JE YAFAA KUFUNGA MACHO NDANI YA SWALA..?

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 47

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 4 ปีที่แล้ว +4

    Allah Akbar allah atufishe hali tukiwa TWA tamka kalimat at-tauhid amiin ya Rabbi

  • @ramlazuberi8286
    @ramlazuberi8286 4 ปีที่แล้ว +4

    Alhamdulillah Allah Kariyym akuhifadhi Inshaallah tupate mengi zaidiii Inshaallah

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 4 ปีที่แล้ว +3

    Shukraan Sana sheikh wangu jazaka Allahu

  • @kweliumesemailanaowangetul1933
    @kweliumesemailanaowangetul1933 4 ปีที่แล้ว +8

    Asante kwa kutujuza mwenyezimungu atupe mwisho mwema

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen shukran shekh jazzak Allah khery Allah atupe yalo mema 🙏

  • @fadhilahussein1139
    @fadhilahussein1139 4 ปีที่แล้ว +7

    Asalam Aleykum warahmatullah wabarakatuh. Mimi nakuwa nahisia sana niwapo nimefunga macho. Yaani ndio akili yangu ipo pale.

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 4 ปีที่แล้ว +2

    Shukran jazila ata mie ndo mchezo wangu nakuaga nafumba macho Hali hiyo inanitokea aga sijui uzee unaninyemelea

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 ปีที่แล้ว +1

    Allah akujaliye kila lakhery kwa kutufikishiya elim hii

  • @greysonflams2237
    @greysonflams2237 4 ปีที่แล้ว +2

    Jazakallah khairy

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 ปีที่แล้ว

    Shukran sana hatamimi nlikua najiuliza hilo swali

  • @binkassim545
    @binkassim545 4 ปีที่แล้ว +9

    جزاك الله الخير 🙏 Kila siku ilikua najiuliza ilo suala la kufunga macho ndani ya swala ila leo Allah amenipatia jibu lke

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 4 ปีที่แล้ว

    Alhamdullillah. Shukran Sheikh

  • @halimaramadhan2975
    @halimaramadhan2975 4 ปีที่แล้ว

    Jazzakah llah kheir sheikh

  • @mzeemwamguno9367
    @mzeemwamguno9367 4 ปีที่แล้ว

    Shukraniii shekhe wangu izudin

  • @khaulatmohammed3765
    @khaulatmohammed3765 4 ปีที่แล้ว

    Shukran sana shekh jazaka llahu khaira

  • @kherikivuli5145
    @kherikivuli5145 4 ปีที่แล้ว +2

    Allahumma amiiy

  • @tajiriskitchenswahiliflavo1723
    @tajiriskitchenswahiliflavo1723 4 ปีที่แล้ว

    Shukran sana

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 4 ปีที่แล้ว

    Jazzakumllah Khery

  • @kherikivuli5145
    @kherikivuli5145 4 ปีที่แล้ว +1

    ALLAHUMMA AMIIYN

  • @alwaladinswalihualwaladins4724
    @alwaladinswalihualwaladins4724 4 ปีที่แล้ว

    MaashaAllah

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 4 ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @mwanamisigulu2401
    @mwanamisigulu2401 4 ปีที่แล้ว

    MashaAllah.

  • @omarijumaa8786
    @omarijumaa8786 4 ปีที่แล้ว

    MashaAllah

  • @somoendege4677
    @somoendege4677 4 ปีที่แล้ว

    Maashallah

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 4 ปีที่แล้ว +2

    Shukran jaziilla wa barakallah fiiq

  • @ukhtyanasabintimalikimalik7188
    @ukhtyanasabintimalikimalik7188 4 ปีที่แล้ว

    Asante shekhe wetu ml 💜💜💜💜

  • @aminakampando8687
    @aminakampando8687 4 ปีที่แล้ว

    Assalam Aleykum shekhe shukrani kwa hilo

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 4 ปีที่แล้ว

    Inshalah

  • @nadiaally3909
    @nadiaally3909 4 ปีที่แล้ว +4

    Lkn samahn sheikh mbn wanasema ukiswal kiza malaika hawashuki je hii ni sahihi

  • @saay4273
    @saay4273 4 ปีที่แล้ว

    Shukurani Sheikh

  • @alsam4881
    @alsam4881 4 ปีที่แล้ว +1

    Shukran kwa mafundisho mazuri,Mie nina swali Je wakati mtu unaswali na umeshafanya rakaa ya pili au ya tatu halafu kwa bahati mbaya upepo ukakutoka wakati upo ndani ya swala,Je inabidi ukate swala na kuchukuwa udhu tena na kuanza upya?

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  4 ปีที่แล้ว

      Hua swala yenyewe ishakatika nilazima ukachukue udhuu na uanze kuswali upya

  • @saay4273
    @saay4273 4 ปีที่แล้ว

    Amini thuma amini

  • @fatmafatma550
    @fatmafatma550 4 ปีที่แล้ว

    Asante sheikh

  • @nusurakajubu8785
    @nusurakajubu8785 4 ปีที่แล้ว

    Mm nikisikia kusali gizani et sio vizur

  • @halimammari1395
    @halimammari1395 4 ปีที่แล้ว

    Jazzakallah

  • @jumasaid2792
    @jumasaid2792 4 ปีที่แล้ว

    Assalamu alaikum.
    Swali langu ni.
    Iwapo mtu alusahau kuswali swala ya adhuhuri kutokana na harakati kisha akaja akakumbuka kuwa hakuswali swali ile wakati wa magharibi na aliswali Alaasir.
    Je hukmu ya swala ya Adhuhuri ni ip?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 ปีที่แล้ว +1

      Allaykum Musalam. Ndugu Juma Saidi kwanza sababu za kutokuswali ni 2 tu kulala wakati ukapita na kusahau. Kimsingi swala HAILIPWI na kama ingekuwa inalipwa wangelipishwa akina mama kama wanavyolipa FUNGA. Lakini kwa jitihada na kama sehemu ya msamaha kwa Allah ndio huwa tunasali kwa dhana ya kulipa, sasa kufanya inayoonekana vizuri ni kusali kabla hujasali sala nyingine kama wakati upo. Mfano hukusali Adhuhuri na hivi sasa ni wakati wa Alasiri lakini ni saa 12+ karibu sana na Magharibi ipo hofu kuwa ukisali Adhuhuri, muda wa Alasiri utaisha hapo sali Alasiri lakini kama bado ni saa 11 sali kwanza Adhuhuri. Inatakiwa hivyo ukiwa umesahau au umelala ukikumbuka tu au ukiamka kitu cha kwanza iwe kusali, isiwe hukusali asubuhi kwa usingizi unaamka saa 2 asubuhi unakuja kusali Adhuhuri. Ni jitihada tu LAKINI sala HAILIPWI! Wabillah Tawfiq.

  • @soondreamtv2348
    @soondreamtv2348 4 ปีที่แล้ว

    Masha allah

  • @zahrarashid9142
    @zahrarashid9142 4 ปีที่แล้ว

    Shukran sheikh wetu Allah atuongoze