@@Kuminamoja1995 kuokoka ni lugha ya kawaida kabisa, yenye maana ya kunusurika, kusalimika, kupona, kukombolewa, kufunguliwa kutoka katika janga au hatari au kifungofulani. Leo tunaanza na hili andiko “Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu” RUM.10:9-10 SUV hiyo ndio maana ya wokovu
Hananje anaongea fact
😂😂Mzee wangu bana napenda kumsikiliza huyu mtu wa maana kabisa huyu unanifurahisha sana mtumish barikiwe sana🤲🏻🤲🏻🤲🏻👍🏿✌🏿
Napenda jinsi unavyonukuu vifungu vya bibilia kama vile unakunywa maji.
Kwan nani? Anasikiliza comedian ama unafuata neno linalosemwa
Eti ipo siku watajipaka uji 😂😂
Hahaha mchungaji umetisha😂😂
Je tunye nn mchungaji ili kuzuia tamaduni za kigeni kuingizwa malangoni pa bwana
Watajipakaa uji mmh🤣🤣 et kama nyumbuu
Eeeish eti watapaka uji siku moja senzi😂
Comedian pure sio mchungaji
Ni comedian kweli. Unajifanya hujijui😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Akisilimu atakua sheikh mzuri
Ndoto ya alinacha asilimu aende wapi
Na njia sahihi ni moja tu YOH 14:6
Usichokijua alikuwa muislam huyu, aka okoka
Nini maana ya kuokoka
@@Kuminamoja1995
kuokoka ni lugha ya kawaida kabisa, yenye maana ya kunusurika, kusalimika, kupona, kukombolewa, kufunguliwa kutoka katika janga au hatari au kifungofulani.
Leo tunaanza na hili andiko “Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu” RUM.10:9-10 SUV hiyo ndio maana ya wokovu