BINTI MREMBO NA HANDSOME WA KIJIJI | PART 03 💞 Love Story | DONTA TV

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 59

  • @JdbdJdnr
    @JdbdJdnr 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +9

    Mambo ni kama haya sasa musikose kutupea vitu motomoto wana donta watching from kenya💞💞

  • @Jaysantans
    @Jaysantans 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Mnazingua bhana mwisho ndoh nin wakat move inaonekana kama inaendelea MOVE ZA KIBONGO BHANA MAJI MAFUPI😅😅😅😅

  • @Shinyg3l
    @Shinyg3l ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Ila j kidogo amefanana na kimbembee wa mama kimboo🤣🤣

  • @ShakilaHassan-q7u
    @ShakilaHassan-q7u 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Sawasawa Donta TV hizo ndo twapenda ausio, alafu kendy umeweza mamaa kumbe ww n w masigara🤣🤣kma mm napenda Moshi sana🤣🤣kendi nimuona ukipitisha sigara ku mapua yaani hyo n ukweli umevuta🤣🤣🤣🤣🫵

  • @MauwaAuwa1991
    @MauwaAuwa1991 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Leo hongereni 🎉🎉🎉🎉❤❤❤mnatufurahisha kwelikweli

  • @agneskarembo7805
    @agneskarembo7805 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Tunangoja mtoto wa boss...tukicheck huku

  • @EmmanuelSima-x2n
    @EmmanuelSima-x2n 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Amina sipend umbea wako ila ulivyo na shep nakupenda bure❤😂😂😂

  • @MonikaKibona
    @MonikaKibona 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +7

    Jaman wa sita like kwangu

  • @RozPeter-s5z
    @RozPeter-s5z 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Kazi nzuri jamn mnatoa kwa wakati

  • @FloraNdakala
    @FloraNdakala 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Mumejua kunifurahisha Leo ,Wana Donta

  • @AlineNijimbere-cp8fj
    @AlineNijimbere-cp8fj 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Wa kwanza

  • @fatimafatuma4848
    @fatimafatuma4848 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    😂😂😂😂Amina nisaliti sana ila nakupesa sana Mdogo wangu❤❤❤❤❤

  • @SuleimanMohamed-j8v
    @SuleimanMohamed-j8v 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Huko kuko mbio kwanini penzi la mtoto WA boss msipeleke mbio kma hizi😊

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Yani nawapenda Kwa burudani zenu🎉🎉🎉❤❤

  • @StellaKugomwa
    @StellaKugomwa 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Hongereni sana

  • @InukaUangaze-s3y
    @InukaUangaze-s3y 18 นาทีที่ผ่านมา

    Kwa maisha ya sai inastahili tuwe makini tunapotaka kuingia kwenye ndoa wana Donta mafunzo mazuri sana❤❤❤❤kutoka Kenya 🇰🇪

  • @DomitilaEmily
    @DomitilaEmily 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪

  • @metrinemanyonge6055
    @metrinemanyonge6055 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Wooow Leo Leo part one two part three ❤❤❤❤❤ I love it

  • @MwaJuma-x3t
    @MwaJuma-x3t 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Mambo mzr kma haya amcheleweshi maua yenu jmn😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Salama123-iw7hj
    @Salama123-iw7hj 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤

  • @NollywoodMoviesNollywood
    @NollywoodMoviesNollywood 27 นาทีที่ผ่านมา

    Filamu za kitanzania ziko poa sana na nzuri sanaaaa tena zaidi ,pongezi kwenu

  • @CathrineMlialia
    @CathrineMlialia 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Nimeipenda sana hii movie Kali sana❤

  • @obonyoruth2909
    @obonyoruth2909 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Kazi nzuri wana Donta🎉🎉🎉🎉

  • @EricyaahKalumeEricyaahKalu-g4w
    @EricyaahKalumeEricyaahKalu-g4w 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Amina acha umbea

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Khaa Wee Aminaaaaa una maneno!!!

  • @Basilisa-vc2rl
    @Basilisa-vc2rl 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mambo mazuri

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @umikifupa-mi3re
    @umikifupa-mi3re 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Filamu nzuri

  • @CardoJr-g7h
    @CardoJr-g7h 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Wakwanza leo like hat 5

  • @Furaha-d4g
    @Furaha-d4g ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Amina ashaamua kufa gari kufa makanga candy amerukwa futi ishirini 😂😂😂😂

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mrembo wa mtaaa habari kwishaaaaa😂😂😂😂😂

  • @KhadijahKinyuri
    @KhadijahKinyuri 26 นาทีที่ผ่านมา

    Mbna Leo mko vizur Yani kama surprise 🎉 ❤

  • @sabrinahibrahim3726
    @sabrinahibrahim3726 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Eeh jamn wanadonta wameamua bandika bandua hongeren🎉🎉 anyway wa kum leo

  • @NdikumaaAisha
    @NdikumaaAisha 31 นาทีที่ผ่านมา

    Nawapenda saana

  • @JacintaMaloba
    @JacintaMaloba 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Wa 81🎉🎉

  • @EunicemouriceMourice-qe3rw
    @EunicemouriceMourice-qe3rw ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Ilaaaaa aminaaaa mmmmm nimunafik sanaaa😂😂

  • @SaidAbdalla-m8t
    @SaidAbdalla-m8t 45 นาทีที่ผ่านมา

    Kitu kali sana❤

  • @samjabri2611
    @samjabri2611 32 นาทีที่ผ่านมา

    Muvimzuli🎉🎉🎉

  • @faudhiahassan7907
    @faudhiahassan7907 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Bidi tujifunze hapa ukipendwa pendeka 😂😂😂😂 kendi sasa ni sangara tu😂😂😂😂😂

  • @NoorEesa
    @NoorEesa 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Wa Tano mimi 😂😂😂😂😂

  • @جاااحظمجنون
    @جاااحظمجنون 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Jamami mbona hatuoni hiyo harusi munamaliza

  • @samiraKassimu
    @samiraKassimu 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Oyoo watatuuu 😅😅😅😅

  • @olivamushi7985
    @olivamushi7985 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Candy punguza kuongea sanaa😅😅

  • @anitahoza9727
    @anitahoza9727 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Humu tu 😅😅

  • @MarcoAthumani
    @MarcoAthumani 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Haya ss 😂😂😂😂😂

  • @LuluByams
    @LuluByams 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Siyo Akili Nimatope iyo😂😂😂

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Hii mme jutahid kutowa fasta fatsta kwann na mtt wa boc isiwe hiv

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 38 นาทีที่ผ่านมา

    Mambo mazuri🎉🎉❤

  • @saumJuma-q3e
    @saumJuma-q3e 32 นาทีที่ผ่านมา

    Jmn ya 4 tuleteeniiiiii

  • @HadijaVinyu
    @HadijaVinyu 39 นาทีที่ผ่านมา

    Kma Kuna ya nne msicheleweshe plz jmn🙏❤❤

  • @auleusmuyamba4208
    @auleusmuyamba4208 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kitengo Cha unafiki Amina anakiweza sana 😅😅

  • @NzeyimanaNadine-x5y
    @NzeyimanaNadine-x5y 25 นาทีที่ผ่านมา

    😢😢😢mv taaam eti mwisho😢😢😢

  • @RaïssaYannick
    @RaïssaYannick 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Leo wa 9😂😂

  • @AsmaAsma-og6ul
    @AsmaAsma-og6ul ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Amin kamsaliti kend

  • @davidpeter2398
    @davidpeter2398 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Shoga uyoga 😂

  • @MwanakomboAliKhamis
    @MwanakomboAliKhamis ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mapemz bwana yaache t kama yalivo wamefika kuwa wapemzi tena mambo bulbul

  • @zuberhamza7852
    @zuberhamza7852 19 นาทีที่ผ่านมา

    Mrembo wa mtaa

  • @maryamsoud2059
    @maryamsoud2059 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mjinga tena sanaaa utapata mwanaume gani atakuvumilia madhaifu yko kma yy umepoteza dhahabu

  • @HamissaJumanne
    @HamissaJumanne 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    ❤❤