkathaRisper 3 หลายเดือนก่อน

    Yamaanisha nini ukiota uko na watoto wandogo wanakusaidia kufanya usafi

  • @justinaninga5628
    @justinaninga5628 3 ปีที่แล้ว

    Niliota mwanangu pamoja na mdogo wako ambao wanasoma darasa moja wamehamishwa shule na wamepelekwa mkoa mwingine in

  • @marywairimu7612
    @marywairimu7612 2 ปีที่แล้ว

    Nikulize miliota nikikimbizwa na mtu nikiwa nimebemba mtoto mkononi kukaja mtu akanisaindia nikiwa na mtoto wangu tena yule alikuwa ananikimbiza alikuwa baba yangu mdogo ambaye alikufa kitambo na alikuwa mwenda wazimu

  • @MamyCallins
    @MamyCallins 7 หลายเดือนก่อน

    Mim niliota nmemkata mwanang wakiume kidudu

  • @Nury1784
    @Nury1784 2 ปีที่แล้ว

    Je ukiota unakabidhiwa mtoto aliekufa na unamkataa inamaanisha nini??

  • @sophiajacksonjacksonmeshac1468
    @sophiajacksonjacksonmeshac1468 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeota mtoto ananikimbilia kwa nyuma

  • @aishandwata2207
    @aishandwata2207 3 ปีที่แล้ว

    Nje ukiota uacheza na watoto tu.nn mqana yake

  • @marypaul2462
    @marypaul2462 3 ปีที่แล้ว

    Na ukimuota mwanao Kwa mkubwa na anakukinga yaaaani anasilaha

  • @awadhbasheikh6385
    @awadhbasheikh6385 3 ปีที่แล้ว

    jee ukiota watoto umewaona watoka Madrasa usiku.ila wakati ulipowaona wanacheza na kuimba.Jee ni nn maana yake

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 3 ปีที่แล้ว

    Ukiota wanawake wawili wamekuja kwako alafu wanakuambia kuwa wameleta watoto wawili jinsia tofauti tena umeota na majina eti wamekuletea nyumbani kuwa ni wa mume wako.
    Mini maana take?

  • @prosmacharius7074
    @prosmacharius7074 2 ปีที่แล้ว

    Ukiota binti yako anapata hedhi ya kwanza

  • @adelinamartine3557
    @adelinamartine3557 3 ปีที่แล้ว

    Ukiota mvua nn maana yake

  • @marywairimu7612
    @marywairimu7612 2 ปีที่แล้ว

    Tena nikaota nikifanya mapenzi na mtu mwenye sikuwahi muona uso mpaka sasa naota naye tukifanya mapenzi lakini sijawahi kuona uso

    • @doricepallangyo5981
      @doricepallangyo5981 2 ปีที่แล้ว +1

      Tafuta maombi ya kipinga roho ya jini mahaba yako mengi TH-cam

    • @rosemarymutugi5570
      @rosemarymutugi5570 ปีที่แล้ว

      ill or evil spirit' na hutawahi kuwa na' haja' na your partner kaa uko naye bcoz you have a spiritual partner.

    • @rosemarymutugi5570
      @rosemarymutugi5570 ปีที่แล้ว

      Be delivered from that spirit I Jesus name.

  • @muddyboy676
    @muddyboy676 ปีที่แล้ว

    Na ukiota unafanya mapnz na mtoto mdog je

  • @khairatabdulkhalid4591
    @khairatabdulkhalid4591 2 ปีที่แล้ว +2

    Je ukimwota mtoto wako ametumbukia baharini....kisha ukamwokoa?

  • @winfridayesaya1994
    @winfridayesaya1994 2 ปีที่แล้ว

    Ukiota mtoto wako anatembea mwenyewe na bado mchanga inamaanisha nini

    • @rosemarymutugi5570
      @rosemarymutugi5570 ปีที่แล้ว

      Prosperity, blessings

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@rosemarymutugi5570ukiota mtoto mchanga anazungumza nini maana yake. Hata kuzungumza hawezi bado

  • @ahlanshindano8433
    @ahlanshindano8433 3 ปีที่แล้ว

    Ivi ukiota umezaa mtoto wa kike na wakiume huku ukiwa mjamzito ndoto hiyo Ina maana gani

  • @ahlanshindano8433
    @ahlanshindano8433 3 ปีที่แล้ว

    Kuna kipindi Cha ndoto kilichopita km kuhusu kujifungua comment zilifungiwa cjapata kuuliza swali

  • @joynatasha2456
    @joynatasha2456 2 ปีที่แล้ว

    Ukiota majina ya watoto wako

  • @jumahagai9013
    @jumahagai9013 3 ปีที่แล้ว

    Ukiota mtoto wako anatoa msahada kwa mzee na mtoto bado mdogo

  • @paulmisago7129
    @paulmisago7129 ปีที่แล้ว

    Ukiota unapiga mtoto wako

  • @nchamangenda9862
    @nchamangenda9862 3 ปีที่แล้ว

    je ukiota mtoto wako amefariki akiwa mikononi wako ni nini maana yake?

  • @InnocentChanceNakMobutu
    @InnocentChanceNakMobutu หลายเดือนก่อน

    Asante Mtabibu. Ila mimi nimeota mwanangu ananenepa saana na anahamu ya kula na mwisho wa ndoto hiyo nikaona najifunguwa mtoto pia wakati mimi ni mwanamme kwani maana yake ninini?