ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

ULIPOFIKIA UJENZI KONGANI YA VIWANDA SINO TAN, KATIBU MKUU KIONGOZI AKAGUA "VIWANDA ZAIDI 200"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ม.ค. 2024

ความคิดเห็น • 11

  • @deekendi191
    @deekendi191 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kitu ambacho inabidi tu amke, sis Africans tuna tumikatu. Awo watu wa njee wana agenda zao, pliz tufanye mambo sis wenyewe. African leaders pliz wake up.

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wachina co wawekezaji wezi wanyanyasaji Bidhaa zao azina ubora,wakiwa wengi wanaitia Nnchi umaskini ,

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 7 หลายเดือนก่อน +1

    Viwanda visanbae mikoa yote , Bandari ya Tanga ipanuluwe pia itapendeza sana.

  • @salumbujjo2320
    @salumbujjo2320 7 หลายเดือนก่อน +1

    wenzenu nchi zilizo endelea wanajenga viwanda kila mkoa kulingana na laslimali husika zinazo patikana katika huo mkoa hivyo kila mkoa unakuwa vizuri kiuchumi nyie mnalundika sehemu moja watanzania wote hawawezi kuja kuishi pwani

  • @mshanatheblacksmith
    @mshanatheblacksmith 7 หลายเดือนก่อน

    Hivi ndo vitu tunahitaji kuona nyumbani Tz tukiwa huku USA 🇺🇸 tunajisikia amani tukiona maendeleo home.

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 7 หลายเดือนก่อน

    TUNANUNUA DUBAI

  • @georgewilliam6001
    @georgewilliam6001 7 หลายเดือนก่อน

    Kwanini iitwe Sino

    • @gilbertwerema9870
      @gilbertwerema9870 7 หลายเดือนก่อน +1

      Sino (China) Tan (Tanzania). Hilo jina linamaanisha China-Tanzania industrial Park

    • @Moresa196
      @Moresa196 7 หลายเดือนก่อน +1

      Tutaibadilisha jina na tutaiita George William 6001 industrial park