Nondo za Profesa Kabudi mbele ya Rais Samia kuhusu mkoa wa Singida
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Msomi na Mbunge wa Kilosa mkoani Morogoro, Profesa Palamagamba Kabudi akielezea asili ya jina la Mkoa wa Singida leo Jumatatu Oktoba 16, 2023 katika hafla ya sherehe za miaka 60 mkoa huo iliyohudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.
Beautiful speech yenye full package kwa dakika chache
Big brain Prof. Kabudi! Strong Speech! Our Library! Excellent.
Mbongo anaijua sana history ya Marekani na UK kuliko ya nchi yake, tunahitaji reshaping kwenye history yetu!
God bless you Prof. The living Legend, your always my insparation💪💪
👍👍👍👍 hongera prof. Kabudi, Mungu akupe afya njema iko siku utabarikiwa na kutunukiwa.
huyu baba akiongea natamani Hadi kulia kea kumkumbuka Magufuli.
lakini pia namna alivyowekwa pembeni ingawa ana akili kuliko Hawa ambao Mama kawakumbatia.
be safe mzee kabudi. hunijui sikujui ila nakupenda mno baba.
una madini makubwa na yenye ushawishi.
mzee Kabudi sijui nikusemeeje
Prof.Kabudi ni kitabu kikuu cha Hazina ya Historia ya nchi hii tangu kipindi cha koloni zote na biashara ya utumwa na mabadiliko mbalimbali yaliyopita ktk nchi yetu hongera sana professor Kabudi na mungu akubariki sana.
Absolutely
Huwa najiskia raha sana kusikiliza speech kama hizi
On the spot and so educational! You rock, Cousin Pala! Hugs a congrats!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Huyu Kabudi ni muhimu sana kwa taifa letu kama tutamtumia vizuri
Kweli bwana tupo wengi Oman
My role model
Naenda Sana kuisikilisia history ya taifa professor kabudi kuitangazia taifa
Uko vzr prof,,we ni tofauti na maprof wengineeee
Pro. Kabudi is always something that is incredible for this country
UKIZUNGUMZIA WAZEE WA NCHI YETU WANAOJITAMBUA HUYU NAYE YUPO. 🇹🇿HAZINA YA TANZANIA 🇹🇿
Hizi nondo mara chache Sanaa kusikia 👏👏👏
One of the best orator
Kutoka LWEBA FIZI D R Congo,Kuna watu UKIWAONA UNAMKUMBUKA JPJ MAGUFULI😢😢😢😢
Mie Mkenya na kwa kweli mie napenda semi na mihadhara ya Prof.Kabudi.
Ufahamu wake uko kiwango cha juu.
Viongozi wenye ushetani
Hongera sana Pr Kabudi
nakubali sana mwamba kwa haya mahistoria lakini singida ilivyo na ilipo inasikitisha
Hongera Profesa
Prof Kabudi unadhihirisha kuwa wewe ni mwana falsafa wa uhakika! Mwenyezi MUNGU akubariki sana❤
Prof mbona hujasikika mkataba wa bandari,tungekuelewa vizuri.
Daaah nilimmsi sana huyu mz speech zake
Hii NDIYO HOTUBA YENYE ELIMU YENYE MANUFAA KWA WALIOHUDHURIA NA KUSIKILIZA .
Historia ya mikoa yote iandikwe😊😊
Prof kabudi huwa ananikumbusha historia ya taifa letu huwa anashusha nondo wengine huwa hawajui historia vizuri huyu inaonyesha alisoma vizuri historia yote ya dunia nzima.
Jembe la Magu hilo
Kiandikwe kitabu cha historia.
Kwa nn mama hutaki watu kama hawa wakusaidie kujenga nchi ww unaweka majizi tu
Huyu ni msaidiz wa mama yupo ofisi ya RAIS ikulu pamoja na lukuvi
VILAZA Hawawezi kufanya kazi na wenye akili kama huyu
Raise wangu huyu awe waziri was mambo ya nje
Genes man
God bless you
Kabudi
Prof. Mwanasheria Msomi
Raisi wangu
Kwani hii sherehe ya miaka 60 kuanzishwa mkoa wa Singida ni sherehe ya kitaifa.
HUYU MZEE NILIOTA KUWA NDIYE RAIS WA NCHI AJAE BAADA YA MH SAMIA SULUHU
Nani kama kaka?. Very proud of uuuu
MTU Hutu anastahili tuzo ya mwanahistoria mahili na mzalendo
Mlali kwetu
Mbona Rais hasikilizi sasa
Naikumbuka tanzania ya uchumi wa kati
Imeishia wapi. Şu kWa vile Mungu mtu amekufa. Kafa na uchumi wake.
Lulu ya thaman. inamaana hatuna uhitaji na watu wa namna hii katika nchi yetu
Lulu hiyo, ambayo JPM aliikumbuka, kuing'arisha na bado ing'ara
Singiera Mohera. Daah aisee lugha yetu Kumbe kubwaaa
Yaniii jamani wizara nyeti wanapewa majizi ona kicha hikoooo wewe acha kabisa jembejembejembeee hongera tz mwamba wetu k
tuijenge inchi kabudi ni azina na mkumbukq kabla ya kuingia kwenye siasa
Mkuu usiweunakaa kimya saana
Sasa huyo ndo Professor
Rais mwenyewe hapo anaskia niupepo hapo hajuichochote hapo
Naamini kabisa hamjui hii .
mama samia mkumbuke huyo baba kwakweli anaijua nchi hii
Yeye na lukuvi ndio washauri wa RAIS Sasa hivi
Unastahili unaijua nchi
Daaah! PhD 70 huku Kagera ni 600+
Kagera sawa..ila elimu inashuka si kama miaka ya nyuma.
Singida ni aina ya hereni za kiinyeji zilizoitwa singida na mbojo ni binadamu ambaye amebadilishwa kimazingara ya kichawi na ambaye ana wadhuru watu kipindi cha usiku hasa kipindi cha masika.
Hapa huwa nafaudu sio kufaidi nafaudu
Mtu na nusu huyu
Kama hutoki jalalani huwezi kuyafahamu yote haya
Mzalendo halisi
kabudi uko vizuri sana.
Munawaficha wazee mukiwa nashida ndio munawakumbuka kuwasaidia kwenye historia ya jambo mhimu
Muibue na baba yako naye tumuone.
@@walidmgonja3644Punguza makasiriko
Samia na kundi lake wanamtaman wampe hata uwaziri mkuu lakini wanaona kabisa atawatoa ushamba
Haraka sana aandaliwe kuwa Rais baada ya Rais Samia
Chuma hicho mama kakificha kabisa ila hayatu
Hivi jamaa bado anahusikaga na mikataba?? Ili tumuulize wa bandari
Bado tuna shida na mikataba ile ya madini aliyoisaini.
Nahisi kwenye viongozi wa kijeshi aliotaja, anayetoka singida ni Meja General Kodi sio Brigedia Kambenga, huyu ni wa Tabora kama nami sijakosea.
Hii ni kuweka sawa historia.
Wewe uwezi kumzidi kabudi historia kaa kmya
Hawa Kodi ni wa Sasa,amewataja wale wazee kidogo na wastaafu
Uyo mzee ni wazamani sana ambaye alikuwa bregedia