Huyu ndiye Msanii mdogo mwenye Supermarket kubwa Tanzania
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ก.ย. 2024
- Muimbaji wa nyimbo za injili nchini Tanzania kutokea kwenye Kundi la J SISTERS, akionesha na kuelezea miradi mbalimbali wanayofanya mbali na kuimba mziki wa injili...Kaa pamoja nasi wa kubonyeza SUBSCRIBE ili uwe wa kwanza kupata taarifa mbalimbali kupitia MBEYA YETU TV
Dada naomba kazi
Daaaa jamani hongereni sana J-sisters kwa kuwa na supermakert kubwa namna hiyo kwa umri mdogo mlionao ,Watu wanazeeka hawajawahi kumiliki hata biashara zao daaaa Mungu awatie nguvu ktk utendaji wenu wa kazi.
Naomb Kaz dad
Hello naomba unisaidie nipate nafasi ya kazi
safi sana mtangazaji yupo vzr
pia mbeya tv nawakubali sana
Namba ya cm hujaacha kunabidhaa nahitaji kupat hap
Hujambo bintiyangu ninabintyangu anatafuta kazi unaweza nisaidiya apate kazi naomba nisaidiye mwanangu amemaliza fomfo
Kaz me naomba
Dada natafuta kazi
Du!