KWA UCHUNGU MKUBWA DUDU BAYA ALIA NA WAKRISTO NA WAISLAM ATOA SOMO KUBWA MWAMPOSA NA DR SULLE WATAJW

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 81

  • @AnyosTemitope-k9c
    @AnyosTemitope-k9c 5 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu akufunike mtumish wa Mungu.leo nakupa jina jipya.wewe sasa unaitwa mwana mwema nasi dudubaya tena

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias1188 5 หลายเดือนก่อน +7

    Mamba!, konki!, konki! Master. Uko vizuri wachache watakuelewa, ipo siku mtu mmoja atakuelewa na malaika watashangilia.

  • @EmmanuelMaganga-be7bl
    @EmmanuelMaganga-be7bl 4 หลายเดือนก่อน +4

    Wew ni hatari sanaaaaaa brother ❤❤❤❤

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj หลายเดือนก่อน

    Asee nimependa sana uyu jamaa ni genius sana nakukubari sana kusudi la Mungu likatimie kwako Mtumishi wa Mungu ❤

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ubarikiwe kiongozi dudu baya ❤

  • @T-Fellow
    @T-Fellow 4 หลายเดือนก่อน +4

    Dah, uncle Dudu Baya
    Nakubali sana unasema mazuri mapana manene!

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 5 หลายเดือนก่อน +18

    Dudu baya akili Yako moja ni sawa na wasanii wa Sasa hivi 20000

    • @Worldunite
      @Worldunite 4 หลายเดือนก่อน

      Zaidi ya 20,000 😂😂😂

  • @eliankota570
    @eliankota570 5 หลายเดือนก่อน +4

    Great thinker 👏👏

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 4 หลายเดือนก่อน +2

    NIMEIPENDA HIYO.; MTUMISHI WA MUNGU UMEAMBIWA KUNA MGONJWA WASHA NDINGA UNAENDA KUTIMIZA WAJIBU❤❤❤❤❤❤. 😂😂😂😂😂😂. HAPO VIPI HAPO ❤❤❤❤❤❤

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 5 หลายเดือนก่อน +4

    Sawa kabisa manenoyako

  • @ramadhanisakalani8372
    @ramadhanisakalani8372 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu aku simamieee inshallah

  • @ramadhanisakalani8372
    @ramadhanisakalani8372 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wallah Tena dudu baya umengea point sana

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 5 หลายเดือนก่อน +5

    Mwenye masikio ya kusikia na asikie

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 5 หลายเดือนก่อน +3

    YES DUDUBAYA UKO RIGHT VIONGOZI WA DINI SASA HIVI NI WASANII.

  • @abdulisike
    @abdulisike 4 หลายเดือนก่อน +2

    Konk konk konk master hua nafrai sana interview zako .

  • @RidhiwaniHamadi
    @RidhiwaniHamadi 2 หลายเดือนก่อน

    Mwamba unaimani kubwa mno mungu akubariki na akuongoze ktk kila Jambo bro

  • @JustinaPeter-nq6dn
    @JustinaPeter-nq6dn 5 หลายเดือนก่อน +3

    Naitwa justina hiyo nmeielewa sana kka yang

  • @AniciaNyaga
    @AniciaNyaga 4 หลายเดือนก่อน +1

    The master mind. The dudu

  • @JohnBura-xr2hw
    @JohnBura-xr2hw หลายเดือนก่อน

    Waliopewa kazi wamenyamaza sasa MUNGU Anawainua msiowategemea wala kuwadhania leo dio wanao sema maneno yanayo faa kwa watu wote waislamu Wakristo Dudu baya Mungu akubariki

  • @HappySaden
    @HappySaden 10 วันที่ผ่านมา

    Big up brother dudu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 หลายเดือนก่อน +2

    Matendo 1:8
    Kaeni humu mpk mtiwe nguvu.....
    Ila yuko sahihi mtu unapambana eti upate kiwanja katikati ya makazi ya watu badala ya kwenda nje ya mji

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huwezi kuwa kiongozi wa dini bila pesa kwa sababu kufanya kazi ya Mungu inataka pesa

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe mwombe Mungu akupe neema na akuchague kwenye kazi yake

  • @alexandersangi1724
    @alexandersangi1724 5 หลายเดือนก่อน +2

    Aminaaaaaaaaa

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 5 หลายเดือนก่อน +2

    Maneno ya Mungu halisi hakika maadiki yetu yamemomonyoka Mungu akutumie.

  • @BadriahAhmed-s6j
    @BadriahAhmed-s6j 28 วันที่ผ่านมา

    Nakuelewa kaka

  • @AminKanefu
    @AminKanefu 4 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi wa Munguu fanya Kazii Mungu ameshakuita tayariiii

  • @arjunmutotowadzaleka
    @arjunmutotowadzaleka 5 หลายเดือนก่อน +3

    Niatari Sana

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 4 หลายเดือนก่อน +1

    Simama na Mungu mtumikie Mungu tu

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 5 หลายเดือนก่อน +3

    Dudu baya yupo sahihi

  • @EphraimLuis
    @EphraimLuis 28 วันที่ผ่านมา

    Brather hata jina la dudu baya mimi naona alikufai naomba ujiite mwanga wa wasio elewa maana unajua Sana neno la mungu na unaupako kuliko wachungaji feki wa leo wanawaza sadaka tu aisee auchoshi kukusikiliza

  • @raymondthomas3960
    @raymondthomas3960 4 หลายเดือนก่อน +3

    Konki kweli una akili kaka nimekipenda bure

  • @EsauBanda-cw3cf
    @EsauBanda-cw3cf 24 วันที่ผ่านมา

    Kudanga pia no KAZI si anatomka jasho Hadi Esther WA kwenye bible alikuwa anadanga kuwaokoa waisraeli😂😂

  • @moussamoss2786
    @moussamoss2786 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa muda mdogo tuu nime muelewa Dudu Baya kuliko jinsi nilikua sija muelewa Kwa muda mrefu. Wewe ni dhahabu ambayo haija safishwa,
    Ila ipo siku uta safika tu kaka.

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @williamkavishe397
    @williamkavishe397 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amri kumi Ni zipi tunaomba uzitaje nami nizijue mungu akubariki

    • @MajaliwaLechipya
      @MajaliwaLechipya 5 หลายเดือนก่อน

      Usiibe usizini usimshuhudie jilan yako uongo usilitaaje jina labwana Mungu wako bule usitaman usiseme uongo uikumbuke siku yasaba usimtumikishe mjakaz wako wala mnyama alieko malangon mwako

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 หลายเดือนก่อน

      Soma kutoka 20 itazikuta hapo

  • @abelmwakipesile9868
    @abelmwakipesile9868 5 หลายเดือนก่อน +3

    Nakubali

  • @njiasalamatv4794
    @njiasalamatv4794 2 หลายเดือนก่อน

    DUDU BAYA FATILIA HOPE CHANEL TANZANIA.......
    UTASIKIA AMRI KUMI ZIKIFUNDISHWA KWA UPANA SANAA KUPITIA WAHUBIRI MBALIMBALI..
    MUNGU AKUBARIKI KWA KUJALI AMRI ZA MUNGU

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu baya ... Uko sahihi

  • @IsraelUrasa
    @IsraelUrasa 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli duduu

  • @NiyongaboLeonidas-hp7kh
    @NiyongaboLeonidas-hp7kh 2 หลายเดือนก่อน

    Dudu baya wewe akili Yako ni yakuzaliwa siyo ya shuleni

  • @johnfaustinechannel746
    @johnfaustinechannel746 4 หลายเดือนก่อน

    Dudu baya! Limebaki tu jambo moja ! Soma Kutoka 20:3-17 uzijue amri 10 za Mungu za kweli ! Alafu zilinganishe na za kwenye Katekisimu utagundua kuna mahali tumepigwa!

  • @PauloDadaya
    @PauloDadaya 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 27 วันที่ผ่านมา

    Kweli dudu baya mimi nyumba yangu imo uwanja wa nyuki ni kweli nakuamini

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino 4 หลายเดือนก่อน

    Kwenye jamii hayo yapo, wengi wenye wake wazuri wasiojua Mungu ni tatizo kubwa 5:31

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu baya umeongea ukweli

  • @mnyama8
    @mnyama8 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kiukwel Mungu alieko agano LA kale ambaye ni OG mwenyewr ni tofaut na Wa agano jipya ,Wa agano LA kale keshasema kabisa hakuna Mungu mwingie apasaye kuabudiwa juu mbinguni ,dunian au chini ya Maji ,lakin Mungu Wa agano jipya aseee , 😂😂😂😂😂anasema Yesu pia ni Mungu ,aaabudiwe na kuombwa uliniz na mahitaji Mengine ,sas a izo amri kumi zitakumbushwa SAA ngap

  • @morisanicent6339
    @morisanicent6339 3 หลายเดือนก่อน

    We kichwa..

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 4 หลายเดือนก่อน

    Anaishi nje ya mda Dudu Baya yuko really

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 4 หลายเดือนก่อน

    Dudu Baya nyumba za Ibada zinajengwa jirani na makazi kwasababu ya kutaka wewe Kama DuduBaya Ifike kwenye nyumba ya Ibada ya kumuabudia Mungu. Hujajua kwa hata Yesu aliwafuta wenye dhambi majumbani mwao Kisha akala nao ndipo akawahubiria habari za Mungu na kuwaasa waache kufanya dhambi, kama ingekuwa kama hivyo unavyo fikilia basi angeenda kilimani au polini ili wenye dhambi na wanao taka kujua habari za Mungu wamfuate huko lakini Yesu alienda katikati ya miji na kuhubiri habari za Mungu.

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 4 หลายเดือนก่อน

    Dudu Baya zinaa ni jambo la kawaida kwa binadamu hata wakioana.😂

  • @EmmanuelSabibi
    @EmmanuelSabibi 3 หลายเดือนก่อน

    Amri 10 zilikua ni adhabu ya izrael walishindwa kumwamin mungu ,na sio mataifa ,maana sisi zilikua sio adhabu zetu hizo ,ila sisi amri tunayotakiwa tuifaate ambayo ni asili ya utu wa ndan toka hapo mwanzo ni upendo ktk nafsi na wala sio hizo amri tunazozifuatilia ,wakati zilikua adhabu kwa izrael kwakua walimuuz kwakutomuamin yy, kikubwa sheria au amri kubwa ya moyon hua ni kuishi kwa iman ktk pendo na sio sheria hizo ambazo ni adhabu. Ila kwakua watu wameshazoea pasipo kuelewa uhalisia ,unakuta ndio maana wanakua wabaya zaidi maana wanafikilia amri za adhabu kuliko kufikilia haki ilio ktk sheria ya nafsi ya mtu kwa asili ambayo ni uoendo.

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 4 หลายเดือนก่อน

    NILIWAHI KUWAAMBIA HUYU NI ZAIDI YA WALE MITUME NA MANABII WA SASA HIVI MTANIELEWA TU NAMAANISHA NINI.

  • @IsraelUrasa
    @IsraelUrasa 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tumetoka somo baba siisawana watoto wa mbarikiwa kikosikazi

    • @thomaskiponda6079
      @thomaskiponda6079 4 หลายเดือนก่อน

      Israelliiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤

  • @PauloDadaya
    @PauloDadaya 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dudu unatisha

  • @josejosepg6601
    @josejosepg6601 5 หลายเดือนก่อน

    Dudu bayaa master

  • @KarimKajia
    @KarimKajia 2 หลายเดือนก่อน

    Kupigana miti

  • @AnyosTemitope-k9c
    @AnyosTemitope-k9c 5 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba namba zako mwana mwema

  • @AdilianoSiwale-pt5mu
    @AdilianoSiwale-pt5mu 4 หลายเดือนก่อน

    Amrikumi zimebaki kwa kakobetu maana yeye anakemea dhambi mpakaleo

  • @josephkadeghe4720
    @josephkadeghe4720 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa kwanini kwa mganga unatoa sadaka, lakini kwa watumishi asitoe sadaka?

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 5 หลายเดือนก่อน

    Dudu Baya nakutakwajinakubwa sana mpendwa hata mimi napenda ufunguwe kanisa tutakuhungamkono ndugu mpendwa wewe utakuwa mchungaji mzuri sana kabisa wa Chana Nahao wachungaji wamchongo mimi niko apa ujerumani tutakuhinua usihogopi kabisa

    • @sarabura8933
      @sarabura8933 4 หลายเดือนก่อน

      Uchungaji bila wito

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 4 หลายเดือนก่อน

    Watu hawa wasipopiga kelele, mawe yatapiga kelele🤔 imefika hatua wanaojiita wanadini , wanahubiriwa na watu wanao waita wapagani

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 3 หลายเดือนก่อน

    Unacho sema niukweri mtupu

  • @PauloDadaya
    @PauloDadaya 4 หลายเดือนก่อน

    Maokotoooo

  • @Worldunite
    @Worldunite 4 หลายเดือนก่อน +2

    Unafuata amri 10, umekuwa myahudi😂😂😂😂😂😂😂

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 หลายเดือนก่อน

    Wapo bwana
    Ila wachache😅

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx 5 หลายเดือนก่อน

    Duh mwamba umeeleweka kiufupi

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 4 หลายเดือนก่อน

    Mb zangu sijuti

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY 4 หลายเดือนก่อน +1

    MISIKITI HAIFAI KUKAA MBALI.
    MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA.
    5-TIMES SWALA
    MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA

  • @AnthonyKomba-o5f
    @AnthonyKomba-o5f 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe nae huna akili kabisa yaani; unaposema usioe mwanamke mzuri ndiyo upumbavu wa wapi!! Kuoa au kuolewa ni kibali, ni jambo la rohoni na halina uhusiano na muonekano wa nje!! We vipi!!!?
    Binafsi, nadhani huyu dudu sijui nani ameanza kudata!! Sehemu Gani mtume Paulo alisema bado!!!!? Acha uongo bro! Kama maandiko huyajui piga kimya na usiyaletee mazoea maandiko ya Mungu; Paulo anasema sikuyaasi Yale maono ya Mbinguni.
    Halafu mtu aliyeitwa kuifanya kazi ya Mungu ana muda wa kusikilizia; Na wewe dudubaya usije ukajidanganya kwamba wewe ukiacha kazi ya Mungu basi ndiyo haitatendeka, eti anataka nimtumikie Mungu kama mapadre wa Roman Catholic!
    DUDUBAYA HUNA WITO HUO; Kina Paulo, Musa, Petro, na wengine wengi waliacha kazi zao

  • @josephkadeghe4720
    @josephkadeghe4720 4 หลายเดือนก่อน

    Tatizo unazungumza vitu kwa akili zako, neno la Mungu linasema wataendeaje bila kupelekwa?

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 4 หลายเดือนก่อน

      Umeandika kwa akili zanani?

  • @Motheking-ps2tl
    @Motheking-ps2tl 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kama amri za mungu ni kumi peke yake kila mmoja angeenda peponi. Halafu wewe ni unaongea ujinga tu nyinyi wasanii ndo mnaongoza kwa kutuharibia watoto kwa maadilu yenu ya kijinga. Ungeanza na wasanii wenzako ndo uje kwa viongozi wa dini. Halafu ulitaka mchungaji aje nyumbani kukushika mkono au? Acha upumbavu. Maadili yangeanza na wewe kwanza ndo utoke nje kuongea.