SEHEMU YA 1: SHEIKH MUHAMMAD IDDI AMJIBU KASSIM MAFUTA, MAWAHABI HAWANA DHEHEBU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 432

  • @YusufMatianyi1388
    @YusufMatianyi1388 9 หลายเดือนก่อน +2

    Shiekh letu Nakupenda Kupitiliza ,much love from Kenya ,Warekebishe mawahabi waache kupotosha umma .Allah Akuhifadhii na vitimbi vyiao in shaa Allah

  • @OrondiYusuf
    @OrondiYusuf 9 หลายเดือนก่อน

    Alhmdulilah allaah akuifadhi zaidi shekhe abu idi kazi unayo fanya nikubwa twapaswa kukupongeza na kukuombeya saidi kwa allaah akuifadhi. unafanya hivyo kunusuru watu wasipotezwe nikazi kubwa sana allaah atakulipa. mimi ni mjukuku wa shekhe muhammad ayubu nimefundishwa kutoka kwa mwanafunzi aliye soma kwa shekhe muhammad ayubu.lazima nikupongeze na kukuombeya kwa allaah akuifadhi saidi.kazi unayo fanya nikubwa.allaah akuifadhi.na kila shari zote.

  • @SaidiKihela
    @SaidiKihela 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde nakula baya

  • @KhamisiOmar-v3h
    @KhamisiOmar-v3h 10 หลายเดือนก่อน

    Asante sana sheikh wetu kazi yako ni nzuri sana yakupambana na mawahabi.kwa kweli wamemwaga damu za waislamu kuwagawanya waislamu na kuwaingiza katika shirki ya kuabudu miungu mitatu wakishikiana na mayahudi na waengeza.

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 10 หลายเดือนก่อน +6

    شكرا لك وجزاك الله خيرا
    شيخنا الكريم

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 10 หลายเดือนก่อน +20

    Shekh Muhammad idi usikae kimya muda mrefu . Tuna kupenda sana mwenyezi mungu akulipe, au refushe uhai wako katika kheri, akulipe na atulipe pepo ya juu aaamiin

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 10 หลายเดือนก่อน

      hawezi atakimbia mda si mrefu...

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@ayububakari9942akimbizwe na nani? Yani mawahabi mnajidanganya sana

    • @SugowFarah-up3db
      @SugowFarah-up3db 10 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ni asome kwanza ndipo aingie kwa ruduud

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 10 หลายเดือนก่อน

      @@SugowFarah-up3db mawahabi ndo mkasome hamna mnachojua

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 10 หลายเดือนก่อน

      @@abiabi9353 we labda ndio umenunuliwa smart phone juzi tafuta mijadala kuhusu mwezi muandamo akijadiliana na Sheikh abulfadhli qaasim mafuta Allah amuhifadhi uone alivyokimbia AKIDAI AMEKATAZWA NA WAZEE WAKE !!

  • @hassanmadodi5396
    @hassanmadodi5396 10 หลายเดือนก่อน

    Jamaa ananifurahisha sana, eti mawahabi walivyojipanga ipo siku watakuwa na muft wao na sikukuu yao.
    Maa shaAllah Hii inaonyesha ni namna gani haqi inavyo eleweka na inavyo kuwa juu na hii yote ni tawfiq ya Allah baada ya waislam kushajihishwa kusoma dini yao.

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mwenyezi Mungu akupe Umri Mrefu Sheykh Muhammad Iddi

  • @abuuhudhaifa5134
    @abuuhudhaifa5134 10 หลายเดือนก่อน

    Allah akujalie uendelee kujibu kwasababu watu wengi wasiojua sunna na bidaa wata bainikiwa na mambo mengi yalio zushwa ktk dini, na mawahabi nao wakibainisha basi sisi wanafunzi ambao tunajifunza dini yetu huwa tuna pata faida kwasababu yanaletwa majibu yenye nguvu kwadalili kutoka ktk Quran na sunna na ndicho tunacho kitaka

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 10 หลายเดือนก่อน

    Jazakallah

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 10 หลายเดือนก่อน

    ALLAH AKUBAARIQ SANA ... MWLM UMEKAA KIMYA SANA KIASI KWAMBA MAWAHABI WAJIGAMBA UMESHINDWA

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mwendelezo ßhekh

  • @mwalimuyussuph6469
    @mwalimuyussuph6469 10 หลายเดือนก่อน +3

    Wallahi nashukuru sana Allaaha, Huyu SHEKH WA kibid'a amezikubali jitihada za masafi

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 10 หลายเดือนก่อน

      Hata ibilis ana jitihada

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe8121 10 หลายเดือนก่อน +6

    Kutoka ndani ya moyo wangu
    Nampenda sana sheikh Muhammad abuu Idd

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 10 หลายเดือนก่อน

      kutoka moyoni simpendi kwa ajili "Allah"

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 10 หลายเดือนก่อน

      احبك الله الذي احببته فيه

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@ayububakari9942Sasa usipompenda wewe panya mmoja wakiwahabi ndiyo nini?

    • @noorululaatv8973
      @noorululaatv8973 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@ayububakari9942
      KICHAAA WEWE

  • @JuchonlineTV
    @JuchonlineTV 9 หลายเดือนก่อน

    Maashaallhh

  • @kagalihussein1959
    @kagalihussein1959 10 หลายเดือนก่อน +1

    Umeongea maneno chukuchuku bila Dalili...Elimu yako Ndogo Muhammad Eid

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 10 หลายเดือนก่อน +3

    ASANTE SHEIKH WATU WAMESOMA KWA MASHEIKH ZETU WAO WAMEKUA NA ILMU

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 10 หลายเดือนก่อน

    Jazaaka llahu shekh

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw 10 หลายเดือนก่อน

    Mimi sijaona kiongozi tanzania hii. Ambaye nikiongozi mkuu wawaisilamu anawaunganisha waisilamu au kuwatetea waisilamu .

  • @OrondiYusuf
    @OrondiYusuf 9 หลายเดือนก่อน

    لا يؤمن احدكم حتى يكون هواه تبعا لما جاء ت به

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hzo hoja alijibiwa,anarudia tena,mwenzio sheikh sameer anatweta hukoo😂

    • @abuuuyaynah8801
      @abuuuyaynah8801 10 หลายเดือนก่อน

      Anapumulia mipira acha kabisaaa

  • @mohdomar6760
    @mohdomar6760 10 หลายเดือนก่อน

    Allah akuzidishie sheikh letu

  • @mwalimuyussuph6469
    @mwalimuyussuph6469 10 หลายเดือนก่อน +4

    HAMNA CHA KUJIBU KWENYE MITANDAO NA NYIE SIO WATU WA KUITUMIKIA DINI.

  • @HamidHilika-kq3xx
    @HamidHilika-kq3xx 10 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akubarik sana shekhe na Allah akulipe kwa jitihada hii

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 10 หลายเดือนก่อน

    UNGENIVUTA KWENYE MAULID KAMA UNGESEMA WATAKA KUYAFUTA MAULID MAWAHABI TULIOACHIWA NA MTUME (S A W)LAKINI WASEMA TUMEACHIWA NA BABU ZETU NA MASHEIKH WETU INA MAANA MTUME HAKUFANYA ZIRO HAPO

  • @rajabubilalimakau8529
    @rajabubilalimakau8529 10 หลายเดือนก่อน +7

    Sababu za kujibu hoja zao umezibainisha vizuri sana Sheikh.

  • @ShekhSimba
    @ShekhSimba 10 หลายเดือนก่อน +2

    KAZI UNAYO - LKN SUNA IKO PALE PALE

  • @shaabansheehabdallah8770
    @shaabansheehabdallah8770 10 หลายเดือนก่อน

    Alafu sheikh ukizungumzia uislamu toa uraia wako, uislamu hauna mipaka ya kiichi za kitwaut

  • @mwalimuyussuph6469
    @mwalimuyussuph6469 10 หลายเดือนก่อน +1

    WE KUBAKIZA SHARUBU HUO SIO MTASHADIDI?

  • @shaabansheehabdallah8770
    @shaabansheehabdallah8770 10 หลายเดือนก่อน

    SubhannAllah umesema kweli sheikh, kumbe mumerithi maulid kwa masheikh na wazee wenu???? Poleni saana matwariqa. Tafuteni elimu kutoka kwa Mtume Muhammad Swallallahu Alleyhi Wassallaam nyie

  • @bashirusalumbigapsana673
    @bashirusalumbigapsana673 10 หลายเดือนก่อน

    Nakuelewa sana mzee wangu

  • @imamumohamedmalina6995
    @imamumohamedmalina6995 10 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadhi sheikh elimu nzuri sana umetoa

  • @athumankalua501
    @athumankalua501 10 หลายเดือนก่อน +2

    Tunakuombeaa Allah usimame juu ya kuwasambalatishaa mawahabi

    • @MusaMkata
      @MusaMkata 10 หลายเดือนก่อน

      Ubavu huo hana hata kdg mtu wa bidaa hawezi kumtengua mtu wa haqq

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 10 หลายเดือนก่อน

    Jisufi LOPOLOPO

  • @aliyseif8114
    @aliyseif8114 10 หลายเดือนก่อน +2

    ماشاء الله تبارك الله. الله يعطيك العافيه

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 10 หลายเดือนก่อน +5

    Uislamu hauna dhehebu, dhehebu la muislamu ni kufuata mtume s.a.w.

    • @AbdulmajidHyder
      @AbdulmajidHyder 10 หลายเดือนก่อน +3

      Utamfuataje kama sio hao wanazuoni?. Wamefanya juhudi kubwa mpaka Uislaam ukatufikia hapa tulipo. Kama sio wao.....

    • @ahmadSeif860
      @ahmadSeif860 10 หลายเดือนก่อน

      Ww Ata hujuwi dhehebu ni nini!

  • @ramadhanmbwana5718
    @ramadhanmbwana5718 10 หลายเดือนก่อน +2

    HII NI MUHIMU SANA MUHAMMAD IDI AMKIMBIA SHEKH KASIMU MAFUTA
    SIKILIZA HII HAPA ILI UPATE FAIDA ZAIDI NA UJUE KILICHO MKIMBIZA MUHAMMAD IDI
    th-cam.com/video/NxsrfgsvPXw/w-d-xo.htmlsi=-Q-lTcDHz8rFok8H

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb 10 หลายเดือนก่อน +2

    Muhammad iddi kaka ,maulid yapo madhehebu Gani? Kama mawaHabi hawana madhehebu,

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 10 หลายเดือนก่อน

      Hata kiongozi wenu kafiri ibn taymiyah pia anayakubali maulidi

    • @SaidKondo-rw8wb
      @SaidKondo-rw8wb 10 หลายเดือนก่อน

      @@abiabi9353 weee jamaaa hiii dini,sio mpira usifanye hivo,usiseme hivo ,kama hujui kitu nyamaza,umekosea kaka ,usimkufurishe mtu.ni jambo kubwa,hiii dini ni taaluma ,

  • @allyhabibu3746
    @allyhabibu3746 10 หลายเดือนก่อน

    mashallah ❤❤
    allah amrehm shekh letu shekh muhammad abubakar al burhan
    allah akuhifadh pya shekh abuu eidi

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 10 หลายเดือนก่อน +1

    Maulid ni Nini? Je Mtume Muhammad ametuachia maulid?je Maswahaba waliitambua Mawlid?

  • @abuuhudhaifa5134
    @abuuhudhaifa5134 10 หลายเดือนก่อน +1

    Lakini masufi mnatatiza Sana wafuasi wenu amejibiwa Shekhe lenu Alburhaaan mnalia kwamba "ooh anajibiwa hadi alie kufa" kwani nyinyi mkimsema vibaya ibn taimiyya mmesahau kua na yeye amekufa! Mizani yenu inapima vipi mbona hamna uadilifu,,,,, ndo mana mtaendelea kuwakosa vijana wengi ktk huo usufi wenu kwasababu watu welevu wanataka hoja na dalili sio porojo na michezo

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 10 หลายเดือนก่อน

      Naaaam wajinga hawaa wakisufi

  • @amirialimshamba9754
    @amirialimshamba9754 10 หลายเดือนก่อน +1

    SHEKHE ungeanzia asiliyao tangia kipindi cha mtume (saw) mtume aliwatabiri vipi na happy najidi alipotokea muanzilishi wao abdul wahab

    • @naasibabuu
      @naasibabuu 10 หลายเดือนก่อน

      utalishwa matangopori mpaka lini

    • @ismailmursal1933
      @ismailmursal1933 10 หลายเดือนก่อน

      Hhh jamaa atapatapa

  • @abeidkhamis6130
    @abeidkhamis6130 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi wa bantu wa Tanzania na Afrikaans mtajielewa lini? Hoja za hovyo ndizo mnazokalia

  • @abdallahal-khaify
    @abdallahal-khaify 10 หลายเดือนก่อน

    Ndio dhehebu lao ni qaala-llaah wa qaala-rrasuul kwa ufahamu wa wema waliotangulia(maswahaba, mataabi'i na mataabi'i taabi'iina) .
    Umesema sawa shekhe wa mnyamani.

  • @salumhamed5074
    @salumhamed5074 10 หลายเดือนก่อน

    Umechelewa sana

  • @abuuuyaynah8801
    @abuuuyaynah8801 10 หลายเดือนก่อน +3

    Sina shaka akijibiwa majlis moja tuuuuu anakimbia

    • @ramygichero1016
      @ramygichero1016 10 หลายเดือนก่อน

      amna kitu mawahabi so watu wa maaana kabixa wanajionyesha sana

    • @naasibabuu
      @naasibabuu 10 หลายเดือนก่อน

      huyu kichwa ngumu sana kujibu maswali hawezi na ha hajajibu

    • @naasibabuu
      @naasibabuu 10 หลายเดือนก่อน

      ule mjadala wako na Sheikh Qassim Mafuta ungeupitia tena ujibu yale maswali mbona kama umepiga chenga ya mwili

  • @abuuhudhayfah5108
    @abuuhudhayfah5108 10 หลายเดือนก่อน +3

    Ungejibu kwanza majibu uloulizwa, sasa naona umekuja kwa stayl nyingen

  • @ishakakhalid
    @ishakakhalid 10 หลายเดือนก่อน

    MITANDAO BADO INAREKODI MASWALI HOJA 19. HAZIJAJIBIWA.. JIBUUUUUU😂😂😂😂😂

  • @IbrahMiracle-em4sh
    @IbrahMiracle-em4sh 10 หลายเดือนก่อน

    Mamaa abuu idd baada yakuaibika mda mrefu ety kaamua kuja kupiga porojo tena pole utajibiwa vzr tena uje ujikanyage kama ulivo jikanyaga kama mtt mdogo

  • @jordan.3109
    @jordan.3109 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashia mtapiga kelele sana watu washaelewa Sunnah

    • @NuhuMohammed-nu6ni
      @NuhuMohammed-nu6ni 10 หลายเดือนก่อน

      Yup shia guns elim hujui hata kutofatish

    • @NuhuMohammed-nu6ni
      @NuhuMohammed-nu6ni 10 หลายเดือนก่อน

      Yup shia guns elim hujui hata kutofatish

  • @mwalimjecha6893
    @mwalimjecha6893 10 หลายเดือนก่อน +8

    Kweli kabisa shekhe wetu Allah atupe afya njema na nguvu ya kujibu hoja zao hatua kwa hatua.

    • @DonadiMwapule-he1je
      @DonadiMwapule-he1je 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mshauri imara asiwe anarudi mambo aliyoshindwa kuyajibu
      Uko ulishindwa Iddy?

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 10 หลายเดือนก่อน

      mdanganyeni tu kwani alishakimbia hapo karudi sababu ya ushabiki wenu !!!

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@DonadiMwapule-he1jetupe mfano wa mambo aliyoshindwa.mawahabi kazi yao ni uongo tu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@ayububakari9942alikimbia wapi.hivi nyinyi mawahabi mnahoja za kumkimbiza mtu kweli.nyinyi ndo mna historia ya kujikojolea mkisha banwa

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hakki hukaa juu wala haikaliwi juu

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 10 หลายเดือนก่อน +1

    Usisahau zile hoja za Mawlidi Bado hujajibu
    Na usije ukakimbia kama ulivyo kimbia mwanzo

  • @malengajuma2694
    @malengajuma2694 10 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran sheikh,

  • @mustafaramadhan5941
    @mustafaramadhan5941 10 หลายเดือนก่อน

    Yaani jamaa ana matatizo yasiyoelezeka hapa duniani hakujibu hoja alizoulizwa na Qassim mafuta ss kaamua kuja na upuuzi mwengine na akibainishiwa usawa anakimbia tena miaka mitano km alivyokimbia kujibu hoja huku nyuma zaidi ya miaka miwili ss
    Shortly tumechoka na ubabaishaji wako muhammad iddy

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 10 หลายเดือนก่อน

    يا شيخ أبوابوا ما تظنك على لمن قال عليهم رسول الله صل الله عليه وسلم من حدث عيشة رضي الله عنها " من احدث في امرنا هذا ماليس منه فهو رد، هل رسول الله صل الله قال على المؤمن او كفار ? علم رسول الله ستكون فريق من الذين يزعمون ان هم مسلمون يٸتون هم يحدثون في الدين.

  • @WastarYoussuf-wb7fz
    @WastarYoussuf-wb7fz 10 หลายเดือนก่อน +5

    Uko sahihi sana Muhammad iddi

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 10 หลายเดือนก่อน

    Amekudhuru aliekuhadaa abuu sikukuu

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂abuu man???😂

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 10 หลายเดือนก่อน +2

    Aliulizwa maswali kuhusu uwahabi hajajibu😂,leo anatuletea tena kidevu chake kma andazi,huyu ndo maana aliambiwa na ndugu yake wa twariqa mwenye adabu kua amerudia tena bangi😂,ila masuuuufiii😂😂😂

    • @naasibabuu
      @naasibabuu 10 หลายเดือนก่อน

      kipigo alichopewaga kwenye ule mjadala na Sheikh Qassim bado hajakisahau

  • @HassanJamada-pf4jt
    @HassanJamada-pf4jt 10 หลายเดือนก่อน

    Mzee jibu Yale maswali 10 uliyoulizwa kwanza ndio uingilie kadhia hii
    Ama kweli umekutana na mwamba usiopasuliwa na baruti ukakimbia kimyakimya mpk tukadhani haupo , kumbe upoo!
    JIBU MASWALI 10 ULIYOULIZWA NDIO UJICHANGANYE NA HUKU

  • @abeidkhamis6130
    @abeidkhamis6130 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona umefuga masharubu kama mayahudi?

  • @abuuyusra6139
    @abuuyusra6139 10 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo lako mzee auchelewi kukimbia tulizani umekufa kumbe uwahai unaonaje sasa tukaanza pale kwenye maswali ulioulizw ukayajibu kisha ndo mkaanza maadaiii

  • @husseinsaid8021
    @husseinsaid8021 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh Abu Eid unakaa kimya sana unatukosea sana tunaishi kama wanyonge

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 10 หลายเดือนก่อน

      Sheikh wako amerithi maulid kwa masheikh zake si ibada bali ni mira 😅 msikilize vizuri Sheikh wako Ana hoja zaifu sana

    • @shabansaid2323
      @shabansaid2323 10 หลายเดือนก่อน

      Kumswalia mtume si ibada basi ibada nini?

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 10 หลายเดือนก่อน

      @@shabansaid2323 kwanza unajua jinsi ya kumswalia mtume mohammad ( S.A.W ) tuanzie hapo sababu mtume mwenyewe ametoa maelekezo jinsi ya kumswalia na laukama utajua jinsi ya kumswalia mtume huwezi kua mtu wa maulid kwasababu Said jafar barzanji amejichanganya mwenyewe kwenye kitabu chake za barzanji kuna upuuzi wa kila aina ameandika tatizo Africa wengi hawajui kiarabu that's why Said jafar barzanji ametumia uwo mwanya kupotosha umma

    • @husseinsaid8021
      @husseinsaid8021 10 หลายเดือนก่อน

      @@shazyahya4121 Kumswalia Mtume ni bidaa?

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 10 หลายเดือนก่อน

      @@husseinsaid8021 kumswalia mtume ni ibada lakn unamswalia kwa taratibu zipi na kwa maelekezo gani mtume mwenye ameshaelekeza jinsi ya kumswalia

  • @YusuphRashidi-p9k
    @YusuphRashidi-p9k 10 หลายเดือนก่อน

    Upo sahihi lakini vipi waislam kua na hospital, university, mahakama ya Kadhi hayo ndy mambo ya msingi coz waislam wengi wanapesa

  • @ShekhSimba
    @ShekhSimba 10 หลายเดือนก่อน

    UISLAMU SI DINI YA MASHEKHE NI QURANI na SUNNA - TATIZO WEWE HUJIELEWI

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 10 หลายเดือนก่อน

      Ww ndo hujielewi Kuna jengine hujalidhihirisha hpo umeweka viwili tu

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 10 หลายเดือนก่อน

    Uislam Unapitia mafunzo kutoka kwa Quran na hadith za mtume maswahaba, maimamu na wanavioni, hakuna dhehebu la maswahaba wala la maimam, dhehebu ni la mtume s.a.w.

  • @FarajiAbdallah-yw2wn
    @FarajiAbdallah-yw2wn 10 หลายเดือนก่อน +2

    بورکت یا ابو عید کلام الراٸعة بارک الله فیکم

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 10 หลายเดือนก่อน +2

      یا أبا عید
      wacha kuvamia luga usomakinika nayo !! sema yaa Abaa Eid

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 10 หลายเดือนก่อน

      Kumbe ni يا af kisha ابو 😂😂😂😂
      يا أبا.......

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@ayububakari9942
      بارك الله فيك أخي

  • @fatibra7768
    @fatibra7768 10 หลายเดือนก่อน +2

    Shehe aumwa na uharo. Hatuliiii.

    • @malikiwaziri3429
      @malikiwaziri3429 10 หลายเดือนก่อน

      Huku ni kukosa adabu Kwa mashekh zetu,kweli uwahabi umekuja kugawa waislamu Hadi unaandika hv Kwa shekh kama huyu,subhaanallah

    • @mwalimjecha6893
      @mwalimjecha6893 10 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe hujijui hujitambui

    • @mwalimjecha6893
      @mwalimjecha6893 10 หลายเดือนก่อน

      Wewe hujijui hujitambui

    • @fatibra7768
      @fatibra7768 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@malikiwaziri3429 Ahsanteeeeeeeeeee kijana mweny adabu kwa mashaaikh

    • @mwalimjecha6893
      @mwalimjecha6893 10 หลายเดือนก่อน

      Wewe hujijui hujitambui

  • @MubarakDengu
    @MubarakDengu 10 หลายเดือนก่อน

    ni mtihani ya unajisifu kuwa mumeyarithi kutoka kwa wazee wenu kumbe hamjarithi kutoka kwa mtume صلى الله عليه وسلم na masahaba?!

  • @RamaRashid-t4h
    @RamaRashid-t4h 10 หลายเดือนก่อน

    Hawajui hao

  • @jumaajambiamusa8214
    @jumaajambiamusa8214 10 หลายเดือนก่อน

    maashaaallaaah ndug shekh wangu mola akujaze heri

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb 10 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo Lako hukawiii kukimbia,sisi tunataka ubaki na sisi mawaHabi Hadi mwisho

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 10 หลายเดือนก่อน +1

      NYINYI KUNA MWENYE ILMU AKIMBIE MAWAHABI, TUFANYE MJADALA MM NA WW UTAKAPO KWA MADA UTAKAYO

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 10 หลายเดือนก่อน

      Yani mawahabi wanapenda kujikweza .hivi nyinyi mnahoja kweli za kumkimbiza mtu

    • @SaidKondo-rw8wb
      @SaidKondo-rw8wb 10 หลายเดือนก่อน

      @@abiabi9353 wee kwenye mambo ni mgeni ndugu,huyu Muhammad iddi alikuwa na mjadala na Qassin mafuta,alikimbia huyu Muhammad iddi

    • @SaidKondo-rw8wb
      @SaidKondo-rw8wb 10 หลายเดือนก่อน

      @@Ahmadasshii-raazy8888 mwenye elimu haongei kama wewe,hii sio siasa kwa kusikiliza sana mijadala na wewe Sasa una hoja za kuzungumza,hii ni dini tuliza mihemko hapa tunatafuta kitu chenye thamani kubwa .

  • @mchizisoo3953
    @mchizisoo3953 10 หลายเดือนก่อน

    Mpaka leo unanyoa ndevu style ya O'' vipi unaweza kuongea haki watu wakakuelewa.. Allah akufaamishe haki uweze kuifata

  • @AbdulkarimKiza-rn3fh
    @AbdulkarimKiza-rn3fh 10 หลายเดือนก่อน

    Mbona hizo sifa ulizotaja kua ni za mawahabi zinakuvaa mwenyewe shekhe?

  • @mustafaramadhan5941
    @mustafaramadhan5941 10 หลายเดือนก่อน

    Jamaa nusu saa nzima anazungumza porojo tu hana moja la maana alilolisema

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 10 หลายเดือนก่อน

    Lopo Lopo amiesha funguliwa tena, jamaa halina hoja hata kidogo, hata mtume wetu Muhammad allayh sallam alipowakataza watu waachane na shiriki, aliambiwa anawagawa waislamu, nilijisheikh jinga halina elimu yoyote

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 10 หลายเดือนก่อน

    Ati mawahabi wakiachwa watafuta maulid, mimi nilidhani watafuta Quran.

    • @zeitunMohammed
      @zeitunMohammed 10 หลายเดือนก่อน

      Hata hiyo kubadilisha Quran mshajaribu,Kama mmetoa katika Quran Majid mkafanya fatiha kuwa na Aya Saba bila kuongeza Bismillahi,ati Aya ya Saba Ina anzia ghairil maghdhubi alayhim waladhwalin

    • @shamisahmed4806
      @shamisahmed4806 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@zeitunMohammed...Kweli wamejaribu ....Maulidi tutayasoma mpaka Kiama walijue hilo!!
      Kazi wanayo!

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 9 หลายเดือนก่อน

    Msikilize shekh muhammad ayyub Allah amrehem amsamehe
    th-cam.com/video/bpgl_cLmZKY/w-d-xo.htmlsi=tx8yrbzeKC8xH0Iv

  • @MuslimYussuf
    @MuslimYussuf 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ww jubu huja nyie makhuraf munajua kuchamba tu lakin hamna elim

  • @AbuFawzaanAlly
    @AbuFawzaanAlly 10 หลายเดือนก่อน

    Umerudi tena ukiwa vile vile
    Sasa ngoja majibu yako kutoka kwa Sheikh... in Shaa ALLAAH

  • @salimmapande4668
    @salimmapande4668 10 หลายเดือนก่อน

    Shekhe miaka hiyo uliyoitaja kulikuwako mashekhe wengi waliopiga vita maulidi akiwemo Sheikh Abdallah Salah Farisy na Nasor Bachu Allah awarehemu wote

    • @ismailmursal1933
      @ismailmursal1933 10 หลายเดือนก่อน

      Huyu bwana hawezi kujibu hoja wallah anatapatapa TU

    • @ismailmursal1933
      @ismailmursal1933 10 หลายเดือนก่อน

      Yaan kwakuhama madam huyu hajamb

  • @mwalimuyussuph6469
    @mwalimuyussuph6469 10 หลายเดือนก่อน +1

    KAMA NYIE HAMJIONESHI MBONA MNAFANYA MATANGAZO YA MAULIDI?

  • @abdallahmoussa614
    @abdallahmoussa614 10 หลายเดือนก่อน

    kwenye ma's ala ya arafa hakuweza kuendelea na Sheikh Qassim sasa je ataweza kwenye ma's ala ya maulid ? na pia hamuwezi kumfurahiya Sheikh Muhammad ibnul Wahab Allah amrehem kwasababu alikuwa nimtu wa Sunnah na kusimamisha tawhid na kupinga Bidaa na ambao walikuwa hawampendi baada yakusoma vitabu vyake kama KITABU TAWHID baadae walitokea kumpenda

    • @shabansaid2323
      @shabansaid2323 10 หลายเดือนก่อน

      Hii tawhid 3???

  • @abuabdirahman114
    @abuabdirahman114 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hiyo sifa yakufuga sharubu umeipata wapi??

  • @AbdulkarimKiza-rn3fh
    @AbdulkarimKiza-rn3fh 10 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Muhammed iddi mche ALLAH unasema mawahabi wana shikilia msimamo wao hawataki msimamo wao tu hawataki kauli nyingine, mbona unakosa uadilifu kiasi hicho, sio wewe uliyesema kua mwezi wa kimataifa haupo hauwezekani na hautekelezeki, na ukasema kua wenye msimamo huo ni wapotoshaji, huoni kama wewe ndo mutashaddid?

  • @MuslimYussuf
    @MuslimYussuf 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa wachamba aw wajibu huja hatutaki maneno jibu huja

  • @mutumwinkaashura1897
    @mutumwinkaashura1897 10 หลายเดือนก่อน

    Hao mnao waita mawahabi, niwale ambao wanaisimamisha tauheed na kupinga bida'a Allah atujaalie tuendelee hio njia hadi Kufa. Na hilo jina la mawahabi mnalitunga tu ili kuchafuwa Allah awaongoze

    • @bakaribakari6444
      @bakaribakari6444 10 หลายเดือนก่อน

      Mmekuwa kama nyani haoni kundule...

  • @kimingowameno4068
    @kimingowameno4068 10 หลายเดือนก่อน

    Hua napenda sana mawaidha yake shekh abuu eid

  • @TheIslam1681_
    @TheIslam1681_ 10 หลายเดือนก่อน

    Mudi idi anza kufuga ndevu kwanza. Makhurafi alama yenu kubwa kunyoa ndevu. Hebu someni kwanza muone Mtume alivyoamrisha kufuga ndevu, wasomeni maswahaba walizishika vp sunna za mtume. Sio mnapenda kula ubwabwa wa maulidi na khitma.

  • @AbuwSuhaylahSalafiy
    @AbuwSuhaylahSalafiy 10 หลายเดือนก่อน +9

    Kwa hiyo Tofauti za ki FIQHI ni kuwagawa waislaamu? Yaani ulitaka watu wafuatane hata kwenye makosa kwa hiyo baba angu akiwa mtu wa Mawlid lazima na mimi niwe mtu wa Mawlid? Sasa ndo hoja gani hizo? Unaacha kuwabainisha ma Shia wanawatusi maswahaba kila kukicha, unakuja kuwazungumzia Salafiyuun? Harakati zako hazina afya ni kupoteza muda tu bora ukae darsa usomeshe hao unaowaita mawahabi wako busy kusomesha watu dini katika maraakiz zao ndio maana huoni TH-cam wakiwasha Cameras kuongea ongea bila issue maalum acha ushekhe wa matukio.

    • @abuumaisarah6595
      @abuumaisarah6595 10 หลายเดือนก่อน +2

      SHEIKH WA MCHONGO HUYO HHH

    • @AbuwSuhaylahSalafiy
      @AbuwSuhaylahSalafiy 10 หลายเดือนก่อน +2

      @@abuumaisarah6595 Ana feli sana. Halafu kuna ma jahl wengi wanamsifia kwenye comments.

    • @KhamisiOmar-v3h
      @KhamisiOmar-v3h 10 หลายเดือนก่อน

      Kwani nyie mawahabi ikiwa kama kweli mpo sahihi sini sawa kama mtazungumzia kuusu hao maswahaba kutukanwa na watu watwarika kuzumzia maulid kuli kuwatusi wanachuoni na kuwaita makafiri.

    • @AbuwSuhaylahSalafiy
      @AbuwSuhaylahSalafiy 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@KhamisiOmar-v3h Mwanazuoni gani kaitwa Kaafiri?

    • @AbuwSuhaylahSalafiy
      @AbuwSuhaylahSalafiy 10 หลายเดือนก่อน +2

      @@KhamisiOmar-v3h Na wewe unavyotuita ma Wahabi unajua unaponda kumbe unatukweza "Al-Wahhab" ni katika majina ya ALLAH.

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 10 หลายเดือนก่อน +1

    Uislamu hauna madhehebu, but muislamu dhehebu lake ni kufuata mitume wetu mohd s.a.w ndio dhehebu la muislamu.

    • @AbubakarJambale-nx7te
      @AbubakarJambale-nx7te 10 หลายเดือนก่อน

      Andika jina la Mtume wetu kwa heshima sio "mohd" ni MUHAMMAD SWALA ALLAHU ALAIH WASALAM

    • @kasumunigwasa
      @kasumunigwasa 10 หลายเดือนก่อน

      Kasome we Bado Mjinga hujui ata dhehebu ni nini ? ivyo vitabu Vya fiqhi vyote Uwe unasoma muqaddimah ujue kua Kuna madh habi

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 10 หลายเดือนก่อน +1

    HUNA UBAVU WA KUMJIBU KASSIM MAFUTA INGALAU WOOTE MMEKUTANA WAPUMBAVU NA WAJINGA😂😂😂

  • @thabitsaidi1507
    @thabitsaidi1507 10 หลายเดือนก่อน

    Safar hii usikimbie tena kama ulivyokimbia kipindi kile maana huchelewi kukimbia. Huna uwezo wa kumjibu Sheikh Qaasimu

  • @abubakarshaban6118
    @abubakarshaban6118 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu kaja tena wakati hajajibu maswali alopewa na Shaykh Kassim Mafuta....

  • @rashidimatiwili7585
    @rashidimatiwili7585 10 หลายเดือนก่อน +2

    Uozo mtupu,na sharubu hizo

  • @swalehejuma6611
    @swalehejuma6611 10 หลายเดือนก่อน

    Dini hailazimishwi, wala hakuna utofauti wa uadui kama unavyodai. Hao mawahabi ni nani nani?! mtutajie, na nini uwahabi? Hao mawahabi wanasimamia nini. Tafadhali tueleze kwanza kuhusu uwahabi na mawahabi ili tuchague wenyewe

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 10 หลายเดือนก่อน

    YAANI SHEIKH ABUU IDD UNAZUNGUMZA KAMA ULOPITA MOYONI MWANGU

    • @DonadiMwapule-he1je
      @DonadiMwapule-he1je 10 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo umeamua kupiga Ramli eti kuna siku watakuwa na mufti wao.au unataka serikali iwashike? Nimeelewa kwanini Mashekh wengi wanapotea

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@DonadiMwapule-he1jeWW NI MUISLAMU AMA?

  • @yusuphsaad4349
    @yusuphsaad4349 10 หลายเดือนก่อน

    Shukran sheikh Abuu idd... Upo sahihi sana

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 Shukrani

  • @bakariyusuph-uf7nc
    @bakariyusuph-uf7nc 10 หลายเดือนก่อน

    Mche allah muogope allah unatafuta uwongozi kwa nguvu muda mrefu ila allah hajataka upate uwongozi unaoutaka umefanya fitna baina ya waisilamu zimekurudia mwenyewe ninamuomba allah kama unakusudia ubaya kwa yoyote bc ubaya huo ukurudie mwenyewe.

    • @selemanahant5389
      @selemanahant5389 10 หลายเดือนก่อน

      Ndugu unadanganya waisilamu wewe nimnafiki

    • @selemanahant5389
      @selemanahant5389 10 หลายเดือนก่อน

      Hoja zako za hivyo una roho ndogo nenda ukasome

    • @bakariyusuph-uf7nc
      @bakariyusuph-uf7nc 10 หลายเดือนก่อน

      Sasa unafiki uko wapi nawakati ametuhumiwa wazi kuwa anahitaji uwongozi na akishindwa hoja anaingia kwenye maisha binafsi ya watu alete hoja mimi bado nakubali maulidi ila huwa sipendi hoja za upande mmoja na huwa sipendi mlinganiaji anae panic maana upoingia kwenye maisha ya watu na kuonyesha kama maadui hiyo siyo sawa