Nilianza BIASHARA na 16,000 sasa nina zaidi ya MILIONI 300/USHIRIKINA upo kwenye BIASHARA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe TH-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Mungu hayupo kaka fabo?? Katika siri zako kaka...mungu kwanza,,alafu mambo mengine yanafuata..apo unejisahau bila kumtaja mungu fahafi
Huyu jamaa baba yake ni tajiri sana pale zanzibar nyumbani kwao kuna mpaka zoo,sikia sasa anavowapanga watu kwamba alianza kuuza ubuyu na mtaji wa elf 16 😅😅
Ukiskiliza story za hawa washkaji unaweza ukajiona huna maana kabisa mtaji wa 16000/=
😂😂😂 bongo bana mtajia wa 16000/= hadi 300M mauongo matupu
hongera
Madini mengi sana
Moja kati ya wapumbavu kabisa ni watangazaji na wajinga kama hawa wanaosema nilianza na buku au hela ambayo ni ya chini.
Hivi wewe ukipewa elf 50 ufanye biashara, utaweza kufikia viwango hiko kwa muda wa miaka 10?
Hua mnaongea mkiwa mmelewa au mnaongozwa na usenge gani
Kila kitu ni malengo na mipango. Ukishindwa kufanya Jambo kubwa bas Fanya Jambo dogo kwa ukubwa. Watu wanaanza biashara