Kodi zenu haziendani na kipato cha hao wanaofanya hizo kazi,kodi huzidi kiwango cha hela unayoipata kwenye kazi zako.kuwaboresha mnashindwa kazi yenu ni kuwaangamiza hao wasaka tonde kwa jasho jingi tu hamna lolote munatengeza njia za rushwa kwa watendaji wenu.
Safi sana humo ndipo Ushoga mwingi unafanyika na umaraya na wizi
Hii imeenda
Mmefungia massage clinics au wale Tu wasio na leseni?
Kodi zenu haziendani na kipato cha hao wanaofanya hizo kazi,kodi huzidi kiwango cha hela unayoipata kwenye kazi zako.kuwaboresha mnashindwa kazi yenu ni kuwaangamiza hao wasaka tonde kwa jasho jingi tu hamna lolote munatengeza njia za rushwa kwa watendaji wenu.
Pigeni STOP mabaa na vilabu vya pombe, sio mabanda ya massaging peke yake
Huwo ndio utalii kuziniana kwenda mbele
Hayo ni machaka ya ukahaba tuu
Lengo kuu sio kulinda maadili bali ni kudhibiti upotevu wa mapato
Mtihani kwakweli
Hmna. Lolote. Zanzibar. Inazama. Kwa. Laaana. Mnazozifumbia. Macho. Viogozi
Elimu itolewe watu wafuate utaratibu za biashara
Fukuza kabisa hiyo biashara hao wanaeneza ushoga
Hawa wabongo hatuwataki aaaaa mimi naomba niwe raisi nauvunja muungano kumamazenu hadi wazanzibar mnawaharibu asa watu wawe wezi auuuu kumaa nyinyi kumaaaaaaaaa milaardayo nakuombeni hii comment muisome kumaaaa nyeeeeee
Miongon mwa biashara haram izo
Mnapenda hela za watalii, wacheni wa wafanye mashoga mpaka vizazi vyenu vyote. Zanzibar maadili yameporomoka sana hata huko kwenye fukwe
Tunataka utalii
😂😂
Dola elfu kumi tanzania money kiasi ganiii jamaniii
Milioni mia
Ml 25
25,010,000/-
@@KhaRadha Wewe jamani 😂😂😂
Milioni 25😂😂😂