Ihefu SC 0-1 Yanga SC | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Federation CUP 19/05/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 พ.ค. 2024
  • Goli pekee la Stephane Aziz ki limeipeleka Yanga fainali yake ya tano ya michuano ya #CRDBBankFederationCup ikishinda 1-0 dhidi ya Ihefu SC, mchezo wa nusu fainali uliopigwa Sheikh Amri Abeid Arusha.
    Yanga sasa itakutana na Azam FC katika mchezo wa fainali, Juni 02, 2024.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 172

  • @RashidiNasibu
    @RashidiNasibu 14 วันที่ผ่านมา +9

    Kama unaamini yanga bingwa like hapa pls❤

  • @NURUJUMA-sk5fz
    @NURUJUMA-sk5fz 14 วันที่ผ่านมา +42

    Naomben likes zenu wananchi💚

  • @user-nl3ld3vs8u
    @user-nl3ld3vs8u 13 วันที่ผ่านมา +7

    Yanga kwa sasa ndo furaha ya nnchi yetu❤❤❤

  • @user-ic8oj1fy7q
    @user-ic8oj1fy7q 14 วันที่ผ่านมา +7

    Diara hongera sana, unapambana mno golini❤❤

  • @user-hj6er2kt4j
    @user-hj6er2kt4j 14 วันที่ผ่านมา +6

    Mashalla kwa diara na mfungaj azizi k kwan yanga tunavijana wt wanacheza mungu awalinde

  • @covertv8081
    @covertv8081 14 วันที่ผ่านมา +7

    Kiukwel kbs ihefu leo wamecheza mpira mzuri san

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana650 14 วันที่ผ่านมา +5

    Hongera sana yanga💛💚💚💛

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 14 วันที่ผ่านมา +3

    Diara kipa of the year.yanga 👏🏽💚💚

  • @AzizaSwedi-vx9tv
    @AzizaSwedi-vx9tv 14 วันที่ผ่านมา +3

    Alhamdulilah kwa Wananchi Alhamdulilah kwa Pacha wa mie Aziz Ki Alhamdulilah.

  • @AzizaSwedi-vx9tv
    @AzizaSwedi-vx9tv 14 วันที่ผ่านมา +2

    Mashaa Allah Leo hi Diara Ulikuwa uko Vzr Alhamdulilah.

    • @user-io2rj2yp5d
      @user-io2rj2yp5d 13 วันที่ผ่านมา

      Hivi wanamlazimisha kuingia uwanjani kama hayuko sawa

  • @sayunimollel3781
    @sayunimollel3781 13 วันที่ผ่านมา +2

    Hongereni Sana chama langu, yangaaaaa rahaaa💚💚💛💛💛💛💚💚💚💚

  • @user-ck1vr4iu7p
    @user-ck1vr4iu7p 14 วันที่ผ่านมา +6

    Yanga bingwa ligi na fa

  • @safinaramadhani-ix8wz
    @safinaramadhani-ix8wz 13 วันที่ผ่านมา +2

    Hongereni Sana wananchi mmepambana Sana Hadi mnafikia mwisho mchukue makompe yote wachezaji poleni

  • @sudisoloma9293
    @sudisoloma9293 14 วันที่ผ่านมา +5

    Watch from Mombasa Kenya

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 13 วันที่ผ่านมา +2

    Asante Yesu Kwa ushindi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 13 วันที่ผ่านมา +3

    Yanga mbele kwa mbele 💛💛💚💚 yanga bingwa 💪💪💪 yanga tamu yanga rahaa wee makolo hamuogopi 😂😂😂😂

  • @nasryiddy9855
    @nasryiddy9855 14 วันที่ผ่านมา +5

    GSM❤

  • @user-dn5mq3fw5s
    @user-dn5mq3fw5s 14 วันที่ผ่านมา +2

    kikubwa dua tuiyo mbee timu yetu 💛💛💛💚

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 13 วันที่ผ่านมา +3

    Hivi kwa nini man of the match sio Dr?. Ama ni kwa wazawa tu?

  • @emmanuelhugo554
    @emmanuelhugo554 13 วันที่ผ่านมา +3

    Duuuuh master ki

  • @MustaphaThabithi
    @MustaphaThabithi 14 วันที่ผ่านมา +2

    Hongereni yanga

  • @OctaJohn-ov9gc
    @OctaJohn-ov9gc 14 วันที่ผ่านมา +2

    YANGA bingwa 💚💛🙏

  • @ArodiaIsdory
    @ArodiaIsdory 13 วันที่ผ่านมา +3

    Mechi ya jasho na nguvu kweli kweli, yanga wapewe maua yao

  • @user-gr6xq8je5p
    @user-gr6xq8je5p 14 วันที่ผ่านมา +5

    Yanga bimgwa

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu 14 วันที่ผ่านมา +6

    Wkwanza jmn😂😂😂😂❤

  • @ConfusedFrog-lc9db
    @ConfusedFrog-lc9db 12 วันที่ผ่านมา

    But ihefu waliwafunga Yanga mapema sana💪💪mchezo wa ihefu uko bomba sana

  • @RahmaMfinanga-yg1yb
    @RahmaMfinanga-yg1yb 13 วันที่ผ่านมา +3

    Hiindio mana yakua nakipa Bora diara akiondk Yang nitaumia sanaa viongz wayanga naomben sanaaa diara awepo atamiaka minne mbele😢

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 14 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu atusaidie tuu hawa AZamu wauwajitu

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mzinga 👏👏👏👏👏👏

  • @seciliamchalo5627
    @seciliamchalo5627 14 วันที่ผ่านมา +1

    Asante Mungu

  • @user-vz7cj4zk3h
    @user-vz7cj4zk3h 14 วันที่ผ่านมา +4

    Pacome bado hayuko saw kbs yaan

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu simama na kibabange aponepewepesi baba

  • @MuuhKadele
    @MuuhKadele 13 วันที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani 14 วันที่ผ่านมา +3

    Duwa za wanachuwoni zimetusaidiya leyo ukitowa nawewe utapewa tu

  • @majotaclassic
    @majotaclassic 13 วันที่ผ่านมา +4

    Aucho apewe maua yake

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 13 วันที่ผ่านมา +2

    Wananchi hivi mnajua Yanga haichoshi machoni kuitizama, Wala redioni kuisikiliza yaani ni raha 2pu,wananchiiiiii eeee! Kweli si kweli haya? Nikwambieni AZAM watakariri ya ligiiiiii hicho ndio kifo chao😂😂😂😂

  • @user-hu2sf3so9c
    @user-hu2sf3so9c 13 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani Pakome bado kunani

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 14 วันที่ผ่านมา +1

    Halafu anatokea shabiki wa manzoki FC anasema tunanunua mechi kwa mpira huo dume ,chama FC wajipange bila hivyo msimu ujao 10 zinawahusu.i love u yanga.

  • @thomasjulius3849
    @thomasjulius3849 14 วันที่ผ่านมา +1

    Hongereni wapambanaji wa JANGWANI ila kuna jambo la kujifunza.
    Lazima tukubali kuwa mechi ijayo ni zaidi ya FAINALI maana azam na simba ni familia moja.

  • @bushili
    @bushili 14 วันที่ผ่านมา +1

    Master kii🎉

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 14 วันที่ผ่านมา +2

    Yanga bingwa

  • @user-hr8gi6kg1y
    @user-hr8gi6kg1y 14 วันที่ผ่านมา +1

    My dream is to meet aziz kii face to face items of soccer in this 2024

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 14 วันที่ผ่านมา

      U will fulfill ur need

  • @PauloSulle-pg1wb
    @PauloSulle-pg1wb 13 วันที่ผ่านมา +2

    Tunaomba mechi ya kirafki na bacelona yanga day

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 13 วันที่ผ่านมา +2

    Mechi yenye hadhi ya fainali

  • @Taimujr23
    @Taimujr23 14 วันที่ผ่านมา

    Leo ilikua ni on🔥🔥. 🎉 kw yanga

  • @niolaussdavid
    @niolaussdavid 13 วันที่ผ่านมา +2

    @ crdb mmeshindwa hata kuweka mazingira safi bya uwanja ni aibu kwa jiji nia ibu fa ni aibu kwa tff ni aubu kwa waziri wa michezo ni aibu njia ya kutoea vyumbani hata kuweka kokoto za elfu sita?

  • @CHABUWILLY
    @CHABUWILLY 14 วันที่ผ่านมา +2

    2namtaka azam Tena waungane na Simba

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 13 วันที่ผ่านมา +2

    Golikipa wa ihefu alijifunga nini kwenye mkono

  • @AdilyAgustine
    @AdilyAgustine 14 วันที่ผ่านมา +2

    Ilikuwa mechi ngumu sana hii

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 13 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa nini wanapenda kusukuma kuvuta shat kupiga miguu yaan mushikila

  • @JacobMumwi-vf8oz
    @JacobMumwi-vf8oz 12 วันที่ผ่านมา +1

    Azam sis so milima tunakutana nao again tuwaonesh

  • @user-kk3tv6kw1o
    @user-kk3tv6kw1o 14 วันที่ผ่านมา +1

    AUCHO
    The man himself

  • @methodmuhagachi4254
    @methodmuhagachi4254 13 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤

  • @MaimunaMamisu-rv5iv
    @MaimunaMamisu-rv5iv 10 วันที่ผ่านมา +1

    Yan sisi ndo yanga piga hao mpak waseme bd hawajasem

  • @bushili
    @bushili 14 วันที่ผ่านมา +2

    Master kii

  • @barakajulius759
    @barakajulius759 14 วันที่ผ่านมา +3

    Azam sisi cy milima tumekutana

  • @geetv3890
    @geetv3890 13 วันที่ผ่านมา +2

    azam tv league mnashoot local sana baadhi ya games asee mpaka aibu jitahidini kuboresha standards na quality ya shooting zenu even cameras sio baadhi ya games mnashoot vizuri zingine mnashoot local nyie ni media kubwa maintain quality

  • @frank.maricusNgicho
    @frank.maricusNgicho 13 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana chama langu

  • @chakupewamasemo3024
    @chakupewamasemo3024 13 วันที่ผ่านมา

    Yanga ❤❤❤❤❤❤

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 13 วันที่ผ่านมา +2

    Musonda inabidi ajitahidi kuwa na kasi zaidi na kuwa mahali sahihi.

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 14 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga sijuwi nipe ninimie🎉🎉🎉🎉

  • @upendomaro3307
    @upendomaro3307 14 วันที่ผ่านมา

    Asante diara❤️❤️❤️😊

  • @zubedamagambo8139
    @zubedamagambo8139 13 วันที่ผ่านมา +1

    Woyoooooo

  • @VitalisTumain-do1tv
    @VitalisTumain-do1tv 14 วันที่ผ่านมา +2

    Kipa we2 Yuko saw kabsa

  • @VitalisTumain-do1tv
    @VitalisTumain-do1tv 14 วันที่ผ่านมา +2

    Diara ni kipa bora

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce 13 วันที่ผ่านมา

    Litakufa jitu apo revenge is claim to be right 💛💚💛💚

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles 14 วันที่ผ่านมา +2

    Kinachonifurahishaga kwa aziz ki ni kwamba hana tamaa ya kufunga peke ake lakini akipata nafasi anaweka kambani, sio kama saidoo ntibazonkiza ambaye ili awe mgungaji bora anakuwa mchoyo hatoi pasi kwa walio kwenye nafasi nzuri.

    • @nemeskimbe376
      @nemeskimbe376 13 วันที่ผ่านมา

      Fuatilia vizuri,aliicost timu dhidi ya Mamelody,haya leo anazunguka kulazimisha kupita ilihali mwenzie yupo pembeni kafungua

  • @EmmanuelMswaga
    @EmmanuelMswaga 12 วันที่ผ่านมา +1

    azizi k

  • @cleophaskauga8706
    @cleophaskauga8706 13 วันที่ผ่านมา +1

    Lomalisa abaki jamani tutaipoteza Mali Sana hii

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 12 วันที่ผ่านมา

    Ihef rafu sana na kuvutana mashati.

  • @RoseKalmela
    @RoseKalmela 14 วันที่ผ่านมา

    Wananchi nawakubali sana

  • @TheDinhoDesign
    @TheDinhoDesign 13 วันที่ผ่านมา +1

    Ihefu walikuwa kama mimba tu, muda wowote walikuwa wanazaa😂

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 13 วันที่ผ่านมา +1

    Ihefu wamecheza mpira mzuri sana kipindi cha kwanza

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 13 วันที่ผ่านมา +1

    Inabidi .marahii wasiwachiwe azam kutuvunjia wachezaji wetu na wao wavunjwe miguu wasiachiwe kabisaaa

  • @crouchjrmakusi6301
    @crouchjrmakusi6301 13 วันที่ผ่านมา +1

    Tumefany mistake 2 kmmke makosa ayoo

  • @zenahussein2242
    @zenahussein2242 14 วันที่ผ่านมา +1

    Leo sauti inakata kata sana

  • @HamzaGaudence
    @HamzaGaudence 14 วันที่ผ่านมา

    💚💛💛💚💛💛👏👏💪

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 14 วันที่ผ่านมา

    Rupia ni mchezaji mzuri,japokuwa anacheza timu ndogo.

  • @user-hj6er2kt4j
    @user-hj6er2kt4j 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli tunakipa

  • @sivamusic2234
    @sivamusic2234 13 วันที่ผ่านมา

    #unyama #makolo mtapata tabu sana na ili tunabeba 🤣🤣🤣 #yanga laha saan wewe shabiki wa kweri semaneno moja mwaka huu makolo wataisoma namba #sivamusic #mamaamini #mama #nakupenda #hadhija #unyama

  • @shimateledayani6729
    @shimateledayani6729 13 วันที่ผ่านมา

    Yanga motooo

  • @ShamsFundi
    @ShamsFundi 14 วันที่ผ่านมา +1

    nabado azam u2 uzima sio dawa2 na bol lmo wanaichiiiiiiii

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 14 วันที่ผ่านมา +2

    TATU FC ZENU CHUKI MPIRA MUACHIENI YABGA

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 14 วันที่ผ่านมา

    Watched from DODOMA TZ.

  • @joycethomas3183
    @joycethomas3183 14 วันที่ผ่านมา +1

    Nanyie chongeni hiyo mipango

  • @StanleyWaya
    @StanleyWaya 14 วันที่ผ่านมา

    Yanga lahaa

  • @user-qg7gc1sd6h
    @user-qg7gc1sd6h 13 วันที่ผ่านมา

    Achii achiii aziziii chipololo

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 14 วันที่ผ่านมา

    Ihefu leo mlikuwa mmepania kuwavunja miguu Waridi mbona uchezaji wenu umekuwa mbovu sana

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 13 วันที่ผ่านมา +1

    Ihf wamekosa magoli piya

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 14 วันที่ผ่านมา

    Sasa mliwarusu vipi goli 5 kwenye ligi wakati mnawapota kabisa ki mpira!!

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 13 วันที่ผ่านมา +1

    Kwetu AZamu siyo wafu niwachawituu wanatakiwa kadi nyekundu tuuu azamu

  • @user-le6pv7ge8b
    @user-le6pv7ge8b 13 วันที่ผ่านมา

    Hawa Ihefu wanacheza shoulder challenges au hand pushing?

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 13 วันที่ผ่านมา

    Yangabingwa tena

  • @omaraonasir4361
    @omaraonasir4361 14 วันที่ผ่านมา

    Hii yanga saa hii imekua hovyo,hawa watafungwa na Azam mapema sana

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 14 วันที่ผ่านมา +1

      Utakuw kolo wew wana yanga tuna imani na timu yetu Azam hachomoki kisasi ni haki subir siku ifike.

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 14 วันที่ผ่านมา

      @@seciliamchalo5627 Huyo kolo!! Hata tusipochomoka sisi mabingwa tayari yeye ana nini??!! hata nafasi ya 2 hati hati kuipata😂😂

    • @omaraonasir4361
      @omaraonasir4361 14 วันที่ผ่านมา

      @@seciliamchalo5627 tusubiri tarehe mbili,Azam ni wazuri Sana saa hii

    • @jamaldinjuma7361
      @jamaldinjuma7361 14 วันที่ผ่านมา

      Sasa hao azam wazuri si alichapika na simba mbovu hawakuamini walichofanywa sasa kitu gani kipya

  • @nestorymlembule3282
    @nestorymlembule3282 13 วันที่ผ่านมา

    Mnanunua sana mechi

    • @ashamkesa979
      @ashamkesa979 13 วันที่ผ่านมา +1

      Kusoma hujui hata picha huoni game hili la kinunuliwa kweli? unataka sifa

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 13 วันที่ผ่านมา

    Yaani sisi ndio yanga wakamiwaji f c

  • @user-zo7fy4mo6j
    @user-zo7fy4mo6j 14 วันที่ผ่านมา +1

    Azam ata mlamba .... Chap

  • @KulthumAlly
    @KulthumAlly 11 วันที่ผ่านมา

    Wakubwa 2

  • @hashimumiho4741
    @hashimumiho4741 12 วันที่ผ่านมา

    Wanaume 24 wanakujaje

  • @cityboysrecords6902
    @cityboysrecords6902 13 วันที่ผ่านมา

    Wananchiiiiiiii