Jinsi ya kufanya Meditation. | Kusikiliza Roho Takatifu | Kama huna la kufanya au umekwama!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 222

  • @SabrinaSabrinasalum-bc4zw
    @SabrinaSabrinasalum-bc4zw ปีที่แล้ว +6

    Asante Kaka nimefanya nimeweza kwani nimeangaika mda mlefu ila nafuraha sana 😊

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Asante. Mwenyezi Mungu akujalie mafanikio zaidi

    • @LunjeMaster
      @LunjeMaster ปีที่แล้ว

      Oy ww umefanikiwa kwahy kila ck unaota miujiza2

    • @theopistergeorge4089
      @theopistergeorge4089 10 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅ngoja nicheke kama mazuri ., mm mwenyew naogopa

    • @edwardgistave7808
      @edwardgistave7808 8 หลายเดือนก่อน

      @@rakimsspiritual nina swali meditation una vuta pumzi kama mara tatu afu unaachta unaanza kuwa bize na uso wako sindio

    • @JoyceKikome
      @JoyceKikome หลายเดือนก่อน

      ​@@LunjeMaster😂😂😂😂😂😂

  • @jumaevarist9103
    @jumaevarist9103 5 หลายเดือนก่อน +4

    Meditation nzuri ni ya kumfikilia mwenyez mungu aisee

  • @jamesmbale2067
    @jamesmbale2067 ปีที่แล้ว +5

    Mwalimu ubarikiwe saaaana ata mimi nilikuwa na tafuta channel ya meditation kwa luga swahili ila nime kupata asante kwa mafundisho Mungu akutiye ngufu na akuongezeye akili

  • @AlQuran-Alkareem-is
    @AlQuran-Alkareem-is 4 หลายเดือนก่อน

    Apa ndio kwetu na Apa ndio Kwenu for Anyone Who need to become the better and Original version of himself ❤🎉

  • @Emmanuel-f4r
    @Emmanuel-f4r 11 หลายเดือนก่อน +1

    jamani nimependa sana nami naanza leo hii❤❤

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 ปีที่แล้ว +2

    Natamani sanaaa
    Leo na jalibu nione ntaweza

  • @Asiyedjali
    @Asiyedjali 3 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu nashukuru sana mm ni mfwatiliyaji sana wa channel hï
    Basi nakushukuru sana kwa elimu zako uko unatufuza siku kwa siku
    Nikonafanya meditation kila siku kama kama kawaida.sasa nilisha kuwa na mabadiliko makubwa mno sana sana
    Hakika asante sana

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  3 หลายเดือนก่อน +1

      Asante kushukuru, Mwenyezi Mungu akujalie mafanikio zaidi

    • @Asiyedjali
      @Asiyedjali 3 หลายเดือนก่อน

      Asante mkuu

  • @Fungulima
    @Fungulima ปีที่แล้ว +2

    Asante sana kwa mafundisho nina maswari nataka nihelewe njozi nyingi zinanitokea nakuwa na maraika au yesu

  • @YahyaMungi
    @YahyaMungi หลายเดือนก่อน

    nashukuru kwa elimu nitajaribu

  • @MaryamSuleiman-xs5ph
    @MaryamSuleiman-xs5ph ปีที่แล้ว +6

    Mbna comment zenyewe zinaogopesha jaman..

  • @obwahmaxwell8717
    @obwahmaxwell8717 2 ปีที่แล้ว +4

    Asante! may God of cosmos bless you

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 ปีที่แล้ว +6

    Asante kwa elimu hii iliofichwa na wengi

  • @jacquelinepalangyo412
    @jacquelinepalangyo412 ปีที่แล้ว +2

    Ooh Asante sn Kaka angu,nilikua natamani sn kupata mafunzo ya meditation kwa kiswahili hku utube maana mengi Ni kingereza so Kila neno utaelewa maana yake,barikiwa sn na usichoke kutufundisha🙏🙏❤️❤️

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว +3

      Asante na wewe ubarikiwe pia katika safari yako ya kiroho kuweza kufanikisha unachokitafuta pamoja na kuwa inlightened.

    • @jacquelinepalangyo412
      @jacquelinepalangyo412 ปีที่แล้ว

      @@rakimsspiritual Amen rakim🙏🙏

  • @hossianalaizer1625
    @hossianalaizer1625 ปีที่แล้ว

    Mm huwa unatokea rangi rangi tofauti kisha mwanga mkali Mungu ni mwema nashukuru sana nitafika tu

    • @JoyceSakey
      @JoyceSakey 8 หลายเดือนก่อน

      13:14

  • @Bookslover707
    @Bookslover707 3 ปีที่แล้ว +6

    Asante sana kwa kutuelimisha kusher na kulaik kazi kwetu

  • @JeniphaThomas-z5j
    @JeniphaThomas-z5j 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mwalim

  • @NiceNyaluchi
    @NiceNyaluchi 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa somo

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana

  • @fistonmakopa598
    @fistonmakopa598 ปีที่แล้ว +1

    Asantee kwa elimu

  • @DuoJoseph-rz6qx
    @DuoJoseph-rz6qx 4 หลายเดือนก่อน

    Asante Mwalimu 👌👃

  • @eliwanjeliasumbi-gb7tx
    @eliwanjeliasumbi-gb7tx ปีที่แล้ว +2

    Mim nimeganya najikuta zinakuja nyimbo za kuabudi it’s nice thing ❤️

  • @lilianmengere29
    @lilianmengere29 ปีที่แล้ว +7

    Nimeanza kama dk 5 ivi nikackia kama mtu ananijua nimeogopa nikafumbua macho cjaelewa nifanyeje

  • @blackjack3356
    @blackjack3356 ปีที่แล้ว +1

    Jana nimefanya lakn macho yangu yalikuwa yanacheza sana

  • @crisndembwele4016
    @crisndembwele4016 2 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali sana kakaa panapo kheri nitakutafuta🙏🙏🙏

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana

  • @LiliAlicia-fd6vt
    @LiliAlicia-fd6vt ปีที่แล้ว +2

    Mwalimu nikwanini ikifika mda wakula kicwa kinaniuma xn ila nafany zoezi la meditation ila sijafanikiwa kufungua jicho la3

  • @SadickSuleyman
    @SadickSuleyman ปีที่แล้ว +1

    Master mim ni mpya humu naomba munisaidie san

  • @ZawadiMlagala
    @ZawadiMlagala ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @sharkhanwabongo
    @sharkhanwabongo ปีที่แล้ว +1

    @Rakims Spiritual nilkuwa na omba unisaidie kuhusu Ile dua ya Qum qum ya habibi kam tanam jinsi ya kuitumia alaf maelekezo yake nlkuwa naomba ya we kwa kswahl coz kule nmeshndwa kuelewa vzur coz yapo kwa kngereza

  • @jameskapesa9699
    @jameskapesa9699 ปีที่แล้ว +2

    Mbona mi nimefanya ulipotokea mwanga kama kinyuzi toka kwenye paji la uso nilipouangalia huo mwanga mwisho wake nikaona mwezi baada ya hapo sikumbuki nini kilichoendelea msada tafadhali

  • @GervaseMakwarus-ro2jz
    @GervaseMakwarus-ro2jz ปีที่แล้ว +1

    Sawa

  • @aishabh7936
    @aishabh7936 10 หลายเดือนก่อน

    All you have said is true thanks for sharing

  • @samutanzania
    @samutanzania 8 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana

  • @PhilipoDaudDeus
    @PhilipoDaudDeus ปีที่แล้ว

    Mkuu Habari yako, nimeona haya Mafunzo kupitia clip zako, namimi nahitaji kujua katika ulimwengu Huu wa kiroho zaidi, nahitaji kuelekezwa nielewe na mimi

  • @JenniferJoseph-i9v
    @JenniferJoseph-i9v ปีที่แล้ว +1

    nmeanza kufanya meditation sku chache lakini kila nkifanya meditation machozi yanatoka menyewe sometime miayo mingi inayopelekea ntoe machozi. cjui kwann😢

    • @CutemaryTomas
      @CutemaryTomas 7 หลายเดือนก่อน

      Na Mimi hivyo hivyo Sijui kwann

    • @wardagogodigo1111
      @wardagogodigo1111 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@CutemaryTomastumia sage kujifusha kabla ya kufanya meditation haitokijia hio hali

  • @GodwinMwabukusi-vk2fe
    @GodwinMwabukusi-vk2fe ปีที่แล้ว

    Saf rakini unaweza kufanya kwa mda gan

  • @anitamrema2827
    @anitamrema2827 ปีที่แล้ว +3

    Kwanini ule mwanga kama tochi unapotokea na kufifia macho yanahangaika sana kucheza cheza kama yanataka kufunguka

    • @hildakayun6445
      @hildakayun6445 6 หลายเดือนก่อน

      Me mwenyewe Huwa kichwa kinauma mpka

  • @erickmeshack4676
    @erickmeshack4676 ปีที่แล้ว +1

    Aiseee vyote alivyo eleza nikweli jamani mm imenitokea ila sikuelewa nilifanya kwa kubahatisha tu kiukweli ilinishangaza sana

  • @abdulrahmanhassan5998
    @abdulrahmanhassan5998 ปีที่แล้ว

    Shukran Sana kwa uchambuzi zaidi

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 3 ปีที่แล้ว +2

    Thnx

  • @officialreykigogo7752
    @officialreykigogo7752 2 ปีที่แล้ว +2

    Naweza kuwa nasal kwa dini yangu nikiwa nafanya meditation

  • @MariaMathew-l7z
    @MariaMathew-l7z ปีที่แล้ว

    Nitajaribu bro na majibu nitakupa

  • @officialchity
    @officialchity 2 ปีที่แล้ว

    Aminaa🙏🙏

  • @sivickeykagomadog4472
    @sivickeykagomadog4472 ปีที่แล้ว +1

    Unaweza kufanya mida gani au dakika ngapi.

  • @FredgidoNdunguru
    @FredgidoNdunguru 2 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo huluhisiwi kukuambia mtu au inakuwaje

  • @fatumamselem810
    @fatumamselem810 11 หลายเดือนก่อน

    Mm nimeanza kufanya km ck 3 Ila naona km duara ya rangi ya zambarau mbele yangu

  • @ibrahimmaembe1505
    @ibrahimmaembe1505 3 ปีที่แล้ว +1

    Good ilike it kaka

  • @azizakombo376
    @azizakombo376 3 ปีที่แล้ว +2

    Oo shukran kka ila tunaomba muendelezo

  • @linturenatus3549
    @linturenatus3549 ปีที่แล้ว

    Mwalim nakupata sana kak

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 9 หลายเดือนก่อน +1

    asante kwa somo zuri.lakin bado sijaelewa,nivute hewa na kuitoa nje kwa muda gani?nianze kufumba macho wakat upi?jee,nitawezaje kujikontro(kujirejesha ) wakat nitakapo kuwa nimezama huko kwenye ulimwengu wa roho?nadhani tunahitaji utufanyie video nyingine zaid jinsi ya kuanza meditetion.asante sana.

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  8 หลายเดือนก่อน

      Sawa asante kwa kuendelea kushiriki nasi

  • @HarunaFundii-lw1zr
    @HarunaFundii-lw1zr 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mwalimu kunakitu naomba nijuwe ivi nilazima kufanya mikono ivo

  • @jameskapesa9699
    @jameskapesa9699 ปีที่แล้ว

    Jamani mbona mi nafanya meditation lakini sifanikiwi ila toka nianze kwenye paji la uso kila siku panacheza halafu toka nianze kufanya meditation nikilala naota ndoto lakin asubuhi naamka nimesahau kila kitu

  • @LunjeMaster
    @LunjeMaster ปีที่แล้ว +1

    Kwahy ukifanikiwa kila siku lazima uwote hayo mauzauza2

  • @rodriguenacigale
    @rodriguenacigale ปีที่แล้ว +1

    Nimesha fanya meditation Mara tatu ila kichwa kina niuma kwenye ubongo.

  • @alexkipepeo3611
    @alexkipepeo3611 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante kaka mafunzo mazuri

  • @elyudmsukwa4361
    @elyudmsukwa4361 ปีที่แล้ว

    Nakuomba uenderee kufundisha namuna yakuanza hasa hasa mwanzoni

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Sawa Endelea kutufuatilia kwa maarifa zaidi asante

  • @amossbelsonabayo160
    @amossbelsonabayo160 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa unavyofundisha.. nataku kukufuatilia hadi mwisho.

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Asante barikiwa sana

  • @mwambaotv1186
    @mwambaotv1186 ปีที่แล้ว +1

    Umesema unavuta pumzi kumi hapo sija elewa vizuri
    Na je kwa mara ya kwanza unatakiwa dakika ngapi?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว +1

      Dakika ishirini kila ukipumua ndani na nje unahesabu moja

  • @Amina-dn1dr
    @Amina-dn1dr ปีที่แล้ว +1

    Mie nimefanya.kichwa kinauma saana

  • @Msakatonge23
    @Msakatonge23 ปีที่แล้ว +4

    Sasa mbona mimi nikijaribua hua mwili hua unantetemeka sana nini tatizo apo

    • @mariajohn5623
      @mariajohn5623 11 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni mimi kabisa yaan natetemeka sana

  • @mwalilomatila9668
    @mwalilomatila9668 2 ปีที่แล้ว

    Ndio Shekh!

  • @HusnaMohabed
    @HusnaMohabed หลายเดือนก่อน

    Sioni kitu

  • @LatifaMfaume
    @LatifaMfaume 8 หลายเดือนก่อน

    Ndio najifunza jmn

  • @PauloJuliasi-ji9ed
    @PauloJuliasi-ji9ed 8 หลายเดือนก่อน

    Mie naona macho kama yanauma nikiwa nafanya

  • @neymakubi173
    @neymakubi173 ปีที่แล้ว +1

    Yote yanatokea siku moja

  • @Alexijustin
    @Alexijustin 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa kwenye méditation unasemaga maneno fulani ao je 🇨🇩

  • @veronicachacha3699
    @veronicachacha3699 3 ปีที่แล้ว +3

    Je unakua na wazo maalumu kabla ya kuvuta pumzi au unavuta pumzi tuu then unatulia mawazo yanakuja automatic?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  3 ปีที่แล้ว +1

      Unavuta pumzi tu unatulia na kufocus on breathing

    • @veronicachacha3699
      @veronicachacha3699 3 ปีที่แล้ว +3

      But nkitulia kufocus on breathing kuna vimawazo vnakuja auto vinaharbu utulivu wa ndani

    • @Tingi-j5v
      @Tingi-j5v 4 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi naferi hapo tu😮

  • @rabanifrance6379
    @rabanifrance6379 ปีที่แล้ว

    Jee unapo anza atakiwi kupomowa

  • @suleimanmpondomoka6555
    @suleimanmpondomoka6555 ปีที่แล้ว

    Wanasema hii kitu unajiunganisha na nguvu za giza

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว +2

      Kila kitu watu wasichokijua huita uchawi.. Hata zamani walikuwa wanasema ndege kuruka juu ni uchawi... Wengi hujifunza vitu wakiwa wameshachelewa

  • @SaidAbdala-ql8js
    @SaidAbdala-ql8js 11 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu mimi ninafanya kwa dakika 38 kila siku ila nahisi huwa kuna hot sana katika shehemu ya ubongo em naomba nisaidiwe na kunipa muongozo.

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  11 หลายเดือนก่อน

      Una muda gani unafanya?

  • @NehemiaG.Lupola-je3nr
    @NehemiaG.Lupola-je3nr 7 หลายเดือนก่อน

    Unaposema mpuzi inamaana unabana pumz, hupumui ?

  • @HamidaSeif-c8u
    @HamidaSeif-c8u 11 หลายเดือนก่อน

    Sheikh je uko wapi? Je naomba nijifunze kwako

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  11 หลายเดือนก่อน

      0783930601

    • @HamisiAmri-p4d
      @HamisiAmri-p4d 11 หลายเดือนก่อน

      @@rakimsspiritual habari naomba namba yako mwalimu

  • @ShabaniRamadhan-g7m
    @ShabaniRamadhan-g7m ปีที่แล้ว +1

    Je wakati unafanya mediation pumzi hua unazibana haupumui au utakua unapumua kawaida?

  • @BruceBmBulugu-jd2jf
    @BruceBmBulugu-jd2jf ปีที่แล้ว

    Kaka kwan nisawa nikiwa nafanya meditation nmeweka vitu maskioni ili nisiskie kelele au si sawa

  • @MathewLaizer-qg8kw
    @MathewLaizer-qg8kw ปีที่แล้ว

    Je ukishavuta pumzi unaitoa kwa mdomo au pua

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว +2

      Unavuta kwa pua unatoa kwa mdomo baada ya muda unavuta kwa pua unatoa kwa pua

  • @pascalkabunda8095
    @pascalkabunda8095 2 ปีที่แล้ว +1

    Bro me naomba kuonana na wewe in prevent

  • @Emmanuel-f4r
    @Emmanuel-f4r 5 หลายเดือนก่อน

    samahan mwalim ninaweza kufanya meditation nikiwa nimevaa phone maskion

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 ปีที่แล้ว

    Kila nikijaribu hakuna ninachoona nani anaweza kuniinbox tusaidiane naitamani sana.

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Endelea kutufuatilia kwa maarifa zaidi asante

  • @zainabusabas7421
    @zainabusabas7421 ปีที่แล้ว

    Nimefanya lKini kuna hali nimeisikia kichwa na mwili kuvaibrate kama dakika 3 hivi kisha ika potea nini sijui

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Endelea na zoezi

    • @zainabusabas7421
      @zainabusabas7421 ปีที่แล้ว

      ​@@rakimsspiritualyani kaka nimerudia tena usiku basi nimelala nikapta ndoto tunachapana na mdada mmoja mtangazaji ila hakuna alipata zile fimbo mwisho yule dada akaja ndani kwangu nikamkuta kakaa nikamuuliza kwani unahisi ukiwa tajiri unaweza mfanyia maskini lolote akawa ana cheka ila ukweli nimelala kwa shida ni vurugu mech tu yani

  • @Tingi-j5v
    @Tingi-j5v 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona nikifanya sasa mawazo mengi yanazidikujazana nafanyeje

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  4 หลายเดือนก่อน +1

      Sio zoezi l;a siku moja unatakiwa kufanya kama muendelezo wa kila siku

    • @siaammo1104
      @siaammo1104 21 วันที่ผ่านมา

      hahahahaha

  • @waridielgrayson4454
    @waridielgrayson4454 ปีที่แล้ว +1

    Haina madhara

  • @RobyMatonya
    @RobyMatonya ปีที่แล้ว +1

    Nilifanya lakini ulikuja mwanga mweupe xikuelewa

    • @MwajumaNgangira-yl9ei
      @MwajumaNgangira-yl9ei 8 หลายเดือนก่อน

      Haha mie nikifanya ulikuja mwanga mweupe sana kama radi

  • @edwardgistave7808
    @edwardgistave7808 9 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 ปีที่แล้ว +1

    Broo hyo kitu nikifanya huwa naona kitu kamamwanga mkali mweupe wa toch utapiga katikati ya paji la USO then unafifia na kurud tena

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Hiyo ni third eye inataka kufungua, endelea na zoezi bila udhatiti wa kuchunguza

    • @wardagogodigo1111
      @wardagogodigo1111 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@rakimsspiritualjamani mm nilifikia hii hatua ya kuona mwanga mkali kila nilipofanya na nikawahi kuona malaika akiwa na mwanga mkali akashika paji langu la uso kunibariki. Jamani cjui nn kilinifanya niache.

  • @Thierryirakoze4498
    @Thierryirakoze4498 ปีที่แล้ว

    Sasa ukivuta pumuzi Mara kumi unaibakiza ndani ama unaitoa polepole

  • @ShinunaMohd-l7s
    @ShinunaMohd-l7s หลายเดือนก่อน

    Minaomb niulize ukifimb macho unasema maneno gani

  • @fatumamselem810
    @fatumamselem810 11 หลายเดือนก่อน

    Baadae nahisi km mtetemeko

  • @saimarmuhsin9578
    @saimarmuhsin9578 8 หลายเดือนก่อน

    Habari yako mimi nipefinga macho baadae nikaona km nguvu nyingi zikawa zimejaa kwenye kifua nikawa naunguruma km simba na kutetemeka hii inamaana gani mwali

    • @genesisleons9972
      @genesisleons9972 8 หลายเดือนก่อน

      Mwenywe imenikuta hivyo sijaelewa

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  8 หลายเดือนก่อน

      Huenda ukawa na upepo wa jini, Fuatilia channel yetu katika video ya utambuzi kama unajini

  • @tullahofficialtz
    @tullahofficialtz ปีที่แล้ว

    Mi sielewi kwenye pumzi apo yani wakati unafanya unachia punzi au

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Rejea hapa
      th-cam.com/video/rdb8bQInC1Y/w-d-xo.html

  • @BonaventureFundi
    @BonaventureFundi ปีที่แล้ว

    Natakiwa kufanya kwa muda gani saa nzima au

  • @DanielSichilya
    @DanielSichilya ปีที่แล้ว

    Unafanya Kwa muda gni

  • @samiahango6103
    @samiahango6103 ปีที่แล้ว

    Je ukiwa na period kwa mtoto wa kike inafaa au mpaka umalize?

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 ปีที่แล้ว +1

    Noamba kuhuliza ninapoanza ku maditate hujikuta machozi yanatoka tuu na macho kuchezacheza hii ina maana gani?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Anza na meditation ya mshumaa kuweza kubalance mihemko

  • @ramadhanihangolwa2500
    @ramadhanihangolwa2500 3 ปีที่แล้ว +2

    Pumzi kumi ndio unavutaje mwalimu?

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  3 ปีที่แล้ว +1

      Unakuwa unavuta pumzi ndefu ndani moja kisha ukitoa nje unakuwa umehesabu moja karibu.

    • @yusuphhermanhans4044
      @yusuphhermanhans4044 3 ปีที่แล้ว

      @@rakimsspiritual una group lakin wassap

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  3 ปีที่แล้ว

      @@yusuphhermanhans4044 Hapana kwa sasa sina lakini unaweza kujifunza zaidi katika blog yangu mkuu

    • @mneneybariki4772
      @mneneybariki4772 3 ปีที่แล้ว

      Sawa

  • @Innocent635-Tv
    @Innocent635-Tv ปีที่แล้ว

    Mimi nikianza ku meditati naanza kusikia kichwa kuuma.ina maanisha nini

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Ni kawaida wengi hutokea hivyo siku za awali

  • @WeldMwangonda-io9nz
    @WeldMwangonda-io9nz 4 หลายเดือนก่อน

    Unaweza uka kaa Kwa dakika ngap

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  3 หลายเดือนก่อน

      20minutes

    • @wardadallu1820
      @wardadallu1820 3 หลายเดือนก่อน

      Kwanini hua inatokea hofu kubwa sana

  • @allyjafari8886
    @allyjafari8886 2 ปีที่แล้ว +1

    Asalaam aleykum shekh je kama nataka kuja kujifunza kwako taratibu zipoje

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  2 ปีที่แล้ว

      Nina mpango wa kufungua darasa la haya mambo rasmi hivyo fanya subira

  • @neymakubi173
    @neymakubi173 ปีที่แล้ว

    Kaka nisaidie Mimi nimefanya nakua naisi kufa na pia nakua nikilala naota kufa naogopa nimefikia sehemu kuona mwanga mucho Yana uma naogopa maana nikilili nikishituka nakuta mwanga umekua wa njano nini Icho he niendelee au niache au nikiwndelea kweli nakufa NijIbu!!!!

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว

      Endelea kufanya kwa utulivu na utaratibu na muda wa dakika 20 kila siku usizidishe

    • @EmmySam-sm1lo
      @EmmySam-sm1lo ปีที่แล้ว +2

      Mm sitaki kujaribu..kuna MTU nimesoma cmt yake anasema kwenye paji LA USO panacheza duh

  • @nasahakwawaislam9032
    @nasahakwawaislam9032 ปีที่แล้ว

    Samahani ikiwa nitakua nimewakwaza ivi kufanya meditation inaruhusiwa katika dini ya kiislam ama ya kikiristo naombeni munijuze tafadhalini.

    • @rakimsspiritual
      @rakimsspiritual  ปีที่แล้ว +1

      Inaruhusiwa ikiwa unaifanya kwa usahihi na meditation ni mazoezi ya kiroho kama vile yalivyo mazoezi ya kimwili