JINSI YA KUKUA KIROHO Sehemu ya Kwanza- Innocent Morris
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 พ.ค. 2024
- JINSI YA KUKUA KIROHO Sehemu ya Kwanza- Innocent Morris
Somo hili litakusaidia sana kujifunza namna ya kukua kiroho. Na utaweza kupiga hatua katika kila eneo la maisha yako ya kiroho, kimaombi, katika kusoma neno n.k
Chukua kalamu yako na daftari ujifunze somo hili.
Ubarikiwe sana.
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
TH-cam Link:
/ holyspiritconnect
Asante sana pastor innocent Morris, kupita maelezo haya,nitatumia neno la mungu katika maeneo ya maisha yangu, najiona nikimiliki vitu vya kifahari katika uso wa inchi kwa jina la yesu kristo amen and Amen 🙏🏻🙌👏🏿❤
Ooh mtumishi wa mungu,this is me,apo Kwa mfungo yameniguza roho sana,wiki uliopita nilijiandaa kufunga siku Saba nikaanza siku ya kwanza na pili nikasali vizuri bila jaribio lakini siku ya tatu nikafungua saa Saba na kula kabla ya saa kumi na mbili thn huo mfungo kukawa na majaribu sasa nilipofungua na kula nikamaliza kichwa ikaniuma sana Kwa muda mchache na kutulia kabisa Kisha Jana saa sita ya usiku nikashika bibilia kusoma neno nikajawa na uzingizi nikazinsia nikalala hdi saa tisa nikashtuka nikiketi nimeshika bible mkononi nikakasirika sana
Amen be blessed apostle aki nakuelwa vzur Mungu akulinde 🙏🙏❤️❤️
MUNGU akubariki sanaaaaaaa mtumishi wa MUNGU kwa somo nzuri sanaaa ni kweli kabisa ni mebarikiwa sanaaaa. Ameeen
Eee Mungu wangu unijaze na neno lako ili nizidi kukuwa kiroho, kwa jina la Yesu Kristo. Amen 🙏🏽
Atutarudi nyuma katika jina la Yesu Kristo 🙏
Nmegundua napitwa na vitu vizuri nina mda siyo sana nafatilia mafundisho yako yamenijenga sana Mungu akubariki mno 🙏🏻 asante
Baba samahan mtumishi wa Mungu naomba haya maufundisho ktk whatsp yangu Natamani kujifunza zaidi somo hli..
Mtumishi autoi vipindi naona najirudia tu
Mungu nisaidie nikue kiroho
Amen
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 be blessed pastor
Amen Amen 🙏
Amen Amen mtumishi wa Mungu
Ameen nakupata mtumishi
Amina barikiwa Munngu nisaidie nikue kiroho🙏🙏
Be blessed 🙏
God bless you
Ameee