Amen Amen Mungu mwenye nguvu nakataa roho ya utumwa wa magonjwa kutoka kwa Adui Yesu niondoleeroho ya utumwa ya magonjwa sugu nitowe kwenye utumwa wa kutoelewa Neno la Mungu nisaidie Bwana Asante mtumishi kwa somo na maombi Mungu azidi kukuongoza BARIKIWA
Nimefunguliwa katika kila vifungo vya utumwa maishani mwangu nimekuwa huru Kwa damu yake Yesu Kristo Amen Barikiwa sana mtumishi wa Mungu na masomo haya ya biblia tunawekwa huru na kila utumwa wa dhambi
Kwa Jina la YESU nakataa roho ya utumwa wa hofu na wasiwasi.nakataa roho ya utumwa ya magonjwa maishani mwangu katika JINA la YESU. Naishinda roho ya udhaifu wa magonjwa yasiyoisha kwa Damu ya YESU na kwa Jina la YESU. Barikiwa kwa neno mtumishi asante
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 nakataa roho ya utumwa wa madeni kwa jina la yesu
MUNGU NITOE KATIKA UTUMWA WA NDOTO MBAYA NA HUSBAND SPIRITUAL IN JESUS NAME AMEN 🙏🙏
Amen Amen Mungu mwenye nguvu nakataa roho ya utumwa wa magonjwa kutoka kwa Adui Yesu niondoleeroho ya utumwa ya magonjwa sugu nitowe kwenye utumwa wa kutoelewa Neno la Mungu nisaidie Bwana
Asante mtumishi kwa somo na maombi Mungu azidi kukuongoza BARIKIWA
Asante Yesu kwa maombi haya
Nimefunguliwa katika kila vifungo vya utumwa maishani mwangu nimekuwa huru Kwa damu yake Yesu Kristo Amen
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu na masomo haya ya biblia tunawekwa huru na kila utumwa wa dhambi
Ameen Ameen
Kwa Jina la YESU nakataa roho ya utumwa wa hofu na wasiwasi.nakataa roho ya utumwa ya magonjwa maishani mwangu katika JINA la YESU. Naishinda roho ya udhaifu wa magonjwa yasiyoisha kwa Damu ya YESU na kwa Jina la YESU. Barikiwa kwa neno mtumishi asante
Ameen ❤
AMEN AMEN AMEN
Amen. Nakataa Roho ya utumwa wa. Ndoto mbaya kwa Damu yesu Amen
Mungu niondoe kwenye utumwa wa magonjwa n madeni kwadamu ya yesu
Amen
Amen Ameeeen
Amen Amen Amen
Amen 🙏 🙏 roho ya utumwa wa madeni itoke katika maisha ya kaka yangu kwa jina la yesu😢😢
Amen 🙌🙏🙏🙌🙏🎉
Ameeeen Ameeeen barikiwa sanaaaaq
Amen natoka kwenye utumwa wa madeni Kwa jina la Yesu
🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu wa mbinguni akujaze neema mchungaji
Ameeen,roho ya utumwa naikataa kwa jina la yesu.
Ameen ❤
Amen
AMEN AMEN