Hakuna cha ajabu kkkt hata Askofu mkuu mstahafu alirudiswa kuwa Askofu mkuu tena kanakwamba hakuna anae faa pamoja na huyo,hakuna mahali kura ilitenda haki,kwani hata mavazi ya yesu waliyapigia kura..Yesu alisema mafarisayo wamefanana na makaburi nnje yamepambwa kwa marumaru lakini ndani ni mifupa mitupu na uvundo, kwahiyo msishangae tutaelewana tu.
Na mimi naunga mkono, Nakuita mama wa taifa. Mama Allah akuhifadhi
Samia oyeeeeee,
Hapo kweli Kabisa. Nimeipenda sana hii.
Nakubariana na wewe . Huyu ni mama wa Taifa .
Baba askofu umenena huyu ni MAMA WA TAIFA . Asante baba askofu
Hakuna cha ajabu kkkt hata Askofu mkuu mstahafu alirudiswa kuwa Askofu mkuu tena kanakwamba hakuna anae faa pamoja na huyo,hakuna mahali kura ilitenda haki,kwani hata mavazi ya yesu waliyapigia kura..Yesu alisema mafarisayo wamefanana na makaburi nnje yamepambwa kwa marumaru lakini ndani ni mifupa mitupu na uvundo, kwahiyo msishangae tutaelewana tu.
Ubalikiwe
Omary kombe Kweli Mama wa Taifa
Askofu limepita mama wa taifa oyee
Kwa lipi
Jakaya Kikwete nasubiri kauli yako, Askofu anachanganya dini na siasa 😂😂😂😂😂