Mm nimeota mwanangu anaolewa na nimeenda mm na mama angu.kumpa zawadi tena nakumuasa maneno ya kukaa na mmewe vizuri lakini mwangu.bado mwanafunzi inamana gani ndoto hiyo
Nimeota nipo na mama na kuna kaka yetu ambaye kachanganyikiwa anatukimbiza tukiwa na mdogo wangu wa mwisho ambaye sasa ni mkubwa nimeota yupo mdogo nimembeba
Asante Mtabibu. Ila mimi nimeota mwanangu ananenepa saana na anahamu ya kula na mwisho wa ndoto hiyo nikaona najifunguwa mtoto pia wakati mimi ni mwanamme kwani maana yake ninini?
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,mm nimeota nimepatiwa mtoto mchanga nikambeba kifuani kama vile mtu akijifungua anaekewa mtoto wake kifuani ....je ni nn maana yake
Mimi nmeota mwanangu katoka shule afukafikia Kwa jiran wanaanza kucheza ala akaanguka akaumia akaanza kulia na mm nkaanakumchapa ila wakat namchapa nkamuona akuwa amenenepa pana
Nikulize miliota nikikimbizwa na mtu nikiwa nimebemba mtoto mkononi kukaja mtu akanisaindia nikiwa na mtoto wangu tena yule alikuwa ananikimbiza alikuwa baba yangu mdogo ambaye alikufa kitambo na alikuwa mwenda wazimu
Ukiota wanawake wawili wamekuja kwako alafu wanakuambia kuwa wameleta watoto wawili jinsia tofauti tena umeota na majina eti wamekuletea nyumbani kuwa ni wa mume wako. Mini maana take?
Asante Mtabibu. Ila mimi nimeota mwanangu ananenepa saana na anahamu ya kula na mwisho wa ndoto hiyo nikaona najifunguwa mtoto pia wakati mimi ni mwanamme kwani maana yake ninini?
Ahsante kwa Elimu
Asante mama Mimi niliota mtoto wangu amekuwa mkubwa
Mnajitia kutoa namba za simu, mkipigiwa mnakata, sms wasap hamjibu .....😢
Niliota mtoto wangu akibeba ujauzito
Mm nimeota mwanangu anaolewa na nimeenda mm na mama angu.kumpa zawadi tena nakumuasa maneno ya kukaa na mmewe vizuri lakini mwangu.bado mwanafunzi inamana gani ndoto hiyo
Mama kaota mdigo wangu kaludi mdogo
Nje kuota ndoto mtoto wangu amejifungia
Nimeota nipo na mama na kuna kaka yetu ambaye kachanganyikiwa anatukimbiza tukiwa na mdogo wangu wa mwisho ambaye sasa ni mkubwa nimeota yupo mdogo nimembeba
Asante sana
Asante Mtabibu. Ila mimi nimeota mwanangu ananenepa saana na anahamu ya kula na mwisho wa ndoto hiyo nikaona najifunguwa mtoto pia wakati mimi ni mwanamme kwani maana yake ninini?
Ukiota umelala chini n dogoro jipya n umelala n n mtt mchanga usiemjua
A,alaykum mimi nimeota mtoto wangu anakufa nikiwa nimembeba ubavuni mana baada yakuingia kijani kwenye skio lake maana yake nini
Asante sana kwasomo nzuri 🙏Mimi niliota nachapa mtoto wangu viboko paka nikamuumiza vidonda
Mm nimeota utupu wa mtoto wangu wa kiume
Mii nimeota mtoto wangu kafarikii
Niota mdogo wangu amemupa shangazi mtoto wangu ila shangazi hakuonesha upendo kwa mtoto uyo Aka rudisha mtoto kwa mdogo wangu wa kiume
Sallam alleikum vipi kuhusu ukiwa unamlisha mtoto wako
Ukiota unaletewa watoto wawili WA jinsia tofauti na unaambiwa kuwa ni wa mume wako,
Je nikiota Mimi mwenyewe nazaa mtoto inamaana gani
Jee una ota Mtoto hata si wako njee unataka ku m adabt
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,mm nimeota nimepatiwa mtoto mchanga nikambeba kifuani kama vile mtu akijifungua anaekewa mtoto wake kifuani ....je ni nn maana yake
Mimi nimeota mtoto wangu amelazwa hospitali
Je ukiota unaretewa hera kwako na watu wengi wanatokea mbere na nyuma ya nyumba yako ukawa unapokea unapereka ndan manayake nin
Naomba namba ya sm tafadharini
Nmeota mwanangu anaanguka kinyumenyume maan yke nni
Ukiota una mtoto na haujawahi kuzaaa hii vip
Mimi nimeota mwanangu nimemzaa mnene na anamwili baraa
Mimi nmeota mwanangu katoka shule afukafikia Kwa jiran wanaanza kucheza ala akaanguka akaumia akaanza kulia na mm nkaanakumchapa ila wakat namchapa nkamuona akuwa amenenepa pana
Ukiota unapewa hera nawatu wanareta kwako unapokea unapereka ndan inamaana gan
ukiota mkeo mlioachana anakuficha mtoto na kumuingiza ndani akiwa amelala.ishara gani
Ma ukiota Mtoto Wa njee haumjuyi
Nini maana ya kumuota kiogozi wa ichi yako ambae ameshakufa unamuona ndotoni na ukimfata anapotea na mbele unaona tembo wakubwa wanakufukuza
Mimi nimeota mwanangu nimempeleka kwa dada angu akae nae akawa ananilili na ananingangania hataki kukaa pale maana yake nini
Na ukiota ntoto ndogo ametumbukia kisimani na kafariki
Jee na mtoto ambaye siyo wako ??
Ukiota mdogo yupo mdogo na umembeba wakat ni mkubwa
Na kama nimeota mtoto wangu wa kiume amekufa n sielewi venye alikifa inamanisha nini
Nimeota namtoa mtoto mgongon nampa mtu anambeba uku nikimkimbiza mtu amenibia pesa zangu nn maana yake
Kuota mtoto wangu Ni mdogo wakati ni mkubwa maana yake nini??
Mimi pia napata hiyo ndoto 😢 sijapata mana yake
Yamaanisha nini ukiota uko na watoto wandogo wanakusaidia kufanya usafi
Niliota mwanangu pamoja na mdogo wako ambao wanasoma darasa moja wamehamishwa shule na wamepelekwa mkoa mwingine in
Nikulize miliota nikikimbizwa na mtu nikiwa nimebemba mtoto mkononi kukaja mtu akanisaindia nikiwa na mtoto wangu tena yule alikuwa ananikimbiza alikuwa baba yangu mdogo ambaye alikufa kitambo na alikuwa mwenda wazimu
Baraka unazo tele lakn zinawindwa
Mim niliota nmemkata mwanang wakiume kidudu
Je ukiota unakabidhiwa mtoto aliekufa na unamkataa inamaanisha nini??
Nimeota mtoto ananikimbilia kwa nyuma
Nje ukiota uacheza na watoto tu.nn mqana yake
Na ukimuota mwanao Kwa mkubwa na anakukinga yaaaani anasilaha
jee ukiota watoto umewaona watoka Madrasa usiku.ila wakati ulipowaona wanacheza na kuimba.Jee ni nn maana yake
Ukiota wanawake wawili wamekuja kwako alafu wanakuambia kuwa wameleta watoto wawili jinsia tofauti tena umeota na majina eti wamekuletea nyumbani kuwa ni wa mume wako.
Mini maana take?
Ukiota binti yako anapata hedhi ya kwanza
Ukiota mvua nn maana yake
Tena nikaota nikifanya mapenzi na mtu mwenye sikuwahi muona uso mpaka sasa naota naye tukifanya mapenzi lakini sijawahi kuona uso
Tafuta maombi ya kipinga roho ya jini mahaba yako mengi TH-cam
ill or evil spirit' na hutawahi kuwa na' haja' na your partner kaa uko naye bcoz you have a spiritual partner.
Be delivered from that spirit I Jesus name.
Na ukiota unafanya mapnz na mtoto mdog je
Je ukimwota mtoto wako ametumbukia baharini....kisha ukamwokoa?
hata mm nmeota hivyo cjui ni nin
Ukiota mtoto wako anatembea mwenyewe na bado mchanga inamaanisha nini
Prosperity, blessings
@@rosemarymutugi5570ukiota mtoto mchanga anazungumza nini maana yake. Hata kuzungumza hawezi bado
Ivi ukiota umezaa mtoto wa kike na wakiume huku ukiwa mjamzito ndoto hiyo Ina maana gani
KwnmKama wewe ni mtu w
Kuna kipindi Cha ndoto kilichopita km kuhusu kujifungua comment zilifungiwa cjapata kuuliza swali
Ukiota majina ya watoto wako
Ukiota mtoto wako anatoa msahada kwa mzee na mtoto bado mdogo
'Prosperity' pray for it dear
Ukiota unapiga mtoto wako
je ukiota mtoto wako amefariki akiwa mikononi wako ni nini maana yake?
Mm nimeota hivyo sijui nn maana yake we ushajua
Niliota.mke wangu kazaa na mtu mwingine
Asante Mtabibu. Ila mimi nimeota mwanangu ananenepa saana na anahamu ya kula na mwisho wa ndoto hiyo nikaona najifunguwa mtoto pia wakati mimi ni mwanamme kwani maana yake ninini?