Huyu jamaa Leo kaona arudi kwenye Uislamu wake , unajua mashoga asilimia kubwa niwa dini yake harafu anataka wachungaji waondoshe ushoga, huyu anawavua nguo wenzake bila wao kujua , ukweli Quran haiwezi kuzungumza habari ya Yesu Kristo na ikafuatwa kama ilivyokusudiwa na Mungu zaidi sana ni upotofu na udanganyifu wa kuwatoa watu kwenye Imani Yao na makanisa yanazidi kujengwa na hao wengine wanazidi kupotea kwenye USO wa Dunia
Hivi yule mchungaji wako shoga siku hizi Yuko wapi mara ya kwanza kabisa nilikuona kwenye kanisa lake Yuko wapi maana na wewe ulikuwa mhubiri kwenye Hilo kanisa
Wanapo kusanyika Tai ujue panamzoga waokusanyika ndio wanaojua like wanachi kipata Hata Yesu wali SEMA anatumia nguvu za shetani kuponya watu hauja Anza wewe.
ukweli mchungu wanadamu tuwe makini sana hali ni mbaya na huyu mtumis anafungua code za siri mwenye masikio na asikie na asiyesikia na basi apuuzie lakin tutaona mengi kupitia huyu jamaaa.
Kuelewa Haya maneno itakubidi uwe mjinga kwanza ,werefu wako cjui Mimi ni musislamu,cjui Mimi ni mkristo... Sisemi ukubaliane na kila kitu ila tu Mimi ni mkristo lakini ukinipata nimevaa kanzu tu,manake kanzu au bui bui inavunika uchi,lakini waone sisi wakristo tunatembea uchi na kueda kanisani kutafuta miujiza....hatutii ata agizo moja la Mungu,
ALLAHU AKBAR!
MANENO NI YA KWELI MFANO NABII ALIYEFUKUZWA, BAHATI NZURI AMEKIRI NI MWIZI NA SISI NI WAPUMBAVU. TUAMKE KWA AJILI YA MWENYEEZI MUNGU
Huyu jamaa Leo kaona arudi kwenye Uislamu wake , unajua mashoga asilimia kubwa niwa dini yake harafu anataka wachungaji waondoshe ushoga, huyu anawavua nguo wenzake bila wao kujua , ukweli Quran haiwezi kuzungumza habari ya Yesu Kristo na ikafuatwa kama ilivyokusudiwa na Mungu zaidi sana ni upotofu na udanganyifu wa kuwatoa watu kwenye Imani Yao na makanisa yanazidi kujengwa na hao wengine wanazidi kupotea kwenye USO wa Dunia
vita ya israel iliishia wapi😂😂
Mashallah shekhe Hamza issa sasa anarudi ktk ubora wake km wa awali
mzee veep
Hivi yule mchungaji wako shoga siku hizi Yuko wapi mara ya kwanza kabisa nilikuona kwenye kanisa lake Yuko wapi maana na wewe ulikuwa mhubiri kwenye Hilo kanisa
Quran haijui huyu Fasiq mkubwa anaangalia na anakosea kisha anajiita MTUME ILYASA HUYU HAMZA NI FIRAUNI WA TANZANIA NA NI KAFIRI MKUBWA.
huyu atafutwe apigwe au auwawe maaana ana kashifu uislam bado
Mungu akuweke salama sheikh wangu
Naona mada hii imekosa comment kabisa siwaoni watu
Wanapo kusanyika Tai ujue panamzoga waokusanyika ndio wanaojua like wanachi kipata Hata Yesu wali SEMA anatumia nguvu za shetani kuponya watu hauja Anza wewe.
Kweli wewe ni msomi
Weye kwenye Uislam humo wewe ni KAFIRI anayevaa Makanzu tu na makofia
Kweli ukristo ni Imani potofu
ukweli mchungu wanadamu tuwe makini sana hali ni mbaya na huyu mtumis anafungua code za siri mwenye masikio na asikie na asiyesikia na basi apuuzie lakin tutaona mengi kupitia huyu jamaaa.
Islam pekee ndiyo njia sahihi
Saudi Arabia ndio imeshinda la Miss World na wewe uko mwezi mutakatifu wa Ramadan. Endelea kuota tu!
We shekhe haujui.....anzeni na hao wasanii wa dini yenu 😅ama kweli ( nyani halioni kundule)
Kuelewa Haya maneno itakubidi uwe mjinga kwanza ,werefu wako cjui Mimi ni musislamu,cjui Mimi ni mkristo...
Sisemi ukubaliane na kila kitu ila tu Mimi ni mkristo lakini ukinipata nimevaa kanzu tu,manake kanzu au bui bui inavunika uchi,lakini waone sisi wakristo tunatembea uchi na kueda kanisani kutafuta miujiza....hatutii ata agizo moja la Mungu,
Nenda kwa mwamposa utabarikiwa
Jesus is only way but not church❤
Wewe ni mganga wa kienye tumekusoea.j
Mbona mashekh wanatumia aya za kurani kuita majini hausemi
HUYU SIO MUSILAM NI MKRISTO
Amen 🔥🙏
TANGAZA DINI YAKO usiponde dinini ya wezio