ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Na bado hamjasema, safari hii mtatupongeza sana
Naweza kusema kia kwa ubora wa simba watu wanaenda kuombea caf simba ifungiwe
Bado hujasema Ally Mayai
huyo mtt nipeni namba yake ❤
Yanga mtaishia na unafiki tu mlienda mpaka kuwapa mabausa eti ili wawe salama ili wasifungwe sasa sasa mjiandae kukaangwa
Mashabiki wa yanga msiwe wa nafiki
simba ifungiwe kwa kipi alichokufanya au kwakuw waarabu wamekaangwaaaaaa
Unajua sana wasaidie hao wachambuzi njaaa wanaojua kuponda tu na sio kuchambua
Makolo mnalazimisha kulazimisha kufanana na mabingwa
Sawa mwenye mwiko nyuma sie ugandua mpaka leo😂
UPO SAHIHI SANA MKUU.
Kwa ubora huu timu zitagoma kuwa zinapangiwa kucheza Kwa mkapa stadium
Huyu mtoto zamani nilikuwa namuelewa sana but nilikuwa simjui vizuri kumbe mjinga tuu
Mtoto nani sas
Faraja za kinafiki tu ukweli utabaki ukweli
Mwalim Kashsha kafariki kitambo
Hivi mwl kashasha yuko wapi
😂😂😂😂😂😅
Alishakwenda mbele ya haki
pole kaka tulishalia kumpoteza kashasha😢😢
Mbona siku nyingi tu ameishaaga dunia
Muwe mnasikiliza michezo mtu unaemuuliza miaka miwili ameshafariki
huyo 👉
Alixha fariki kitambo
Huyu mayai ashangazwe na nn? Kwani miujiza hiyo mpk ushangae?? Ni mpira kama mipira mingine tu au labda tu simba mpira ulikuwa kwao tu na refa wao? Mayai acha kusifia ujinga
Wafaliji mkulugenzi
Na bado hamjasema, safari hii mtatupongeza sana
Naweza kusema kia kwa ubora wa simba watu wanaenda kuombea caf simba ifungiwe
Bado hujasema Ally Mayai
huyo mtt nipeni namba yake ❤
Yanga mtaishia na unafiki tu mlienda mpaka kuwapa mabausa eti ili wawe salama ili wasifungwe sasa sasa mjiandae kukaangwa
Mashabiki wa yanga msiwe wa nafiki
simba ifungiwe kwa kipi alichokufanya au kwakuw waarabu wamekaangwaaaaaa
Unajua sana wasaidie hao wachambuzi njaaa wanaojua kuponda tu na sio kuchambua
Makolo mnalazimisha kulazimisha kufanana na mabingwa
Sawa mwenye mwiko nyuma sie ugandua mpaka leo😂
UPO SAHIHI SANA MKUU.
Kwa ubora huu timu zitagoma kuwa zinapangiwa kucheza Kwa mkapa stadium
Huyu mtoto zamani nilikuwa namuelewa sana but nilikuwa simjui vizuri kumbe mjinga tuu
Mtoto nani sas
Faraja za kinafiki tu ukweli utabaki ukweli
Mwalim Kashsha kafariki kitambo
Hivi mwl kashasha yuko wapi
😂😂😂😂😂😅
Alishakwenda mbele ya haki
pole kaka tulishalia kumpoteza kashasha😢😢
Mbona siku nyingi tu ameishaaga dunia
Muwe mnasikiliza michezo mtu unaemuuliza miaka miwili ameshafariki
huyo 👉
Alixha fariki kitambo
Huyu mayai ashangazwe na nn? Kwani miujiza hiyo mpk ushangae?? Ni mpira kama mipira mingine tu au labda tu simba mpira ulikuwa kwao tu na refa wao? Mayai acha kusifia ujinga
Wafaliji mkulugenzi