JIBU LA 175 ; SHEIKH ATOA UFAFANUZI JUU YA HUKMU YA KUPIGA PICHA NA KUZIWEKA MAJUMBANI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 22

  • @AkbarShimi-cy4yc
    @AkbarShimi-cy4yc หลายเดือนก่อน

    shukran wa mauidwa nalikin vp kuhusu maneno niliyo yaskia tangu nikiwa mdogo kua malaika hawaingii mahali pako mapicha?

  • @abuufarha6562
    @abuufarha6562 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe majohotu ndio yanatutisha ila hamnakitu الله مستعان

    • @abdulsalum2852
      @abdulsalum2852 หลายเดือนก่อน

      Nyie mnaojiita kwa Laqab ua niwabishi na dini hamjui dini haisomeshwi kwa darsa tuu la dakika 10 au kwa mawaidha nendeni katika vyuo vya kisheria mkasome acheni mbwebwe ilhali hamjui kitu

  • @abuufarha6562
    @abuufarha6562 หลายเดือนก่อน

    Hili kumbe dajjari nijahiri kumbe hivi, kweli ukisoma haqqi allha ana kubainishia wango kumbe fiqhi yake ninusukabisa hivyo.

  • @jamalturky9001
    @jamalturky9001 หลายเดือนก่อน

    Mfahamisheni sheikh kua wahindi ni waislamu ila hilo alosmaa ni la banianii ukisma wahindii mana wote sasa

    • @jumaswalehe-y6d
      @jumaswalehe-y6d หลายเดือนก่อน

      Shehe acha kupotosha umma, mbona hutaji hata qauli za wanawachuon juu ya masuala ya picha. Wambie watu haya masuala picha za photograph yana ikhtilafu baina ya wanawachuon. Pia wambie ni ipi QAUL arrajiuu(yenye nguvu).

    • @jumaswalehe-y6d
      @jumaswalehe-y6d หลายเดือนก่อน +1

      Halafu watakiwa uphaham chombo Cha camera ni chombo Cha kisasa ambacho KAZI yake ni kupiga picha. Hii ni mbada ya mtu anaechora picha kwa mkono wake lakin Kaz ni ile ile, pia hiyo camera haiwez piga yenyewe picha had wew muhusika uishughulisha, ni kama mtu anavyotumia mkono na Kalam kushughurika

    • @jumaswalehe-y6d
      @jumaswalehe-y6d หลายเดือนก่อน +1

      Pia watakiwa ujue hiki ni chombo Cha kisasa ambacho wakat wa Mtume hakikuwepo. Ni kama vile unavyoona Leo vyombo vya usafir zaman gari hazikuwepo ilikuwa usafir ni punda, lakin KAZI ni ile ile usafir. Hukum yake ni moja

    • @jumaswalehe-y6d
      @jumaswalehe-y6d หลายเดือนก่อน +1

      Acha kutoa FATUA kwa MATAMANIO ya NAFSI. Picha ni picha tu hata iwe imechorwa kwa mkono au ukatumia chombo Cha kisasa(camera). Hukum yake ni moja. Ni haraaam ispokuwa kwa dharura kama wanavyosema maulamaa, hem angalia FATawa ya sheikh uthaimn KATIKA adaab zafaaf

    • @jumaswalehe-y6d
      @jumaswalehe-y6d หลายเดือนก่อน

      Wanawachuon wanasema picha hiz za fotograph itafaa kwa dharurah tu. Lakin asili ni haram