ALHAJ MZEE YUSUPH Aelezea Mkasa mzima mpaka mkewe Chiku anafariki

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 57

  • @mamumoh1402
    @mamumoh1402 7 ปีที่แล้ว +10

    MZEE yusuph smv sio hospital kabisaaa Mimi nilipoteza mtoto Wangu wa kwanza hivyohivyo niliumwa sana na uchungu wakawa wanamsubiri dokta bingwa ambaye ndiyo dokta mashavu!wanasingizia dokta bingwaa hicho kihospitali kifungiwe kwa kweli Mimi pia huo mtihani ulinikuta

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 6 ปีที่แล้ว

      Mola akuruzuqu mtt mwenye afya n uzima pamoja nawe n mumeo..Ameen

    • @fzafza6746
      @fzafza6746 3 ปีที่แล้ว

      Wapuuz kwelii hao dokta bingwa gani ujinga tuu kuua watu wakifunge kidude Chao Jamanii

  • @swabrayustas7985
    @swabrayustas7985 7 ปีที่แล้ว +6

    ManshaAllah Takbiira x3 Allah azidi tuongoza nakupenda kwa ajiri ya Allah

  • @mamumoh1402
    @mamumoh1402 7 ปีที่แล้ว +6

    pole sana kikubwa duaa ndixo zinazotakiwa! inshallah

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 7 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli usemayo hiyo yote mipango ya mungu,Allah akupe subra Sheikh yusuph.Mola amrehemu ln shaa Allah,

  • @sweetmama3242
    @sweetmama3242 7 ปีที่แล้ว +3

    Huyo dada alifariki kwa sababu ya uchovu na mapenzi ya Mungu. Ata mtoto pia alikuwa kachoka pia ndiyo maana akafa. Jamani hii subirisubiri mbaya sana. Mungu wangu tuhurumie. Yote ni mapenzi ya Mungu. Mungu tupe Imani ya kukuamini wewe katika maisha yetu.

    • @joycemashikolo9096
      @joycemashikolo9096 7 ปีที่แล้ว +7

      mzee yusuph una hekima sana.huwa nakufurahia sana busara zako.kweli Dini ni uongofu wa moyoni .

  • @aminadhahabu422
    @aminadhahabu422 7 ปีที่แล้ว

    Asante mzee yusuph kwa maoni yako kweli uwokovu ni imani ya 2 mungu atakuongoza Kwa yote

  • @mrsdully1613
    @mrsdully1613 7 ปีที่แล้ว +2

    subhanallah Allah amuweke mahali pema peponi hakika nimipango ya Allah. ...pole sn mzee yusuph mola akupe subrah

  • @mohamedjmbawala3972
    @mohamedjmbawala3972 6 ปีที่แล้ว

    Alhaji mungu akuzidishie hekima tujaaliwe kuingia fldausi ya mungu

  • @sheymahabdulwahidkhalid6355
    @sheymahabdulwahidkhalid6355 7 ปีที่แล้ว +2

    masikini
    alicheleweshwa hivo alichoka sana razima hata kumbe kilichoka
    mwenyezi mungu Amrehem
    pole sana Mzee yusuph
    mungu aendelee kukuita moyo sababu
    mungu Akisema ndio hakuna anae weza kusema hapana

  • @consolathaconsolatha4095
    @consolathaconsolatha4095 7 ปีที่แล้ว +2

    pole sana kk yk mie mungu azidi kukupa subra kwa kila jambo

  • @amnehamid8191
    @amnehamid8191 7 ปีที่แล้ว +5

    Allah ampe mapumziko mema huko akhera, nas atupe khatma njema, inshallah

  • @rahmakhamiss9775
    @rahmakhamiss9775 7 ปีที่แล้ว

    mungu akupe subra wewe na mkeo leyla mungu amuongoze aje awe mujaidati na wewe uwe mujaidina mutangaze allaah ile wengine wainge na mkeo chiku mungu amueke pema palipo na wema

  • @farish2899
    @farish2899 7 ปีที่แล้ว +1

    pole sana Alhaji Yusuf.

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 7 ปีที่แล้ว +3

    Allah awape subra haki kinamma twapata dhiki mda wakujifunguwa alale pema awe na kauli kathabiti chiku inshaallah

  • @nadiaabubakar4939
    @nadiaabubakar4939 7 ปีที่แล้ว +1

    May Allah grant her janhltul firdaws Ameen yarabi

  • @fareda1847
    @fareda1847 7 ปีที่แล้ว +7

    Allah ampunguzie adhabu za qabur Dada yetu

  • @aminatahwamummy539
    @aminatahwamummy539 7 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah Allah atampa fahamu leila pia

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 7 ปีที่แล้ว +2

    watoto wazuri mash Allah

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 7 ปีที่แล้ว +1

    watoto wazidi mashallah, copy ya marehemu chiku, mungu amweke pema peponi. amin.

  • @mohamedsalim8214
    @mohamedsalim8214 7 ปีที่แล้ว

    pole sana alhaj

  • @mariamsuleimanmunguakupeum6552
    @mariamsuleimanmunguakupeum6552 7 ปีที่แล้ว

    mungu ampe pepo katika kabri lake aifanye Iwe kiwanja kati ya viwanja va peponi

  • @binthassan940
    @binthassan940 7 ปีที่แล้ว

    pole sana allah amuweke pema pepon aminn

  • @mariamsuleimanmunguakupeum6552
    @mariamsuleimanmunguakupeum6552 7 ปีที่แล้ว

    mungu akupe mwisho mwema

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156
    @atukuzwemungudaimaariseand6156 7 ปีที่แล้ว

    pole kaka kazi yamungu aina makosa usiogope

  • @selemanusiogope2239
    @selemanusiogope2239 7 ปีที่แล้ว +2

    ameen

  • @lilhan5186
    @lilhan5186 7 ปีที่แล้ว

    Mungu amrehemuu

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 6 ปีที่แล้ว

    😢😭😭 Allah amrehemu na amuweke pema peponi

  • @rechok.k.m.5117
    @rechok.k.m.5117 7 ปีที่แล้ว +2

    subhanallah wanawake tunamitihani hadi naogopa

  • @adelardkanje7516
    @adelardkanje7516 7 ปีที่แล้ว +4

    sisi sote ni waja wa ALLAH na kwake sote tutarejea

  • @mamumoh1402
    @mamumoh1402 7 ปีที่แล้ว +3

    smv jipu litumbuliwe hilo Mimi kilinikut kisanga sitasahau hata kidogo wanamtegemea Dr mashavu na mashavu anafanya hospitality mbili wanashindwa fanya operation mpaka tatizo litokee ndo anakuja

  • @نجمهالعلي-د5ض
    @نجمهالعلي-د5ض 7 ปีที่แล้ว +2

    maa shaa Allah

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 7 ปีที่แล้ว +4

    kila nafsi itaonja mauti....kwake mola tutarejea.

  • @timasomo4358
    @timasomo4358 7 ปีที่แล้ว

    huyo alimwaga damu saana coz kama mfuko wa kizazi ulipasuka yaamanisha alibleed saana mpaka akakufa.lakin siku zake zimefika hio ni sababu.

  • @AminaMwavita
    @AminaMwavita 26 วันที่ผ่านมา

    Sorry

  • @tunsumegideonmwamboneke9639
    @tunsumegideonmwamboneke9639 7 ปีที่แล้ว

    tusimsingizie mungu, hayo maelezo yanaonyesha wazi kwamba kifo kimesababishwa na uzembe wa madaktari, na inavyoonyesha huyo anayeitwa dactari bingwa huenda ni just clinical officer tu, tuwe makini na uhai wetu jamani, kuna vifo vingine ni vya uzembe tu like this one. poor woman, inasikitisha mno.

  • @nsjjsjdjjdjd841
    @nsjjsjdjjdjd841 7 ปีที่แล้ว

    kuwa mvimilivu kaka huo ni muda umefika tuseme inanna ilillah wainna ilaihi rajiun

  • @beatricehenry7101
    @beatricehenry7101 7 ปีที่แล้ว +5

    Yusuf una Hekima sn

  • @mariamsuleimanmunguakupeum6552
    @mariamsuleimanmunguakupeum6552 7 ปีที่แล้ว

    mwisho wake umekua mwema iyo Dalili ya peponi

  • @mariamsuleiman3795
    @mariamsuleiman3795 7 ปีที่แล้ว +4

    mzee Yusuf dini hairuhusu we kukaa na mwanamke hivo ikiwezekana kwass epuka hizp interview kabisa

    • @bintifatma9157
      @bintifatma9157 7 ปีที่แล้ว +1

      Hawa Madiwa umeona eeh nilichota taka kumjibu umejibu tayari ila jamani kuna wa2 wanapenda kujifanya wanajua dini kushinda wenziyao subhanaAllah

  • @rosemerynyombi9860
    @rosemerynyombi9860 7 ปีที่แล้ว

    ƙifo cha chiƙu ni uzemɓe wa hiƴo hosptal tu

  • @binayoubsuleiman244
    @binayoubsuleiman244 7 ปีที่แล้ว

    ila kaka yetu mzee achana na haya mambo ya media tena