Aibu sana kwetu watanzania ndo maana tukibahatika kuvamiwa kivita na inchi yoyote tutatwaaangwaaa pumbav sisi muulizeni huyo boya kagame mliyemualika awaambie kuhusu sukhoi 25 inayomaliza Jeshi lake pale DRC
DAAAAH BADO BADO SAAANA BAAADO SITAKI KUONGEA MENGI LAKINI DAAAH MUDA HUU WAKATI HUU KM HUJAJIWEKA TAYARI KIJESHI NA ZANA NZITO ZA KISASA BASI TUTAPIGWA TU... HAPO NDIO TULIPOISHIA DAAAH ZANA ZETU TUMEZIONA LAKINJ BADO BADO TUNAHITAJI KUEKEZA SANA JESHINI JAMANI NDIO ZANA HIZIII DAAAH INSHALLAH KHEIR
Mungu atu linde kwakazi nzuri asante
R.i.P magufuli😢
Tanzania salama sana
Watu wengine bana yaani kila kitu cha nchi yako ni kuponda tu....sio lazima ukoment
Ataka sema hakuna maendeleo JAMANI TUMWOMBEE TU😅
Jamani hata huko Ulaya wanayajua maendeleo yetu
ULINZI WAKUTOSHA TUNAO HIVI NANI ATAKAEJARIBU KUCHOKOZA❤
Kwakweli sherehe imetisha kupendeza kuleeee mpaka raha jamani
Ni harari sana kuzitangaza silaha za nnchin yko mbele ya viongozi wa nchii nyengne
Xo Kama unavofkilia vamia uwone
Aibu sana kwetu watanzania ndo maana tukibahatika kuvamiwa kivita na inchi yoyote tutatwaaangwaaa pumbav sisi muulizeni huyo boya kagame mliyemualika awaambie kuhusu sukhoi 25 inayomaliza Jeshi lake pale DRC
Siyo rahisi kamweeee
Mpaka rahaaaa
Vijana ndiyo haooooo
Next time mtangazaji wa hayo magari ya kijeshi mtafute mkakamavu kidogo iendane na uhalisia😂😂
Chezea weyeeeee? Hiyo ndiyo c.c.m bwanaaa
Kaaa wamependeza manoari yanatisha
Hv Mara ooh wanajesh amna waend Sudan ko Sudan ndo nchi yao bongo weng wapumbavu kushabikia nchi z wenzao nenden nyie c ndo w sudan
Wataweza wapiiiii?
C.C.M OYEEEEEE
Wanaweza.naaawaeendelee.kutulinda
Mahari yetu ni ya zamani sana yaani tupo nyuma sana sana sana
Kama hamuwezi jikubali nyinyi wenyewe nani hatawakubali .wanunulie bac za kisasa 😂😂😂
Nonsense
Shoul remain as Government top secret.
Atujawai kuona yakitumika
DAAAAH BADO BADO SAAANA BAAADO SITAKI KUONGEA MENGI LAKINI DAAAH MUDA HUU WAKATI HUU KM HUJAJIWEKA TAYARI KIJESHI NA ZANA NZITO ZA KISASA BASI TUTAPIGWA TU... HAPO NDIO TULIPOISHIA DAAAH ZANA ZETU TUMEZIONA LAKINJ BADO BADO TUNAHITAJI KUEKEZA SANA JESHINI JAMANI NDIO ZANA HIZIII DAAAH INSHALLAH KHEIR
In shallah
Hongereni saaana Zanzibar ..
Bandari kwenda ivo vifaa tutapitisha wapi tena
ANOONA ZIPO ZA KIZAMANI MUACHE ATULETEE ZAKE ZA KISASA TUMEONESHA TULONAZO NDOIZO
Hakuna jesh ambalon linaweza kuonesha dhana zake za kisasa kwa adui tz niwajanja sana
nilipokuwa naangalia World War 2 niliona hivi vifaa msifanye mambo kama haya next time ni aibu kuonyesha vifaa vya mwaka 1947 mwaka huu wa 2024
Hii ndio shida ya Wa Africa kuponda vya kwao tu 😂😂