Joka la ajabu linalovalia kipuli huko Kwale
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
- Je umewahi kusikia kuhusu nyoka mkubwa anayetoshana na ndovu? Ambaye pia huvalia kipuli? Nyoka anayeishi majini na hutoka nje tu kuanzia saa kumi na moja alfajiri hadi jua changa linapochomoza? Ni nyoka ambaye huwameza fahali, au wanyama wengine wakubwa mzimamzima! Sasa hayo ni madai ambayo yameenea sana eneo la Kinango kaunti ya Kwale.
Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on www.ktnkenya.tv
Follow us on / ktnkenya
Like us on / ktnkenya
Ni ukweli na mengine ni mizimu na huonekana na watu kadhaa tu.Na kwa sababu mizimu iko na nguvu Ktn walipoenda na cameras ili ku shoot mizimu ikatuma siafu.Sio kila kitu kinaweza kuonekana kwa Tv mengine ni siri za dunia
RAJUM PICTURES kama
Entawuo ai eji nyoo!! " najaribu kuulisa mutu nasema hayaoni, asijaona, asioni.....sijaoni....asioni....sihaonani...😂😂😂😂😂 entawuo you made it
Wachawiiii..... Mtakufa sana waabudu shetani ..Yesu tu ndiye njia, ufalme na uzima🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
Tatizo Yesu siyo Mungu,mbona wamkataa aliyemuumba Yesu?😂
hapo kwenye siafu nimecheka kweli daaah poleni lakini
7 SASA ! UJUMBE HUU YA MWANA KONDOO UNASEMA NINI ? Ujumbe huu unasema ya kwamba hatuko tena wakati wa jioni bali usiku wa manane. Hata hivyo, ni wakati moja tu na ile ile Roho ya Eliya, lakini ni Ujumbe « Mpya » ambao ni Ujumbe ya wakati wa jioni kwa kiwango cha juu. Basi Zakaria 14 : 7 ni tofauti na Matayo 25: 6.
8 Ujumbe huu unasema ya kwamba shauri la makanisa ulimwenguni, shauri la kiekumenika ya makanisa, vyama, miungano, shirikisho za makanisa… makanisa katolika, makanisa za kiortodoxi, makanisa za kimetodisti, Ekankar, dhehebu Horus, makanisa za kiluteri, makanisa za kianglikani, mahikari, makanisa Baptisti, rosikrusia, makanisa Nazareti, scientology, esoteric, makanisa anabaptisti, vodoo, makanisa ya wasabato, marafiki wa Yesu, misioni Emaus, maisha kilindi, mashahidi wa Yehova, mashahidi wa Yesu, makanisa foursquare.
9 Umasoni, makanisa pentekoste, ibada la miungu ya wainka, makanisa protestanti, Krishna, Kanisa la Kristo, méditation transcendantale, Graili, wachawi, makanisa za kiinjili, wamormoni, guru maharadji na makanisa zote za uamsho na zile za urudisho,… makambi za maombi, monasteri, makao ya watawa, mishoni na huduma hata wabranhamisti, yaani wale wangali na fwata Ujumbe ya William Branham, hata katika usafi wake woteni toharani, na nyavu za shetani kwa kuwapeleka watu jehanamu na maroho zinazo tenda katika makanisa haya siyo Roho Mtakatifu bali mapepo za udanganyifu. Ni yale yale mapepo yaliyokuwa mitoni, mitaro, vinyago, vodoo, msitu takatifu, desturi na mapokeo, ambayo yalikuwa yakitokeza wachawi wa kiasili. [Kc.10v1]
10 Ujumbe huu unasema ya kwamba ni yale yale mapepo ambayo yalitokeza Elvis Presley, Bob Marley, James Brown, Madonna, papa Wemba ndiyo yanayo tokeza leo haya makundi na wanamziki wa kikristo kama vile Tabitha Lemaire, Don Moen, Exo Eclats, Yolanda Adams na Céline Dion. [Kc.59v33] [Kc.113v10] [Kc.118v11] [Kc.131v4]
Majini kijijini
Njoka alipandilika na kuwa siafu😅😅
Huyo nyoka ni hatari sana
Fatuma Ali gedii
Mazingaumbwe hayo sio nyoka
Mnapenda ushubwada 😏😏😏Asante siafu
Eeeh
@@saidrama4435 😀😀😀
Uyo amefugwA ana Mwenyewe
Hiyo niya mtu
dunia jamani....imeisha
Masaibu
Msisaau kua babuzetu mizimu bado wapo msisaau kutambika atawamaliza jamani tambikeni
Ushirikina Huo, Mana Umejaa Sana Uchawi Sehemu Hizo 🤷♂️
Jaman hatari sana
Yesu
Yesu
th-cam.com/video/ovIhnaw4dKg/w-d-xo.html
@@victoriamartin6911 knkkkkmjkkkml lol ll
🙄
Duh noma
Auuwii jesu
I have just watched nothing
Wow
hatari jamani
Duuh! Hatareee
Daaaaaah!!!! God bless
Those guys ain't serious
tanasha
ama nikutukalisha rada manze
Hear say, mambo ya uwongo tu
G
Vv
G
Wa kitemi huyo na ni mzimu
Ghai
Huyo Ero amenimaliza
Hamtaliona hilo Joka hata mara moja kwa sababu majina yenu ni kina John. Mizimu ya kwale haijui hayo majina.
Aty watu waliumwa na siafu adi wakavua suruali🤣🤣🤣🤣🤣🤣please spare ma ribs
Mwanaisha Chidzunga l love that name
Waongo
Imaginations nkt
Lakini
bwawa kama hilo hakikosi ma chatu humo ila kaona pirika za watu kaamuwa kuzama.kwenye tope.
Lack of knowledge is dangerous accept Jesus Christ in ur lives an stop assisting satan on his wicked deeds to us human beings
Huyo ni fatuma 😜😜
Mizimwi ya wa pwani.
Matatizo haya ishi duniani jamaniii!
mambo ya pwani hayo
it must be a relative of mike sonko, wote wanavaa vipuri
John, Masunga. Nsolezi aaaaaah
Dunia inamambo mengi sana
Kaswida
sungura
Akiuliza haoni
Mimi nataka kuolewa uko sasa mwanitishia
😅😊😅
Ha haa...sasa hakukuwa na joka?
or
Ni tela hiyo ngojeni sinema,mtajua wadigo ni akina nani!
KTN haki mna maneno, mpaka uongo mwatuletea tuone????
mtajua hamjui
Akona ushanga 😀😀😃😃😭😂😂
Woooi waaa
Fake love
marehemu,kanumba
reticulated python, probably harmless to humans
Apo kwenye siafu sasa mimi hoi😃😃😃😃
Education is very important such people don't have education so do not blame them!!
Poa
Mr.p
(anatoshana na ndovu🤪🥴🤔🤔)
Huyo ni shetani😂😂
hahaha, waliwezwa waaah
Njoka LA kijiji
Momma Mann's
mnazinguwa nyie tafuteni vitu vya maana
Wozu
Huyo Ero! 😂 😂 😂 😂
Duui
Hamna KITU
Haiwezi tokea kukiwa na watu.pengine Wana Corona wamuambukize. Amejipanga Tu. Duniya ngumu.
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmepatikana na siafu
Stahili kuumwa na siafu😁😁😁😁sorry guys
mungu ana maajabu megi duniani sio kila MTU ako nakipaji chakuona Huyo nyoka
Sammy Sammy
😀😀😀
George
Dawa
Duuuuuuuh
Kiswahili cha watangazaji wa Kenya kinanifurahishaaa san th-cam.com/video/zzkCp2TCXUg/w-d-xo.html
..
.
Its all fyn
Hahaaa
Waaa,,,,,🙊🙊🙊🙊
Huwezi liona mama wewe si mpwani
afro movies
Kila mtu ana ushetani wake😂😂
Joka hill linaitwaje
Kipuli ndo nn
Earring
0
Uzuxhi
Simba
😂😂😂😂
Hahahaaa
Mambo hayo yapo lakini siyo ya kuona haraka. Huonekana bila kutegemea.
Haaah
Duuu
Siafu nayo
Haaaahaa
Porojo
HI
P.duty
😂
Hii yatatanisha xaana
Damde
How do you fellows embark on a useless journey? This was a typical jaba story.
kweli wapwani Kwa kuzua jambo mashaallah
vt
Upuzi mtupu