Waliopewa kazi wamenyamaza sasa MUNGU Anawainua msiowategemea wala kuwadhania leo dio wanao sema maneno yanayo faa kwa watu wote waislamu Wakristo Dudu baya Mungu akubariki
Brather hata jina la dudu baya mimi naona alikufai naomba ujiite mwanga wa wasio elewa maana unajua Sana neno la mungu na unaupako kuliko wachungaji feki wa leo wanawaza sadaka tu aisee auchoshi kukusikiliza
Kwa muda mdogo tuu nime muelewa Dudu Baya kuliko jinsi nilikua sija muelewa Kwa muda mrefu. Wewe ni dhahabu ambayo haija safishwa, Ila ipo siku uta safika tu kaka.
DUDU BAYA FATILIA HOPE CHANEL TANZANIA....... UTASIKIA AMRI KUMI ZIKIFUNDISHWA KWA UPANA SANAA KUPITIA WAHUBIRI MBALIMBALI.. MUNGU AKUBARIKI KWA KUJALI AMRI ZA MUNGU
Dudu baya! Limebaki tu jambo moja ! Soma Kutoka 20:3-17 uzijue amri 10 za Mungu za kweli ! Alafu zilinganishe na za kwenye Katekisimu utagundua kuna mahali tumepigwa!
Kiukwel Mungu alieko agano LA kale ambaye ni OG mwenyewr ni tofaut na Wa agano jipya ,Wa agano LA kale keshasema kabisa hakuna Mungu mwingie apasaye kuabudiwa juu mbinguni ,dunian au chini ya Maji ,lakin Mungu Wa agano jipya aseee , 😂😂😂😂😂anasema Yesu pia ni Mungu ,aaabudiwe na kuombwa uliniz na mahitaji Mengine ,sas a izo amri kumi zitakumbushwa SAA ngap
Dudu Baya nyumba za Ibada zinajengwa jirani na makazi kwasababu ya kutaka wewe Kama DuduBaya Ifike kwenye nyumba ya Ibada ya kumuabudia Mungu. Hujajua kwa hata Yesu aliwafuta wenye dhambi majumbani mwao Kisha akala nao ndipo akawahubiria habari za Mungu na kuwaasa waache kufanya dhambi, kama ingekuwa kama hivyo unavyo fikilia basi angeenda kilimani au polini ili wenye dhambi na wanao taka kujua habari za Mungu wamfuate huko lakini Yesu alienda katikati ya miji na kuhubiri habari za Mungu.
Amri 10 zilikua ni adhabu ya izrael walishindwa kumwamin mungu ,na sio mataifa ,maana sisi zilikua sio adhabu zetu hizo ,ila sisi amri tunayotakiwa tuifaate ambayo ni asili ya utu wa ndan toka hapo mwanzo ni upendo ktk nafsi na wala sio hizo amri tunazozifuatilia ,wakati zilikua adhabu kwa izrael kwakua walimuuz kwakutomuamin yy, kikubwa sheria au amri kubwa ya moyon hua ni kuishi kwa iman ktk pendo na sio sheria hizo ambazo ni adhabu. Ila kwakua watu wameshazoea pasipo kuelewa uhalisia ,unakuta ndio maana wanakua wabaya zaidi maana wanafikilia amri za adhabu kuliko kufikilia haki ilio ktk sheria ya nafsi ya mtu kwa asili ambayo ni uoendo.
Dudu Baya nakutakwajinakubwa sana mpendwa hata mimi napenda ufunguwe kanisa tutakuhungamkono ndugu mpendwa wewe utakuwa mchungaji mzuri sana kabisa wa Chana Nahao wachungaji wamchongo mimi niko apa ujerumani tutakuhinua usihogopi kabisa
Wewe nae huna akili kabisa yaani; unaposema usioe mwanamke mzuri ndiyo upumbavu wa wapi!! Kuoa au kuolewa ni kibali, ni jambo la rohoni na halina uhusiano na muonekano wa nje!! We vipi!!!? Binafsi, nadhani huyu dudu sijui nani ameanza kudata!! Sehemu Gani mtume Paulo alisema bado!!!!? Acha uongo bro! Kama maandiko huyajui piga kimya na usiyaletee mazoea maandiko ya Mungu; Paulo anasema sikuyaasi Yale maono ya Mbinguni. Halafu mtu aliyeitwa kuifanya kazi ya Mungu ana muda wa kusikilizia; Na wewe dudubaya usije ukajidanganya kwamba wewe ukiacha kazi ya Mungu basi ndiyo haitatendeka, eti anataka nimtumikie Mungu kama mapadre wa Roman Catholic! DUDUBAYA HUNA WITO HUO; Kina Paulo, Musa, Petro, na wengine wengi waliacha kazi zao
Kama amri za mungu ni kumi peke yake kila mmoja angeenda peponi. Halafu wewe ni unaongea ujinga tu nyinyi wasanii ndo mnaongoza kwa kutuharibia watoto kwa maadilu yenu ya kijinga. Ungeanza na wasanii wenzako ndo uje kwa viongozi wa dini. Halafu ulitaka mchungaji aje nyumbani kukushika mkono au? Acha upumbavu. Maadili yangeanza na wewe kwanza ndo utoke nje kuongea.
Mungu akufunike mtumish wa Mungu.leo nakupa jina jipya.wewe sasa unaitwa mwana mwema nasi dudubaya tena
Mamba!, konki!, konki! Master. Uko vizuri wachache watakuelewa, ipo siku mtu mmoja atakuelewa na malaika watashangilia.
Wew ni hatari sanaaaaaa brother ❤❤❤❤
Asee nimependa sana uyu jamaa ni genius sana nakukubari sana kusudi la Mungu likatimie kwako Mtumishi wa Mungu ❤
Ubarikiwe kiongozi dudu baya ❤
Dah, uncle Dudu Baya
Nakubali sana unasema mazuri mapana manene!
Dudu baya akili Yako moja ni sawa na wasanii wa Sasa hivi 20000
Zaidi ya 20,000 😂😂😂
Great thinker 👏👏
NIMEIPENDA HIYO.; MTUMISHI WA MUNGU UMEAMBIWA KUNA MGONJWA WASHA NDINGA UNAENDA KUTIMIZA WAJIBU❤❤❤❤❤❤. 😂😂😂😂😂😂. HAPO VIPI HAPO ❤❤❤❤❤❤
Sawa kabisa manenoyako
Mungu aku simamieee inshallah
Wallah Tena dudu baya umengea point sana
Mwenye masikio ya kusikia na asikie
YES DUDUBAYA UKO RIGHT VIONGOZI WA DINI SASA HIVI NI WASANII.
Konk konk konk master hua nafrai sana interview zako .
Mwamba unaimani kubwa mno mungu akubariki na akuongoze ktk kila Jambo bro
Naitwa justina hiyo nmeielewa sana kka yang
The master mind. The dudu
Waliopewa kazi wamenyamaza sasa MUNGU Anawainua msiowategemea wala kuwadhania leo dio wanao sema maneno yanayo faa kwa watu wote waislamu Wakristo Dudu baya Mungu akubariki
Big up brother dudu
Matendo 1:8
Kaeni humu mpk mtiwe nguvu.....
Ila yuko sahihi mtu unapambana eti upate kiwanja katikati ya makazi ya watu badala ya kwenda nje ya mji
Huwezi kuwa kiongozi wa dini bila pesa kwa sababu kufanya kazi ya Mungu inataka pesa
Wewe mwombe Mungu akupe neema na akuchague kwenye kazi yake
Aminaaaaaaaaa
Maneno ya Mungu halisi hakika maadiki yetu yamemomonyoka Mungu akutumie.
Nakuelewa kaka
Mtumishi wa Munguu fanya Kazii Mungu ameshakuita tayariiii
Niatari Sana
Simama na Mungu mtumikie Mungu tu
Dudu baya yupo sahihi
Brather hata jina la dudu baya mimi naona alikufai naomba ujiite mwanga wa wasio elewa maana unajua Sana neno la mungu na unaupako kuliko wachungaji feki wa leo wanawaza sadaka tu aisee auchoshi kukusikiliza
Konki kweli una akili kaka nimekipenda bure
Kudanga pia no KAZI si anatomka jasho Hadi Esther WA kwenye bible alikuwa anadanga kuwaokoa waisraeli😂😂
Kwa muda mdogo tuu nime muelewa Dudu Baya kuliko jinsi nilikua sija muelewa Kwa muda mrefu. Wewe ni dhahabu ambayo haija safishwa,
Ila ipo siku uta safika tu kaka.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amri kumi Ni zipi tunaomba uzitaje nami nizijue mungu akubariki
Usiibe usizini usimshuhudie jilan yako uongo usilitaaje jina labwana Mungu wako bule usitaman usiseme uongo uikumbuke siku yasaba usimtumikishe mjakaz wako wala mnyama alieko malangon mwako
Soma kutoka 20 itazikuta hapo
Nakubali
DUDU BAYA FATILIA HOPE CHANEL TANZANIA.......
UTASIKIA AMRI KUMI ZIKIFUNDISHWA KWA UPANA SANAA KUPITIA WAHUBIRI MBALIMBALI..
MUNGU AKUBARIKI KWA KUJALI AMRI ZA MUNGU
Dudu baya ... Uko sahihi
Kweli duduu
Dudu baya wewe akili Yako ni yakuzaliwa siyo ya shuleni
Dudu baya! Limebaki tu jambo moja ! Soma Kutoka 20:3-17 uzijue amri 10 za Mungu za kweli ! Alafu zilinganishe na za kwenye Katekisimu utagundua kuna mahali tumepigwa!
Kweli
Kweli dudu baya mimi nyumba yangu imo uwanja wa nyuki ni kweli nakuamini
Kwenye jamii hayo yapo, wengi wenye wake wazuri wasiojua Mungu ni tatizo kubwa 5:31
Dudu baya umeongea ukweli
Kiukwel Mungu alieko agano LA kale ambaye ni OG mwenyewr ni tofaut na Wa agano jipya ,Wa agano LA kale keshasema kabisa hakuna Mungu mwingie apasaye kuabudiwa juu mbinguni ,dunian au chini ya Maji ,lakin Mungu Wa agano jipya aseee , 😂😂😂😂😂anasema Yesu pia ni Mungu ,aaabudiwe na kuombwa uliniz na mahitaji Mengine ,sas a izo amri kumi zitakumbushwa SAA ngap
We kichwa..
Anaishi nje ya mda Dudu Baya yuko really
Dudu Baya nyumba za Ibada zinajengwa jirani na makazi kwasababu ya kutaka wewe Kama DuduBaya Ifike kwenye nyumba ya Ibada ya kumuabudia Mungu. Hujajua kwa hata Yesu aliwafuta wenye dhambi majumbani mwao Kisha akala nao ndipo akawahubiria habari za Mungu na kuwaasa waache kufanya dhambi, kama ingekuwa kama hivyo unavyo fikilia basi angeenda kilimani au polini ili wenye dhambi na wanao taka kujua habari za Mungu wamfuate huko lakini Yesu alienda katikati ya miji na kuhubiri habari za Mungu.
Dudu Baya zinaa ni jambo la kawaida kwa binadamu hata wakioana.😂
Amri 10 zilikua ni adhabu ya izrael walishindwa kumwamin mungu ,na sio mataifa ,maana sisi zilikua sio adhabu zetu hizo ,ila sisi amri tunayotakiwa tuifaate ambayo ni asili ya utu wa ndan toka hapo mwanzo ni upendo ktk nafsi na wala sio hizo amri tunazozifuatilia ,wakati zilikua adhabu kwa izrael kwakua walimuuz kwakutomuamin yy, kikubwa sheria au amri kubwa ya moyon hua ni kuishi kwa iman ktk pendo na sio sheria hizo ambazo ni adhabu. Ila kwakua watu wameshazoea pasipo kuelewa uhalisia ,unakuta ndio maana wanakua wabaya zaidi maana wanafikilia amri za adhabu kuliko kufikilia haki ilio ktk sheria ya nafsi ya mtu kwa asili ambayo ni uoendo.
NILIWAHI KUWAAMBIA HUYU NI ZAIDI YA WALE MITUME NA MANABII WA SASA HIVI MTANIELEWA TU NAMAANISHA NINI.
Tumetoka somo baba siisawana watoto wa mbarikiwa kikosikazi
Israelliiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤
Dudu unatisha
Dudu bayaa master
Kupigana miti
Tunaomba namba zako mwana mwema
Amrikumi zimebaki kwa kakobetu maana yeye anakemea dhambi mpakaleo
Sasa kwanini kwa mganga unatoa sadaka, lakini kwa watumishi asitoe sadaka?
Dudu Baya nakutakwajinakubwa sana mpendwa hata mimi napenda ufunguwe kanisa tutakuhungamkono ndugu mpendwa wewe utakuwa mchungaji mzuri sana kabisa wa Chana Nahao wachungaji wamchongo mimi niko apa ujerumani tutakuhinua usihogopi kabisa
Uchungaji bila wito
Watu hawa wasipopiga kelele, mawe yatapiga kelele🤔 imefika hatua wanaojiita wanadini , wanahubiriwa na watu wanao waita wapagani
Umeongea ukweli
Unacho sema niukweri mtupu
Maokotoooo
Unafuata amri 10, umekuwa myahudi😂😂😂😂😂😂😂
Wapo bwana
Ila wachache😅
Duh mwamba umeeleweka kiufupi
Mb zangu sijuti
MISIKITI HAIFAI KUKAA MBALI.
MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA.
5-TIMES SWALA
MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA
Ahsante sana kumbe unajua
Wewe nae huna akili kabisa yaani; unaposema usioe mwanamke mzuri ndiyo upumbavu wa wapi!! Kuoa au kuolewa ni kibali, ni jambo la rohoni na halina uhusiano na muonekano wa nje!! We vipi!!!?
Binafsi, nadhani huyu dudu sijui nani ameanza kudata!! Sehemu Gani mtume Paulo alisema bado!!!!? Acha uongo bro! Kama maandiko huyajui piga kimya na usiyaletee mazoea maandiko ya Mungu; Paulo anasema sikuyaasi Yale maono ya Mbinguni.
Halafu mtu aliyeitwa kuifanya kazi ya Mungu ana muda wa kusikilizia; Na wewe dudubaya usije ukajidanganya kwamba wewe ukiacha kazi ya Mungu basi ndiyo haitatendeka, eti anataka nimtumikie Mungu kama mapadre wa Roman Catholic!
DUDUBAYA HUNA WITO HUO; Kina Paulo, Musa, Petro, na wengine wengi waliacha kazi zao
Tatizo unazungumza vitu kwa akili zako, neno la Mungu linasema wataendeaje bila kupelekwa?
Umeandika kwa akili zanani?
Kama amri za mungu ni kumi peke yake kila mmoja angeenda peponi. Halafu wewe ni unaongea ujinga tu nyinyi wasanii ndo mnaongoza kwa kutuharibia watoto kwa maadilu yenu ya kijinga. Ungeanza na wasanii wenzako ndo uje kwa viongozi wa dini. Halafu ulitaka mchungaji aje nyumbani kukushika mkono au? Acha upumbavu. Maadili yangeanza na wewe kwanza ndo utoke nje kuongea.