Mboto awatoa machozi waalikwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- “Nimerogwaa...”- Haji Salum almaarufu “Mboto’ alivyowachana mbavu na kuwatoa machozi waalikwa wakati wa uzinduzi wa msimu wa pili wa tamthilia za Kiswahili za Tanzania ndani ya chaneli ya #SinemaZetu.
#Tunu #Mihemko #Haikufuma #SaluniYaMamaKimbo #Mimi #MinneTena #Mi4Tena #SinemaZetu #HakikaNiZaKwetu
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Uhalisia wa maisha yetu upo kwenye filamu zetu, karibu katika familia yetu tuburudike na filamu za nyumbani.
Mbotoncho kichwa kibovu nakukubari sana hujawahi kuangusha.....
Safi sana
Ila jamn lulu nimzur💕💕💕
Hiyo makeup ivi umemuona live? mm nimemuona pale millenium tower na dela lake kidogo nikimbie
@@mussambogoni849 🤣🤣🤣🤣🤣ila we akiri zako
@@mussambogoni849 lulu mzuri ww
@@mussambogoni849 😅😄😄😂😂🤣🤣
Mboto Leo umeniumiza mbavu zangu 😀😀😀😀
😀😀 suti za mitumba is washing 😀😂😂😂
Mboto sijawahi comment umenichekesha sana
Muhogo mchungu huxzeeeki.duh
Huuuuuu kweli
Gonna like za fall pupa
Upo juu mboto nakukubali sana
Nakbl kk
😂😂😂😂😂😂😂ila mboto chizi Sana ww
Pumbavu. Is very washing 😂
Hongeren vioooo vyetu
duh piece kama zote...
Uyo bwana anayetikisa kchwa apo mgongoni ananipa raha
😂😂😂😂😂,mchekeshaji original,sawa Mboto
Aah... Shishi beb uko wapi maa... Pacha wako ni mboto😂😂english samaleku😅
🤣🤣🤣🤣
😄😄😄
Dah 🤣🤣🤣🤣🤣
Kinge kimekushinda unalia? Pole baba ongea kikwetu tu tutakuelewa😂
😂😂😂😂 jaman mi naludisha mbaka bando linaisha Yan mboto nyie Mbavu zangu mie uku
Nampenda mboto🤩🤩🤩😍🙏
Nice
😂😂😂😂😁ASA mwaisa.kaingiaje hapo jamn
hahahaaa hata mim cjawah kuchoka kuangalia hii crip..napenya penyaje ili nisiangalie😂😂😂
Mboto hujatulia wew😂😂😂
Sijawahi kuchekeshwa kaa hii na mboto. Nimecheka sana
Acha uhuni mboto vichekesho vingi
th-cam.com/video/MPZHB86EEBI/w-d-xo.html
Huyu jamaa anazinguwa kishenzi...😃🙂😃😍😂😂
Mbotonyo umenifurahisha😂😂
Wa msanga huyoo mbotonyo we mkalinyo
😂😂😂😂Vipaji jmna❤️💃
Nampenda bure mboto from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Blessed man
Kiukweli mboto msanii mzuri yani ukimuangaliatu unachekatu
Mboto ana vituko jmn kaaa😀😀😀
Mbotoo shikamoo
Umenikumbusha ilikuwa Bana Kongo nadhani!!!! hhhhh Magonani!
Kweli
Sichokag kuangalia hii interview wallah😂😂😂😂😂
Ndio anaitwa mande na tumesoma shule moja darasa moja ashukuliwe mungu kwa kumuinua mande wetu kaka mkuu Wa shule
Hahahahaha nami nimecheka mpk mchozi
6:54 mzee akashndwa kuvumilia 😅
Duh hatar sana hamia kwenye kitimtim na akina Pili yaani huyu akiigiza lazima ucheke tu
Mboto anajua aiseeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani eeh tuongeeni hichi hichi cha kawaida😂😂😂😂
Mbotoooooo ww ni falaa kweli yan mbavu zangu maana sio kwa kucheka huku
Mbavu zangu mieee
Mkojan yk wp
Is very very washing😝😝😝😝
Had I raha mashallh amechangamsha ukumbi mbotonyo
Kimomboooo htr
mboto salute 🙌...namtafuta nani aliye nisukuma kwenye maji usiniulize nimevukaje vukaje hapa 😂😂😂😂
Jmni mboto namkubali saana
Kweli mboto hatali
Nimecheka kwa sauti
Mboto your genius
Ety msiniulize nmepenyaje namtaka aliye nisukuma 😂😂😂😂😂
Ivi wewe mboto wajionaga nani wewe mbona umeumiza mbavu zangu mimi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnajua hili Toto jinga sana mjue...hahaaa
Duuuh mbotonyo ni nomaaa
Ngwwwwa
Mboto ni hatari na nusu nimecheka sana
Mbotonyoh 😆😆😆😆🤣
Huu jamaa Mboto si utopolo huyu amejaa majungu tuu
Mnaleta utim kwenye kaz za watu. ...
Ya pilau,ugali,viazi mlenda
Haji ww kha nimecheka sana😃😃😃
Mboto wewe mbavu zangu 🤣🤣🤣🤣
Mbotto ni mwehu😮😮
😂😂😂
Mbotonyo 😂😂😂🤣🤣suti za mtumba is wanshing
Mboto wwee😅😅😅
Ujawai kosea😹😹😹😹😹😹😹😹
raha sanaaaaa.......
Mboto now it's ur time to show us how gineus you a . Kweny intro umeua kinyama
Huyu mwanaume namkubali Sana sanaaaa hatari huyu anakuchekesha mpaka ukaechn
😅🤣🤣🤣🤣
We mboto utaua mbavu zangu .kumbuka kuna korona bn 😆
Hahaha
Pisi Kali wanavyo cheka
We kweli juma love umeona pisi Kali tu
Nimechk kwel mboto weweeee
wapi mkojni
Nakuchukiaga na uyanga wako lakin kwa hili umetisha
😀🤣🤣mbavu zangu mimi🤣🤣Mbotonyooo!!
Hahajahjaa Mboto nampenda balaa jaman
Nice voice mboto😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbotto👏👏
🤠😁
Hivi jamani muhogo mchungu tangu mi mdogo kabisa kupata akili naanza shule namaliza naanza kutafuta maisha leo naishi muhogo yuko hivihivi kwani muhogo baba etu babu yetu au we muhogo umekula nni ndugu yangu
Amekula chumvi huyooo
Kuna.mihogo umekutana.nayo mingi tu ila huu ni muhogo mchungu
Kala muhogo wa jang'ombe
Ila kwel Ata me nashanga
Yn yuko hvhv
Bodyguard yupo jujuuujuu
Naijua Story hii alotowa Mbotto 😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 dah
Mbotto unanin lakn jamani😁😁😁
Boko lao😀😀itsi very very washingi
Move yaakina mboto inaitwaje naitamani kuiyona
Shilole leo asaidiwaaa haha
Kwely
😂😂😂😂😂😂😂uwiiii
😂😂😂😂mboto bwana
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
.
Nataka alienisukuma
😂😂😂🎉🎉
Hahhahaha suti zamtumba jaman ndan yakingeleza
😂😂😂🤣🤣🤣mbavu zanguuuu mieeeee
😂
Mboto hongera sana kwa kuhimba Lingala
kahimba au sio
Fally pupa anapiga makofi tu aaahahha Mzee zingo anazingua
Fally umemuona wap?