MKANDARASI Amtibua WAZIRI JAFO / Aomba PESA Kumalizia MRADI / JAFO Amchana "UMEUCHELEWESHA WEWE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 11

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 ปีที่แล้ว

    Mkandarasi anapewa 10000.wakurugenzi wamekula 1milions alafu mkandarasi anafosiwa amalize muradi Kwa pesa zake mfukoni au 🙏

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 ปีที่แล้ว

    Yeye mkandalasi hajui chochote kama sio wezi kutugani pesa za watanzania wanataka kujifaidisha waho wapumbavu wakubwa

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 ปีที่แล้ว

    Waziri Mkuu ndio amewaamsha mambo ndio hy,roho ya Magufuli na Nyerere inaishi sasa.

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 ปีที่แล้ว

    Mh jpm rudi jmn mungu huyu y? Tumemkosea Nini sisi watanzania kunahaja Sasa ya kuungana watanzania wote kumuomba mungu atuhurumie coz Kila cona now niwizi tu waziri mkuu anapo pita daaa Hadi machozi

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv1067 ปีที่แล้ว

    Naona roho ya MAGUFULI

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 ปีที่แล้ว

    Huyu wazir kila kitu mpaka usemaji
    Anamuiga wazir mkuu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 ปีที่แล้ว

    Mh samia jafo wizara yake asa ni tamisemi

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 ปีที่แล้ว

      Haswaa,ni kati ya mawaziri wachache ndani ya baraza la mawaziri ambaye uwezo wake ni mkubwa kwenye utendaji.