Meditation | Mafanikio | Meditation ipi ufanye na Ipi usifanye?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • VIDEO YA NGUVU ZA MIUJIZA
    www.youtube.co....
    JINSI YA KUTOKA NJE YA MWILI
    www.youtube.co....
    Mjue Maalim Kisisina l Mchawi Kisisina l Uwezo wake l Elimu yake
    • Kisisina ni nani?
    Kwa haya na mengineyo tembelea
    rakimsspiritua...
    unajimu.com

ความคิดเห็น • 92

  • @JastinJoram
    @JastinJoram 10 หลายเดือนก่อน +7

    Njia rahisi ya kufungua jicho la tatu ni kuokoka kusoma sana neno na uache kila aina ya uovu focus na mambo ya kiroho utapewa jicho la tatu nalo ni roho mtakatifu.

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  10 หลายเดือนก่อน +2

      Hii ni kutokana na Imani yako, Tumependezewa pia na mchango wako.

    • @MunguMwema-m4l
      @MunguMwema-m4l 10 หลายเดือนก่อน

      Naomba number yako yawhatsapp

  • @linturenatus3549
    @linturenatus3549 ปีที่แล้ว +3

    Nimekuelewa maalim wangu shukran nakufatilia sana

  • @justinedonatus8902
    @justinedonatus8902 10 หลายเดือนก่อน +2

    Upi ni muda mzuri zaidi wa kufanya Meditation

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  10 หลายเดือนก่อน +3

      Wakati mazingira ni rafiki na pametulia

  • @makopamusic
    @makopamusic ปีที่แล้ว +2

    mungu Akuzidishie maarim nmejikuta t napenda kufatilia na kujalibu

  • @TunsumeMwaijumba
    @TunsumeMwaijumba 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana nimekulewa naendelea kufanya meditation

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 2 หลายเดือนก่อน

    Hii elimu huwezi kuipata shule ,,,wala kanisani au msikitini,,,, ulimwengu oyee🎉

  • @Asiyedjali
    @Asiyedjali 9 หลายเดือนก่อน

    Naipenda sana hi mafuzo yako kweli nitaizingatiya

  • @Anithasinga
    @Anithasinga ปีที่แล้ว +13

    Mimi nimejaribu kufanya jana.wakati nimemaliza kufanya ibada.ilikuwa mida ya saa nane usiku.nikakaa sawa na kufumba macho,baadae kama ya dakika 15 nikahisi ninapaa juu huku nimekunja miguu.kadti nilivyokuwa nazidi kuomba basi ndivyo nilivyokuwa nazidi kupaa juu na kuiona ardhi chini kabisa.niliogopa sana

    • @christianngowi
      @christianngowi ปีที่แล้ว +2

      Mi nmejarbu mala kibao but sjafanikiwa

    • @DRPAULFULLSTOP
      @DRPAULFULLSTOP ปีที่แล้ว +1

      Usikate tamaa

    • @IdrissaBakar-w1u
      @IdrissaBakar-w1u ปีที่แล้ว

      We unaogopa mm nafanya na siwez. Hem unielekeze wewe unafanyaje

    • @AllyMasoud-c8w
      @AllyMasoud-c8w 10 หลายเดือนก่อน

      ulikaaje na mie nielekez

    • @HamiduMbaraka
      @HamiduMbaraka 5 หลายเดือนก่อน

      Nimejaribu kufanya na kutoka ila nimeogopa saana

  • @AlQuran-Alkareem-is
    @AlQuran-Alkareem-is 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah ❤

  • @MetodMakungu
    @MetodMakungu ปีที่แล้ว

    Kaka hongera sana akiliyako inafanya kazi sana

  • @dingadinga6674
    @dingadinga6674 7 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @mokoboykiller1381
    @mokoboykiller1381 ปีที่แล้ว

    Thank you to the world❤

  • @ikramsalum5655
    @ikramsalum5655 ปีที่แล้ว +1

    Nakufatilia sana vipindi yvako mwalim..

  • @diskkhan597
    @diskkhan597 ปีที่แล้ว +2

    Nimekuelewa mwalim

  • @HarunaFundii-lw1zr
    @HarunaFundii-lw1zr 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ayah

  • @YakoboCornel-c1w
    @YakoboCornel-c1w ปีที่แล้ว

    Nzur mwalm

  • @jameskapesa9699
    @jameskapesa9699 ปีที่แล้ว +3

    He meditation inauhusiano na kutoka nje ya mwili

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 ปีที่แล้ว +1

    ASANTE

  • @JofreyErnest
    @JofreyErnest 5 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba kuhuliza ntarudi kuchukua majibu ni lazima mt uombe wakati unafanya meditation na ni kwa mda gani na takiwa jana nimejalibu ila nilijawa uwoga make nilihisi kuna mtu ame simama nyuma angu nikafumbua araka nimuone sijaona nikalala 😂

  • @SylvesterLuhamba-gi3bc
    @SylvesterLuhamba-gi3bc ปีที่แล้ว +1

    Naomba kujifunza kwa undani

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  11 หลายเดือนก่อน

      Endelea kutufuatilia kwa maarifa zaidi asante

    • @calebmuchiti1357
      @calebmuchiti1357 4 หลายเดือนก่อน

      Naeza kujiungaje kwenye group lako​@@rakimsspiritual

  • @BLACK.ANGEL_58
    @BLACK.ANGEL_58 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ya kukaa ninzuri zaidi ila miguu yangu haiwezi inauma aisee ya kulala naweza ila unajikita umelala dolo usingizi huo

  • @christianngowi
    @christianngowi ปีที่แล้ว +2

    Nmejalibu malanyingi lakin sijafanikiwa kila Style inagoma

  • @FranciscoKazibure
    @FranciscoKazibure 9 หลายเดือนก่อน +1

    Muamlimo, najua no mgumo kusoma coment zote, lakini nakuomba unisaidie kufungua jicho lango la Tato, pleace ukifanya hivyo, naamini mtakuletea wato wengi kotoka huku Msubimji

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  9 หลายเดือนก่อน

      Endelea kufuatilia channel yetu hii tutafundisha jinsi ya kufungua jicho la tatu

  • @Anna-o1d3g
    @Anna-o1d3g 4 หลายเดือนก่อน

    Mhuuu siku hizi mbna mamb mengi sana

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  4 หลายเดือนก่อน

      Taratibu utaziona chache ukiendelea kufuatilia

  • @ShineRony-go2tr
    @ShineRony-go2tr ปีที่แล้ว +2

    Je kuna umuhimu au ulazima wa kufanya meditition kabla ya kufungua jicho la tatu

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว +1

      Ndio meditation ni muhimu kwanza. Ingawa kuna meditation ya jicho la tatu na meditation za kawaida

  • @HassaniMohamedi-y8q
    @HassaniMohamedi-y8q ปีที่แล้ว +2

    Ukifanya meditation unaweza kusaidia wengene kwenye majanga

  • @ZahraKaijage-kl2dv
    @ZahraKaijage-kl2dv ปีที่แล้ว +1

    Mwalim mimi nilifanya meditation lakinii gafla nikaona mtu mweusi nikaacha niliogopa

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Ulimuona katika hali gani?

    • @IdrissaBakar-w1u
      @IdrissaBakar-w1u ปีที่แล้ว

      Mm nilimuona mweupe kavaa kanzu hana sura sijafanya tena mwaka wa 3 ndo nataka kufanya tena saiz

    • @wardagogodigo1111
      @wardagogodigo1111 ปีที่แล้ว

      @user-sp1ig8ul2s😂😂

    • @olivermfinanga9387
      @olivermfinanga9387 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@IdrissaBakar-w1u😂😂😂😂nmecheka Ila utaozoea Mara ya kwnza nlvoanza nlkuw naogopa Ila sahv nshazoea

  • @RoseOdilo
    @RoseOdilo 8 หลายเดือนก่อน +1

    Naweza fanya meditation nikiwa period?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  8 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio haina tatizo lolote

  • @wingimrisho4729
    @wingimrisho4729 ปีที่แล้ว +1

    Kuna watu huuza mafuta ya kufungua jicho la tatu je ni vizuri mtu kuyatumia kama anataka??

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Video ya jicho la tatu itatoka utaona uchambuzi wake

  • @stevenkiula8164
    @stevenkiula8164 ปีที่แล้ว

    Je kwa anaetumia pombe hii kitu itafungukaa?

  • @benjaminfrances7245
    @benjaminfrances7245 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni maneno Gani unaongea wakati unafanya meditation

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  4 หลายเดือนก่อน

      Ni verma ukafuatilia zaidi pumzi zako kuliko kufanya maneno (Chanting)

  • @emmanuelmusa1061
    @emmanuelmusa1061 ปีที่แล้ว +1

    Samahan mwalim je kwa mtu mwenye vifungo itafany kaz?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว +1

      Meditation haina mipaka isipokuwa subira na uvumilivu ndio jambo kubwa linalohitajika kwenye meditation.

    • @emmanuelmusa1061
      @emmanuelmusa1061 ปีที่แล้ว

      @@rakimsspiritual KWAKWEL WEWE NI MWALIM MZURI WAALIMU WENG WAGUM SANA KUJIBU COMMENT ILA MWALIM WETU LIFANYIE KAZI SOMO LA KUBASHILI MHIND ANAKULA SANA PESA ZETU SASAHIVI MAKAMPUN YA KUBETISHA MPIRA YAMEONA TZ NDIO DILI TUSAIDIEN WAKIMBIE KAMA NAIGERIA hahahaha

  • @rashidjuma6326
    @rashidjuma6326 ปีที่แล้ว

    Natumaini kaka hujambo nime jaribu kufunguwa jicho la tatu ila sipati jibu

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Kama ni mfuatiliaji wa channel hii utakuwa umeelewa lakini kama ni mgeni jaribu kufuatilia videos zaidi katika channel hii utaelewa

  • @asheriddy1092
    @asheriddy1092 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba kuuliza hivi ni kawaida kuumwa na kichwa baada ya hii meditation? Maana nimejaribu baada ya kumaliz kichwa kimeniuma sana

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  10 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa wengine ni kawaida kutokana na experience mpya lakini ikizidi maana yake mtu unakuwa umefanya concentration kwenye giza la macho na kulazimisha focus

  • @Peterjofley-hq9yk
    @Peterjofley-hq9yk ปีที่แล้ว +1

    Mwlm nikitaka kujifunza gharama inakuaje

  • @rodriguenacigale
    @rodriguenacigale ปีที่แล้ว

    Shakra yipi inayo tangulia ku funguka, ama inadipendi?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว +1

      Mara nyingi huwa ni base, depending yake hutegemea na ufanyaji wako ikiwa umelenga chakra nyingine utaona dalili za nyingine

    • @IsmailSebari
      @IsmailSebari 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@rakimsspiritualbase ikifunguka unajuaje

  • @salumujuma0412
    @salumujuma0412 ปีที่แล้ว

    Sorry. Mwl naweza pata namba yako?

  • @WadhifaOmary
    @WadhifaOmary 5 หลายเดือนก่อน

    Tupe maelekezo unaongea sana

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 ปีที่แล้ว

    Samahani kiongizi kunatofauti Kati ya meditation na kufungua jicho latatu?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว +1

      Ndio tofauti ipo na kubwa pia kwa maana meditation ni safari ya kufungua chakra zote ikiwemo third eye (Jicho la tatu) na Jicho la tatu ni kipengele tu cha meditation katika safari yako ya meditation ambacho unatakiwa kukimaster pia ili kuwa moja kati ya masters of meditation.

    • @eminenceboy8386
      @eminenceboy8386 ปีที่แล้ว +1

      @@rakimsspiritual kama kuna kitabu ambacho kinazungumzia hii elimu yote ya meditation pamoja kufungua jicho latatu nijuze.lakini kiwe chakiswahili

    • @DodfayedHam8d
      @DodfayedHam8d ปีที่แล้ว

      Sasa kama jicho la tatu alifung liwi na meditation lina funguliwaj star ip😢😢

  • @josephatisakaya1934
    @josephatisakaya1934 ปีที่แล้ว

    Bro na omba namba zako

  • @Mr_ufahamu
    @Mr_ufahamu ปีที่แล้ว

    Naomba namba zako

  • @parmondgoodboy8590
    @parmondgoodboy8590 ปีที่แล้ว

    Habari yako mwalimo kuna kitu ambachokinanitokeya huwa najikuta kwamba kabla mtuu ajazungunza mimi huwa najuwa anataka kusema nini na pia huwa na mfuatiza anachotaka kusema, iyo ni nini?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Psychic power aina ya precognition.

    • @parmondgoodboy8590
      @parmondgoodboy8590 ปีที่แล้ว

      @@rakimsspiritual naomba unitole somo vizuri kwa Kiswahili mwalimo

  • @hallelujah-wm7hd
    @hallelujah-wm7hd ปีที่แล้ว +1

    😅😅nacheka comment za watu jmn mtajikuta mmekuwa wachawi buure

  • @mwalilomatila9668
    @mwalilomatila9668 ปีที่แล้ว

    Kheri bro your number please 🙏