Miaka michache ijayo, Zanzibar itakuwa nyumbani kwa jengo la biashara refu lenye thamani ya dola bilioni 1.3, gazeti la The Citizen limeandika Jumatano hii
@@murattywamuratty9778 itakua huna maisha tu ila mtu kidog alichonacho hushukuru ikiwa unakosa kuona neema zilizoko zenji basi pole acha tuenjoy mbona kuziri tu..hebu tembea basi around zenji ..zenji kuzuri banaaa tena sanaaaa
@@shamsahaji6202 Ni kweli Zanzibar sio pazuri kama mnavyosikia kwenye vyombo vya habari ,ukifika na kuona mandhari yake sio pazuri hata mji wake hauna mvuto yaani hakupendezi .
Yakheee darajani,magomeni,nungwi,bumbwini,kizimkazi,unguja ukuu,fumba,bububu,paje,mahonda Kwa nyanya,michezani,mwanakwerekwe, tujuane kidogo wazaziberi wenzangu😂😂😂😂
Wapo wawekezaji wengi walikua wanataka kuwekeza zanzibar but tanganyika kuitawala zanzibar hawajakubali kutia saini kwenye miradi ila kwenye ugumu kuna wepesi one free zanzibar
Bora Tumgejengewa viwanda Tupate ajira tuweze kutumia Pesa na Familia zetu tuzalishe Pesa Kwa wingi za kigeni ili Nchi iwe na pesa nyngi.....Amerika Imekuwa nchi ya kwanza kuwa na uchumi mkubwa sbb ya Viwanda.... Tuna mall imetushinda hilo itakuaje
kidogo kidogo mpaka watatuwachiya hadi nchi yetu,,maana wale waliokuwa chinja, uwa, hatotowi nchi wanamalizika tena...(wote wapo chini ya ardhi uko)😖😖😖
Ulivyo kilaza sasa na unasahau kuwa kweny kampeni mlikuwa mnamkataa kuwa ni mtanganyika mzaramo wa mkuranga hah Leo hii mnajisahaulisha ubaguz wenu ndomaan mnastack hah
kwanza tungejengewa kituo cha maana cha daladala hapa mjini, sio mbali na darajani, ili kila mtu atambue usafiri wake unapatikana wapi. huo mjengo sijui utamsaidia nini mwananchi wa kawaida. wekeni mbele mambo ya msingi kwanza.
@@mzenj72 huo mjengo hauhusiani na serekali kabisaaa...maana hawa uo ..si ndo unaona usafiri pia tabu??basi huo ujenzi ni just kupendezesha nch tu na kwa atakaekuwa na uwezo.. haujengwi kuwafaidisha wananchi elewa hilo.
Watu hawana shida ya pesa zako. Izo zao mnazichukuwa nyinyi au uwongo? Ingalikuwa sio husda jamaa walikuwa washapiga hatua kubwa wala wasingalifikiwa kwa nchi za hapa Africa Mashariki na Kati.
Kwahiyo huyo billionea muwekezaji wa kifaransa ndio anatumia hizo pesa zenu za tozo? Au ulifikiri jengo la serikali? Kabla hujaandika utumbo wako ujue kwanza kinachoendelea...Au ndio nyinyi msiopenda kusikia chochote kuhusu maendeleo kwa upande wa Zanzibar? Bahati nzuri Zanzibar inajengwa na watu binafsi sio serikali na mfano mzuri ni mji wa FUMBA na yatakuja mambo mengi tu ya kimaendeleo.
Tulieni sindano iingie vzr mukijitingisha sindano itakatika! povu lote hilo la nn? yani mara hii wabongo mumepatikan kwel mnaongozw na mzanzibar halaf Demu sasa😅😅 sasa cjui nani mpumbav apo!!??? 😆😆😀😅
@@CapybaraStories-f7w kwenye vitabu imeandikwa utakapo fika wakati nchi zinazo itwa maskini zikaanza kujengewa majengo marefu kabisi basi hizo pia nidalili za kiama
@@aishaaisharagp9381 sijaamanisha hivyo mpenzi barabara za juu zimejengwa kaja na Zanzibar nikasema akimaliza Zanzibar ajenge na Arusha gorofa refu no 1 Africa akimaliza Arusha anarudi na Zanzibar ni kwa zamu tu
Ni vizuri inshaallah ..lkn hilo jengo haliusiani na serekali yetu hainaga uwezo huo...hayo ni mambo ya uekezaji tu.ila tunapenda tz yetu ipendeze kwa kila unapotembea tuombe kheri tu.
Ndugu yangu mtanganyika acha ujinga au ujui kila sa 12 jioni inakuja ndege kuchukua pesa zanzibar na kuleta tanganyika yan kitu kinatuima sana wazanzibar kama icho yan tanganyika mnajenga kupitia pesa zetu wazanzibar lkn me naomba bola muungano ukavunjila ili tujue katika izi nchi 2 ipi itakua kimaendeleo sisi wazanzibar tumekubali tuvunje muungano tufe na njaa lkn mbn tanganyika amntaki andamaneni muvunje mungano pesa zenu zinakika zanzibar kama kweli mna uchungu na tanganyila yenu apo ndo pakipambana mungano mkauvunja watanganyika amkeni kila sku mnalala ty ebu tuvunjeni muungano basi
Angalau nasie tuwe na majengo mungu ibariki zanzibar yetu ishallah
Allah ajalie japo lenye kutimia inshallah
Hongera my Boss Mudrick kazi ziendelee
Ni Zanzibar kwetu au Zanzibar nyengine asnt mwinyi asnt mama samia mungu awape afya njema sio rahic hivi vitu
Amin
Mwinyi aongezewe ulinzi jamani
Hahahaaa
Sio wa mkuranga Tena😄 dah Kuna watu wanafki Sana hii dunia
Mtu asili yakwao nihapo hapo hata Kama anatumikie kwengine
Kenya namba mmoja
Nalijengwe tu mana wakenya wanajiona keki sana
Burundi tungali kweny gorofa 10😢😢😢 Inshaallah sikumoja tutavunja rikodi🤲
Amiin jirani.
Inshaallh iwe kali
Mola a tujalie lshallaha
Masha Allah God is good ❤❤❤😘😘😘🙏🙏☝️☝️🇰🇪
Go zanzibar go💥💥!
""Safi Sanaa"
My home zanzibar 🇹🇿💞❤️💞❤️
Pamoja ✍
Amina unakaa wapi?
@@issanaseeb7699 now oman
@@aminaadam3636 ooohh Woow nimefurah kukufaham sema ningepend now yako tuw tunawasiliana
@@issanaseeb7699 🙄🙄🙄🙄
Safi saana Tanzania to the world
Shinda ni African tumekaliwa sana jengo kama hilo hapo nimzungu ndio amewekeza kila kitu
Kuna Zanzibar kuna Tanzania one day kutakua n Zanzibar na Tanganyika zikiwepo chini y Tanzania
Wow good 🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪
Waooooo it will be gudi.
Sijawahi fika uko zanzibar nasikia kuzuri atarii😄💯👍
Wlcm
Hakuna uzuri wowote sie tunokaa tunapajua barabara ovyoo kabisaa
@@murattywamuratty9778 itakua huna maisha tu ila mtu kidog alichonacho hushukuru ikiwa unakosa kuona neema zilizoko zenji basi pole acha tuenjoy mbona kuziri tu..hebu tembea basi around zenji ..zenji kuzuri banaaa tena sanaaaa
@@shamsahaji6202 Ni kweli Zanzibar sio pazuri kama mnavyosikia kwenye vyombo vya habari ,ukifika na kuona mandhari yake sio pazuri hata mji wake hauna mvuto yaani hakupendezi .
Licha ya uzuri wake wailojina tu ukija zanzibar utajifunza mengi zanzibar ni njema atakae aje unakaribishwa tutakupokea😂😂😂
Wow! good
Mashallah
Aaah aaahaaa! Noma sana
Dalili za kiyama ni hizo watu kushindana kujenga majengo marefu
Home sweet home 💘
Wajengewe wenye nyumba mbovu mji mkongwe
Tozo kama tozo 🙌🙌🙌🙌
Zimehusikaje hapo
Mchawi wa mchana wenzako wanafanya uchawi usiku
Hujambo Wee Ramla?🇩🇪
hohooooo oyoooooo wachalia majirani mchana kweupeeeh
Yakheee darajani,magomeni,nungwi,bumbwini,kizimkazi,unguja ukuu,fumba,bububu,paje,mahonda Kwa nyanya,michezani,mwanakwerekwe, tujuane kidogo wazaziberi wenzangu😂😂😂😂
Hahahahaaaa
Nipo kutoka unguja ukuu hapa
Naaaaaaaam nipo MANGA PWANI amiiiiiiiiiiiii
Tupoooo hahaha paje ndio nyumbani..
Kitope kinyasini mgambo Kilombero uzini
Kibondeni Jumbi fuoni Tunguu binguni
Hahahahah zanzibar tena basi kuna watu wataona chuki vooo cjui kwann hahahahah.😄😃😀
Chuki ya nn wakat yote Tz ukichoka zenji unaenda bongo hakuna wakikuuliza msipende ubaguz wakat jengo hata bado kujengwa ebu tembeeni kdg bc
Wapo wawekezaji wengi walikua wanataka kuwekeza zanzibar but tanganyika kuitawala zanzibar hawajakubali kutia saini kwenye miradi ila kwenye ugumu kuna wepesi one free zanzibar
Foool....who care about what you wana construct....stop your ignorance at once
@@justinecleophas2950 you know what???
Mwenzangu yamekuwa hayo,, kwanini usisubili lijengwe kwanza likisha kamilika ndo uanze kuraumu hivyo
@@jamesmwita2995 🤣🤣🤣 walokataa kutia sain yanafaida kuliko hilo tanganyika washazowea lawama kutoka zanzibar
😂😂😂😂😂 mnatutia nuksi tuuu
Siamini kuna siasa mara kidudu mtu anaingia labda mama Samia aingilie kati
Bora Tumgejengewa viwanda Tupate ajira tuweze kutumia Pesa na Familia zetu tuzalishe Pesa Kwa wingi za kigeni ili Nchi iwe na pesa nyngi.....Amerika Imekuwa nchi ya kwanza kuwa na uchumi mkubwa sbb ya Viwanda....
Tuna mall imetushinda hilo itakuaje
Mall ni yenu wenyewe.. ilo jengo la wawekezaji watu washajipanga so usitegemee kuwashinda .
“Build and they will come “
Basi haya
Angalau muungano ufanyanye kazi maana dah atar
Sasa ni zmu ya Zanzibar
Hapa wakenya wanaumia sana yani maana tayari wamenyang'anywa taji 👑 juu ya wapi lipo ghorofa refu kuliko in East Africa.
Aah wapi tunaumia na nini na ni ndugu sie
ZANZIBARINO nyente problema bravo
😆😆😆😆😆😆😆
Umepigia ugoko.
Nan mwengine hatona linajengwa mpk tutakufa mirad ya zenj tunaijua vzr badar tu kule gulion watu wameishia kuchukua mshaga mpk leo hawajarud
Inawezekana kwa vile serikali lao jicho
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Miaka 15 Tanganyika walishindwa towa Kibali hadi Mwamba Husein Mwinyi ndio wameruhusu
Fool peleka ujinga wako mbali
kidogo kidogo mpaka watatuwachiya hadi nchi yetu,,maana wale waliokuwa chinja, uwa, hatotowi nchi wanamalizika tena...(wote wapo chini ya ardhi uko)😖😖😖
Ulivyo kilaza sasa na unasahau kuwa kweny kampeni mlikuwa mnamkataa kuwa ni mtanganyika mzaramo wa mkuranga hah Leo hii mnajisahaulisha ubaguz wenu ndomaan mnastack hah
🔥🔥🔥👌
Jamaa anajua kutangaza Hadi raha
❤❤❤❤❤
Zanzibar ni njema atakae aje mwinyi voice
👍
Tupo juuuuu sanaaaaaa🤣🤣🤣🤣
Itakua poa sana
Hii zanzibar ninchi yautalii muekezaji yeyote hatokataa kukeza pale
Nyumban ni nyumban
Japo kichakani
Ndyo.kitu pekee kimebakiwa na viongozi wetu Hawa wasiojijua
Sns kweli kweli
Britam tower ndio jengo refu zaidi ukanda wa EA na wala sio GTC
Safi sana, naiona Zanzibar Kama Singapore ya Africa, Ee mwenyezi Mungu wajaalie maono ya mbali kimaendeleo viongozi wote SMZ.
kwanza tungejengewa kituo cha maana cha daladala hapa mjini, sio mbali na darajani, ili kila mtu atambue usafiri wake unapatikana wapi. huo mjengo sijui utamsaidia nini mwananchi wa kawaida. wekeni mbele mambo ya msingi kwanza.
@@mzenj72 huo mjengo hauhusiani na serekali kabisaaa...maana hawa uo ..si ndo unaona usafiri pia tabu??basi huo ujenzi ni just kupendezesha nch tu na kwa atakaekuwa na uwezo.. haujengwi kuwafaidisha wananchi elewa hilo.
@@shamsahaji6202 yeah. Huo ndio ukweli. Wananchi hawatendewi haki na waliowachagua.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
🙏🙏🙏
Wow
Ni Tanzania.
tunasubir vitendo hatutaki porojo lako maneno mengi kama mpiga debe
Pesa za tozo izo ata za kwangu zimechangia
Watu hawana shida ya pesa zako.
Izo zao mnazichukuwa nyinyi au uwongo?
Ingalikuwa sio husda jamaa walikuwa washapiga hatua kubwa wala wasingalifikiwa kwa nchi za hapa Africa Mashariki na Kati.
Kwahiyo huyo billionea muwekezaji wa kifaransa ndio anatumia hizo pesa zenu za tozo? Au ulifikiri jengo la serikali? Kabla hujaandika utumbo wako ujue kwanza kinachoendelea...Au ndio nyinyi msiopenda kusikia chochote kuhusu maendeleo kwa upande wa Zanzibar?
Bahati nzuri Zanzibar inajengwa na watu binafsi sio serikali na mfano mzuri ni mji wa FUMBA na yatakuja mambo mengi tu ya kimaendeleo.
😂😂😂😂zamu ya Zanzibar sasa ngoja tuongezewe makato 😂😂😂lazima tuombe poo😂😂😂😂😂
Nyinyi wapumbavu mkiachiwa kakiswa kenu mtatosha mnavyo zaliana Kama panya kwani mnazani sisi watanganyika mungano tuna utaka kila mtu aludi kwao tuvunje mungano sisi wenyewe atupendiiiiiii mungano hauna faida yoyote kwetu tujimwage
Tulieni sindano iingie vzr mukijitingisha sindano itakatika! povu lote hilo la nn? yani mara hii wabongo mumepatikan kwel mnaongozw na mzanzibar halaf Demu sasa😅😅 sasa cjui nani mpumbav apo!!??? 😆😆😀😅
Mbona nyinyi anawaongoza mdengeleko wa rufiji mnalitambua hiro bumbavu kila kinacho kinahusu uongozi mahamuzi yanatoka dodoma wabala tunatumia akili nyingi kuwatawala kenge nyie
Ile Kama picha nyuma Kuna watu wanao litawala taifa kubwa Kama Tanganyika najivunia kuwa mtanganyika milere
Kwahiyo itakuwa hospital dawa zipo zote
Mji mkuu wa Zanzibar ni gani?
ukiwa popote ndani ya dunia hii.. wewe tumia neno hili(ZANZIBAR) basi utaletwa hata na colombian mpaka hapa🤐🤐🤐🤐🤐🤐
Stone town au mji mkongwe
😄mjin kati darajan
Hakuna mji mkuu Zanzibar wapo wapo tu wao hawana mbele wala nyuma ,hawajui kushoto wala kulia .
@@jumamohamed3168 poeple need good life not good town...🤐🤐🤐🤐
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏💯
Dalili za kiama hizo
@@CapybaraStories-f7w kwenye vitabu imeandikwa utakapo fika wakati nchi zinazo itwa maskini zikaanza kujengewa majengo marefu kabisi basi hizo pia nidalili za kiama
Ni kweli kabisa
ndio na ndo kisiwa kitakacho zama kwa ufisadi
Hamna lolote stori tu ndo zenu mkiahashiba
Maneno tu hana lolote🤣🤣
MKimaliza hilo ongezeni tena tozo za ada zashule kwenye umeme ili tujenge jengo la pili kwa urefu duniani...Tanzani mpya
Ni private project hiyo hauhisiani kabisa na tozo zenu watanganyika.
uwongo uwongo kkkkkk😀😀😀
Muongo ww
@@mudighurayra una sema nini wewe ume ona wap
Ata hujielew wew uongo nn
@@sabrinasab2910 wewe ume ona wapi
@@mudighurayra wewe ume ona wapi
Wakimaliza Zanzibar mama Samia tunaomba utujengee na Arusha gorofa refu no 1 Africa mama nakuaminia utajenga
Inshaa allah
Choyo hicho mlichonacho wenzetu watanganyika dhidi ya wazanzibari nyinyi mmefanyiwa mangapi mmejengewa mpaka barabara zajuu kwajuu mbonacv hatujatia kidomo jamani acheni vijicho
@@aishaaisharagp9381 sijaamanisha hivyo mpenzi barabara za juu zimejengwa kaja na Zanzibar nikasema akimaliza Zanzibar ajenge na Arusha gorofa refu no 1 Africa akimaliza Arusha anarudi na Zanzibar ni kwa zamu tu
Kwani hilo anajenga MAMA SAMIA?
Hilo linajengwa na muwekezaji billionea wa kifaransa halijengwi na serikali wala hawatoi hata senti moja yao hapo.
Ni vizuri inshaallah ..lkn hilo jengo haliusiani na serekali yetu hainaga uwezo huo...hayo ni mambo ya uekezaji tu.ila tunapenda tz yetu ipendeze kwa kila unapotembea tuombe kheri tu.
Billion 1.3 au trillion 1.3!?
$1.3b
nahisi anazan n tsh ni usd
@@nassoralawi2722 😀😀😀ndio alivo dhani
@@SimuliziNaSauti mm mwenyew nilizani tsh.. Nkasema bei ya rollysroyce ya mondi
não verdade brada vc ta a mentir son.
Xhitombo xa n'gwakwa
Hela zetu zinapelekwa zanzibar 😭😭😭😭 JPM baba tunaibiwa
Unaushahidi?
Acha ufala ww, una uhakika ww na unachokisema.
Nyinyi mnapesakama zanzibar au mmezoea kuinyonya zanzibar ili mle
Fisadi ww hiohela haitoki Tanganyika nihela yawafadhili shwain ww fumba mdomowako huo
Ndugu yangu mtanganyika acha ujinga au ujui kila sa 12 jioni inakuja ndege kuchukua pesa zanzibar na kuleta tanganyika yan kitu kinatuima sana wazanzibar kama icho yan tanganyika mnajenga kupitia pesa zetu wazanzibar lkn me naomba bola muungano ukavunjila ili tujue katika izi nchi 2 ipi itakua kimaendeleo sisi wazanzibar tumekubali tuvunje muungano tufe na njaa lkn mbn tanganyika amntaki andamaneni muvunje mungano pesa zenu zinakika zanzibar kama kweli mna uchungu na tanganyila yenu apo ndo pakipambana mungano mkauvunja watanganyika amkeni kila sku mnalala ty ebu tuvunjeni muungano basi