Mwanamke mwenye asili ya Brazil ameishi nchini kwa zaidi ya miaka 40
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Mwanamke mmoja mwenye asili ya Brazil ameishi humu nchini kwa zaidi ya miaka 40 katika eneo la likuyani kaunti ya kakamega. Elvis kosgei alimtembelea mwanamke huyu nyumbani kwake kongoni ambapo anaishi tu kwa amri ya mungu kutokana na mazingira alimokuwa. Mbali na hayo amedai kujaribu kutafuta usaidizi kutoka kwa balozi ya brazil bila mafanikio yoyote.
Watch KTN Live www.ktnnews.com...
Watch KTN News www.ktnnews.com
Follow us on / ktnnews
Like us on / ktnnews
Halloo kenyans lets help this family .haki hii kenya tunaishi maisha tofauti but ningeliomba serekali ya country ya kakamega bwana gavana oparanya pliz saidia hawa wananchi wako kwa matibabu badan huyo mama mpendwa anaonyesha ni muungwana na hawezi kuuza tu wake na aliamuwa kuishi na maana mulembe kwa shida na raha so its time to honor her with anykind of assistance so that they cant shape their destiny.
Kazi nzuri hakika nI hadithi ya kusisimua,Mungu abariki wale wote walioshiriki kuandaa taarifa hii
Elvis kosgey God bless u
Very nice 👍 thanks you from naseem UK
The daughter should apply for a Brazilian passport and travel to Europe with her kids and claim refugee.
One of her child will make her dreams cone to pass...in my prophetic visions and thoughts, I decree and declare abundant blessings full of joyful life and better health
hizo decree and declare ni zako...this family needs help and nothing else right now...enda u decree uko...nugu!
Amen
Amen
Nothing like decree here. Falsehood
Allah Akbar, Allah Akbar..Hiyo ni mitihan IPO siku itakwisha
Poleni sana
She needs to go back to her family because she's suffering so much her country helps old people
may I know full information please?
Bishop Felix Nyariki hi
Nice girl
Karibu Tanzania. Nitafute tuongee.
Wewe, ni, nani
Mungu
I hate irresponsible government...whats the difference of Kenya Somali and Brazil
Your are not ashamed of yourself stating war controlled country like Somalia
EMBASSY YA BRAZIL AJE HII MANENO?
KTN ingewatafuta na kuwainganisha.
Uchawi ni mpqya ishidwe
Shame on you Brazil embassy
Maskin
Alikuja kufanya nn Kenya?
Kweli wewe ni binti kiziwi kweli 😂. Amesema aliletwa na mjerumani kama yaya, akateswa,akatoroka
😁😁😁 sikiliza vizuri
Zayoma tv
Why can't the news casters release a contact for all the viewers who would like to participate in assisting this horribly poverty stricken family.Just telling us the terrible tales of what's what's going on with them shouldn't be an end in itself. It makes you all seem SHALLOW.PLEASE LEARN FROM OTHER NEWS BROADCASTERS and up your shallow game! lol
Kuishi ugenini ni changamoto sugu...shukuru Mungu uko nyumbani
Why should she be taken to Brazilian Embassy? She deserve to have Kenyan citizenship for havens sake, and be assisted by Kenyan government. She has been around in Kenya for 40yrs and the inept govt leaves her undocumented, really?
Seriously africans we don't love each other that's y we are not blessed.
kenya is corrupt like hell
very sad I wish her quick recovery
She says, she's here to stay. Nostalgia, you know.
Opiyo, our government is very rotten indeed. I pray these leaders can be gone in our lifetime
Mpeni uraia acheni roho mbaya...40 yrs is too much for God's sake plus added bonus she is black she is one of us
FOR ALL THOSE WHO VOLUNTEERED TO HELP HER,MAY THE ALMIGHTY GOD HAVE MERCY ON YOU TOO DEARS! I TRULY LOVE PEOPLE WHO HAVE MERCY UPON THEIR FELLOW HUMANS AND ALL HARMLESS CREATURES OF GOD!!!
plz naomba number ya sim zake nimusaidi na pesa kidogo ya chakula plzau number yangu 0013124058403 anipigeye
Excuse me Kenyans???huyu mama alisaidiwa kweli??c tumtafute tafadhali
Stupid...kasaidie ndugu zako turkana
Pokea nguvu ya uponyaji kwajina la Yesu Kristo (receive the power of Jesus ) every body how read this message say AMEN my name's Gerod Joseph Mbungani.my contacts +255744581069 and +255625166663 find me in WhatsApp
If 10000 Kenyans sent her 100 ksh she would have a million bob tumsaidie
uyu brazil hapo amefika home.awo walichukuliwa africa wakapelekwa america kama slaves.damu yetu inarudi.atulie ni nyumbani apo
historia nzuri amerudi nyumbani
Very true
she wants to see her family, obviously she can't abandon her husband and child
Wah 😭😭😭
Hadi nimelia
Nilikua nadhani me nina mashida mob but hii imezidi
Huyo tayari ni raia wa Kenya sasa au ili uwe raia inakuaje?
Serikali ya Kenya inaweza kuwasaidia kwa njia yoyote sio lazima Brazil
Kwa raisi wetu wa Tz kabla hajamfikia huyo mama..mkuu wa Wilaya anasaidia...toeni mawaskliano yake wanaoguswa wamsaidie pia
Alhamdulilah InshAllah mungu akujalie na subra iko siku utafika Brazil
too painful may God Almighty hear your cry and Grant your wish
Latifah Jay
"from Canada"mimi nomba numba zake ili nimsaidie please mimi nninaongea lugha yake fr
Asumani Kasimu Mungu akubariki
did get her number
This is so sad
Asumani Kasimu hi
Naomba nijue Kama alisaidiwa Huyu mama piiz
Aisee kayakanyaga vibaya mpaka mashambani Africa hatari, Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi
Why can't the government help her out. My goodness 😳. So shameful
"from Canada"mimi nomba numba zake ili nimsaidie please mimi nninaongea lugha yake fr
angalia hpo juu kuna no imepeanwa
mungu atawasaidia athuman nitafutee
nitafute no,,nipo masct 94633193
Asumani Kasimu 0774585901
Habar yako kaka naomba no yako ya whatsaap
Wacha adui wako akuwe n'a shida il ushida gqwanya il ushide
huyu mama halizahitiwa kweli naomba number yake plzz kogoni primary school dio home kwa my mum naeza muzahitiya
Ornestly speaking that reporter killed it with the language swahili sanifu
Mbona ameji achilia hivi, & she's very beautiful.
Mr reporter there is no language callwd Ki-Brazil its Portuguese
😂😂😂😂😂😂
Reporter anatumia lugha ya kifasihi mashallaaaah waswahil tuko vzury nassi
Weak namba yake ya simu tumusaidie. Malaika wamungu katesekea Kenya sana.Tafadhali weka simu yake nitamtumia chochote
Oh God same story to me, touched, i wish i was near i would help
Still you can love knows no Distance
Maria ahuta ama mama waaa nilikuwa jirani wakati alipokuja hapo kawangware na aknunuliwa nyumba mzungu .kama shukrani ya kumfayia kazi ya nyumba miaka almost 32 .its a long story but familia ya bwana ndio alimfanya masaiu haya yote she was very very rich
I used to see her coming from Lavington, I had even forgotten about her. May God see her through.
Pole sana mama Brazil , ako wapi huyu mama Brazil kwa hivi sasa?🙏🙏🙏🙏❤🇩🇪
Namba ya msaada tafadhali,,, Brazil hiwez ikamsaidia, Kenya ni familia yake
Naomba number yake binafsi kakamega ndio nyumbani
dahh,huruma saana,hata msaada hana jamani loohh
elvis ww paka umeamua kushika jembe.kweli unaufaham wakazi yako brother
Mtu kaishi miaka 40 kwa hiyo ni mkenya ni nyumbani sasa msada kwa wakenya wenzake
watupe no yake tumsaidie plz
Mwanamize Elvis akupigie ili?
Cymah Wandelt asaidiwe
Eunice David kale maisha kwnu
Maishapopote ila mona shida
How can we contact this lady,am mary 25 years old and am ready to help her in whatever way
Plz we need this woman number ...we would like to help her. Tafadhali
Bogus journalists bringing her fate into public yet not showing a means of help! No personal details of the victim at all
mama tulikuwa tunakuita hivyo I dont know what hawa familia ya papa your husband walikufanyia
tupeni jina lake kamili na jina la town na kijiji anachotoka hapa brazili ..inshallah twaweza kumsaidia
Tafuta email address ya KTN uwasiliane nao. utakuwa umemsaidia sana na Mungu atakubariki
mwanamizeelvis@gmail.com nipigie kwa hi nambari 0723539060
Philip Ndungu3. niko nje ya kenya
0720534332
piga hapo tafadhali
Mungu ambaye mume muabudu miaka nyingi amesgidwa Leo hau amalala wamuombe
Is she still there how can I help her ? Contacts please
Anakaa willian Borges wa Chelsea......ama Marcelo
Simuliza yakusisimua alikua ha uwezo wakukamata nyoka sasa asimulia
th-cam.com/video/5sCZYVbvQIM/w-d-xo.html
This lady would be worst off in Brazil, she needs to stay in Kenya, and its unfortunate she married a luhya man, if she had eloped with a kikuyu or GeMa tribe, Kamba or a Kalenjin man her life would have been far better.
phil5689 God knows
was thinking the same..
Exactly.
Too Sad,Tribalism mpaka youtube
@@GucciPabz Its reality, Not tribalism. Stupid practices such as wife inheritance will lead to HIV? AIDS, no tribalism there! Laziness like relocating upcountry when fired also leads to poverty.
Wende kwa Alp Alp Loukao Alleluia minister utapona mama yangu
may the Lord bless her and heal her with her Husband God have mercy
Am also work brasil and its like kenya😐, mas aqui esta bem🙄
Pastor exekiel jamani
Have mercy God
pole jamani MUNGU atakusaidia
Huyu anafaa arudi kwao
So sad nakutakia maisha mema
Brazil life yao ni kama ya Africa tu .
aisha elias Localmusic84 Huja nena
MV,bukoba
ni kweli ila bila ya familia yake hana raha
@asha brazil life is not same like africa lyf......brazil hv too much benifits even us Foreigners hv alot of benifits over here may God help her to cum bck to her land
Brazil si kama Africa. It is so advanced than Africa. Ukisema hali ya kuwepo masikini masikini wapo lakini siyo hoja wapo hata Marekani hawana hata pa kulala wanalala nje kule shida wanakula kwenye mapipa ya taka
Pole san
Heart wrenching!!! God have mercy on the lady
YA Allah please help for. All. human
Hiyo ni wetu
Mimi ni umoja wa Brasil, Na niko mshirikiyano yaku saidiyana
Pinya Pinya
Mesa mate mbila chakula
Amazing work KTN!
Nigependa kumsaidia lakini tunaanzia wapi?
Lord, have mercy on them!!
How is she now
ASANTENI KTN NA MARAFIKI WOTE ,,ELIVIS SHUKRANI KWAKO
soulstar Frick how did it go sister?
Kutoka Australia pls number yake nimsaidye
Our Lord remember Mercy
Mungu ni mwema atasikia kilio chenu pole sana
Mungu atakusaidia mama Kwa afya na uzima
Lakini kuolewa na waluhya wengine kutoka KK ni kujiharibia maisha mluhya is a no for me😢😢
Hiyo more than 40yrs nobody is alive mumy, pole woiyiee
Yaani ako na accent ya kiluhya already 👂
Imagine
piamimi nimenotice
40years is a long time!
Did this family finally get helped?
Wakenya msaidien uyo mama jaman Taifa lenu litapata haibu xana fanyeni ivyo msaidien how! Muoneshen muunganishen na ubaroz wake uyo mama aende kwako MTU kwao jaman iam avata star from Tz usisaau Ku subscribe Channel yangu ya you tube ih kama unapenda music mzul handika_avata star255
Traduzir pôr favor
Its only one person we can count on allah
😭
Elvis kosgei asalaam aleykum naomba mawasiliano nanyi,
kwanini aukuweka number yako ya simu weka please
Maria alifaulu kwenda Brazil au la?
Kwa nini hamuwekagi hata namba jamani tukawasaidia?