MANENO MAGUMU ALIYOAMBIWA RAIS MAGUFULI NA NABII MWINGIRA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • #RaisMagufuli #Magufuli #Ikulu #ViongoziWaDini #Tanzania
    ~-~~-~~~-~~-~
    Please watch: "Patashika bomoabomoa ya stendi ya Mwenge"
    • Patashika bomoabomoa y...
    ~-~~-~~~-~~-~

ความคิดเห็น • 125

  • @samsonmagesa3959
    @samsonmagesa3959 5 ปีที่แล้ว +18

    Ukiwa na Mungu wa kweli huwezi kuogopa kusema Mungu hakubariki sana Mchungaji

  • @ufufuowarohonitv5900
    @ufufuowarohonitv5900 5 ปีที่แล้ว +14

    Upo vzuri sana mwingira

  • @oinotymexhack2064
    @oinotymexhack2064 5 ปีที่แล้ว +5

    EFATHA FUNGUKA

  • @consolatamaarufu58
    @consolatamaarufu58 5 ปีที่แล้ว +19

    nampenda sana mchungaji wangu mwingira mungu akubariki mno amen

  • @lordrichreuben1446
    @lordrichreuben1446 4 ปีที่แล้ว +7

    Daah huyu jamaa yuko vzuri nmemkubali.

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 4 ปีที่แล้ว +5

    Asante MTU wa Mungu umeongea vizuri na kiongozi wako Mungu awatie nguvu viongozi wa dini wamsaidie mheshimiwa kwa maombi ili nchi yetu iende sawa .

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 ปีที่แล้ว +4

    Ndio maana nilisema hivi watu wana mengi moyoni ila basi tu wanaogopa kusema lakini mtaumbuka hhhh maendeleo yanarudi nyuma au yanaenda mbele duhhh

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun4657 5 ปีที่แล้ว +8

    This is awesome!! Sera zijadiliwe and be done in one accord, perfect!!

  • @assengajoseph8825
    @assengajoseph8825 5 ปีที่แล้ว +19

    Kuna kauli nyingine ni too philosophical ahahaha mipango miji ni ya Mungu ila vurugu za miji ni za shetan. . . . . ???????

  • @veronicabenezeth6602
    @veronicabenezeth6602 4 ปีที่แล้ว +5

    Wewe ndiye mtumishi ya Mungu.

  • @wilfredmollel7647
    @wilfredmollel7647 5 ปีที่แล้ว +6

    Ukitaka kujua point ambazo Mkuu hajafurahia, utasikia haya sasa tunaenda kwaaaaa!.
    Hahahha malizia

  • @innopro6882
    @innopro6882 5 ปีที่แล้ว +8

    Point sana Nabii

  • @samally3136
    @samally3136 5 ปีที่แล้ว +7

    Nimekubali

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 4 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana mtumishi bira unafiki ubarikiwe sana

  • @bluecloud7313
    @bluecloud7313 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mtume na nabii Mwingira ameongea points sana

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 ปีที่แล้ว +2

    Hawa ndo wez wa nchi atuonyeshe tax clearance yake kama analipa Kodi vizur

  • @shkonlinetv1756
    @shkonlinetv1756 5 ปีที่แล้ว +7

    ASANTE SANA MKUU WETU WA NCHI KWA UMOJA AMBAO UMEAMUA KUUREJESHA KILA ENEO, MWANZONI ILIANZA KAMA KUTIA HOFU, SASA TUNAANZA KWENDA KAMA TAIFA..BARIKIWA MKUU NA UUNGWE MKONO NA KILA MPENDA TAIFA LETU ATOE MCHANGO WAKE...

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 ปีที่แล้ว +1

    Lipa Kodi mzee achen kutumia taasisi za dini kukwepa kod

  • @mtakatifubony1829
    @mtakatifubony1829 3 ปีที่แล้ว +2

    Tapeliiiiiiii mkubwaaaaaa weweeeee huna loloteeeeee weka mipango miji kanisani kwakoooooooo

  • @barryryoba1489
    @barryryoba1489 5 ปีที่แล้ว +10

    Efatha.. Mwingira ana hekima sana. Hawa viongozi wa kiroho wanaongea wima bila unafiki, nadhani ni kwasababu wanaongozwa na roho mtakatifu.
    Nimemsikiliza huyu Mkuu Wa Efatha.. Anaongea yani kitaalam (kama professor). Kweli Mungu anaimarisha sana wateule wake.

  • @bonabonala42
    @bonabonala42 4 ปีที่แล้ว +2

    Mwingira. Usikatishwe.taama.nagwajima.hana.upako.wa mungu. yunamjiaa

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 5 ปีที่แล้ว +8

    point sana amina

  • @hylinenyakweba3435
    @hylinenyakweba3435 4 ปีที่แล้ว +3

    gooooooooooooood mchungaji kwa upeooooo

  • @jumavuli7390
    @jumavuli7390 4 ปีที่แล้ว +1

    9. 10 hali nbaya bwana magu Achiaa pesa bwana kama nihzo ndege utapanda nawatu wako wenye uwezo huku ss Hali inazidi kuwa ngumu bwana.

  • @mathewkissimathedone2802
    @mathewkissimathedone2802 5 ปีที่แล้ว +5

    Blesed dady we lov u....

  • @elizabethmwinuka2859
    @elizabethmwinuka2859 3 หลายเดือนก่อน

    Nampenda sana mchungaji mwigira nimepona kupitia maombi yake

  • @makwetaevelyn3896
    @makwetaevelyn3896 5 ปีที่แล้ว +3

    yaani hapo Mzee umeongea wakiona MTU anapesa kidogo arafu anaitaji eneo wanatumia kila mbinu ili utolewe Ila ni janja za watu kwa rahisi huyu watasoma namba

  • @simonulula3607
    @simonulula3607 4 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe sana

  • @emmanuelhaule4410
    @emmanuelhaule4410 5 ปีที่แล้ว +2

    Baba umetoa ya kiroho kweli Kabisa vurugu niza shetani

  • @geofreykilasi7354
    @geofreykilasi7354 5 ปีที่แล้ว +4

    Haleluya kwa Bwana

  • @hassanturky7511
    @hassanturky7511 5 ปีที่แล้ว +3

    Duh kakosea sannnnna kusema kwamba anashughulikia serikali ya mbinguni huyu padri.

    • @lydiathadeous6644
      @lydiathadeous6644 5 ปีที่แล้ว

      Hassan Turky siyo padri ni mchungaji , na pia anamaanisha serikali ya mbingu means kutumika kondoo wa bwana kutangaza neno na bwana . Elewa

    • @laurenciarevocatus475
      @laurenciarevocatus475 4 ปีที่แล้ว

      Elewa pia yeye anaandaa watu kwaajil ya uko mbinguni sio apa duniani ndio maana anakuhubiria kuacha dhamb anamaanisha kuiacha dunia

  • @danielmagwaza2410
    @danielmagwaza2410 5 ปีที่แล้ว +6

    Kaongea vizuri huyu baba paroko tatizo magufuli huwa c muelewi

    • @tinamzava834
      @tinamzava834 4 ปีที่แล้ว

      Ataelewa tu uchaguz huu

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 4 ปีที่แล้ว +1

    Ck zote tunge kua na vikao kama ivi na viongozi wa kiroho ina pendeza cn wana madini cn ni migodi tuwaheshimu mmno!

  • @chonelamakono5083
    @chonelamakono5083 5 ปีที่แล้ว +10

    asante Apostle, umeongea ukweli sio kukaa na kusifia mambo ambayo hayapo

    • @imranijuma6955
      @imranijuma6955 2 ปีที่แล้ว

      KABISAAAA MAGUFULI alituaminisha

    • @imranijuma6955
      @imranijuma6955 2 ปีที่แล้ว

      Kumbe HAMNA KITU Bora mama msema KWELI

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 2 ปีที่แล้ว +1

    Good things

  • @renfridnamilembo2805
    @renfridnamilembo2805 4 ปีที่แล้ว +2

    Uko saf sana ww kweli mtumishi wa mungu

  • @shinjekazimily9936
    @shinjekazimily9936 5 ปีที่แล้ว +1

    Wewe umesema viru kuliko wanaopongeza kuliko bira kujua adha zilizoko huku chini

  • @eatlawe
    @eatlawe 4 ปีที่แล้ว +1

    Watu wenye hekima kama huyo ndio wanatakiwa washauri wa rais! Ila Tanzania hatuna maono hayo ila mtu mmoja huamua kwa ajili 50 plus million people!

  • @assengajoseph8825
    @assengajoseph8825 5 ปีที่แล้ว +12

    Uyu ndio kuzungumza ukwel

  • @annamrsmoses7413
    @annamrsmoses7413 2 ปีที่แล้ว

    Jamaa amechanwa makavu anamwangalia mtumishi kwa jicho kariiiiii, alitaka kusifiwa tu hataki ukweli mchungu

  • @prosicoviayustas7215
    @prosicoviayustas7215 5 ปีที่แล้ว +6

    Kweli Baba apostle

  • @nawihadj6674
    @nawihadj6674 5 ปีที่แล้ว +4

    Mzee wa Efatah na mkubari hyu mchungaji

  • @abdulshekashia7767
    @abdulshekashia7767 4 ปีที่แล้ว +2

    mungu akutuze baba angu

  • @wiseman6276
    @wiseman6276 2 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi mungu atujaaliye tupate watu wasaukweli kama hawa hakika nchi itaenda mbele

  • @ignassindabaha1813
    @ignassindabaha1813 3 ปีที่แล้ว +1

    Duuuu point konki

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 2 ปีที่แล้ว

    Halikumbukwi Tena hlo mzee ,taifa lolote ni umoja,Yani mzee mwingira yote uliyoyaongea ni mawazo kuntu Kama viongoz wetu wangekuwa wanayafanyia kazi Kwa wakat

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 2 ปีที่แล้ว

    Huyu Ndiyo anasema Magufuli alimfanya vbaya

  • @eatlawe
    @eatlawe ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa ana akili sana na jasiri sana. Ila alionja joto la mwenyewe.

  • @rehemareubeni5783
    @rehemareubeni5783 5 ปีที่แล้ว +13

    I understand you my spiritual Father May God protect you

  • @merryally2664
    @merryally2664 3 ปีที่แล้ว

    Watanzania tumlilie mungu alie ai ampoke rais tutakukumbuka rais wetu pendo ra mungu lipondani yake

  • @bonifacekisinga5908
    @bonifacekisinga5908 5 ปีที่แล้ว +5

    Tungepata wachungaji wakweli kama hawa tungesonga mbele marudufu

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @thobiasjoel3924
    @thobiasjoel3924 4 ปีที่แล้ว +1

    Du!

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 4 ปีที่แล้ว +1

    Baba upo vizuri baba

  • @kilowejackson7537
    @kilowejackson7537 5 ปีที่แล้ว +6

    Hongera umenena vyema

  • @babafranco3366
    @babafranco3366 5 ปีที่แล้ว +4

    mungu akutie nguvu

    • @adenhyera4820
      @adenhyera4820 5 ปีที่แล้ว +1

      Franck Mwaduma
      nikweli alichelewaa kuwaita makundi mbambali kupata maoni yao uwaunganisha pamoja km watanzani tatizo washauri au akutaka ushauri
      naomba asisahau kuwaita viongozi wa vyamaa vya siasa awasikilize na kjb kwelo zao pia ili kujenga umoja wa kitaifa hapo jpm utakuha huna mpizana
      yaani wakati una apishwa utakiwa kifanya hivyo Kundi kwanza viongozi wa dini ili waombe Mungu akusaidie kuongoza nch la pli viongozi vyama siasa kuombana msamaha kuomba ushilikia ktk kujenga nch kwa nyuma yao nao wana watu

    • @respiciouszaka585
      @respiciouszaka585 5 ปีที่แล้ว

      baba asante umesema kweli barikiwa sana

    • @abaturabu9675
      @abaturabu9675 5 ปีที่แล้ว +1

      Enock Komba
      Je, kabla ya jana ni lini kuliwahi kufanyika kikao kama hiki ktk Taifa hili?
      Vema mzingatie kuwa kila jambo lina mwanzo na Pres. John Pombe Maghufuri na Sirikali yake wanapaswa kupongezwa.
      Kwa kweli, Kikao kilikuwa cha Wazi kila mtu amejionea wazi bila pazia.
      Hongera Pres. Magufuri tutafika kwa amani pale tunapotaka kwenda.

    • @babafranco3366
      @babafranco3366 5 ปีที่แล้ว

      kula yangu kwako2020

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 5 ปีที่แล้ว +1

    Rais tutatulie hili tatizo

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 5 ปีที่แล้ว +1

    Na mashekhe wamewekwa ndani

  • @nehemialikatage7378
    @nehemialikatage7378 4 ปีที่แล้ว +1

    Nabii mwingira ni mnafiki sana huyo,anamchukia sana jpm kwa kuwa amenyanganywa benki ya ephata mwongo huyo,msikilize anapoongea ni mnafiki sana,

  • @barackbrysonramsey
    @barackbrysonramsey 5 ปีที่แล้ว +5

    Point

  • @rainardleonard8045
    @rainardleonard8045 3 ปีที่แล้ว

    Amina Baba

  • @ibrahimchediel4867
    @ibrahimchediel4867 5 ปีที่แล้ว

    mwingira oyee bomoabomoa za kila mara wakati wasomi wapo .....

  • @akidanyanje9072
    @akidanyanje9072 2 ปีที่แล้ว

    I was never feel to follow this Father, but I have to fall now..

  • @abdalahngilisho7433
    @abdalahngilisho7433 5 ปีที่แล้ว

    Congrat. Good speech, lakini kwanini usiseme yote hapa unataka muongee wawili? Nini unaficha?, mbona raisi hakuwaita mmoja mmoja? Hapa unatupunja mtu wa Mungu, kumbuka kupunja ni kwa shetani, lkini kuambiana yote ni kwa Mungu!

  • @simbamtoto7530
    @simbamtoto7530 5 ปีที่แล้ว

    Kuna nchi kabla viwanja avijauzwa Kwa wananchi wanaleta umeme maji na barara zalami tena kwamitaa kisha ndio wanauza viwanja

  • @bahatihaerter8811
    @bahatihaerter8811 5 ปีที่แล้ว +4

    Ujerumani ni Nchi ya kikristo lakini cjawahi ckia kua Angela Merkel anawaita maskofu kujadi kuhusu maamuzi aliyo yapanga yy ktk serikali yake

    • @amashakigelulye7632
      @amashakigelulye7632 5 ปีที่แล้ว

      Bahati Haerter usilinganishe ujeruman na Tanzania,inayoyafanya Tanzania ujerumani ilifanya miaka mianne iliyopita so utofauti ni mkubwa sana .non sense

    • @bahatihaerter8811
      @bahatihaerter8811 5 ปีที่แล้ว +1

      @@amashakigelulye7632 hata hivyo Magufuli ndiye mwenye mamlaka, tukisema kila anacho taka kutamka awashikishe viongozi wa Dini kwanza ndo litanganzwe hapo ni uongo, mbona tunasema mwanaume no kichwa cha nyumba na sio vitu vyote ambavyo mwanaume ana mhusisha mke wake. Watiini wenye Mamlaka

    • @manageitall4087
      @manageitall4087 4 ปีที่แล้ว

      Mambo mengine tupime, Kama hajaweza kufanya kazi na team nzima ya bunge bila kujali vyama!!! Hapo vipi??

    • @lusungumkolla6672
      @lusungumkolla6672 2 ปีที่แล้ว

      Ujerumaji

  • @tinamzava834
    @tinamzava834 4 ปีที่แล้ว

    Muambie nabii kua watu kama lissu mungu anawaletaga kwa makusud maakum

  • @makwetaevelyn3896
    @makwetaevelyn3896 5 ปีที่แล้ว +3

    yaani hapo Mzee umeongea wakiona MTU anapesa kidogo arafu anaitaji eneo wanatumia kila mbinu ili utolewe Ila ni janja za watu kwa rahisi huyu watasoma namba

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu7320 4 ปีที่แล้ว

    Mh.

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 4 ปีที่แล้ว

    Tatizo liko kwa wenyeviti wa mitaa wauza maeneo wakati wakijua ni Barbara na road reserve

  • @juliusjoseph620
    @juliusjoseph620 4 ปีที่แล้ว

    Jkda

  • @lembesajackson9351
    @lembesajackson9351 5 ปีที่แล้ว +4

    Safi

  • @elishasama4892
    @elishasama4892 5 ปีที่แล้ว

    Amina baba

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde!

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 5 ปีที่แล้ว +6

    uko sawa mkuu

  • @pailotysejo8754
    @pailotysejo8754 4 ปีที่แล้ว

    I love u dady

  • @bahatihaerter8811
    @bahatihaerter8811 5 ปีที่แล้ว +1

    Anaye pewa mamlaka hua anakua mmoja mkisema kua kabla hajaamua kitu awashirikishe Mbona itakakua shida itakua Inaonyesha kua Rais hana nguvu ya kuamua jambo, je nyie mtamwita huko Kanisani kwenye mipango ya kanisa? Nenda kapige siasa ili uchangie vizuri

  • @salvatorymasaki4758
    @salvatorymasaki4758 5 ปีที่แล้ว

    Very true Dad.

  • @ruwailaomar6501
    @ruwailaomar6501 4 ปีที่แล้ว +1

    Nabii wa uwongo

  • @barryryoba1489
    @barryryoba1489 5 ปีที่แล้ว +2

    Ndugu John Magufuli, Mungu akubariki kwa hizi hekima zako.. Na akuzidishie hekima na maarifa.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 ปีที่แล้ว

    You havegea kingereza?. Haiwezekani ukawa na mipango endelevu ya milele, hilo ulijuwe sababu hayo yote yanategemea kiasi cha watu waliopo . kama watanzania wangekuwa hawazai busi ingekuwa mipangoendelevu ingezekana. Elimu nayo muhimuu iliueze uweze kuona mbali.

  • @bahatihaerter8811
    @bahatihaerter8811 5 ปีที่แล้ว +2

    Magufuli anahekima ndo maana kawahusisha mshukuruni Mungu kwa kila jambo, amechelewa nn, Wacha zako huko, sio kua wachungaji ndo wamekua Malaika, tena nyie ndo wabaya sana.

  • @unclesamtz6048
    @unclesamtz6048 5 ปีที่แล้ว

    Bora kidogo kaongea japo kwa uoga na hofu vile vile

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino3461 5 ปีที่แล้ว +2

    Mnataka kuwa wabunge. Huyo ni kazi ya siasa.

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 5 ปีที่แล้ว

    Hayo ni maagizo waliopewa.

  • @godlistenmariwa2707
    @godlistenmariwa2707 5 ปีที่แล้ว +1

    Hapa sasa rais anajuwa kuwa hakubaliki.!!! Hoja zote zina lawama sana.

  • @mashallahoman6355
    @mashallahoman6355 5 ปีที่แล้ว +1

    JE masheekhe wetu waliyo wekwa ndani takilibani miaka minane je ahao awakuwa niwatumishi wa mungu? ?

    • @masetomuhafiwa4546
      @masetomuhafiwa4546 5 ปีที่แล้ว

      Mashehe wameshindwa kuuliza kuhusu hao wenzao walio ndani

    • @alphasjoseph7542
      @alphasjoseph7542 5 ปีที่แล้ว +1

      Mashehe wangesema sasa hapo kwani hawapo mashehe wa kuwatetea wenzao?

    • @vumiliahalimeshi3133
      @vumiliahalimeshi3133 5 ปีที่แล้ว

      Sasa uyo ni shehe?mashehe wenzao c ndo wasemeeeee

  • @voicejoachim1370
    @voicejoachim1370 4 ปีที่แล้ว +3

    Asante mchungaji mwingira:) Asante Sana:)