Msichana aliyekuwa ametekwa nyara apatikana mtaa wa Kayole
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Baada ya kushikwa mateka kwa muda wa siku sita, hatimaye mfanyibiashara hafsa mohammed luqman amepatikana katika nyumba moja mtaani kayole hapa Nairobi. Hafsa amepatikana kwenye mtungi wa maji huku polisi wakimzuilia mshukiwa mmoja ambaye simu yake ilitumika kwa mawasiliano ya kutishia familia ya hafsa.
Polisi mkitaka kufanya kazi kumbe nyinyi hufanyaaaa. Good. Asanteni
umeonaa
Eeh wao hufanya wakitaka
Kuna vitu zingine hawachezi nayo
Ee walijua kuna kipato chungu nzima but ukiwa mkono tupu 😏
Pesa ndio kila kitu hapa Kenya
Very few times I've said this in my 32 years, "well done Kenyan police".
Not only police ...but to that Christian lady.. may God bless her for calling the police
Kenyan police good job that how really police operate /from Mogadishu
It's Kenya police not kenyanan
Tunamshukuru Mungu... good work to Kenyan police 🇰🇪🇰🇪🇰🇪👏👏👏🙏
Alhamdulillaah thank you very much police 👮 in Kenya 🇰🇪
Kenya ❤️
All praise be to Allah.
Allahumma ameen
Ameen
Thank To ALLAH We Appreciate to All Security Units💪🇰🇪
Bisharow u sheeg in la ii dorto Madaxaweynaha iskabulada😂
Hongera kwa Kenya police.
Alhamdulilaah twashkuru Mungu amepatikana, but some friends, it's just good to know your enemies. Kikulacho
Uyo mungu si angemtafta yeye mwenyewe
@@naturalist9517 you have a wrong misconception of God bro, hata Richard Dawkins na wale unesomasoma tu books twao online or off, don't argue this way, you're looking for God at the wrong place, but respect you're now half believer of God, we can help you with the 2nd half, utampata.
@@naturalist9517 ,kauli yako ni mbovu sana wewe, wala hukupaswa kuleta jeuri zako nakutudhihirishia kua wewe ni kiburi kwa anaekupatia uhai apa
@@naturalist9517 wewe ni mjinga mkubwa Sana duniani hata nadhani mwenyezi Mungu anakuacha duniani ndio urekebishe hiyo tabia y ukafiri
Kikulacho kiungani mwacho
Hasbunallah waneemal wakil
Allahumma ameen
Allahuma Amiin
thanks to 🇰🇪 Kenyan police 🚔 great job 👏 well done well done 👏✔ iam very happy alxamdulilah
Vinyang'arika kama hawa wa kuteka watu mateka wakishikwa wamalizwe papo hapo au wakipelekwa kotini wapewe miaka mingi gerezani ndio wasirudie hayo tena!!! Such evil should not be tolerated in our society at all.
Police acted because they were given money by hafwa family I can bet on that.these people don't do their work unless you have money.
Congrats to safaricom bila hao serikali aige pata information ya afsa.allah is great
The only people I trust are my parents others are 'just friends',I even don't trust my siblings too.pole sista Hafsa kwa hayo umeyapitia trust no one.
Me too,,lazima kuna mtu wa family hapo
Weeh ur siblings 🤣🤣🤣 yako ni kali sanaa.
@@tasha5073 not even trusting then but I can't share secret with, I know what I went thru with then
Alhamdulillah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🇸🇴
why is the kidnapper trying to justify that he also kidnapped the other girl. Do they think we are dumb or what? she needs to be arrested she is the one who plotted all of this. They said they will dumb her body because she fainted why kidnap her in the first place or is it that you never kidnapped her she was just working with you.
Hawa watu wakishikwa wafungwe milele ,ni vile wakishikwa wanaachiliwa ndio maana bado wanaendeleza huu unyama,pole sana dear Mungu yuko nawe.
Alhamdulilah amepatiakana huyo jamaa now askari wafanye kazi yao n my sis may Allah give you quick recover in shaa Allah
Piga hii majingiri risasi.Hawa watatoka.
Risasi sio mzuri, wanastahili wakatwe miguu na mikono ili iwe kumbukumbu
alhamdulliha Nina furaha Sana hafsa amepatikanwa.... lkn Hawa Jamaa wakishikwa Hakuna haja ya jela kabisa
God is great
Alhamdulillah all glory is to God🤲😢There was some rumors going around that her dead body was found in the river, Thank God she's safe!
Oh God, please protect our brothers and sisters everywhere. Ameen
😠😠😠😱😱😰😨😓😩🙀😿😾👎👎🤲🤘💪🤳👵👴
Syphilis
- I
W@@shamsasaman8330 e
Thank God she's safe
Alxamdllh, congrats to our police 🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
We thank you God 🙏🙏🙏😭😭 😭, we condemn the spirit of stealing kidnappings and killing in JESUS HOLY NAME 🙏 🙏🙏
Amen!
Alhamdullilah
Alhamdulillah
Huyo rafiki yake asakwe aongee vizuri
She is missing
Hatari
Kabisa
@@cadcedgalbedProductInsight ati ajui sala zake siku izi ya Rabbi
@@batulabatula5205 runti qorshahas wax rad bay kulehdahay
Hii mambo si nzuri, mungu amsaidie Hafsa
Alhamdhulilah
Safaricom its everything, thanks lord Jesus Christ
Thank fucking lord or saf wacheni ushenzi
😭😭😭Thanks God for all you have done.
Vitu zingine nilikua naona documentary ya wazungu sasa zimo humu tuwe wangalifu sana sana na wanawake ndio wanatumika sana na watoto ewe mungu tusaidie pesa yaharaka ni haram
ALHAMDULILLAH, ALHAMDULILLAH, POLE HAFSA.
Mungu ni mwema walimuacha uhai 🙏🙏🙏na pia huyo mwenye simu alipatikana sasa ndiye atakaye watoa wenzake mafichoni
Subhanallah
Mtihani
Congratulations to our police na huyo rafiki yake achikwe pia
Thank you Allah.
Glory to GOD!!!!
Alxamdu lilaah sarkali kenya goooood 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💕💕💕👍
Alhamdulilah thanks to God
Alxamdulilah( All Praise to Almighty Allah ).
Wow thank God !!! plizz be aware of the company you keep. This girl probably relayed too much information about her family affairs to her ''friend',..thats how the kidnappers knew they had money.
Help all NAIROBI KENYA be best no crimes Stop hatred Guide all those in Authority help every Area be safe my Be clean Help Nairobi Kenya be best Respectfully caring We are Nvr be seen such crimes...Stop all Evilness Help in Goodness
Rafiki mnafiki, anafeel aje kumwona hafsa akiteseka
Ndio nashangaa! Sababu ya pesa tu?!
This world is full of wonders. I hope they find that heartless monster she called a friend.
Serikali inafaa kuinvest much on security matters than bbi bull
Than BBI bullshit. Forshoo
Huyo rafiki yake knows everything, she should be in jail already
ALLAHU AKBAR
Alhamdulillah she's fine
SUBHANNALLAH
Glory be to God
AMEEEEEN!!!!
Glory be to God almighty
Alhmduli'llah🙏🙏
Thank God above all.
Praise to Allah subhannahuwataalla
Alhamdulillh thuma Alhamdulillh
Na hio kifua yote siajifanyie kazi kubafu ya mtu.
Alhamdhulillah
God bless all the police make this happen
Hii kayole ukona ujinga Sana, Keanu hawa ndio sugu hawezi too sheria
And what does this text mean when he said"na huyo mwengine amefaint bado hajaamka"does it imply to hafsa abdiwahab the one missing and who was with her?
@Abdul 740_Official I just talked about whatever I saw and I never asked for your opinion
@Abdul 740_Official unawashwa na nini kweli,does the fact that I said whatever I saw hurts you?
@Abdul 740_Official Why are you being so rude? Bismillah calm down ninyahow
That was a plan dia she is among the kidnappers
Sielewi kwa nini idara ya mahakama ilitoa hukumu ya kifo kwa wa wahusika wa mauwaji na kuteka nyara , natumai kaa humu hio ingekua inafanya kazi tunheweza kupunguza viza vya mauwaji na ukatili kwa jamii zima ya kenya hadi waogopa kutembea kwa inji ilio huru kama hii jamani serkali leteni mabadaliko sasa
Lahaula walla quwata ila billah
Alhamdulillah assalama 🏵
HONGERA SANA KWA MAOFISA WA POLISI...THUMBS UP
Miracle working God
Praise is to Allah and may Allah protect us all
Thanks GOD,wale wamama maombi yao yalikua ya kweli, GOD bless them,pia wazidi kuomba mbijjiwe apatikane salama katika jina la yesu kristo AMINA.
This is so wrong. We all owe someone at some point
Why are pple not talking about hafsa abdiwahab wlhi she's still missing and I can't see any newz about her may Allah protect her whenever she is 🥺🤲
Now you know where she’s I suppose.
Thank u Allah
Allahu akbar
Sarkali kenya goooood 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👍
Kenya ni nchi ya masheitani watu👿 Nchi bure kabisa! Sirkal bure kabisa! I feel embarrassed to be a Kenyan!
You clearly need to get laid. This shit happens everywhere. Cool down.
YA Allah May Allah be praised
Duuuh jamani
Mtu akatae kufanya job angonje za Bure watoto wasiku hizi hawataki kuchoka thenkyou God
It's not police, it's saf, sikuhizi ukiingia kwa ugaidi safcom is gonna snitch on ya ass with the absolute quickness
🤣🤣
I love safaricom and I know you do too. What if the sim belongs to another telecommunications company? The DCI use communication to track the perpetrators.
Without the coordination between the two no work people who are conversant with intelligence and security can really understand what I mean
@@tonnyndundahse69 when I say saf I mean the bunch
Thanks to God she was found alive
Alhamdulillah
Huyo rafiki yake ndie amepanga hiyo dil akamatwe pia
All hamdulilah kama amebatikanwa iko salama
Alhamdulillah
Glory to God
Hongera kwa polisi Kenya.Tafadhali eliminate weak na wateka nyara wote kwenu ni magaidi na adui ya Nchi.Mungu ailinde Kenya na wananchi wake
Maula abariyk waley wotey waley saiydiya na maombi piya shukran kwa be wazuri wote waley wali Sayyidiyna Maula atu saiydiye zaiydi Nairobi be ikuweye salamaa aamiyn
Alhamdulilah walshkrulilah
jamani uyu mkora asiachiliwe aojiwe mpaka aseme wenzake mana watoto wengi wamepotea jamani akisha sema wenzie auliwe tu asiachiliwe mungu amwangamize wazazi walilia wana wao ye yuawateka akiitisha pesa mbwa uyu
Alhamdulillah. kama.amepatikana
This guy looks a killer ,even the face tells it all. I think he should be down to the soil by now.😭😭😭😭it's so sad
ni kama movie weeh balaa kweli.
Its God almight,he had mercy on her.😊Praise Jesus
The first time in citizen tv history,to have done cover up for crime committed...thats uncalled for...you could have named the suspect name instead of saying just the Dj.
Alhamdulillah waala kully Hal
Noma Sana
AlhmduliLillah
Alhamdulilah 🙏🙏
She looks different
How
Duu milion tano kwani inaokotwaa??duu Mungu nimwema haki watu hawataki kufanya kazi wanataka kulakwakunyanyasaa mtu
Mashalah👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍💝💝💝💝💗💗💖
😡😡English