hongera san dada kwa uvumilivu kwenye ndoa yako pia hata huyi mume nae alikuwa na akili alijua kakosea wap akabadilika na kulud kweny ndoa yake wachache san wanaojilud weng wao wanaendelea na maxzao na kumuona mke c lolote
Mwambie mumeo hakueshimu sana na tena hasikukosee hata siku moja maana hatakuja kupata mwanamke mstaalabu kama wewe❤❤❤mungu awaBariki kwa kweli 🎉🎉❤❤😅❤.
Duuuh hakuna kitu kibaya dunian kama ex wamtu kwani yee hurudi kwania moja tuu nayo nikuomba nakuvunja familia na kuimaliza furaha ya ex wake nakumwacha akiwa amefarakanisha nakuitenganisha famila bila kujali na kukaa kando aiangalie inavyoteketea
Mama mkwe mzuri kweli na mvulia kofia.
Hongera sana kwa Storry nzuri za ku sisimua
Hadith nzuri ,hongera sana na inafunza big up.
Pamoja bi dadayetu 👊👊 burudani safi na mafunzo tele 💛💛💛
Tunashukru sim,mx hiyi simulizi ninzuri inafunza ira imeisha hatugupewa vire mume wadada arianguka mumikono yamucepuko😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Hongera ndugu yangu Mungu akiongezee utaalam zaidi na pia imekataliwa na sauti
Loooo pole sana dada Kwa mapito uliyopitia na hongela sana Kwa simlizi lako🙏🙏 NAMI nimejifiza kitu Kwanye simlizi lako🎎🎎☑️☑️☑️
Ongera sana dada kwakupata mama mkwe na kupata mume boraa mungu awape maisha maarefu
Woow❤mashaallah n nzuri ajjab next please🙏
I like your voice ni saut nzr npnd ukisumulia we
Nimeipend ni nzuri sana ♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Ahsanteni dada Mungu akusaidie kwa mafunzo ya simulizi❤❤
Duuh pole sana Dadaangu ila nimekupenda sanaa ❤
Aiseeee story nzuri sana dada angu mungu awabaliki kwa simulizi nzuri
Mngu ndimwemwa sana ansate sana ❤❤❤❤❤
Pole sana dada kwamapenzi yalio kujaa moyoni mwako
Waw simulizi nzuri sana kwa Wana ndoa shukran
Hongera sana❤❤❤
Polesa my mungu awabariki
shukrani victoria kwa kazi safi mnayo tupa kila leo ukishirikiana na simulizi mix
Pole sana Dada yangu changamoto ni nyingi katka ndoa na hongera kwa kupambania ndoa yk ndivyo wanawake tunatakiwa tuishi katka ndoa zetu
Swadaqta siz nice story
Hongera mway
Simulizi mzuri sanaaaa ❤
Mashaallah very nice
Simlizi nzuri sn jaman mama mkwe apewe maua yake
Jamani simulizi nzuri sana nimeipenda jamani❤❤❤
Simulizi hii ninzur, nimeipenda mno
P
Mungu aibarki ndoa yenu na muishi kwa amani.
😊
Nimependa sana huyo mama mkwe nikiboko sana hongera pia dada kwa uvumilivu wako
Nakupa hongera kwa kutoa lesson la uvumilivu na kusamehe ktk ndoa na pia kuenda mahali sahihi pa kusolve tatizo
Wooow rashda hongera sana na pole sana❤❤❤🎉
Kweli ni story ya kweli au miyeyusho
Hongela Sasa dada na kaka
Shukuran dear
hongera san dada kwa uvumilivu kwenye ndoa yako pia hata huyi mume nae alikuwa na akili alijua kakosea wap akabadilika na kulud kweny ndoa yake wachache san wanaojilud weng wao wanaendelea na maxzao na kumuona mke c lolote
Hongela dada kwa uvumilivu❤
Wow nimeipenda saana simulizi yako ninzuri saana
Ashukuliwe mama mkwe Kwa hekima yake ❤
Jaman ninzur sanaaa🥰🥰🥰
Ashukurue mamkwe kwa kukutetea ndoa yenu ❤
Polee sana dada pia hongeraa sana kwa ujasir
❤❤❤❤dad umetisha sana e
Hongera nimeipenda rashda ❤❤❤
Mwambie mumeo hakueshimu sana na tena hasikukosee hata siku moja maana hatakuja kupata mwanamke mstaalabu kama wewe❤❤❤mungu awaBariki kwa kweli 🎉🎉❤❤😅❤.
Nmependa simulizi hiii❤❤
Ni nzuri na inafundisha
Simulizi nzuri
Ni nzuri nimeipenda
Pole sna mylove na hongera sana bby❤
Amen
Asante kwa mafinzo yako
Very nice my dear, Good bless you
🎉
Asante mrs kharifa.
Nimefulai na nikalia pia
My habari usiku mwema ❤
Honger san nimepokea kitu
Hi nimeipenda
Simuluz zulisana mwaya❤❤❤
Duuuh hakuna kitu kibaya dunian kama ex wamtu kwani yee hurudi kwania moja tuu nayo nikuomba nakuvunja familia na kuimaliza furaha ya ex wake nakumwacha akiwa amefarakanisha nakuitenganisha famila bila kujali na kukaa kando aiangalie inavyoteketea
Nzr sana❤❤❤❤
Hii simuliz ni nzuli jaman
Wow😊
Unasimulia hadi nasisimkwa yaani ilibaki kidogo nilie kwa simulizi hii hongera sana bint unajua.
Very nice
Nzur nimeipenda
Ongela sana dada kwa sauti nzuli na story nzuli ya kusisimua
Kitu ambacho mlikosea ni kutanguliza mchezo kabla ya ndoa maana hili tendo nje ya ndoa ni dhambi nene, but msizoee tna
Kaaaali
Very nice story
Wawo nzurii sana😂
Ukweli mtupu naifurahia sana hii simulizi
i love it
Nzur Sana nmeipenda
MBONA JINA RASHDA LA KIISLAM KISHA SIMULIZI RASHDA MWENYEWE KAMA MLOKOLE
Sio mbaya akiwa mlokole😂😂😂😂😂
@@user-yz5zn4tr6iis
Dh hii simuliz nzuri san pia pole san dada angu kwa changamoto kuanzia mwanzo mpk mwisho
😂😂😂jina la Beny liliishia wap????
Nimeipenda sana
kwakweli simulizi pambee
Huyo Mama mkwe nampenda sna Kama asinge kuwa Mama mkwe hiyo ndoa haikuwa ndoa Tena Nani Kama Mama!
VIc mbkhguaase
Sitori nzuri ila inauzuni sorry dada angu 🙏
Naipenda sana story ❤❤❤
Nikweli ulimpata mamamkwe mzuri mwe ye marezi Bora mchamu gu
Very stor so much 💖 I❤
Good voice🎉
Part 2❤❤
Jaman mbona hajasimulia nn kilisababisha ambadilikie mkewe na Yule mtoto ni wa nan Khaa haijakaa sawa
story nzuri
dah nimejifunza vingi ktk hii story wanawake tizameni sana 😮
Saafi napenda similizi zako japo jina silijui ila sauti Mashallah
Tena sio kidogo bali sannnaaa Mungu amzidishie sauti nzuri
Story tam sana
Firefire😅😅😅😅😅😅😅
Store nzuli daaaa
Ulikuwa nasumuliavema ila umeharibu kwa kumpelekamtu huko kwadini Lau uislamu umekosea mbingu na dunia kabisaaaaaaa
Hii imependa
Ongela zako
So sad 😭
Asante kwa simuli nzur yakufunza naku elimisha piya
Asante kwa simuli nzur yakufunza naku elimisha piya
We 💕 be uko wapi 😅
Dada ukovizul kwasimuliz
Taaaaam❤
Hakik umetupa somo zuri san
good story
8:42 haha mwende
Mashaallaah
HONGERA STORY NI NZURI IMENIKUNA SANA UKWELI NI NZURI SANA.
99al999al9999aaaaaa9999999999aaaaaaaall9999999a99a99aaaaaaaaaaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa999aa9aaaa9aaaaaa9al9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa99l99aaal9l9a9
Jamani mbona nw tushabadilika hatukeketwi
Mpende sana mama mkwe wako
Nmeipnda❤