Ila ni aibu sana, Tanzania kila sherehe, muziki wa live lazima kubadirishana vipaza sauti. ifike wakati watu wa sound waanze kukatwa hela ktk makubaliano ya bei kuondoa tatizo hili. mnazoeaje aibu kama hii wanamuziki wakubwa kama hawa vipaza sauti kimeo?? hata mbele ya rais ni hivyo hivyo
Mwamba huyo Fresh Jumbe ❤❤❤
The great ddc mlimani park
Ilipendeza sana
Raha Sana mwamba uyo
❤❤❤
Dah safi sana
🔥🔥🔥🔥🔥
Mashallah Fresh Jumbe
Midomo inanuka kibudu
Mziki mkubwa ulioenda shule nginde Ngoma ya ukaye
Ila ni aibu sana, Tanzania kila sherehe, muziki wa live lazima kubadirishana vipaza sauti. ifike wakati watu wa sound waanze kukatwa hela ktk makubaliano ya bei kuondoa tatizo hili. mnazoeaje aibu kama hii wanamuziki wakubwa kama hawa vipaza sauti kimeo?? hata mbele ya rais ni hivyo hivyo
❤❤