Duh huo mzazi wangu ni mtihani sana hill jambo mungu halipendi kwa hiyo mshauri means no mkweo wajikite Kia Allah sw Kia jurists maamrisho yake na kuacha makatazo take loutish mwenendo sahihi was mime wetu Muhammad saw
nashindwa na ww mama badala umwoneshe njia nzuri wewe ndio una msaport binti yako.mama wakislamu yuwenda kinyume na ALLAH na wewe unona raha. ALLAH awaongoze
khadija A R M inawezekana ni kwel sabab mm oman nshakutana na familia za waarab lkn ukiwaon rang zao hyo mama leila ni mweupe yaan kma ypo tanzania akisema mwarab unawez kataa lkn ndio hvy sabab waarab wa oman asil yao tanzania
Msihadaike Na ukarabati wanyumba nahuduma anazokuhudumieni yule ni mtoto wakike namwanamke stara mpaka sauti yake niuchi kwaiyo kama Mama unafurahia ujuwe nimas uuli mbele ya Allah na majuto makubwa saana tena saana dini hairuhusu tafakari
hakuna awezae kuhukumu Ila kila mchunga ataulizwa alichokichunga tusijihalalishie allah alichokharamisha akhera kuzito tusidanganyane nywele wazi kifuwa wazi wanawake tumeambiwa stara Na nyimbo kharamu tuache kuhalalisha alivyotuharamishia adhabu za allah hatuziwezi sisi nidhaifu
Ummu Samira ni kwel Kabisa lakini kuna ubaya gani kuwasaidia wazazi wako pale wanapohitaji? Je wakifa njaa utajibu nn kwa allah ingali una uwezo? Je kipaji hatujajaaliwa na Allah? tusidanganyane tuombe hekima ya Allah ituongoze tuijue kweli, Tusiamini akili zetu tukafkia kuwaongelea wenzi wetu Maneno ya kumchukiza mwenyezi Mungu na mtumewe (S.A.W) Tutakuwa nacho cha kujibu siku ya Kyamah
Robert Kizito swadkta maneno yako tuseme yahaki tusimuudhi allah namtume wetu nakuwasaidia wazazi ni haki allah katuhimiza baada ya Haki yake kasema tuwafanyie wazazi wema Ila kwapesa zahalali mtoaji riski ni allah kufanya kazi nijitihada nasababu yakupata riski kuna biashara teeeele zahalali nasisi ndio tunaofanya alhamdulilah rabil alamin tukasaidia wazee wetu tusiingie kharamu ili tusimuudhi allah
mwana habari nawe mchokonozi kweli, alafu wewe mmama usifurahiye mwanayo kujishauwa mbele ya wanaume na kupaza sauti ni haramu katika Dini yetu ya kiislamu
mashalah mungu mkubwa Leila ni mwarab wa Oman Chezea Wewe tena
mashaallah..
Salha Mm Mwaarabu na yuasakata Taarab bila waswasi
Salha Mm masha allah
azh zha yassin safi
Salha Mm
Duh huo mzazi wangu ni mtihani sana hill jambo mungu halipendi kwa hiyo mshauri means no mkweo wajikite Kia Allah sw Kia jurists maamrisho yake na kuacha makatazo take loutish mwenendo sahihi was mime wetu Muhammad saw
Mama. Msatarabu nimempenda hana maumbea kama wengine hajinadi mashallah 🥺💞💞
Mama ujue kila mmoja ni mchunga na kila mchunga ataulizwa juu ya alicho kichunga. Kwa hvyo uwe na jibu zuri mbele ya Allah.
mashallah Nimekupenda bureee we mama unaonekana mcheshi sana pia yani kiufupi nimekupendaa
Maashallah mama Nakupenda ila ww dada mbea sana
Ma sha Allah mungu awaeke wazazi wake in sha Allah
Binesi Haruni kafanananae sn yani
mashallah mama bado mbichiiii
😅😅😅 johari mmbea wewe duu ila fani unaiweza sana hongera
mashaallah mama kafanana na mwanawe Leyla
hadi rahaaa
Mama mashaallah mungu akuzidishie umri
kaah mtangazaji hii fani kwa kweli unaitendea haki😂😂😂 huu umbea konk
😀😀
mashaallah mama mzuri alhamdulilah
Mimi namshauri arudi kwa Allah aache kuimba taarab aimbe kaswida
asante mama kwa kuongea ukweli kuwa wanawake awapendi kuolewa uke wenza
MashaAllah
nashindwa na ww mama badala umwoneshe njia nzuri wewe ndio una msaport binti yako.mama wakislamu yuwenda kinyume na ALLAH na wewe unona raha. ALLAH awaongoze
Mtangazaji na Mama wanafurahia madhambi
Mungu akulinde mama
waaaaah ....oman niko huku kuxuri ...woow
Cherotich Lizah kuzr Lakin mmmh
Mashaaalah
Mimi npo Oman sasa nyiie mpo sehem gani
Hasara mama anamuelekeza mwanae motoni Allah atuongoze
Huyu bibi yaan anafurahia
mmmh sakina we hatareeee swaga hizooo
Nimecheka sana jaman mbavu zangu😄😄😄sakina anakwambia mnasikia uko nyie kumbe na yeye udaku anautaka aujuwe vizur sana""" sakina nakupenda sana wallah
Maashaa Allah
mmmh! huyu mama yuko vizur
Mashallah motherteen
nimempenda bi mkubwa
mashaalah kumbe mwaarabu Leyla
Shuweha Haruna Omari Ikwena ni mwarabu wa Yemen
Shuweha Haruna Omari Ikwena
mmmh waraabu hata kwamaandishi huwajui cjaona waarabu mm hapo wazanzibar bhn
khadija A R M inawezekana ni kwel sabab mm oman nshakutana na familia za waarab lkn ukiwaon rang zao hyo mama leila ni mweupe yaan kma ypo tanzania akisema mwarab unawez kataa lkn ndio hvy sabab waarab wa oman asil yao tanzania
Zuweina Salq
huyu dada mmbea
mmmhhh mpambe wew dada, (mdaku)
mamake leila mzuri kabisa kafanana na mwanae
mashaallah mama uko poa sana.
Zuhra248 Zuhra248 nice
Mama Laila usifuraie kula haramu!!! MZIKI!!!
Yemen mama!!
Kila mtu ni mchunga na utaulizwa kuhusu uchungaji wako....WAZAZII!!! ii dunia jamani Allahu Akbar!
chezea leila muoman lazima mawifi kijasho cha Lys kiwatokeeee 😃😂😁😁inahusuuuuu
Kweli huyo ni mzanzibar..na wazanzibar wote asili zao ni huko Arabuni
Mama mzur mashaallah
kila mmoja Ni mchunga na atakwenda ulizwa Kwa kila alichokichunga mama
Wallah ni kweli ndugu...MashaAllah
kumbe leila mmakonde wa mikindani
mainte mushangani sio mmakonde, mwarabu
mtangazaji unamuongelea mke mwenziye yupi jaman
Hata mimi niko Oman na Enjoy tu, good mama Leyla
Pamoja
Pamoja nami nko omani
Msihadaike Na ukarabati wanyumba nahuduma anazokuhudumieni yule ni mtoto wakike namwanamke stara mpaka sauti yake niuchi kwaiyo kama Mama unafurahia ujuwe nimas uuli mbele ya Allah na majuto makubwa saana tena saana dini hairuhusu tafakari
mmmmh..ebu tuacheni kuhukum ..muachien Allah aukum..atujui mwisho wetu utakuaje..nani alijua mzee yussufu ataacha taharabu...achane kuhukum..
hakuna awezae kuhukumu Ila kila mchunga ataulizwa alichokichunga tusijihalalishie allah alichokharamisha akhera kuzito tusidanganyane nywele wazi kifuwa wazi wanawake tumeambiwa stara Na nyimbo kharamu tuache kuhalalisha alivyotuharamishia adhabu za allah hatuziwezi sisi nidhaifu
Ummu Samira ni kwel Kabisa lakini kuna ubaya gani kuwasaidia wazazi wako pale wanapohitaji? Je wakifa njaa utajibu nn kwa allah ingali una uwezo? Je kipaji hatujajaaliwa na Allah? tusidanganyane tuombe hekima ya Allah ituongoze tuijue kweli,
Tusiamini akili zetu tukafkia kuwaongelea wenzi wetu Maneno ya kumchukiza mwenyezi Mungu na mtumewe (S.A.W)
Tutakuwa nacho cha kujibu siku ya Kyamah
Robert Kizito swadkta maneno yako tuseme yahaki tusimuudhi allah namtume wetu nakuwasaidia wazazi ni haki allah katuhimiza baada ya Haki yake kasema tuwafanyie wazazi wema Ila kwapesa zahalali mtoaji riski ni allah kufanya kazi nijitihada nasababu yakupata riski kuna biashara teeeele zahalali nasisi ndio tunaofanya alhamdulilah rabil alamin tukasaidia wazee wetu tusiingie kharamu ili tusimuudhi allah
Achakujiweka kama unamjuwa mungu sanaaaa atawewe zambi unazijaza chungu zima
mh,! sakina una hekaheka😀😊 yaan ht hutulii
Mmh dada mdaku kweli
Uyo nae mmbea😏😏😏😏
Mimi niko Oman mnatoka Oman ipi nyinyi
Ramadhani mama kwanza kitata 😂😂😂😂😂😂wataka uwatembelee
Ramadhani mama kwanza kitata wewe uko oman seem ganina acha kumzingua mama wakialabu
nice
Haaaaa
huyu mama anaongopa..asema yeye ni muarabu wa oman,yemen.
hahaa
sasa wewe unmjuwa zaidi kuliko ww ndo tuhadisiye na halisiyake zaidi ,mbona mpashukuna ww kutaka kujuwa uhalisiya wa watu. na wa kwako. hadisiya. 😒😒
Ndio asili yake unamuona kama anaongea kimakonde yupo mtwara nilazime azoee lafuz ya pale
Heshima ni kitu cha bure
mama mwarabu mmakonde mana rafudhi ya kimakonde Kwa mbali
Mariam Kimwaga mbona tuko omon na waarab wanaongea kigogo kilidi kisukuma acheni ushamba
mwana habari nawe mchokonozi kweli, alafu wewe mmama usifurahiye mwanayo kujishauwa mbele ya wanaume na kupaza sauti ni haramu katika Dini yetu ya kiislamu
Fatuma Mwalimu wamama mtomto atakutia motoni
unashadidia uhuni wamwanao hufai
Fatuma Mwalimu nikweli Allah awaongoze
+Leylah Idi,Nakweli mwenzangu
Mashallah mama leyla mqty
😁😁😁😁sakina nimecheka, et "mmeskia huko nyie" ila sakina unavoongea unaonekana mpashkuna sn, mdaku
duuu we mtangazaji nouma
Miziki msifurahie nyie
sakina sikuwezi😂😂
Yemen kuna nn tuacheni bana
Aa mikindani Tanzania
waandishi wachochezi
Mtanfazaji mbea
mash Allah
anakukuna mwenyewe
Huyu mwanahabari mbea kweli
Daaaa! Matangazaji wewe shida. Unavyo chimba🙌 saluti.
kumbe mashilawadu walikuwepo kwenye ng'aring'ari huku.
nani aeza paka mwanae matope
Mama Mzuri Mmmwaaaaaaaaaa Yaaan Mmmhh Mwambie Anitumie Namba Yake Niwe Mchepuko wake Jamani Maana Mmmm Au
pia tanzania kuna mikindani kama kenya mombasa
Hujui dada iko dear mikindani
Tunasubr voi sasa
Mi nilijuwa mikindan ya shakan zanzibar
Baa mwali wewe unanikumbusha mbili manda Ya mtama hiyo somo
msiba wa mama abdul
sakina mh hongera sn
mh sakina unayaweza jamni haaa ukuda tu
Mh
Ila clouds clue ni kiboko kwa ubuyu tu aaaa
kwani umerikodi lini iki kipindi chako '''' ata umuongelee mke mwenzie Lela ''''' weee huumwi
Kibibi Seif cha mda kweli
huyu mama muongo tu
Muongo mwenyewe
Biblia gani imesema mwanaume awe na wake 2 mhhhhh
Nathalie IPUPA we vp kwani umeambiwa wakristo wale hata useme biblia gani wale ni waislam wanaifuata qur-an
Anatukuna wap
umbea tu chumba anacholala nyie cha nn
mngeonesha tu
Ovyo
huu ni upuuzi
MADINA LAST kwa nn uko humu
Upuuzi
watoto wafunzwe dini sio kuimba
Ndio kipaji chake sasa
Subhaana llaah, yaani mama anafurahiya maasi ayoyafanya mwanae? Inna-lillah
kwani io ghorofa unaitaja Ni mbinguni mmmh ujinga tu
eti mumeskia uko nyie
mmmh sakina we hatareeee swaga hizooo
kila mmoja Ni mchunga na atakwenda ulizwa Kwa kila alichokichunga mama
kila mmoja Ni mchunga na atakwenda ulizwa Kwa kila alichokichunga mama