Symbol ya kujitambulisha kuwa ushoga ni haki ya Kila mtu Kwa kusuka nywele ndio maana wanaowasaport ni waabudu shetani ,Nuru na Giza hakuna ushirika 2 Wakorinto 6:14 ...Laiti watu wangefunguliwa macho wasingefika hata hapo kuwapokea lakini hayanabudi Hawa kuwepo ili maandiko yatimie Mathayo 7:15
Watangazsji wa bongo hamfanyi research. Huyu ni mwimbaji mzuri sana na ana hit songs pamoja na kaka yake. Na kaproduce ngoma za Justine bieber, chris brown na wengine. Kiufupi ni tajiri na hana njaa
It means that they will even go for dog vomit if they are hungry. Angalia Neno La Mungu kwenye kitabu cha Luka 15:16 inasema Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu. Mungu, please open the eyes of the blind in the Name of Jesus Christ, Amen.
Mathayo 23:13 ole wao waandishi na mafarisayo wanafiki kwa kuwa mnawafungia watu ufalme wa mbinguni ninyi wenyewe hamuingi wala wanaoingia hamuache waingie MATHAYO 23:15 MATHAYO 23:14 WARUMI 1 :21 adi 32 damu za wa toto wa MUNGU mnazowadanganya kuwa ninyi ni watumishi wa MUNGU na kumbe sio mtadaiwa hata wewe unaye jiita nabii malisa mnajua kabisa mmeuza nafs zenu kwa ibilisi ili mpate umarufu na utajiri mnajua ni mungu yupi mlie naye kwa sababu utambulisho wenu wenyewe unawatambulisha kuwa mnamtumikia shetani tubuni mkareje kwa MUNGU wetu mumba mbingu na ichi YESU kirsto alimwaga damu yake kwa ajiri yetu bado mnayo nafasi MARKO 2 : 10 damu yenu na iwe juu yenu
Ivi Yesu anarudi kuchukua kanisa ndo hili kweli Tena Wana jiita Manabii Nabii eliya mtisbi alikuwa hivi kweli,ivi Hawa ndo watawavusha watu waingie Mbinguni,Ni mapepo kwenye umbo la kibinadamu tato kuzimu,Rasta kuzimu vipens kuzimu vipini kuzimu mna hukumu kubwa Moto unaongezewa ukari Mara Saba una wasubiri mnakokota maelfu ya watu kwenda nayo jehnm mh inatisha inatisha
Endelea kujifanya unamjua MUNGU(YESU KRISTO), kuliko yy maana hujasoma maandiko njia zake hazichunguziki, na hutumia kile ambacho wengi hukikataa, ww ulitaka MUNGU(YESU KRISTO) akuletee MTUMISHI ambae unataka alivyo, hapana
😂😂😂watapiga nin kwa watanzania jaman😂 Huyo lovy ana pesa chafu, passion nae yuko vizur sana. sema watanzania vieleele vyetu na kutaka miujiza ndyo vinatuponza. Hapo utakuta wanajaa kuombewaa😂😂
@@dianamdaku9802...Nyuma ya pazia wamekuja na ajenda zao za kutangaza ushoga, padiri ametoga masikio na Pua, halafu kavaa kipensi na skin tight ...duh..🤣🤣🤣
Hivi nyie mnaotetea huu ujinga ni wakristo wa dhehebu gan, yan unalikuta jinga eti linamuita uyu nabii duuuuh mkristo anaeijua dini awez tetea upumbavu huo
Uko sahihi hawa ni watúmishi wa yule adui ni mbinu za shetani kuwachangànya Wàtu Wasione njia ya Uzima hawa ñdio wale Baadae Utasikia malà kabàdili dini au Ameacha lengo huwa nkupoteza watu wasio na úfaham sahihi wa Neno la Mungu
Iv mtalishwa matango pori Hadi lini mbn dini ya wenzetu mauzauza ni mengi Kila kukicha manabii wanaongezeka ivi hata amfunuki akili wenzenu wanatajirika kupitia nyie
Hakuna kipya, yote tunayoyaona yalishatabiriwa. Yesu yu karibu kuja tena
Kabisa baba
Kwer hatutajitetea kwamba hatukuona haaaa aaaaaaaa
Symbol ya kujitambulisha kuwa ushoga ni haki ya Kila mtu Kwa kusuka nywele ndio maana wanaowasaport ni waabudu shetani ,Nuru na Giza hakuna ushirika 2 Wakorinto 6:14 ...Laiti watu wangefunguliwa macho wasingefika hata hapo kuwapokea lakini hayanabudi Hawa kuwepo ili maandiko yatimie Mathayo 7:15
Mshindwe kwa jina la Yesu
Njia za Mungu hazichunguziki
Mungu atusaidie!!!!
Watangazsji wa bongo hamfanyi research. Huyu ni mwimbaji mzuri sana na ana hit songs pamoja na kaka yake. Na kaproduce ngoma za Justine bieber, chris brown na wengine. Kiufupi ni tajiri na hana njaa
Much love papa lovy Elias
Mungu anaita watu wa namna mbalimbali
🎉🎉🎉 Welcome Dr Lovy❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
People are more than blind, Yesu wasaidie macho ya kuona Kilchoan nyuma ya pazia.
Mtu mwenye njaa hajali nani anampa chakula,
Be cautioned ⚠️
Umenena mkuu
Umeona nini ndugu?
It means that they will even go for dog vomit if they are hungry.
Angalia Neno La Mungu kwenye kitabu cha
Luka 15:16 inasema
Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu.
Mungu, please open the eyes of the blind in the Name of Jesus Christ, Amen.
Love you so Much Papa Lovy ,Karibu nyumbani.🙏🏽🇬🇧
Mathayo 23:13 ole wao waandishi na mafarisayo wanafiki kwa kuwa mnawafungia watu ufalme wa mbinguni ninyi wenyewe hamuingi wala wanaoingia hamuache waingie MATHAYO 23:15 MATHAYO 23:14 WARUMI 1 :21 adi 32 damu za wa toto wa MUNGU mnazowadanganya kuwa ninyi ni watumishi wa MUNGU na kumbe sio mtadaiwa hata wewe unaye jiita nabii malisa mnajua kabisa mmeuza nafs zenu kwa ibilisi ili mpate umarufu na utajiri mnajua ni mungu yupi mlie naye kwa sababu utambulisho wenu wenyewe unawatambulisha kuwa mnamtumikia shetani tubuni mkareje kwa MUNGU wetu mumba mbingu na ichi YESU kirsto alimwaga damu yake kwa ajiri yetu bado mnayo nafasi MARKO 2 : 10 damu yenu na iwe juu yenu
Nini imekuonyesha kama sio watumishi wa Mungu
Karibuni.Sana
Ivi Yesu anarudi kuchukua kanisa ndo hili kweli Tena Wana jiita Manabii Nabii eliya mtisbi alikuwa hivi kweli,ivi Hawa ndo watawavusha watu waingie Mbinguni,Ni mapepo kwenye umbo la kibinadamu tato kuzimu,Rasta kuzimu vipens kuzimu vipini kuzimu mna hukumu kubwa Moto unaongezewa ukari Mara Saba una wasubiri mnakokota maelfu ya watu kwenda nayo jehnm mh inatisha inatisha
Endelea kujifanya unamjua MUNGU(YESU KRISTO), kuliko yy maana hujasoma maandiko njia zake hazichunguziki, na hutumia kile ambacho wengi hukikataa, ww ulitaka MUNGU(YESU KRISTO) akuletee MTUMISHI ambae unataka alivyo, hapana
imeandikwa wapi kwamba ukivaa kipenzi na kuvaa kipini na kuweka tatuuu unaenda motoni ???????
@@danielyjarome9439 yange andikwa yote bibblia isingetosha ivi Moses kulola aliye tikisa kuzimu alikuwa hivi mbingu silelemama washushe vinyago vyao vya yezeberi jehnm inawatamani ,makanisa yaliyo Shiba imani hawawezi kuita katuni Kama hizi kuhubiria Hawa waombewe Toba waokoke sio kuhubiria watahubiri vinini
Kwel....had nmetoa machoz....hiki ni Nini....sio Kila atakaye Taj Jin la Mungu no WA Mungu
Uko sahihi kulia mtumishi, huu ni ufalme wa shetani umetua Tanzania. KANISA liamkeee in Jesus name!!!
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ni wokovu gani unaogusa ndani ukashindwa kabadirisha inje, Kristo amesema kinacho ziirika inje ndicho kilicho ndani. Asomae na aelewe.
UShogaaaa😭😭😭😭😭😭
.... Nao wata danganya wengi, Yamkini hata walio wakristo wata wafuata.
Bwana Yesu nipe mwisho mwema baba yangu.
Ameen, me too Baba yangu.
Na Kenya mtafika lini jameni.
Hatumtaki asikuje wakora hawa.
Iv niwaulize apo kweli kna mtu WA mungu au shetani hata ujui kusoma hata picha jamani
Welcome in TANZANIA men of God
Hakuna Manabii apo, hao wote ni Mafreemason, wote hao ni Wapinga Kristo
Duuu!
Aseee!
Yesu
Tunakuomba uje mana watu wako tunaangamia kwakukosaa maarifa?????
Dah sikuelewa yale mabango niliyokuwa nayaona mungu ww ndounajua kipinikip tulehemu
Mungu haziakiwi
Kachora tattoo
Watu wa Mungu kuweni makini sana na hawa watu naongea kwa unyenyekevu kabisa
Tulia na kipara chako hujui unachokiongea
@@Churchofecclesiaupo Kama shoga wewe
Unyenyekevu wako tulia na kwenu kama hujui unachoongea
Kwani hawa Wana mtangaza Mungu yupi?
Njaa mbaya
Ndio mana ka malisa kana sumbua na ma hela
Kumbe ya bwelelee
Watu kanisa hawachunguzwi na hawakaguliwi so lets see final
Duuuuu!!
Nabii katoboa pua na kavaa kipini😊
What language are they speaking with the prophet?
Swahili
Ushogaaaa
Macho ya kiroho sawa hamna je ya mwilin?
Nampenda nabii Lovy Elias
Polee 😂😂😂😂😂 mtaabudu miungu hata msiyoijua kwa kukosa kujua neno la MUNGU
Hawa ni wapinga KRISTO haitaji ata kuwa na Roho mtakatifu ili kuwatambua yani wako live ni mashoga hao
Mungu akusamehe
Eb sema kwañn ni MASHOGA????
Nimashoga kwani huwaoni wewe maandiko yamekwambia watatokea manabii wa uwongo, sasa hao niwakina nani kama sio hao manabii wa uwongo Nabii wamevaa vipi puani😂😂😂😂😂😂😂😂
@@handenitakuru6696Bwana akamjibu Samweli mimi sitazami kama Wanadam watamazavyo bali mm natizama MOYO.
@@natupe123 mwanaume mwenye rasta na kutoboa pua ni zaidi ya mwanamke kahaba
Nimependa lovy alivyoongea
America kipini
Kumbe manabii wanatoboa pua heee😂😂😂😂😂
Ewee bwana tuokoe
PROPHETIC Word FEARLESS Preacher UK 🇬🇧 KARIBU HOME 🏠 MY PAPA LOVY FOR THE MOUTH 👄 OF THE LORD HAS SPOKEN NO OTHERWISE ; 🙏🏼♥️❤️🩸
Mapadiri wanaonekana kama mashoga..inabidi Kwa makini sana
Shoga mashekhe wako
@@Churchofecclesia ...Sheikh hawezi kusuka Rasta kutoboa Pua na masikio na kuvaa vichupi hivyo...🤣🤣🤣
@@Churchofecclesia acha kutetea mashoga wenzio choko ww
Bila Shaka kuna biashara iliyo nyuma ya Kanisa!!??
😂😂😂 cna neno na kipin puan. 😢😢jiran yangu kapoteza chungu la supu anadai mm nimeiba mm mm niwakuiba supu. isiyo na chumvi
Strong English 😂😂😂
Nyie nimashetani2
Kwa hali ilivyo naona kila mkoa utakuja kuwa na Nabii wake 😂
Manahii😂
Matapeli wamekutana
Yaliyotabiriwa sasa yanatimia
Nyie ndio mmatuletea malaana ya maporomoko ya mafuriko wala sijingine eti mitume 😂😂😂
Usicheke! Unadema sahihi, hayo sio mafuriko tu! Yanamaana.
LGBT iko nyuma yao.
Noo this guy is a married man
Hahahahaaaaa mpumbavu hafundishwi kudanganya
Na kipini,na rasi! Eee! Mapya!
NABII ANAKIPINI PUANI
nhinhi wakristo amuna akili,, sababu awo wenhewe awagielewi
Jifunze kuandika kwanza, sawa kichwa maji
😤😤😤😤😤
Wapigaji hawana jipya hao
😂😂😂watapiga nin kwa watanzania jaman😂 Huyo lovy ana pesa chafu, passion nae yuko vizur sana. sema watanzania vieleele vyetu na kutaka miujiza ndyo vinatuponza. Hapo utakuta wanajaa kuombewaa😂😂
@@dianamdaku9802...Nyuma ya pazia wamekuja na ajenda zao za kutangaza ushoga, padiri ametoga masikio na Pua, halafu kavaa kipensi na skin tight ...duh..🤣🤣🤣
Mambo mengine hayaitaji macho ya rohoni, macho ya mwilini tu yanakupa tafsiri, wapendwa muwe macho hizi ni nyakati za mwisho
Kabisaa makristo ya uongo
Makubwaaa
Mkora Lovy amekuja Tanzania kuwatapeli. Ashindwe false prophet
Hivi nyie mnaotetea huu ujinga ni wakristo wa dhehebu gan, yan unalikuta jinga eti linamuita uyu nabii duuuuh mkristo anaeijua dini awez tetea upumbavu huo
Uko sahihi hawa ni watúmishi wa yule adui ni mbinu za shetani kuwachangànya Wàtu Wasione njia ya Uzima hawa ñdio wale Baadae Utasikia malà kabàdili dini au Ameacha lengo huwa nkupoteza watu wasio na úfaham sahihi wa Neno la Mungu
Iv mtalishwa matango pori Hadi lini mbn dini ya wenzetu mauzauza ni mengi Kila kukicha manabii wanaongezeka ivi hata amfunuki akili wenzenu wanatajirika kupitia nyie